Saturday 11 August 2012

[wanabidii] ' Madudu' Ya Olimpiki London- Hata Kungekuwa Na Medali Za Vijiti, Bado Tungeambulia Patupu!"

Kocha wa Riadha, Samwel Tupa analaumu maandalizi mabovu. Kwani hatukujua miaka minne iliyopita kuwa kuna Olimpiki mwaka huu? Um
efika wakati wa kuingizwa watu wenye fikra mpya kwenye Kamati yetu ya Olimpiki.

Haiwezekani, kwa ' Taifa Kubwa' kama letu kushindwa hata kufika fainali ya mchezo wowote kwenye Olimpiki wakati tunashindwa kwenye kurusha mikuki na kisiwa cha wavuvi cha Trinidad Na Tobago kilichotwaa medali ya dhahabu kwenye kurusha Mikuki. Na hata Karzastan, imechukua dhahabu kwenye kuendesha baiskeli! Tusipoangalia tutakuja kuiona Sudan Kusini ikinyakua medali yake ya dhahabu kabla haijafikisha miaka mitano ya uhuru wake, hakyamungu!


( Pichani nikimaliza mbio za Dar Vodacom Half Marathon kwenye Uwanja wa Taifa miaka michache iliyopita.)

Maggid,
Iringa.
http://mjengwablog.com

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment