Sunday 23 September 2012

Re: [wanabidii] DUA HII YA KUWAOMBEA WALIOTENGENEZA FILAM YA KUKASHIFU MTUME

Kama hii ndiyo dua aliyoomba Mtume na ile ya kazi ya muislamu ni kuua na kuuawa aliielekeza nani?

--- On Sat, 9/22/12, rashid martin <rashidtz@hotmail.com> wrote:

From: rashid martin <rashidtz@hotmail.com>
Subject: [wanabidii] DUA HII YA KUWAOMBEA WALIOTENGENEZA FILAM YA KUKASHIFU MTUME
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Saturday, September 22, 2012, 11:14 PM

Dua hii ni bora kuliko yote yaliyofanyika tokea filamu hiyo itengenezwe,
dua hii ni bora kuliko hata maandamano, vurugu n.k
dua yenyewe ni kama ifuatavyo
....................Ee Mola tunakuomba uwape akili tambuzi wale wote walioshiriki kutengeneza filamu hiyo
 watambue kuwa walichokifanya sio kizuri na sio busara, pia uwabadilishe kama sio wawo basi vizazi vyao
vije kuwa wachamungu .........insh a llah
     Dua kama hiyo aliwahi kuiomba Mtume katika mji wa Twaifa na ikafanya kazi, tena baaada ya Mtume kupigwa sana.
hizo ndio dua za wacha mungu
0714-14 25 25
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment