Wednesday 12 December 2012

Re: [wanabidii] BW. MGIMWA: BASI HATA HALMASHAURI MOJA KUTOKA ZANZIBAR???

Matinyi

Kwa masahihisho siyo MKUKUZA ni MKUZA


2012/12/13 Mobhare Matinyi <matinyi@hotmail.com>
Issa,
 
Ni kweli ila sasa tatizo linaanzia hapa, kwamba MKUKUTA ni mpango wa Tanzania na kule Zanzibar kuna MKUKUZA na inaelekea hakuna mfumo wa kushirikiana katika kuomba pesa ama kukopa na iwapo mtu wa serikali ya Muungano ataulizia kitu kule MKUKUZA ataambiwa hili si suala la Muungano. Swali pia linakuja hivi, kwamba MKUKUZA wakiomba fedha mahali na kupata, kama za Korea Kusini ambazo zinakuja, watakuwa tayari kuigawia Bara? Hapana, watasema si suala la Muungano.
 
Hii shida ingekwisha kirahisi sana kama tungekuwa na ama serikali moja tu au serikali tatu lakini ile ya Muungano iwe kamili yenye wizara zote na ikishaomba hela huko kwa wajomba zetu inakuja kufanya mgawo - lakini kwa hii akili ya eti wizara za muungano ni nne au tano tu, hatutaweza hata kueleweka huko duniani; tutaonekana kama wajinga tu.
 
Kushindwa kuendesha nchi kwa serikali mbili pia ni jambo la aibu kubwa.
 
Matinyi.
 

Date: Wed, 12 Dec 2012 14:58:51 -0800
From: saidissa100@yahoo.com
Subject: [wanabidii] BW. MGIMWA: BASI HATA HALMASHAURI MOJA KUTOKA ZANZIBAR???
To: wanabidii@googlegroups.com


"Benki  ya Dunia (WB), imeipatia Serikali ya Tanzania mkopo usio na riba wa Sh. bilioni 489.8 kwa ajili ya kuendesha miradi mitatu ya kilimo, kuendeleza serikali za mitaa na uhifadhi wa chakula nchini.
Akizungumza wakati wa kusaini mkataba wa mkopo huo, Waziri wa Fedha, Dk. William Mgimwa, alisema mradi wa kilimo utapatiwa Sh. bilioni 47.4 kwa ajili ya kusaidia upatikanaji wa vocha za pembejeo, 
kuelimisha wakulima juu ya kilimo cha kisasa pamoja miundombinu katika kilimo hicho.
Dk. Mgimwa alisema mradi wa pili ni ule wa uhifadhi wa chakula ambao utatumia Sh. bilioni 39.5 na  mradi wa tatu utatumia Sh. bilioni 402.9 kwa ajili ya kuendeleza serikali za mitaa katika halmashauri 18 nchini.
Alizitaja halmashauri zitakazonufaika na fedha hizo kuwa ni Sumbawanga, Tabora, Morogoro, Iringa, Songea,  Moshi, Lindi, Bukoba, Musoma, Singida,  Babati, Korogwe, Masasi, Nyumbu, Mpanda, Bariadi na Geita.
Dk. Mgimwa alisema msaada huo ni mkopo usio na riba na utalipwa katika kipindi cha miaka 40.
Kwa upande wake, Mkurugenzi wa WB nchini, Philippe Dongier, alisema msaada huo ni mojawapo katika kutekeleza kuisaidia serikali kufika lengo lake la kutekeleza mradi wake wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini (Mkukuta).
Pia alisema uimarishaji na utoaji wa elimu kwa wakulima utasaidia kuwasaidia wakulima hao kujua mbinu mbadala za kuzalisha zaidi mazao yao".
Chanzo: Nipashe



--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 360,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 360,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 



--
Bariki G. Mwasaga,
P.O. Box 3021,
Dar es Salaam, Tanzania
+255 754 812 387

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 360,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment