Wednesday 30 March 2016

Re: [wanabidii] MAREKANI INA SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA TANZANIA?

Wakiona tumegangamala zaidi, hawatasita kuja kutafuta silaha za maangamizi! Urafiki mwingine inabidi tuwe makini sana!


On Wednesday, 30 March 2016, 14:41, 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:


Hii ndiyo sura sahihi ya marekani. Subiri kidogo, Wakigundua kuwa Tanzania ya magufuli imegangamala watatumia njia nyingine kuendeleza 'urafiki'. CIA ina taasisi nyingi. Kuna MCC, kuna USAID na mengine mengi. Yanatumika kuingilia mataifa yasiende yanakotaka.
--------------------------------------------
On Wed, 3/30/16, Ireneus Mushongi <ireneuskakurumushongi@gmail.com> wrote:

Subject: RE: [wanabidii] MAREKANI INA SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA TANZANIA?
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Wednesday, March 30, 2016, 9:32 AM

Reaction from Charles Mwijage:

MCC wamekataa kutoa pesa kutokana na jinsi uchaguzi wa
Zanzibar ulivyoendeshwa, hiki ni kisingizio tu. Hatuwezi
kuendesha nchi yetu kwa matakwa yao. Mbona wanatoa fedha
Misri na Israel, hizi nchi hakuna wanaozilalamikia au
hazikandamizi jamii Fulani?

Reaction on MCC matter.From:
Jovias
Mwesiga
Sent:
‎29/‎03/‎2016
22:45
To:
WANA
BIDII
Subject:
Re: [wanabidii] MAREKANI INA
SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA TANZANIA?

Watanzania bwana mimi nafurahia jinsi
tunavyojitutumua. Ni kitu kizuri kweli ila huu uchungu
umetoka wapi?

Hivi kwaninj MCC wanaondoka vile? Kuna ukweli gani madai
yao?
On Mar 29, 2016 13:30,
"Emmanuel Muganda" <emuganda@gmail.com>
wrote:
Dominick,Kati ya watu hao Kikwete
anaongoza.em
2016-03-29 7:51
GMT-04:00 'Dominick Rukokelwa' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Wapo watu ambao kwao kujitegemea ni
dhambi.Nchi kama Tanzania inaweza wakati
wowote ikapata viongozi dhaifu. Kwa hali ilivyo haiwezekani
kwa mtu ambaye ana elimu ya msingi kuwa rais wa Tanzania.
Kwa hiyo wapo wasomi wa ngazi hiyo ya vyuo vikuu kuongoza
taifa hili lakini ni watu dhaifu. Ndani yao hawana dhamira
ya kujitegemea. Taifa linaweza kupata kiongozi ambaye hajui
ni kwa nini yeye ni rais, waziri mkuu, waziri
nk,Kuna watu ambao mawazo yao ni
kuombaomba na kurithi. Akitaka kufanya jambo anataka
aangalie ni wapi akaombe. Kama kiongozi wenu ni aina hii ya
fikira za kuombaomba taifa halitoki.Na kama taifa lina raia
wengi wa aina hii mwisho wake uko karibu sana. Na Marekani
wanatumia udhaifu wetu huu kufanya wapendavyo. Ikiwa kesho
Watanzania wote tukiamua kwa pamoja tunafanya kazi kwa akili
zetu za kichwani na moyoni, mikono yetu, nguvu zetu, miguu
yetu hawa wamarekani watatuheshimu na kutuogopa
sana.Mtu anasomea uhasibu si kulijenga
taifa bali akaibe fedha za ofisi. Kwa hiyo huyu anataka
Marekani walete fedha ili aibe. Akili zake za moyoni ni
kuiba mali ya nchi siyo kufanya kazi ili nchi na raia
tuendelee. Kupanda mchungwa si jambo la kungoja jirani aje
apande kwako ila ni la kwako mwenyewe ila kama unataka
kutukanwa na watoto wa jirani yako aliyeamua kupanda
michungwa unapokwenda kuomba machungwa kwao shauri
yako.Bila kufanya kazi ili kujitegemea
tutakuwa taifa la hovyo sana. 

    On Tuesday, March 29,
2016 6:56 AM, Atu Mwangomale <acanemwango@gmail.com>
wrote:
 

  Irenei
ni kweli kabisa vyama vya siasa hatuwezi
kutuletea maendeleo.  na ni sahihi kabisa mataifa ya
nje hayawezi kutufaa kwa maendeleo yetu na ya wajukuu
zetu.  lakini tumefikaje huku, wameingiaje hawa? ni kwa
sababu tumeonyesha kushindwa.  kwa muda mrefu tumekuwa
tukiwafuata na bakuli la kuombea na kuwapigia magoti kuwa
hatujiwezi tunaomba tafadhali.  Tumewaita km
consultants watuandikie proposals nzuri maana sisi
hatuwezi.. tumeshindwa.

lakini hela ikija inaenda mifukoni mwa wachache..
tumeshindwa.

Juzi wananchi wa Musoma  waliripoti kuwa
wanakunywa unreated water.  dawa inagharimu 1. 7m per
month.  Idara inakusanya 20m za bills za maji per
month.  Usishangae  kuomba msaada wa kuzuia
kipindupindu.
Jana Rais kupokea repoti za CAG.  tega
sikio kakaangu usikie  mambo ya hovyo
On 29 Mar 2016 00:02, "Ireneus Mushongi"
<ireneuskakurumushongi@gmail.com>
wrote:


Mbegu.

Sisi tukaongea km watanzania. Si Bendera fuata upepo km boda
boda wakati wa kampeni!. Wether ni magufuli or whoever we
speak our minds.  Magufuli Sio Mungu but let's be
realistic that American principle won't get us anywhere!
I know you guys okays everything American as they have been
your godfather funding and financing your political
interests.

As said earlier Americans work for their interests not from
humanity point of view.
 
Wewe ndivyo ulivyo individually. Do not generalise your
mindset onto others. America is not a solution to global
problems. Isn't a solution to our matters as well!
That Mbowe, Lowassa or Magufuli favours America doesn't
take away our own decisions from serving our country. None
of them think on our behalf.

Let's do it our own way!From:
Edgar
Mbegu
Sent:
‎28/‎03/‎2016
23:04
To:
Wanabidii
Mawazo
Subject:
RE: [wanabidii] MAREKANI INA
SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA TANZANIA?


Bifabusha, mtu akihoji matumizi ya hovyo namna hiyo,
anaonekana si mzalendo, anachochea vurugu n.k. Hata
waliokuwa wanahoji kupigwa danadana uchaguzi wa Meya DSM
walionekana kuwa ni wachochezi hadi pale JPM alipotamka.
Nina Imani kuwa hata hawa wanaoponda US na sera na siasa
zake siku JPM akiziunga mkono, na wao wataunga mkono. Ndivyo
tulivyo!
Date: Mon, 28 Mar 2016 15:19:15 +0300
Subject: Re: RE: [wanabidii] MAREKANI INA SHIDA GANI NA
UCHAGUZI WA TANZANIA?
From: acanemwango@gmail.com
To: wanabidii@googlegroups.com

Nakubaliana sana na wewe Dominick. 

Maendeleo yanaanza na mtu binafsi.  japo baadhi ya sera
na taratibu zetu wakati mwingine zinarudisha nyumba juhudi
za mtu binafsi.  


On 28 Mar 2016 11:14, "'Dominick
Rukokelwa' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Bifabusha umesema vema.Tujilaumu sisi wenyewe kama Tanzania/
Afrika.Tanzania tuna ardhi
iliyosheheni kila kitu. Hivi kupanda maharage kunahitaji
msaada kutoka Marekani?Ardhi tunayo ila tunaitazamaje kwa macho
yetu, kwa fikira zetu? Tuna maono gani kwenye ardhi
yetu?Tunachokiona cha
kwanza ni kuiuza ardhi ya Tanzania.Sisi ni walegevu sana, swala la kazi
linapaswa kusimamiwa na kila mtu. Kazi peke yake ndiyo
itakayoinua taifa.Kwa
mfano kuna faida gani kuwa na mfuasi wa chama chako cha
siasa lakini hataki kufanya kazi?Unaposimama kumhutubia mfuasi
wako hotuba nzima humhimizi baada ya mkutano na
maandamano aende akafanye kazi. Mtu yeyote anayeipenda
Tanzania kazi ataizungumza kama chanzo cha
maendeleo.Wenzetu
wanaitazama ardhi tofauti na sisi. Wenzetu wanajua nini
maana ya kazi. 

    On Monday, March 28,
2016 9:15 AM, 'jbifabusha' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
 

  Tukipata misaada
tukaitumia kuleta mifumo bora tutaendelea. Hata Japani
walifanya hivyo wakafanikiwa. Shida hapa ni kutaka kuiba
hiyo misaada na kutumia misaada kwa faida ya watu wachache.
Msaada unaombwa ukiwa umebeba administrative costs kubwa na
development budget kidogo pia nazo zinahusu posho za semina
zinazoendeshwa na walewale walioandaa miradi walioko
serikalini. No tangible development costs. Kwahiyo mamilioni
ya dola yanaishia mifukoni mwa watu badala ya kwenda kwenye
miradi. 
Nilibahatika kufanya budget analysis kwenye
sector ya kilimo ktk Halmashauri moja mambo niliyoyaona humo
ni aibu. Expenditure kubwa ni mafuta na posho. Hatuwekezi
kwenye miradi.
Tusilaumu Magharibi ils tujilaumu sisi wenyewe.
Misaada ikitumika vizuri inaweza kuleta maendeleo na
kuondokana na utegemezi.

Sent from Samsung
Mobile


-------- Original message --------
From: Hildegarda Kiwasila <khildegarda@yahoo.co.uk>
Date: 
To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: RE: [wanabidii] MAREKANI INA SHIDA GANI NA
UCHAGUZI WA TANZANIA?
 



Thanks, Ireneus Kakuru Mushongi na Elisa Muhingo amehoji
yote-Mbarikiwe!! Tunahitaji watu kama ninyi kutufunua sisi
vipofu TZ tupo wengi wa kufuata mikumbo na kujali tumboni
street.
HK

--------------------------------------------
On Sun, 27/3/16, Ireneus Kakuru Mushongi <ireneuskakurumushongi@gmail.com>
wrote:

  Subject: Re: RE: [wanabidii] MAREKANI INA SHIDA GANI NA
UCHAGUZI WA TANZANIA?
  To: "wanabidii@googlegroups com" <wanabidii@googlegroups.com>
  Date: Sunday, 27 March, 2016, 14:05
 
  Nawaogopa wale mnaoutukuza umagharibi na na
  pia kupima mafanikio yenu kwa mizania ya kimagharibi!
  Angalia China, India, Asian Tigers, hawaendekezi
  U-Magharibi. Wana principles zao nzuri wanazitumikia
  wanazifuata. Huku hatuna nidhamu ya kazi na kufuata kanuni
  za mafanikia, hadi tusimamiwe na wa-Magharibi, kweli kwa
  akili hii tutafika?
  Hivi ni checklist gani ya
  kimagharibi unadhania inatufaa sisi hadi tuifuate hatua
kwa
  hatua ndio tufanikiwe? Ya Kisiasa, kiuchumi au
  kiutamaduni?
  Our
  political, cultural, social and economical values in terms
  of mission and visions should guide of undertakings. We
are
  in a very different environment in any of the above; how
  come their missions and visions guide our strategies? Hapa
  kazi tu ni Kauli mbiu ambayo mission na vision yake
inaweza
  kutukwamua hapa ilipo kama ikisimamiwa vizuri kwa vitendo
na
  nidhamu ya hali ya juu. Kwa nini tunang'ang'ania
  hizi dhana za kucopy na kupaste katika kuendesha mambo
yetu?
  Can't we learn from others in the Eastern world?
  Can't we come up with something African and
particularly
  Tanzanian to guide of move?
  Or simply because bwana mkubwa Uncle
  Sam (US) is not happy, then we are in a wrong direction?
  Because we not dancing in his tune? Yes it's time to
say
  no!
  For how long
  should WE keep on licking their feet, kissing their ass to
  please them love us? South Africa, North Korea, Iran,
Libya,
  were all sanctioned and denied the foreign aid few years
  ago; you all know what they did out of dependence to
change
  their status.With exceptional of Libya where
  these western thugs intervened, we are well informed of
the
  situation right now. Gadhafi is dead and Libya is a mess.
US
  and her western allies are there at large controlling oil
  reserves! Similarly they intervened Libya government as
  undemocratic, supported few individuals who took refuge in
  UK and US, formed political movements, ousted Gadhafi;
those
  individuals as they were not united previously, started
  fighting for power distribution; the West have failed and
a
  situation in not manageable right now; gone beyond
control;
  some groups have turned into terrorist groups, joined ISIS
  and Al-Qaeda; and surprising enough still few Tanzanians
are
  hailing US as the remedy for our situation; come on guys;
be
  serious and think ahead.
  Ndugu zangu wengine najua
  mnaishi huko nje/ ughaibuni, ama kwa kuamua ama kwa
  kulazimishwa na mazingira. By the way Donald Trump
  doesn't need you anymore; km uko US; you better come
  back ili tujenge nchi yetu kwa kaulimbiu zetu wenyewe
badala
  ya kuchochea vurugu na kulalamika tuuuu! We will never
make
  it under US missions and visions to determine our fate as
a
  country. Ndiyo changamoto zipo bado lakini collectively
sisi
  wenyewe bila kuingiliwa na yeyote; we can make
  it.
  Just my
  take!
 
 
  Omukunirwa
  Ireneus 
 
 
 
   
 
  2016-03-27 12:56 GMT+03:00
  'Mashaka Makana' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
  Kama demokrasia ya
  chaguzi za viongozi kila baada ya miaka mitano wakati
  chaguzi hizi ndiyo zinatufirisi na kuimarisha umasikini
basi
  mh.magufuli mpaka 2050!
 
  Sent
  from Yahoo Mail on Android 
From:"'mashakamakana'
  via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
  Date:Sun, Mar 27, 2016 at 12:38
  Subject:RE: [wanabidii] MAREKANI INA
  SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA TANZANIA?
 
  Tunalo
  jembe limechongwa usukumani wala hatuna haja ya amri zao.
  Dawa ni kuwapuuza wakileta yasiyotufaa. Hongera
wanyarwanda
  mh. kagame mpaka 1937
 
 
  'Bernard' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
  wrote:
 
  Mapenzi ni
  chongo.From:
  'ELISA MUHINGO' via
  Wanabidii
  Sent:
  ‎27/‎03/‎2016
  00:52
  To:
  wanabidii@googlegroups.com
  Subject:
  Re: [wanabidii] MAREKANI INA
  SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA TANZANIA?
 
  Unazungumzia Marekani
  ipi? Iliyomuunga mkono Savimbi ili Angola  angola
  isiendelee na kuendeleza demokrasia? Hapo ndipo ilikuwa
  inatetea democrasia? Marekani iliyovamia Panama?
Unaongelea
  marekani gani inayoona kuwa Tanzania haikufuata
demokrasia?
  Iliyomuunga Mkono Mobutu kufilisi Kongo?
  --------------------------------------------
  On Fri, 3/25/16, 'Elias Msuya' via
  Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
  wrote:
 
  Subject: Re:
  [wanabidii] MAREKANI INA SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA
  TANZANIA?
  To: "wanabidii@googlegroups.com"
  <wanabidii@googlegroups.com>
  Date: Friday, March 25, 2016, 9:35 AM
 
  Marekani
 
  ina shida na wizi wa kura unaoendelea Tanzania.
  Kutofuatwa
  kwa misingi ya kidemokrasia
  ikiwa ni pamoja na
  kuwa na Tume
  huru ya Uchaguzi ndiyo
  tatizo. Hatuwezi kuwa na Tume
  iliyoundwa
  naMwenyekiti wa CCM ambaye ndiye mgombea halafu
  useme kuta kuwa na uchaguzi hapo. Mwenyekiti
  wa CCM (Rais)
  ndiye huyo huyo anayeelekeza
  majeshi ya ulinzi na usalama
  yawanyanyase
  wapinzani wake ili wasishinde uchaguzi, bado
  kutakuwa na uchaguzi hapo?
 
  CCM
  inajua wazi kwamba haipendwi na
  wananchi ndiyo maana
  inang'ang'ania
  Katiba iliyopo inayompa madaraka
  makubwa
  Rais ambaye ni Mwenyekiti wa CCM ili kulinda
  masilahi yake madarakani.
 
  Hili halikubaliki na Marekani na mataifa mengine
  ya Ulaya yako sawa kabisa kupinga.
 
 
 
 
      On Thursday, March
  24, 2016 11:05 PM, 'ELISA MUHINGO' via
  Wanabidii
  <wanabidii@googlegroups.com>
  wrote:
    
 
    Mara
  baada ya uchaguzi mkuu
  October 2015 na yaliyotokea Marekani
 
  ilisita kuruhusu msaada kwa serikali ya Tanzania.
  Sababu
  mbili ilizozitaja ni 1) Kufutwa kwa
  Uchaguzi wa Zanzibar na
  2) Kutaka kujua
  kama kweli sheria ya mtandao ina haki ya
 
  kutumika kuwadhibiti waliokuwa wanatumia mtandao kuvuruga
  uchaguzi ambao baadhi walikuwa mikononi mwa
  dola.
 
  Majuzi baada ya
  uchaguzi
  Zanzibar Marekani ililalamika kwa
  uchaguzi kufanyika bila
  waliogoma
  kushirikishwa.
 
  Marekani
  inajiona inakosa nini Tanzania kuwa
  salama
  na chini ya viongozi waliodhibitishwa na tume za
  uchaguzi kuwa ndio waliochaguliwa?
    Send
  Emails to wanabidii@googlegroups.com
   
     
   
 
    Kujiondoa Tuma Email kwenda
 
 
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
  Utapata Email ya
   
  kudhibitisha ukishatuma
   
     
   
   
  Disclaimer:
   
 
  Everyone posting to this Forum bears the
  sole
  responsibility
    for
  a
[The entire original message is not
included.]



--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment