Sunday 9 December 2012

[wanabidii] Re: [Mabadiliko] Tanzania yaifunga Kenya 5-0

Matinyi umeshanichefua na hitimisho lako


2012/12/9 Mobhare Matinyi <matinyi@hotmail.com>
Timu ya soka ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo imeifunga timu ya wenzao wa Kenya mabao matano kwa nunge katika mchezo mkali uliochezwa jijini Nairobi. Awali timu ya wabunge wa Uganda na wa Rwanda walitoka sare ya bao 1-1. Timu ya Tanzania inaundwa na wabunge wa vyama vyote na hata mabao yalipatikana kutoka kwa wafungaji wa CCM na Chadema na wote ni washabiki wa Simba.
 
Kwa taarifa zaidi na picha nenda hapa: http://issamichuzi.blogspot.com/

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda; mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.
 
TEMBELEA Facebook yetu:
http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forums" group.
To unsubscribe from this group, send email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,2 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment