Saturday 29 September 2012

Re: [wanabidii] CHADEMA YAPOTEZA UMEYA JIJI LA MWANZA

Duniani ukianza kuchezea kanuni mlizojiwekea au kuwekwa  na kuzifuata, watu wataacha kuzi heshimu, matokeo yake yanajulikana.
Mimi napendekeza mapambano yote yaanze sasa, namaanisha hivi, hakuna mabadiliko bilamaumivu ya mwili, hivyo maandamano yasiyokoma, kuzuia watu fulani wasiingie maofisini, ndiyo italeta mabadiliko.

--- On Fri, 9/28/12, ezekiel kunyaranyara <ekunyaranyara@yahoo.co.uk> wrote:

From: ezekiel kunyaranyara <ekunyaranyara@yahoo.co.uk>
Subject: Re: [wanabidii] CHADEMA YAPOTEZA UMEYA JIJI LA MWANZA
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Friday, September 28, 2012, 11:59 PM

Dismas,
Soma maelezo ya  Deus hapa chini, nadhani utapata kitu na wewe kama na mimi nilivyopata kitu. Nawafahamu watu wa kanda ya ziwa. Kwao hii "it is a U turn" kama hujui. Niko makini sana katika matumizi ya maneno haya ya kiingereza.
K.E.M.S.

From: deus bugaywa <drbugaywa@yahoo.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Friday, 28 September 2012, 7:19
Subject: Re: [wanabidii] CHADEMA YAPOTEZA UMEYA JIJI LA MWANZA

 
Wanajamvi,

Ufafanuzi wa kilichotokea,

CCM wameshindishwa na mbinu za kisiasa amabzo uhalali wake kisheria linabaki kuwa suala la wanasheria wanaojua taratiu zikoje.

Baada ya mgawanyo wa h/shauri ya jiji na kuwa na h/shauri ya jiji inayoundwa na jimbo la Nyamagana na halmashauri ya ilemela inayondwa na jimbo la ilemela mwezi Julai mwaka huu mgawanyo wa madiwai ulikuwa hivi kwa nyamagana

Chadema -wa  kata 5, viti ,maalum 2. mbunge mmoja, jumla wanakuwa 8
CCM      - wa kata 6, viti maalum 1 jumla wanakuwa 7
Cuf         - wa kata 1, viti maalum 1

Ilemela

Chadema -- wak kata 6, viti maalum 2 mbunge 1 jumla wanakuwa 9
CCM - wa kata 3, viti maalum 2 na mbunge 1 (wa viti maalum) jumla wanakuwa 6
CUF    - MBUNGE WA viti maalum 1

Kilchotokea kwenye uchaguzi ni CCM kuhamisha diwani mmoja wa viti maalum (kwa barua ya CCM kwenda kwa mkurugenzi wa jiji ya tarehe 14, Septemba, 2012) na mbunge wa viti maalum toka Ilemela kuja nyamagana na hivyo kuongeza idadi ya kura zao kuwa 9, wakati huo huo Chadema walishakuwa hawaihehabu kura ya Diwani wa Igoma Chagulani ambaye wamemfukuza uanachama akalejeshewa na mahakama wao wanapugukiwa na kura 1 zao zinabaki 7 , aliyepungua Chadema akiwapigia CCM wanakuwa na kura 10 dhid ya 7 za Chadema.
Lakini pia CUF walishakubaliana na chadema kuungana mkono, kwa hiyo kwa kura 2 za CUF Chadema wangekuwa na kura 9, lakini inaonekana ama mwana Chadema mmoja kapigia CCM au CUF mmoja kapigia CCM na kufanya matokeo ya kuwa kuwa 11 kwa CCM dhidi ya nane za Chadema.

Hiyo ndiyo hali halisi ya jinsi mahesau ya kura yalivyochezwa, kama kuna uhalali katika mchakato huo au la ni suala la wataalamu wa masuala haya kutujuza.

Hayo yakiendelea uchaguzi wa Meya wa Ilemela meahirshwa katika mazingira tata, baada ya Mkurugeni kusoma Amri ya Mahakama iliyopewa tafsiri na mwanasheria wa jiji kuwa inakifanya kikao hicho kuahirishwa kwa kuwa Diwani wa Chadema Matata (pia alifukuzwa uanachama pamoja na wa igoma na anaendelea na udiwani kwa amri ya makahama) kuleta pia barua ya kutaka atambuliwe kaa mgombea.
Ukazuka ubishi kidogo juu ya hoja ya mgombea kuteuliwa na chama, mkurugenzi wa jiji akasema hiyo siyo sheria ni mwogozo, na kwa kuwa sheria na mwongozo zikigongana sheria ndiyo inatamalaki hatakia aingie katka mgogoro wa tafsiri ya sheria, akaahirisha kikao bila hata madiwani kujadili hoja hiyo.

Kwa mujibu wa mwanasheria wa wa Chadema, pingamizi hilo lilikuwa linawarejeshea haki yao ya uanachama na hivyo kuendelea na udiwani wao, na kutaka matata asizuiliwe kuendelea na mchakato wa kuomba umeya, Kwa hiyo matata ameomba lakini hakuteuliwa na chama na mahakama haiwezi kuwalazmisha chama wateue mgombea kwa amri ya mahakama, anadhani ni uhuni tu na njama za kisiasa zimefanyika kuahirisha uchaguzi huo.
Nadhani kidogo piacha itaeleweka kwa wanjamvi juu ya nini hasa kimetokea.
--- On Fri, 9/28/12, MaryGlady Heri <mglady2@gmail.com> wrote:

From: MaryGlady Heri <mglady2@gmail.com>
Subject: Re: [wanabidii] CHADEMA YAPOTEZA UMEYA JIJI LA MWANZA
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Friday, September 28, 2012, 6:28 AM

kwa hiyo ina maana hizo kura 11 2 ni za CUF si ndio maana yake


2012/9/28 Dismas Anthony <anthonydismas1@gmail.com>
Ezekiel
Hakuna suala la watu wa kanda ya ziwa hapa, kama chdema wana madiwani 8, ccm 7 na CUF 2, unategemea chadema ashinde? sio rahisi na ni kama haiwezekani kabisa, kutaka kugeneralize mambo ni siasa tu hizo. kama kweli ni kanda ya Ziwa hawataki mbona basi hao chadema wana madiwani wengi tu. K


2012/9/28 ezekiel kunyaranyara <ekunyaranyara@yahoo.co.uk>


CHADEMA kwa CUF imeponzwa na vile walivyofanyiwa fujo ya kupopolewa mawe na vijana wao. Wanajua hili fika kama wanasiasa.

Hata hivyo watu wa kanda ya ziwa wana misimamo yao wakisema hapana waamaanissha hapana na si vinginevyo. Ukiwafahamu vizuri utawafurahia vinginevyo utaishia kuwalaumu kama hivi


------------------------------
On Fri, Sep 28, 2012 10:46 BST Monica Malle wrote:

>
>
>Kwa mtaji huo Chadema hawapaswi kushangaa ushindi kwa ThiThim ulikuwa wazi. wangesoma tuu alama za nyakati
>
>
>> Date: Fri, 28 Sep 2012 12:40:33 +0300
>> Subject: Re: [wanabidii] CHADEMA YAPOTEZA UMEYA JIJI LA MWANZA
>> From: mngonge@gmail.com
>> To: wanabidii@googlegroups.com
>>
>> Mbona CUF na CCM lao moja?
>>
>> 2012/9/28 Monica Malle <moninaike@hotmail.com>:
>> > CUF ndio waliokuwa wameshika Turufu ya Chadema. kwa vile Chadema hawapendi
>> > ushirikiano na vyama vingine vya upinzani
>> > matokeo yake ndio hayo.!!!!!
>> >
>> > Date: Fri, 28 Sep 2012 12:25:27 +0300
>> >
>> > Subject: Re: [wanabidii] CHADEMA YAPOTEZA UMEYA JIJI LA MWANZA
>> > From: mngonge@gmail.com
>> > To: wanabidii@googlegroups.com
>> >
>> >
>> > Ukikumbuka kilichotokea Kigoma, Arusha na sasa Mwanza hakuna jipya
>> > tofauti na mbinu zetu zile zile
>> >
>> > 2012/9/28 paul lawala <pasamila292000@gmail.com>:
>> > > Sina uhakika lakini kwa hali ya siasa iliyokuwepo sitashangaa ikawa
>> > > hivyo
>> > >
>> > > 2012/9/28 ezekiel kunyaranyara <ekunyaranyara@yahoo.co.uk>:
>> > > Paul,
>> > >
>> > > Ni kweli jambo hili?
>> > >
>> > >
>> > > K.E.M.S.
>> > > ________________________________
>> > > From: paul lawala <pasamila292000@gmail.com>
>> > > To: wanabidii@googlegroups.com
>> > > Sent: Friday, 28 September 2012, 1:47
>> > > Subject: Re: [wanabidii] CHADEMA YAPOTEZA UMEYA JIJI LA MWANZA
>> > >
>> > > Sawa, watapata mianya ya kuchezea rasilimali za jiji sasa
>> > >
>> > > 2012/9/28 Abdalah Hamis <hamisznz@gmail.com>:
>> > >> Umeya wa Jiji la Mwanza uliokua unashikiliwa na CHADEMA sasa umerudi
>> > >> CCM baada ya kushinda kwa kura 11 kati ya 8 za CHADEMA .
>> > >>
>> > >> --
>> > >> Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
>> > >> Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
>> > >> Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
>> > >>
>> > >> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> > >> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
>> > >> ukishatuma
>> > >>
>> > >> Disclaimer:
>> > >> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> > >> legal
>> > >> consequences of his or her postings, and hence statements and facts
>> > >> must be
>> > >> presented responsibly. Your continued membership signifies that you
>> > >> agree to
>> > >> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> > >>
>> > >>
>> > >
>> > > --
>> > > Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
>> > > Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
>> > > Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
>> > >
>> > > Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> > > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
>> > > ukishatuma
>> > >
>> > > Disclaimer:
>> > > Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> > > legal
>> > > consequences of his or her postings, and hence statements and facts
>> > > must be
>> > > presented responsibly. Your continued membership signifies that you
>> > > agree to
>> > > this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> > >
>> > >
>> > >
>> > >
>> > > --
>> > > Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
>> > > Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
>> > > Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
>> > >
>> > > Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> > > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
>> > > ukishatuma
>> > >
>> > > Disclaimer:
>> > > Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> > > legal
>> > > consequences of his or her postings, and hence statements and facts
>> > > must be
>> > > presented responsibly. Your continued membership signifies that you
>> > > agree to
>> > > this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> > >
>> > >
>> > >
>> > > --
>> > > Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
>> > > Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
>> > > Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
>> > >
>> > > Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> > > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
>> > > ukishatuma
>> > >
>> > > Disclaimer:
>> > > Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> > > legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts
>> > > must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you
>> > > agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> > >
>> > >
>> >
>> > --
>> > Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
>> > Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
>> > Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
>> >
>> > Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
>> > ukishatuma
>> >
>> > Disclaimer:
>> > Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
>> > consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
>> > presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
>> > this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> >
>> >
>> >
>> > --
>> > Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
>> > Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
>> > Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
>> >
>> > Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
>> > ukishatuma
>> >
>> > Disclaimer:
>> > Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
>> > consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
>> > presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
>> > this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> >
>> >
>>
>> --
>> Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
>> Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
>> Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
>>
>> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>>
>> Disclaimer:
>> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>>
>>
>
>
>--
>Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
>Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
>Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
>
>Kujiondoa Tuma Email kwenda
>wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>
>Disclaimer:
>Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>
>

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.



--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 


--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment