Sunday 23 September 2012

RE: [wanabidii] Sherehe za Dr. Harrison Mwakyembe za kumshukuru Mungu - Nduli, Ikolo, Kyela

.... lakini sipendi tabia ya wanasiasa na viongozi wengine wa kijamii kujibanzabanza kwenye nyumba za ibada kama ninavyoichukia hii tabia iliyoibuka siku hizi ya wanasiasa kutoa salamu hii:
 
...Asalamu Aleikumu, Bwana asifiwe.
 
Tunazidi kuwa taifa la kijinga.
 
Sipendi uunganishaji wa siasa na dini; sipendi viongozi wa dini kuabudiwa. Nasema sipendi.
 
 
******************************
 
> Subject: [wanabidii] Sherehe za Dr. Harrison Mwakyembe za kumshukuru Mungu - Nduli, Ikolo, Kyela
> To: wanabidii@googlegroups.com
> From: hkigwangalla@gmail.com
> Date: Sun, 23 Sep 2012 14:31:17 +0000
>
> Tuko hapa nduli kanisani, Ikolo, Kyela kumuunga mkono Dr. Mwakyembe wakati akimshukuru Mungu kwa kumponya. Ameamua kujenga kanisa na kituo cha chekechea na biashara za akinamama kama sadaka yake kwa Mungu. Sisi tumekuja kumsindikiza. Bravo Komredi! Walikuwpo watu wngi akiwemo S Sitta, Tizeba, Mulugo, Maige, Kilufi, Zambi, Mtutura, Mwambalaswa, Mwandosya, Ngoye, Lembeli etc bila kuwasahau Ndg. Mboka - kijana aliyemuokota Dr. Mwakyembe kwenye ajali ya Ihemi Iringa, inayosadikiwa kuwa ilelenga kuondoa uhai wake, pia Ndg Paul Makonda, Rais wa TAHLISO na ambaye anagombea Umakamu Mwenyekiti wa UVCCM, Ndg. Eng Chambo
> Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania
>
> --
> Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
> Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
> Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>
>

0 comments:

Post a Comment