Wednesday 5 September 2012

RE: [wanabidii] Fwd: Fw: ONLY IN TANZANIA - Maajabu 8 ya Tanzania 2012.

Hata bodaboda sticker, haijajulikana fire ext. zitakaa eneo gani kwenye pikipiki only in Tanzania

 

 

From: wanabidii@googlegroups.com [mailto:wanabidii@googlegroups.com] On Behalf Of James Patrick
Sent: Thursday, September 06, 2012 8:12 AM
To: wanabidii@googlegroups.com
Cc: mabadilikotanzania@googlegroups.com
Subject: [wanabidii] Fwd: Fw: ONLY IN TANZANIA - Maajabu 8 ya Tanzania 2012.

 

 

 

 

 

 

  

"ONLY IN TANZANIA!

 

   Yapo Maajabu mengi sana...Ila Maajabu Makuu Yaliyopo Tanzania ni Haya hapa;

     

 

 1. Mmoja wa Majaji Walioteuliwa kwa Mujibu wa Tundu Lissu Kumbe ndo

    kwanza anasoma shahada so darasani nae anasoma"What is Law of      Torts" then anapata SUP...U can Only find in TZ....afu mwalimu wake ni advocate inakuwaje akimpelekea kesi Jaji wa aina hiyo??

 

 2. Serikali Makini ambayo sio dhaifu ina Watumishi Hewa 9,949

    wanaopata Mshahara ambao Jumla ya hela inayopotea ni kama Bil 70

    ambazo zingetumika kulipa Madaktari na walimu, lakini Serikali

    inasema haina hela, hawana hela ya kulipa walimu na Madaktari ila

    wanazo za Watumishi hewa...Only u can find in TZ.

 

 3. Serikali Ya Uingereza Ilirudisha Chenji ya RADA, Serikali ikasema

    hela inapeleka Kununulia Vitabu kwa Ajili ya Shule Nchi nzima, Kumbe Kampuni iliyopewa tenda ya Kusambaza Vitabu nchi nzima ilitoa rushwa ya US$ 500,000 kupata tender Serikali ya Uingereza imeifungia miaka 7, You Can Only find in TZ.

 

4. Wanafunzi Waliofaulu Darasa la Saba get me well waliofaulu darasa

   la 7 kwenda Sekondary Hawajui Kusoma wala Kuandika, Je waliofeli

   Watakuwa hawajui kufanya nini??...You Can Only Find In Tanzania

  

  5. Washiriki wa Michezo ya Kimataifa (sijataja Mchezo wala

     mashindano) wako watano (5) lakini wanaowasindikiza Washiriki wako 12 You can Only find in Tanzania......

 

 6. Sehemu Pekee ambaye Mtu uliyetaka Kumdhuru kwa Kukusumbua then

    unaomba Umlinde (refer to Dr. Ulimboka's Case)..Yaani Mbwa Mwitu

    anaomba kazi ya Kulinda Mbuzi......You Can Only find in Tanzania..

 

  7.Only in Tanzania serekali inaweza kabisa kulipisha watu ushuru wa sticker ya fire Bila kuuliza kama una huo mtungi wa kuzimia moto wala kukagua gari wala kukupa hiyo sticker Na wananchi wake wakakubali na kunyamaza tu.

 

  8. Only in Tanzania hata rais hajui ni kwanini raia wake ni masikini?

 

       

Yapo Maajabu Mengi sana Lipi nimesahau???" Ongezea Moyoni

 

I thank you.

 

 

 

 


______________________________________________________________________
or copying of this message is strictly prohibited and sanctioned by law

 

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment