Tuesday 28 August 2012

Re: [wanabidii] RE: HOFU YA UISLAM HOMA YA SENSA/Tanzania

Kama nimekuelewa vyema ni kuwa wanokataa kuhesabiwa ni Waislam.
Waislam hawajakataa kuhesabiwa ila wanakataa kuhesabiwa bila ya dini
yao kutambuliwa katika dodoso.

Serikali hofu yao ni kuwa ikiwa kipengele cha dini kitawekwa
itabainika ukweli kuwa Waislam ni wengi.

M

On 28/08/2012, Gaston Mbilinyi <mbilinyi.gaston49@gmail.com> wrote:
> "..........HOFU YA UISLAM HOMA YA SENSA/Tanzania" ni hii hapa "sisi
> wengi wao wachache!"
>
> Swali: Kama ndivyo ujuavyo, kwamba nyie ni wengi wao ni wachache,
> kwanini unakataa kuhesabiwa?
>
> On 8/25/12, Salim Himidi <bwanatosha@hotmail.com> wrote:
>>
>> Dear Sheikh Mhamed,
>> As always! Your presentation abides by the rules: both ethical and
>> historical
>> I wish further courage, wisdom & perserverance in this vital quest for
>> TRUTH,
>> in the interest of all Eastern Africans: Christians, Cannibals, Muslims,
>> Pagans , Agnostics, Atheists ...
>> There's no avoidance on this issue, if we all have PEACE & HARMONY within
>> communities of our
>> Lands/Nations/States.
>> With my warmest support & respect,
>> Salim H. M. Bwanatosha
>> Perpetual Student of History, Social Anthropology and Comparative
>> Swahili.
>> Paris, France
>> +33-6-33071051.
>>
>>> Date: Sat, 25 Aug 2012 07:07:50 +0300
>>> From: mohamedsaid54@gmail.com
>>
>>> Hii makala niliiweka jana usiku katika JF.
>>>
>>> Hawakuwa na ustahamilivu wameiondoa jana hiyo hiyo.
>>>
>>> Sasa sijui kama na wao ni sehemu ya mfumokristo kama TBC1, ITV, gazeti
>>> la Mtanzania na mfano kama huo lililoghushi tangazo la sensa au vipi.
>>>
>>>
>>> M.
>>
>>
>> --
>> Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
>> Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
>> Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
>>
>> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
>> ukishatuma
>>
>> Disclaimer:
>> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> legal
>> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must
>> be
>> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree
>> to
>> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>>
>>
>>
>

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

0 comments:

Post a Comment