Thursday 31 March 2016

[wanabidii] TANZANIA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO WA INTANETI, AfPIF 2016

Habari za mchana,

Tafadhali pokea CODES hapa chini.

<img class="wp-image-10652 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG_7655.jpg" alt="IMG_7655" width="634" height="951" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong><em>Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA), Dkt. Ally Simba akielezea matumizi ya intaneti yalivyo nchini na changamoto zinazowakabili watumiaji wa huduma hiyo. (Picha na <span style="color: #0000ff;"><a style="color: #0000ff;" href="http://www.modewjiblog.com" target="_blank">Modewjiblog</a></span>)</em></strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Mwaka 2016 unakuwa mwaka wa neema kwa Tanzania kupata fursa ya kuandaa Mkutano unaowakutanisha wadau wa intaneti (African Peering and Interconnection Forum), mkutano unaotaraji kufanyika Agosti 31 – Septemba 1, jijini Dar es Salaam.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Akizungumzia mkutano huo, Meneja Mwandamizi wa Maendeleo wa Taasisi ya Internet Society, Michuki Mwangi amesema mkutano huo unalengo wa kukutanisha wadau mbalimbali wa intaneti ili kutanua miondombinu ya intaneti katika bara la Afrika.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Amesema taasisi yake inapenda kuona huduma ya intaneti ikipatikana kwa urahisi kwa watumiaji wake Afrika na hivyo kupitia mkutano huo wataweza kutazama jinsi gani wanaweza kushirikiana na kubadilishana takwimu za watumiaji wa mitandao kwa bara zima la Afrika.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">"Tunatambua kuwa watumiaji wa intaneti wanazidi kuongezeka na kupitia mkutano huu tutaweza kuangalia jinsi gani tunaboresha huduma ya intaneti iwe bora ili iweze kutumiwa na watu wengi zaidi," amesema Mwangi.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Nae Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA), Dkt. Ally Simba amesema mkutano huo una umuhimu kwa Watanzania kwa kupata fursa ya kujifunza na kubadilishana mawazo na watu kutoka mataifa mengine katika huduma ya intaneti.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Amesema kwa sasa Tanzania bado ina changamoto nyingi katika huduma ya intaneti na kupata nafasi hiyo ya kuandaa mkutano kutakuwa na faida kwa mashirika yanayotoa huduma ya intaneti  ili kuwawezesha kutambua ni jinsi gani wataboresha huduma kwa wateja.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">"Nchi yetu inawatumiaji wengi wa intaneti ila bado kuna changamoto nyingi ikiwepo usalama wa mtandao na serikali inafanya jitihada nyingi kumaliza changamoto hizo na kupitia mkutano huu tunaamini utasaidia zaidi Watanzania kupata kitu kipya katika huduma ya intaneti," amesema Simba.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Kwa upande wa Mwenyekiti wa TISPA, Vinay Choudary amesema Watanzania wengi bado hawajafahamu umuhimu wa intaneti kutokana na kutokuwa na ujuzi wa kutosha kuhusu intaneti lakini kupitia mkutano huo ulioandaliwa na Internet Society wataweza kuapata elimu mpya kuhusu intaneti.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-10643 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG_7593.jpg" alt="IMG_7593" width="636" height="424" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA), Dkt. Ally Simba (kushoto) akizungumza jambo na Mwenyekiti wa TISPA, Vinay Choudary.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-10644 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG_7596.jpg" alt="IMG_7596" width="635" height="423" /></p>
<p style="text-align: center;"><em><span style="color: #000080;"><strong>Wa kwanza kushoto ni </strong></span><strong><span style="color: #000080;"><em>Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA), Dkt. Ally Simba (kushoto), Mwenyekiti wa TISPA, Vinay Choudary, Meneja Mradi wa Tanzania Internet Exchange (TIX), Frank Habicht na </em></span><span style="color: #000000;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Meneja Mwandamizi wa Maendeleo wa Taasisi ya<span style="color: #000080;"> Internet Society, Michuki Mwang</span></strong></em>i wakizungumza jambo kabla ya kuanza kwa mkutano huo.</span></span></strong></em></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-10645 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG_7603.jpg" alt="IMG_7603" width="632" height="421" /></p>
<p style="text-align: center;"><em><strong><span style="color: #000080;">Mwenyekiti wa TISPA, Vinay Choudary akifungua mkutano huo.</span></strong></em></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-10646 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG_7613.jpg" alt="IMG_7613" width="627" height="418" /></p>
<p style="text-align: center;"><em><strong><span style="color: #000000;"><span style="color: #000080;">Meneja Mwandamizi wa Maendeleo wa Taasisi ya Internet Society, Michuki Mwangi akizungumzia mkutano wa Intaneti, AfPIF utakaofanyika nchini, Agosti, 30 - Septemba, 1</span></span></strong></em></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-10647 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG_7617.jpg" alt="IMG_7617" width="630" height="420" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Baadhi ya washiriki waliohudhuria mkutano huo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-10649 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG_7629.jpg" alt="IMG_7629" width="631" height="358" /></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-10650 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG_7631.jpg" alt="IMG_7631" width="631" height="369" /></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-10651 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG_7645.jpg" alt="IMG_7645" width="630" height="420" /></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-10648 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG_7622.jpg" alt="IMG_7622" width="632" height="421" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Baadhi ya waandishi waliohudhuria mkutano huo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-10654 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG_7667.jpg" alt="IMG_7667" width="629" height="604" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Washiriki wakiwa katika picha ya pamoja.</strong></em></span></p>



KAWAIDA

IMG_7655

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA), Dkt. Ally Simba akielezea matumizi ya intaneti yalivyo nchini na changamoto zinazowakabili watumiaji wa huduma hiyo. (Picha na Modewjiblog)

Mwaka 2016 unakuwa mwaka wa neema kwa Tanzania kupata fursa ya kuandaa Mkutano unaowakutanisha wadau wa intaneti (African Peering and Interconnection Forum), mkutano unaotaraji kufanyika Agosti 31 – Septemba 1, jijini Dar es Salaam.

Akizungumzia mkutano huo, Meneja Mwandamizi wa Maendeleo wa Taasisi ya Internet Society, Michuki Mwangi amesema mkutano huo unalengo wa kukutanisha wadau mbalimbali wa intaneti ili kutanua miondombinu ya intaneti katika bara la Afrika.

Amesema taasisi yake inapenda kuona huduma ya intaneti ikipatikana kwa urahisi kwa watumiaji wake Afrika na hivyo kupitia mkutano huo wataweza kutazama jinsi gani wanaweza kushirikiana na kubadilishana takwimu za watumiaji wa mitandao kwa bara zima la Afrika.

"Tunatambua kuwa watumiaji wa intaneti wanazidi kuongezeka na kupitia mkutano huu tutaweza kuangalia jinsi gani tunaboresha huduma ya intaneti iwe bora ili iweze kutumiwa na watu wengi zaidi," amesema Mwangi.

Nae Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA), Dkt. Ally Simba amesema mkutano huo una umuhimu kwa Watanzania kwa kupata fursa ya kujifunza na kubadilishana mawazo na watu kutoka mataifa mengine katika huduma ya intaneti.

Amesema kwa sasa Tanzania bado ina changamoto nyingi katika huduma ya intaneti na kupata nafasi hiyo ya kuandaa mkutano kutakuwa na faida kwa mashirika yanayotoa huduma ya intaneti  ili kuwawezesha kutambua ni jinsi gani wataboresha huduma kwa wateja.

"Nchi yetu inawatumiaji wengi wa intaneti ila bado kuna changamoto nyingi ikiwepo usalama wa mtandao na serikali inafanya jitihada nyingi kumaliza changamoto hizo na kupitia mkutano huu tunaamini utasaidia zaidi Watanzania kupata kitu kipya katika huduma ya intaneti," amesema Simba.

Kwa upande wa Mwenyekiti wa TISPA, Vinay Choudary amesema Watanzania wengi bado hawajafahamu umuhimu wa intaneti kutokana na kutokuwa na ujuzi wa kutosha kuhusu intaneti lakini kupitia mkutano huo ulioandaliwa na Internet Society wataweza kuapata elimu mpya kuhusu intaneti.

IMG_7593

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA), Dkt. Ally Simba (kushoto) akizungumza jambo na Mwenyekiti wa TISPA, Vinay Choudary.

IMG_7596

Wa kwanza kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA), Dkt. Ally Simba (kushoto), Mwenyekiti wa TISPA, Vinay Choudary, Meneja Mradi wa Tanzania Internet Exchange (TIX), Frank Habicht na Meneja Mwandamizi wa Maendeleo wa Taasisi ya Internet Society, Michuki Mwangi wakizungumza jambo kabla ya kuanza kwa mkutano huo.

IMG_7603

Mwenyekiti wa TISPA, Vinay Choudary akifungua mkutano huo.

IMG_7613

Meneja Mwandamizi wa Maendeleo wa Taasisi ya Internet Society, Michuki Mwangi akizungumzia mkutano wa Intaneti, AfPIF utakaofanyika nchini, Agosti, 30 - Septemba, 1

IMG_7617

Baadhi ya washiriki waliohudhuria mkutano huo.

IMG_7629

IMG_7631

IMG_7645

IMG_7622

Baadhi ya waandishi waliohudhuria mkutano huo.

IMG_7667

Washiriki wakiwa katika picha ya pamoja.



--
Zainul A. Mzige,
Operation Manager,
MO BLOG,
+255714940992.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment