Wednesday 30 March 2016

Re: [wanabidii] MAREKANI INA SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA TANZANIA?

Magoge. Jana ulisikiliza kipindi cha hotuba za Mwalimu Nyerere ITV? Anasema 'samahani japo tunatetea utawala wa sheria lakini yule mgiriki kusema serikali yangu iko mfukoni mwake na hakuna namna ya kumbana kisheria ilibidi nimuweke ndani'. Ukitaka vifungu vya katiba vya kusaidia kurudia uchaguzi na ukivikosa unatumia akili ili mradi ni kwa manufaa ya taifa. Hata Marekani walimpiga Saddam bila haki za kisheria. UN haikuruhusu na bado alipigwa. Sio Tanzania tu inayofanya hivyo.
--------------------------------------------
On Wed, 3/30/16, Telesphor Magobe <tmagobe@gmail.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] MAREKANI INA SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA TANZANIA?
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Wednesday, March 30, 2016, 8:33 PM

Hatuwatetei Wamarekani, lakini ni lazima pia
tuweze kujikosowa wenyewe, Hata kama uchaguzi ulitakiwa
urudiwe ungeweza kurudiwa kwa namna bora zaidi ya jinsi
ulivyorudiwa. Au labda na mimi niulize: 1) Je ulifutwa kwa
kufuata kifungu gani cha katiba au sheria 2) Uliporudiwa
ulirudiwa kwa kufungu gani cha katiba au sheria? Labda
tuanzie hapo ndipo tuone kama hatuwezi kujikosowa maana kila
kitu kilienda vizuri kama ilivyotakiwa.

2016-03-30 20:03 GMT+03:00
'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Mimi naza
kitenga no 2 na 1.

Hatukufanya madudu katika maeneo yote mawili.

Kwa manufaa ya traifa letu tusingeweza kuzuia uchaguzi
Zanzibar kurudiwa. hapo hatuhitaji marekani
kututafsiriwa.

Kuhusu sheriaq ya mtandao ni kama ambavyo FBI wanagombana na
Apple.

Wao kutunyima msaada inahitaji kuhakikisha kama hawakuwa
nyuma ya mambo hayo tunayoyakimbia. Inahitaji kuwa na miwani
ya mbao kutoyaona haya na kuendelea kuwatetea wamarekani.

--------------------------------------------

On Wed, 3/30/16, Telesphor
Magobe <tmagobe@gmail.com>
wrote:



 Subject: Re: [wanabidii] MAREKANI INA SHIDA GANI NA
UCHAGUZI WA TANZANIA?

 To: "wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>

 Date: Wednesday, March 30, 2016, 7:28 PM



 Mimi nadhani ni lazima

 tutofautishe:

 1. Kunyimwa misaada

 2. Aina ya madudu yaliyofanya tunyimwe

 misaada

 3. Tunapojadili 1 hatuwezi

 kukwepa 2

 4. Kudhani kwamba tumenyimwa

 misaada kwa sababu tunaweza kujitegemea ni
kujidanganya.



 2016-03-30 18:46 GMT+03:00

 'Dominick Rukokelwa' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:

 HOFU ni kitu kibaya

 sana.Ukikutana na mtu hasa msomi

 lakini ana hofu ujue huyo ni
sehemu ya tatizo maana pamoja

 na elimu,ujuzi na maarifa alivyo navyo hofu/woga
vitamzuia

 kufikiri hata kama ana jawabu la tatizo

 lenu.Magufuli kama Daudi

 na Marekani kama Goliati,
vyovyote marekani ilivyo lazima

 isalimu amri.Hofu inaleta

 ulegvu wa mikono. Hofu inaleta
maswali ya ovyo, sasa mimi

 nitafanyaje? Hofu huleta miguu kupoteza uwezo wake wa

 kusimama. Hofu husababisha kinywa kuchemka kwa kuona

 haiwezekani na kuona hakuna njia. Hofu huleta kifo cha
moyo.

 Hofu huendeleza utumwa. Watu wenye hofu kwa wanadamu
wenzao

 na kujiona wao ni sawasawa na panzi wana akili kidogo
hata

 kama wamesoma kiasi gani. Marekani hata wakiacha kutoa

 misaada yao, hawana uwezo wowote wa kuifuta

 TanzaniaHivi Watanzania

 wanatishwa na kukosa msaada wa
trilioni moja na zaidi

 kidogo. Hivi tukiamua wote leo kufanya kazi kwa bidii

 inatuchukua muda gani kuziba pengo hili ambalo watu

 wanadhani kwa kukosa fedha hizi ni kama tumekataliwa na

 MUNGU. TANZANIA tuna nguvu sana bila hofu na tukifanya
kazi

 kwa bidii.





     On Wednesday, March

 30, 2016 4:21 PM, 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii

 <wanabidii@googlegroups.com>

 wrote:





  uo ndio ukweli sa sura ya jamaa hawa.

 ndiyo maana wengine tunawaza kuwa extremist Trump
akichukua

 nchi ulimwengu wote utaungana dhidi ya dude hilo na
utakuwa

 mwisho wa 'himaya' yao. Wengine hawajui kwa
nini

 Putin anawakazania wamarekani wamchague jamaa huyo

 --------------------------------------------

 On Wed, 3/30/16, 'Pius Makomelelo' via

 Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:



  Subject: Re: [wanabidii]

 MAREKANI INA SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA TANZANIA?

  To: "wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>

  Date: Wednesday, March 30, 2016, 3:43 PM



  Wakiona tumegangamala

 zaidi,

  hawatasita kuja kutafuta silaha za

 maangamizi! Urafiki

  mwingine inabidi tuwe

 makini sana!

  





     On Wednesday, 30

  March 2016, 14:41, 'ELISA MUHINGO' via

 Wanabidii

  <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:

  



  

 Hii

  ndiyo sura sahihi ya marekani. Subiri

 kidogo, Wakigundua

  kuwa Tanzania ya

 magufuli imegangamala watatumia njia



 nyingine kuendeleza 'urafiki'. CIA ina taasisi

  nyingi. Kuna MCC, kuna USAID na mengine mengi.

 Yanatumika

  kuingilia mataifa yasiende

 yanakotaka.



 --------------------------------------------

  On Wed, 3/30/16, Ireneus Mushongi <ireneuskakurumushongi@gmail.com>

  wrote:



  

 Subject: RE:

  [wanabidii] MAREKANI INA SHIDA

 GANI NA UCHAGUZI WA

  TANZANIA?

   To: wanabidii@googlegroups.com

   Date: Wednesday, March 30, 2016, 9:32 AM

  

   Reaction from Charles

  Mwijage:

  

   MCC wamekataa

  kutoa pesa

 kutokana na jinsi uchaguzi wa



  Zanzibar ulivyoendeshwa, hiki ni kisingizio

 tu. Hatuwezi

   kuendesha nchi yetu kwa

 matakwa yao. Mbona

  wanatoa fedha

   Misri na Israel, hizi nchi



 hakuna wanaozilalamikia au

  

 hazikandamizi

  jamii Fulani?

  

   Reaction

  on MCC matter.From:

  

 Jovias



  Mwesiga

   Sent:





 ‎29/‎03/‎2016

   22:45



  To:

  

 WANA

   BIDII

   Subject:

   Re: [wanabidii]

  MAREKANI

 INA

   SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA

  TANZANIA?

  

   Watanzania

  bwana mimi

 nafurahia jinsi





 tunavyojitutumua. Ni kitu kizuri kweli ila huu uchungu

   umetoka wapi?

  

   Hivi kwaninj MCC wanaondoka vile? Kuna

 ukweli

  gani madai

  

 yao?

   On Mar 29,

  2016

 13:30,

   "Emmanuel Muganda"

  <emuganda@gmail.com>

  

 wrote:

   Dominick,Kati ya watu

  hao Kikwete

   anaongoza.em



  2016-03-29 7:51

   GMT-04:00 'Dominick



 Rukokelwa' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:

   Wapo watu ambao kwao kujitegemea ni

   dhambi.Nchi kama Tanzania inaweza wakati

   wowote ikapata viongozi dhaifu. Kwa hali

  ilivyo haiwezekani

   kwa mtu

 ambaye ana elimu

  ya msingi kuwa rais wa

 Tanzania.

   Kwa hiyo

  wapo

 wasomi wa ngazi hiyo ya vyuo vikuu kuongoza

   taifa hili lakini ni watu dhaifu. Ndani

 yao

  hawana dhamira

   ya

 kujitegemea. Taifa

  linaweza kupata kiongozi

 ambaye hajui

   ni

  kwa nini

 yeye ni rais, waziri mkuu, waziri



  nk,Kuna watu ambao mawazo yao ni

   kuombaomba

  na kurithi.

 Akitaka kufanya jambo anataka



  aangalie ni wapi akaombe. Kama kiongozi wenu

 ni aina hii

  ya

   fikira za

 kuombaomba taifa halitoki.Na

  kama taifa

 lina raia

   wengi wa aina hii

  mwisho wake uko karibu sana. Na Marekani



  wanatumia udhaifu wetu huu

 kufanya wapendavyo. Ikiwa

  kesho

   Watanzania wote tukiamua kwa pamoja

  tunafanya kazi kwa akili

  

 zetu za kichwani

  na moyoni, mikono yetu,

 nguvu zetu, miguu



  yetu

 hawa wamarekani watatuheshimu na kutuogopa

   sana.Mtu anasomea uhasibu si kulijenga

   taifa bali akaibe fedha za ofisi. Kwa

 hiyo

  huyu anataka

  

 Marekani walete fedha ili

  aibe. Akili zake

 za moyoni ni

   kuiba mali ya

  nchi siyo kufanya kazi ili nchi na raia



  tuendelee. Kupanda mchungwa

 si jambo la kungoja jirani

  aje

   apande kwako ila ni la kwako mwenyewe

  ila kama unataka

   kutukanwa

 na watoto wa

  jirani yako aliyeamua

 kupanda

   michungwa



 unapokwenda kuomba machungwa kwao shauri





  yako.Bila kufanya kazi ili kujitegemea



  tutakuwa taifa la hovyo

 sana. 

  

       On

 Tuesday, March 29,



  2016

 6:56 AM, Atu Mwangomale <acanemwango@gmail.com>

   wrote:

    





   

 Irenei

   ni kweli kabisa



 vyama vya siasa hatuwezi

   kutuletea

  maendeleo.  na ni sahihi kabisa mataifa ya



  nje hayawezi kutufaa kwa

 maendeleo yetu na ya wajukuu

   zetu. 

 lakini tumefikaje huku, wameingiaje

  hawa?

 ni kwa

   sababu tumeonyesha

  kushindwa.  kwa muda mrefu tumekuwa



  tukiwafuata na bakuli la

 kuombea na kuwapigia magoti kuwa

  

 hatujiwezi tunaomba tafadhali.  Tumewaita



 km

   consultants watuandikie proposals

 nzuri

  maana sisi

  

 hatuwezi.. tumeshindwa.

  

   lakini hela ikija inaenda



 mifukoni mwa wachache..

   tumeshindwa.

  

   Juzi wananchi wa

 Musoma 

  waliripoti kuwa

  

 wanakunywa unreated

  water.  dawa

 inagharimu 1. 7m per

   month. 

  Idara inakusanya 20m za bills za maji per



  month.  Usishangae  kuomba

 msaada wa kuzuia

   kipindupindu.

   Jana Rais

  kupokea repoti za

 CAG.  tega

   sikio



 kakaangu usikie  mambo ya hovyo

   On 29

 Mar

  2016 00:02, "Ireneus

 Mushongi"



  <ireneuskakurumushongi@gmail.com>

   wrote:

  

  

   Mbegu.

  

   Sisi



 tukaongea km watanzania. Si Bendera fuata upepo km boda

   boda wakati wa kampeni!. Wether ni magufuli

 or

  whoever we

   speak our

 minds.  Magufuli Sio

  Mungu but let's

 be

   realistic that



 American principle won't get us anywhere!

   I know you guys okays everything American

 as

  they have been

   your

 godfather funding and

  financing your

 political

   interests.

  



   As said earlier Americans

  work for their interests not from

   humanity

  point of view.

   

   Wewe



 ndivyo ulivyo individually. Do not generalise your

   mindset onto others. America is not a

 solution

  to global

  

 problems. Isn't a solution to

  our

 matters as well!

   That Mbowe, Lowassa

 or

  Magufuli favours America doesn't

   take

  away our own decisions

 from serving our country. None

   of them

 think on our behalf.





   Let's do it our own way!From:

   Edgar

   Mbegu



  Sent:

  

 ‎28/‎03/‎2016





 23:04

   To:

   Wanabidii

   Mawazo

   Subject:

   RE: [wanabidii] MAREKANI INA



  SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA

 TANZANIA?

  

  

   Bifabusha, mtu akihoji



 matumizi ya hovyo namna hiyo,

   anaonekana

 si

  mzalendo, anachochea vurugu n.k. Hata



  waliokuwa wanahoji kupigwa

 danadana uchaguzi wa Meya DSM

   walionekana

 kuwa ni wachochezi hadi pale JPM



 alipotamka.

   Nina Imani kuwa hata hawa

  wanaoponda US na sera na siasa

   zake siku

  JPM akiziunga

 mkono, na wao wataunga mkono. Ndivyo

  

 tulivyo!

   Date: Mon, 28 Mar

  2016 15:19:15 +0300

  

 Subject: Re: RE:

  [wanabidii] MAREKANI INA

 SHIDA GANI NA



  UCHAGUZI WA

 TANZANIA?

   From: acanemwango@gmail.com

  

 To: wanabidii@googlegroups.com

  

   Nakubaliana sana na

 wewe

  Dominick. 

  

   Maendeleo

  yanaanza na mtu

 binafsi.  japo baadhi ya sera

   na

 taratibu zetu wakati mwingine zinarudisha



 nyumba juhudi

   za mtu binafsi.  

  

  

   On

 28 Mar

  2016 11:14, "'Dominick



  Rukokelwa' via

 Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>

  wrote:

   Bifabusha umesema

 vema.Tujilaumu

  sisi wenyewe kama

 Tanzania/

   Afrika.Tanzania

  tuna ardhi

   iliyosheheni

 kila kitu. Hivi

  kupanda maharage

 kunahitaji

   msaada kutoka



 Marekani?Ardhi tunayo ila tunaitazamaje kwa macho

   yetu, kwa fikira zetu? Tuna maono gani

 kwenye

  ardhi

  

 yetu?Tunachokiona cha

   kwanza ni kuiuza

 ardhi ya Tanzania.Sisi ni

  walegevu sana,

 swala la kazi

   linapaswa



 kusimamiwa na kila mtu. Kazi peke yake ndiyo

   itakayoinua taifa.Kwa

  

 mfano

  kuna faida gani kuwa na mfuasi wa

 chama chako cha

   siasa lakini hataki

 kufanya kazi?Unaposimama

  kumhutubia

 mfuasi

   wako hotuba nzima

  humhimizi baada ya mkutano na

   maandamano

  aende akafanye

 kazi. Mtu yeyote anayeipenda



  Tanzania kazi ataizungumza kama chanzo cha



  maendeleo.Wenzetu

   wanaitazama ardhi tofauti



 na sisi. Wenzetu wanajua nini

   maana ya

  kazi. 

  



      On Monday,

  March 28,

   2016 9:15 AM,



 'jbifabusha' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>

  wrote:

    

  

    Tukipata misaada

   tukaitumia

  kuleta mifumo

 bora tutaendelea. Hata Japani



  walifanya hivyo wakafanikiwa. Shida hapa ni

 kutaka kuiba

   hiyo misaada na kutumia

 misaada kwa faida ya

  watu wachache.

   Msaada unaombwa ukiwa



 umebeba administrative costs kubwa na



  development budget kidogo pia nazo zinahusu

 posho za

  semina

  

 zinazoendeshwa na walewale

  walioandaa

 miradi walioko

   serikalini. No

  tangible development costs. Kwahiyo

 mamilioni

   ya dola yanaishia mifukoni mwa

 watu badala ya

  kwenda kwenye

   miradi. 





 Nilibahatika kufanya budget analysis kwenye





  sector ya kilimo ktk Halmashauri moja

 mambo niliyoyaona

  humo

  

 ni aibu. Expenditure kubwa ni mafuta

  na

 posho. Hatuwekezi

   kwenye miradi.

   Tusilaumu Magharibi ils tujilaumu sisi

  wenyewe.

   Misaada ikitumika

 vizuri inaweza

  kuleta maendeleo na

   kuondokana na

  utegemezi.

  

   Sent from

  Samsung

   Mobile

  

  

  

 -------- Original message

  --------

   From: Hildegarda Kiwasila <khildegarda@yahoo.co.uk>



   Date: 

   To: wanabidii@googlegroups.com





   Subject: Re: RE: [wanabidii] MAREKANI

 INA

  SHIDA GANI NA

  

 UCHAGUZI WA TANZANIA?

   

  

  

  

   Thanks, Ireneus Kakuru



 Mushongi na Elisa Muhingo amehoji



  yote-Mbarikiwe!! Tunahitaji watu kama ninyi

 kutufunua

  sisi

   vipofu TZ

 tupo wengi wa kufuata

  mikumbo na kujali

 tumboni

   street.

   HK

  





 --------------------------------------------

   On Sun, 27/3/16, Ireneus Kakuru Mushongi

  <ireneuskakurumushongi@gmail.com>

   wrote:

  



  

  Subject: Re: RE: [wanabidii] MAREKANI

 INA SHIDA GANI NA

   UCHAGUZI WA

 TANZANIA?

    To:

  "wanabidii@googlegroups

  com" <wanabidii@googlegroups.com>

    Date: Sunday, 27 March, 2016, 14:05

   

    Nawaogopa wale

  mnaoutukuza umagharibi na na



   pia kupima

  mafanikio yenu kwa mizania ya

 kimagharibi!

    Angalia China, India, Asian

 Tigers,

  hawaendekezi

   

 U-Magharibi. Wana principles

  zao nzuri

 wanazitumikia

    wanazifuata. Huku

  hatuna nidhamu ya kazi na kufuata kanuni

   

  za mafanikia, hadi

 tusimamiwe na wa-Magharibi, kweli kwa

   

 akili hii tutafika?

    Hivi

  ni checklist gani ya

   

 kimagharibi

  unadhania inatufaa sisi hadi

 tuifuate hatua



  kwa

    hatua ndio tufanikiwe? Ya Kisiasa,

  kiuchumi au

   

 kiutamaduni?

    Our

   

 political, cultural,

  social and economical

 values in terms

    of



 mission and visions should guide of undertakings. We

   are

    in a very

 different

  environment in any of the above;

 how

    come

  their missions

 and visions guide our strategies? Hapa

   

 kazi tu ni Kauli mbiu ambayo mission na



 vision yake

   inaweza



  

  kutukwamua hapa ilipo kama ikisimamiwa

 vizuri kwa vitendo

   na

   

 nidhamu ya hali ya juu.

  Kwa nini

 tunang'ang'ania

    hizi

  dhana za kucopy na kupaste katika kuendesha

 mambo

   yetu?

    Can't

 we learn

  from others in the Eastern

 world?

   

  Can't we

 come up with something African and

  

 particularly

    Tanzanian to

  guide of move?

    Or simply

 because bwana

  mkubwa Uncle



   Sam (US) is not happy, then

  we are in a

 wrong direction?

    Because we

  not dancing in his tune? Yes it's time

 to

   say

    no!

   

  For how long

    should WE keep on licking



 their feet, kissing their ass to

   

 please

  them love us? South Africa, North

 Korea, Iran,

   Libya,

   

 were all sanctioned

  and denied the foreign

 aid few years

    ago;

  you

 all know what they did out of dependence to

   change

    their

 status.With

  exceptional of Libya where

    these western

  thugs

 intervened, we are well informed of



  the

    situation right now.

 Gadhafi is dead

  and Libya is a mess.

   US

   

  and

 her western allies are there at large controlling oil

    reserves! Similarly they intervened

 Libya

  government as

   

 undemocratic, supported few

  individuals who

 took refuge in

    UK and US,

  formed political movements, ousted Gadhafi;



  those

   

 individuals as they were not united



 previously, started

    fighting for

 power

  distribution; the West have failed

 and

   a

    situation in

 not manageable right now; gone

  beyond

   control;

    some

  groups have turned into terrorist groups,

 joined ISIS

    and Al-Qaeda; and surprising

 enough still

  few Tanzanians

   are

   



 hailing US as the remedy for our situation; come on
guys;

   be

    serious and think

  ahead.

    Ndugu zangu wengine

 najua

    mnaishi huko nje/ ughaibuni, ama

 kwa kuamua

  ama kwa

   

 kulazimishwa na mazingira. By the

  way

 Donald Trump

    doesn't need you

  anymore; km uko US; you better come

    back

  ili tujenge nchi yetu

 kwa kaulimbiu zetu wenyewe

   badala

    ya kuchochea vurugu

  na

 kulalamika tuuuu! We will never

   make

    it under US missions and visions to

  determine our fate as

   a

   

  country. Ndiyo changamoto

 zipo bado lakini collectively

   sisi

    wenyewe bila

  kuingiliwa na

 yeyote; we can make

    it.



   Just my

    take!

   

   

   



 Omukunirwa

    Ireneus 



  



   



  

   

   



  

    2016-03-27 12:56



 GMT+03:00

    'Mashaka Makana'

 via

  Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:

    Kama demokrasia ya

   

  chaguzi za viongozi kila baada ya miaka mitano

 wakati

    chaguzi hizi ndiyo zinatufirisi

 na

  kuimarisha umasikini

  

 basi

    mh.magufuli mpaka 2050!

   



   

 Sent

    from Yahoo Mail

  on

 Android 





 From:"'mashakamakana'

   

 via

  Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>

    Date:Sun, Mar 27, 2016 at 12:38

    Subject:RE: [wanabidii] MAREKANI INA

    SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA TANZANIA?

   

     Tunalo

    jembe limechongwa usukumani wala hatuna

 haja

  ya amri zao.

    Dawa

 ni kuwapuuza wakileta

  yasiyotufaa.

 Hongera

   wanyarwanda

   

 mh. kagame mpaka 1937

   



  

    'Bernard' via

  Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>

    wrote:

   

    Mapenzi ni

   

  chongo.From:

    'ELISA

 MUHINGO'

  via

   

 Wanabidii

    Sent:

   

 ‎27/‎03/‎2016

   



 00:52

    To:

    wanabidii@googlegroups.com



   Subject:

    Re: [wanabidii]

  MAREKANI INA

    SHIDA GANI NA

 UCHAGUZI WA

  TANZANIA?

   



   

  Unazungumzia

 Marekani

    ipi? Iliyomuunga

  mkono Savimbi ili Angola  angola

   

  isiendelee na kuendeleza

 demokrasia? Hapo ndipo ilikuwa

    inatetea

 democrasia? Marekani iliyovamia

  Panama?

   Unaongelea

   

  marekani gani inayoona kuwa Tanzania

 haikufuata

   demokrasia?



   Iliyomuunga

  Mkono Mobutu kufilisi

 Kongo?

   



 --------------------------------------------

    On Fri, 3/25/16, 'Elias Msuya'

  via

    Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>

    wrote:

   



    Subject: Re:

    [wanabidii] MAREKANI INA



 SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA

    TANZANIA?

     To: "wanabidii@googlegroups.com"

    <wanabidii@googlegroups.com>

     Date: Friday, March 25, 2016, 9:35 AM

    

     Marekani

   

    ina shida na wizi

 wa

  kura unaoendelea Tanzania.

    Kutofuatwa

     kwa

 misingi ya kidemokrasia

    ikiwa ni pamoja

 na

     kuwa

  na Tume

     huru ya Uchaguzi ndiyo



   tatizo. Hatuwezi kuwa na Tume

    

 iliyoundwa

    naMwenyekiti



 wa CCM ambaye ndiye mgombea halafu

    

 useme

  kuta kuwa na uchaguzi hapo.

 Mwenyekiti

    wa

  CCM

 (Rais)

     ndiye huyo huyo

  anayeelekeza

    majeshi ya

 ulinzi na

  usalama

    

 yawanyanyase

   

  wapinzani

 wake ili wasishinde uchaguzi, bado

    

 kutakuwa na uchaguzi hapo?

   

    CCM

    



 inajua wazi kwamba haipendwi na

   

 wananchi

  ndiyo maana

    

 inang'ang'ania

    Katiba iliyopo

 inayompa madaraka

     makubwa

    Rais ambaye ni

  Mwenyekiti

 wa CCM ili kulinda

     masilahi

  yake madarakani.

   

   

  Hili halikubaliki na

 Marekani na mataifa mengine

     ya Ulaya

 yako sawa kabisa kupinga.

    

    

    





    

        On

 Thursday,

  March

     24,

 2016 11:05 PM, 'ELISA

  MUHINGO'

 via

    Wanabidii

    

 <wanabidii@googlegroups.com>

    wrote:

      

    

      Mara

     baada ya uchaguzi mkuu



  

  October 2015 na yaliyotokea Marekani

   

    ilisita kuruhusu

 msaada kwa serikali ya

  Tanzania.

     Sababu

    

  mbili ilizozitaja ni 1) Kufutwa kwa

   

  Uchaguzi wa Zanzibar na

     2) Kutaka

  kujua

    kama kweli sheria ya mtandao ina

  haki ya

   



   kutumika

  kuwadhibiti waliokuwa wanatumia

 mtandao kuvuruga

     uchaguzi ambao baadhi

 walikuwa mikononi

  mwa

   

 dola.

    

     Majuzi

 baada ya

   

  uchaguzi

     Zanzibar Marekani ililalamika

  kwa

    uchaguzi kufanyika

 bila

     waliogoma

   

  kushirikishwa.

    

    

  Marekani

    inajiona inakosa nini Tanzania

  kuwa

     salama

    na chini

  ya viongozi

 waliodhibitishwa na tume za

    

  uchaguzi kuwa ndio waliochaguliwa?

     

  Send

  

   Emails to wanabidii@googlegroups.com



    

       

     

   

     



 Kujiondoa Tuma Email kwenda

    

    

      wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

     Utapata Email ya

   

  

    kudhibitisha ukishatuma

   

   

     

  

     

     

    Disclaimer:

     

    

    



 Everyone posting to this Forum bears the



  

  sole

    

 responsibility

   

   

 for

    a

   [The entire

  original message is not

  

 included.]

  

  

  

   --

  



   Send

  Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

    

  



   Kujiondoa Tuma Email kwenda





  

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

  Utapata Email ya

  

 kudhibitisha ukishatuma

  

    

  

  

 Disclaimer:

  



  Everyone posting to this Forum bears the

 sole

  responsibility

   for

 any legal consequences

  of his or her

 postings, and hence





 statements and facts must be presented responsibly.
Your

   continued membership signifies that you

 agree

  to this

   disclaimer

 and pledge to abide by

  our Rules and

 Guidelines.

  



  ---

  

  

 You received this

  message because you are

 subscribed to the



  Google

 Groups "Wanabidii" group.





   To unsubscribe from this

 group and stop

  receiving emails

   from it, send an email to



 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

  

   For more options,

 visit

  https://groups.google.com/d/optout.



  --

  Send

 Emails to wanabidii@googlegroups.com





  Kujiondoa Tuma Email kwenda



  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



  Disclaimer:



 Everyone posting to

  this Forum bears the

 sole responsibility for any legal



 consequences of his or her postings, and hence
statements

  and facts must be presented responsibly. Your

 continued

  membership signifies that you

 agree to this disclaimer and

  pledge to

 abide by our Rules and Guidelines.

  ---

  You received this message



 because you are subscribed to the Google Groups

  "Wanabidii" group.



 To unsubscribe

  from this group and stop

 receiving emails from it, send an

  email to

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

  For more options, visit

  https://groups.google.com/d/optout.



    





  --



  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com





   





 Kujiondoa Tuma Email kwenda



  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata

 Email ya

  kudhibitisha ukishatuma



   



  Disclaimer:





 Everyone posting to this Forum bears the sole

 responsibility

  for any legal consequences

 of his or her postings, and hence



 statements and facts must be presented responsibly.
Your

  continued membership signifies that you agree

 to this

  disclaimer and pledge to abide by

 our Rules and

  Guidelines.





  ---





 You received this message because you are subscribed to

 the

  Google Groups "Wanabidii"

 group.



  To unsubscribe

 from this group and stop receiving emails



 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.



 --

 Send

 Emails to wanabidii@googlegroups.com



 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata

 Email ya kudhibitisha ukishatuma



 Disclaimer:

 Everyone posting to

 this Forum bears the sole responsibility for any legal

 consequences of his or her postings, and hence
statements

 and facts must be presented responsibly. Your continued

 membership signifies that you agree to this disclaimer
and

 pledge to abide by our Rules and Guidelines.

 ---

 You received this message

 because you are subscribed to the Google Groups

 "Wanabidii" group.

 To unsubscribe

 from this group and stop receiving emails from it, send
an

 email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.













 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



  



 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com

  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



  



 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly.
Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to abide by our Rules and

 Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.













 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



  



 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya

 kudhibitisha ukishatuma



  



 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly.
Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to abide by our Rules and

 Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.



--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.






--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment