Tuesday 29 March 2016

[wanabidii] SERIKALI YAJIPANGA KUWASAIDIA WAKULIMA KUPAMBANA NA MABADILIKO YA TABIA YA NCHI

Habari za asubuhi,

Tafadhali pokea CODES hapa chini.



<img class="wp-image-10418 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/DSC_1667.jpg" alt="DSC_1667" width="633" height="421" />
<p style="text-align: center;"><em><span style="color: #000080;"><strong>Wageni rasmi katika mkutano huo, Wa kwanza kushoto ni Mtafiti kutoka Taasisi ya Mtandao wa Kutathimini Sera za Chakula, Kilimo na Maliasili (FANRPAN), Njongenhle Nyoni, Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), Dkt. Tausi Kida na Mkuu wa Kitengo cha Mazingira kutoka Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Bi. Shakwaanande Natai.</strong></span></em></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi imejipanga kuhakikisha inawasaidia wakulima kupambana na mabadiliko ya tabia ya nchi ambayo yanaonekana kuendelea kuikabili nchi.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Hayo yamesemwa na Mkuu wa Kitengo cha Mazingira kutoka Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Bi. Shakwaanande Natai alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika mkutano ulioandaliwa na Taasisi ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF) na Taasisi ya Mtandao wa Kutathimini Sera za Chakula, Kilimo na Maliasili (FANRPAN) ili kujadili mpango wa Kilimo Salama (CSA).</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Bi. Natai alisema serikali inatambua uwepo wa mabadiliko ya Tabia ya Nchi na kwasasa tayari wataalamu wanafanya tafiti ili waone ni jinsi gani wanaweza kuwasaidia wakulima kupambana na mabadiliko hayo.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Alisema kwa sasa bado wakulima wengi hawajafahamu kama kuna mabadiliko ya tabia ya nchi na hivyo wamekuwa wakitumia njia za asili lakini baada ya utafiti watapatiwa mbinu mpya za kupambana na mabadiliko ambapo wataweza kutumia njia za kisasa ambazo zinaonekana kuwa bora zaidi.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">"Serikali inatambua na tunajipanga kuwasaidia wakulima, shida kwa sasa bado wakulima wengi hawajajua kama kuna mabadiliko ya tabia ya nchi lakini wataalamu wapo wanafanya tafiti baada ya hapo tutajua tunawasaidia vipi,</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">"Kwa sasa kinachoonekana ni kutokueleweka kwa hali ya hewa kama mafuriko kutokea lakini kwa kuwa bado hawajapatiwa elimu wanashindwa kutambua na bado wanatumia njia za asili, tutawapa mbinu mpya watafanya kwa pamoja na mbinu wanazotumia sasa za asili," alisema Bi. Natai.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Aidha alieleza kuwa baadhi ya huduma ambazo watapatiwa wakulima baada ya kukamilika kwa tafiti ni pamoja na kupewa elimu ya kilimo cha umwagiliaji, mbegu za kisasa ambazo zinawahi kukomaa na dawa za kupambana na magonjwa.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Nae mtafiti kutoka FANRPAN, Njongenhle Nyoni alisema taasisi yake imefanya mkutano huo ili kuona ni jinsi gani wanaweza kupambana na mabadiliko ya tabia ya nchi katika nchi ambazo wanafanya kazi ambapo Tanzania ni mojawapo.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Alisema wao wanafanya tafiti kuona hali ilivyo na baada ya hapo wanatazama changamoto zilizopo katika kupambana na mabadiliko na wanatoa ushauri ni jambo gani linaweza kufanyika ili kuwezesha kufanikisha kufanyika Kilimo Salama (CSA).</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">"Tunakutana na watu kutoka asasi za kijamii na taasisi mbalimbali ili kuona ni jinsi gani CSA inaweza kufanya kazi vizuri hasa katika maeneo tunafanya nao kazi na hii sio Tanzania tu hata mataifa mengine kama Malawi tunalifanya hili," alisema Nyoni.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Pia iliongeza kuwa malengo ya FANRPAN ni kusaidia wakulima kuondoka katika janga la umasikini lakini pia kuwepo kwa chakula kilicho katika hali ya usalama bila kuathiriwa na mabadiliko ya tabia ya nchi.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-10417 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/DSC_1664.jpg" alt="DSC_1664" width="636" height="376" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mshereheshaji wa mkutano huo akiwakaribisha wageni waalikwa kabla ya kufunguliwa rasmi kwa mkutano huo.</strong></em></span></p>
<img class=" wp-image-10419 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/DSC_1671.jpg" alt="DSC_1671" width="628" height="378" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Baadhi ya wageni waliohudhuria katika mkutano huo kujadili mpango wa Kilimo Salama (CSA).</strong></em></span></p>
<img class=" wp-image-10420 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/DSC_1682.jpg" alt="DSC_1682" width="633" height="408" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), Dkt. Tausi Kida akitoa neno la ufunguzi.</strong></em></span></p>
<img class=" wp-image-10421 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/DSC_1697.jpg" alt="DSC_1697" width="632" height="362" />

<img class=" wp-image-10422 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/DSC_1701.jpg" alt="DSC_1701" width="630" height="436" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkuu wa Kitengo cha Mazingira kutoka Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Bi. Shakwaanande Natai akielezea Kilimo Salama (CSA).</strong></em></span></p>
<img class="size-full wp-image-10423 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/DSC_1749.jpg" alt="DSC_1749" width="1404" height="705" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Washiriki wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuendelea na mkutano huo.</strong></em></span></p>
<img class=" wp-image-10424 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/DSC_1754.jpg" alt="DSC_1754" width="633" height="421" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), Dkt. Tausi Kida (kushoto)  na Mkuu wa Kitengo cha Mazingira kutoka Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Bi. Shakwaanande Natai.</strong></em></span></p>
<img class=" wp-image-10425 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/DSC_1759.jpg" alt="DSC_1759" width="632" height="420" />
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000080;"><em>Karl Deering kutoka Taasisi ya CARE akizungumzia Mpango wa Kilimo Salama Afrika (ACSAA)</em></span></strong></p>
<img class=" wp-image-10426 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/DSC_1769.jpg" alt="DSC_1769" width="633" height="421" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Baadhi ya wageni katika mkutano huo wakichangia hoja</strong></em></span></p>
<img class=" wp-image-10427 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/DSC_1772.jpg" alt="DSC_1772" width="633" height="421" />

<img class=" wp-image-10429 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/DSC_1819.jpg" alt="DSC_1819" width="630" height="419" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Washiriki wa mkutano wakiwa katika makundi kujadili kuhusu Kilimo Salama (CSA)</strong></em></span></p>
<img class=" wp-image-10430 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/DSC_1823.jpg" alt="DSC_1823" width="636" height="423" />

<img class=" wp-image-10431 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/DSC_1829.jpg" alt="DSC_1829" width="632" height="420" />

<img class=" wp-image-10432 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/DSC_1914.jpg" alt="DSC_1914" width="630" height="419" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Uwezeshaji wa ESRF, Doris Likwelile akifunga mkutano.</strong></em></span></p>


KAWAIDA

DSC_1667

Wageni rasmi katika mkutano huo, Wa kwanza kushoto ni Mtafiti kutoka Taasisi ya Mtandao wa Kutathimini Sera za Chakula, Kilimo na Maliasili (FANRPAN), Njongenhle Nyoni, Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), Dkt. Tausi Kida na Mkuu wa Kitengo cha Mazingira kutoka Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Bi. Shakwaanande Natai.

Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi imejipanga kuhakikisha inawasaidia wakulima kupambana na mabadiliko ya tabia ya nchi ambayo yanaonekana kuendelea kuikabili nchi.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Kitengo cha Mazingira kutoka Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Bi. Shakwaanande Natai alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika mkutano ulioandaliwa na Taasisi ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF) na Taasisi ya Mtandao wa Kutathimini Sera za Chakula, Kilimo na Maliasili (FANRPAN) ili kujadili mpango wa Kilimo Salama (CSA).

Bi. Natai alisema serikali inatambua uwepo wa mabadiliko ya Tabia ya Nchi na kwasasa tayari wataalamu wanafanya tafiti ili waone ni jinsi gani wanaweza kuwasaidia wakulima kupambana na mabadiliko hayo.

Alisema kwa sasa bado wakulima wengi hawajafahamu kama kuna mabadiliko ya tabia ya nchi na hivyo wamekuwa wakitumia njia za asili lakini baada ya utafiti watapatiwa mbinu mpya za kupambana na mabadiliko ambapo wataweza kutumia njia za kisasa ambazo zinaonekana kuwa bora zaidi.

"Serikali inatambua na tunajipanga kuwasaidia wakulima, shida kwa sasa bado wakulima wengi hawajajua kama kuna mabadiliko ya tabia ya nchi lakini wataalamu wapo wanafanya tafiti baada ya hapo tutajua tunawasaidia vipi,

"Kwa sasa kinachoonekana ni kutokueleweka kwa hali ya hewa kama mafuriko kutokea lakini kwa kuwa bado hawajapatiwa elimu wanashindwa kutambua na bado wanatumia njia za asili, tutawapa mbinu mpya watafanya kwa pamoja na mbinu wanazotumia sasa za asili," alisema Bi. Natai.

Aidha alieleza kuwa baadhi ya huduma ambazo watapatiwa wakulima baada ya kukamilika kwa tafiti ni pamoja na kupewa elimu ya kilimo cha umwagiliaji, mbegu za kisasa ambazo zinawahi kukomaa na dawa za kupambana na magonjwa.

Nae mtafiti kutoka FANRPAN, Njongenhle Nyoni alisema taasisi yake imefanya mkutano huo ili kuona ni jinsi gani wanaweza kupambana na mabadiliko ya tabia ya nchi katika nchi ambazo wanafanya kazi ambapo Tanzania ni mojawapo.

Alisema wao wanafanya tafiti kuona hali ilivyo na baada ya hapo wanatazama changamoto zilizopo katika kupambana na mabadiliko na wanatoa ushauri ni jambo gani linaweza kufanyika ili kuwezesha kufanikisha kufanyika Kilimo Salama (CSA).

"Tunakutana na watu kutoka asasi za kijamii na taasisi mbalimbali ili kuona ni jinsi gani CSA inaweza kufanya kazi vizuri hasa katika maeneo tunafanya nao kazi na hii sio Tanzania tu hata mataifa mengine kama Malawi tunalifanya hili," alisema Nyoni.

Pia iliongeza kuwa malengo ya FANRPAN ni kusaidia wakulima kuondoka katika janga la umasikini lakini pia kuwepo kwa chakula kilicho katika hali ya usalama bila kuathiriwa na mabadiliko ya tabia ya nchi.

DSC_1664

Mshereheshaji wa mkutano huo akiwakaribisha wageni waalikwa kabla ya kufunguliwa rasmi kwa mkutano huo.

DSC_1671

Baadhi ya wageni waliohudhuria katika mkutano huo kujadili mpango wa Kilimo Salama (CSA).

DSC_1682

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), Dkt. Tausi Kida akitoa neno la ufunguzi.

DSC_1697

DSC_1701

Mkuu wa Kitengo cha Mazingira kutoka Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Bi. Shakwaanande Natai akielezea Kilimo Salama (CSA).

DSC_1749

Washiriki wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuendelea na mkutano huo.

DSC_1754

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), Dkt. Tausi Kida (kushoto)  na Mkuu wa Kitengo cha Mazingira kutoka Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Bi. Shakwaanande Natai.

DSC_1759

Karl Deering kutoka Taasisi ya CARE akizungumzia Mpango wa Kilimo Salama Afrika (ACSAA)

DSC_1769

Baadhi ya wageni katika mkutano huo wakichangia hoja

DSC_1772

DSC_1819

Washiriki wa mkutano wakiwa katika makundi kujadili kuhusu Kilimo Salama (CSA)

DSC_1823

DSC_1829

DSC_1914

Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Uwezeshaji wa ESRF, Doris Likwelile akifunga mkutano.


--
Zainul A. Mzige,
Operation Manager,
MO BLOG,
+255714940992.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment