Friday 10 August 2012

[wanabidii] FW: Mazishi ya polisi aliyejinyonga

Kwa hisani ya blogu ya VIJIMAMBO ya Washington DC
(http://lukemusicfactory.blogspot.com/)
Friday, August 10, 2012

NI MAJONZI: MAMIA WAJITOKEZA KUAGA MWILI WA ASKARI ALIYEJINYONGA MORO



 Mtoto Consolatha Donald (7) akiaga mwili wa marehemu baba yake huku akiwa mikononi mwa mama yake mzazi Diana.

Mjane Diana akiangua kilio baada ya kutoa heshima za mwisho mbele ya mwili wa aliyekuwa mume wake Afande Donald Mathew

Mchungaji akiongoza ibada ya mazishi
 
Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi Hamida Shariff akimpa pole mke wa marehemu Diana 

0 comments:

Post a Comment