Tuesday 29 March 2016

RE: [wanabidii] MAREKANI INA SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA TANZANIA?

Mmemsikiliza Waziri wa mambo ya nje kuhusu MCC?

On 29 Mar 2016 18:30, "'ELISA MUHINGO' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Atu.Pamoja na ukweli huo ni lazima tuanzie mahala fulani.
Wakati mkuu wa kaya akitembeza bakuli tulikuwa tunaandika humu kuwa hiyo ni aibu. MCC walipotukatalia fedha zao kwasababu ya masharti nilijisikia vizuri kwa sababu kusingekuwa mabadiliko magogoni ingebidi kuharakisha ili tutimize masharti. Huo ndio uitwao  utumwa mamboleo. Sasa kwamba tunaye mkuu wa kaya asiyeburuzwa na masharti ya wafadhili
--------------------------------------------
On Tue, 3/29/16, Atu Mwangomale <acanemwango@gmail.com> wrote:

 Subject: RE: [wanabidii] MAREKANI INA SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA TANZANIA?
 To: wanabidii@googlegroups.com
 Date: Tuesday, March 29, 2016, 6:55 AM

 Irenei
 ni kweli kabisa vyama vya siasa hatuwezi
 kutuletea maendeleo.  na ni sahihi kabisa mataifa ya nje
 hayawezi kutufaa kwa maendeleo yetu na ya wajukuu zetu. 
 lakini tumefikaje huku, wameingiaje hawa? ni kwa sababu
 tumeonyesha kushindwa.  kwa muda mrefu tumekuwa tukiwafuata
 na bakuli la kuombea na kuwapigia magoti kuwa hatujiwezi
 tunaomba tafadhali.  Tumewaita km consultants watuandikie
 proposals nzuri maana sisi hatuwezi.. tumeshindwa.

 lakini hela ikija inaenda mifukoni mwa wachache..
 tumeshindwa.

 Juzi wananchi wa Musoma  waliripoti kuwa
 wanakunywa unreated water.  dawa inagharimu 1. 7m per
 month.  Idara inakusanya 20m za bills za maji per month. 
 Usishangae  kuomba msaada wa kuzuia kipindupindu.
 Jana Rais kupokea repoti za CAG.  tega sikio
 kakaangu usikie  mambo ya hovyo
 On 29 Mar 2016 00:02,
 "Ireneus Mushongi" <ireneuskakurumushongi@gmail.com>
 wrote:


 Mbegu.

 Sisi tukaongea km watanzania. Si Bendera fuata
 upepo km boda boda wakati wa kampeni!. Wether ni magufuli or
 whoever we speak our minds.  Magufuli Sio Mungu but
 let's be realistic that American principle won't get
 us anywhere! I know you guys okays everything American as
 they have been your godfather funding and financing your
 political interests.

 As
 said earlier Americans work for their interests not from
 humanity point of view.

 Wewe ndivyo ulivyo individually. Do not
 generalise your mindset onto others. America is not a
 solution to global problems. Isn't a solution to our
 matters as well!
 That Mbowe, Lowassa or
 Magufuli favours America doesn't take away our own
 decisions from serving our country. None of them think on
 our behalf.

 Let's do
 it our own way!From:
 Edgar
 Mbegu
 Sent:
 ‎28/‎03/‎2016
 23:04
 To:
 Wanabidii
 Mawazo
 Subject:
 RE: [wanabidii] MAREKANI INA
 SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA TANZANIA?


 Bifabusha, mtu akihoji matumizi ya hovyo namna
 hiyo, anaonekana si mzalendo, anachochea vurugu n.k. Hata
 waliokuwa wanahoji kupigwa danadana uchaguzi wa Meya DSM
 walionekana kuwa ni wachochezi hadi pale JPM alipotamka.
 Nina Imani kuwa hata hawa wanaoponda US na sera na siasa
 zake siku JPM akiziunga mkono, na wao wataunga mkono. Ndivyo
 tulivyo!
 Date: Mon, 28 Mar 2016
 15:19:15 +0300
 Subject: Re: RE: [wanabidii]
 MAREKANI INA SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA TANZANIA?
 From: acanemwango@gmail.com
 To: wanabidii@googlegroups.com

 Nakubaliana sana
 na wewe Dominick. 

 Maendeleo yanaanza na mtu binafsi.  japo baadhi ya sera na
 taratibu zetu wakati mwingine zinarudisha nyumba juhudi za
 mtu binafsi.  


 On 28 Mar 2016 11:14, "'Dominick
 Rukokelwa' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
 wrote:
 Bifabusha
 umesema vema.Tujilaumu
 sisi wenyewe kama Tanzania/ Afrika.Tanzania tuna ardhi iliyosheheni kila kitu.
 Hivi kupanda maharage kunahitaji msaada kutoka
 Marekani?Ardhi tunayo ila
 tunaitazamaje kwa macho yetu, kwa fikira zetu? Tuna maono
 gani kwenye ardhi yetu?Tunachokiona cha kwanza ni kuiuza ardhi ya
 Tanzania.Sisi ni walegevu
 sana, swala la kazi linapaswa kusimamiwa na kila mtu. Kazi
 peke yake ndiyo itakayoinua taifa.Kwa mfano kuna faida gani kuwa na mfuasi wa
 chama chako cha siasa lakini hataki kufanya
 kazi?Unaposimama
 kumhutubia mfuasi wako hotuba nzima humhimizi baada ya
 mkutano na maandamano aende akafanye kazi. Mtu yeyote
 anayeipenda Tanzania kazi ataizungumza kama chanzo cha
 maendeleo.Wenzetu
 wanaitazama ardhi tofauti na sisi. Wenzetu wanajua nini
 maana ya kazi. 

     On Monday, March 28,
 2016 9:15 AM, 'jbifabusha' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
 wrote:


  Tukipata
 misaada tukaitumia kuleta mifumo bora tutaendelea. Hata
 Japani walifanya hivyo wakafanikiwa. Shida hapa ni kutaka
 kuiba hiyo misaada na kutumia misaada kwa faida ya watu
 wachache. Msaada unaombwa ukiwa umebeba administrative costs
 kubwa na development budget kidogo pia nazo zinahusu posho
 za semina zinazoendeshwa na walewale walioandaa miradi
 walioko serikalini. No tangible development costs. Kwahiyo
 mamilioni ya dola yanaishia mifukoni mwa watu badala ya
 kwenda kwenye miradi. 
 Nilibahatika kufanya budget analysis
 kwenye sector ya kilimo ktk Halmashauri moja mambo
 niliyoyaona humo ni aibu. Expenditure kubwa ni mafuta na
 posho. Hatuwekezi kwenye miradi.
 Tusilaumu Magharibi ils tujilaumu
 sisi wenyewe. Misaada ikitumika vizuri inaweza kuleta
 maendeleo na kuondokana na utegemezi.

 Sent from Samsung
 Mobile


 -------- Original message
 --------
 From: Hildegarda Kiwasila <khildegarda@yahoo.co.uk>

 Date:
 To: wanabidii@googlegroups.com

 Subject: Re: RE: [wanabidii] MAREKANI INA
 SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA TANZANIA?




 Thanks, Ireneus Kakuru Mushongi na Elisa
 Muhingo amehoji yote-Mbarikiwe!! Tunahitaji watu kama ninyi
 kutufunua sisi vipofu TZ tupo wengi wa kufuata mikumbo na
 kujali tumboni street.
 HK

 --------------------------------------------
 On Sun, 27/3/16, Ireneus Kakuru Mushongi <ireneuskakurumushongi@gmail.com>
 wrote:

  Subject: Re: RE:
 [wanabidii] MAREKANI INA SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA
 TANZANIA?
  To: "wanabidii@googlegroups
 com" <wanabidii@googlegroups.com>
  Date: Sunday, 27 March, 2016, 14:05

  Nawaogopa wale mnaoutukuza
 umagharibi na na
  pia kupima mafanikio yenu
 kwa mizania ya kimagharibi!
  Angalia China,
 India, Asian Tigers, hawaendekezi

 U-Magharibi. Wana principles zao nzuri wanazitumikia
  wanazifuata. Huku hatuna nidhamu ya kazi na
 kufuata kanuni
  za mafanikia, hadi
 tusimamiwe na wa-Magharibi, kweli kwa
  akili
 hii tutafika?
  Hivi ni checklist gani ya
  kimagharibi unadhania inatufaa sisi hadi
 tuifuate hatua kwa
  hatua ndio tufanikiwe?
 Ya Kisiasa, kiuchumi au
  kiutamaduni?
  Our
  political, cultural,
 social and economical values in terms
  of
 mission and visions should guide of undertakings. We are
  in a very different environment in any of the
 above; how
  come their missions and visions
 guide our strategies? Hapa
  kazi tu ni Kauli
 mbiu ambayo mission na vision yake inaweza

 kutukwamua hapa ilipo kama ikisimamiwa vizuri kwa vitendo
 na
  nidhamu ya hali ya juu. Kwa nini
 tunang'ang'ania
  hizi dhana za
 kucopy na kupaste katika kuendesha mambo yetu?
  Can't we learn from others in the Eastern
 world?
  Can't we come up with something
 African and particularly
  Tanzanian to guide
 of move?
  Or simply because bwana mkubwa
 Uncle
  Sam (US) is not happy, then we are in
 a wrong direction?
  Because we not dancing
 in his tune? Yes it's time to say

 no!
  For how long
  should WE
 keep on licking their feet, kissing their ass to
  please them love us? South Africa, North
 Korea, Iran, Libya,
  were all sanctioned and
 denied the foreign aid few years
  ago; you
 all know what they did out of dependence to change
  their status.With exceptional of Libya
 where
  these western thugs intervened, we
 are well informed of the
  situation right
 now. Gadhafi is dead and Libya is a mess. US
  and her western allies are there at large
 controlling oil
  reserves! Similarly they
 intervened Libya government as

 undemocratic, supported few individuals who took refuge
 in
  UK and US, formed political movements,
 ousted Gadhafi; those
  individuals as they
 were not united previously, started

 fighting for power distribution; the West have failed and
 a
  situation in not manageable right now;
 gone beyond control;
  some groups have
 turned into terrorist groups, joined ISIS

 and Al-Qaeda; and surprising enough still few Tanzanians
 are
  hailing US as the remedy for our
 situation; come on guys; be
  serious and
 think ahead.
  Ndugu zangu wengine najua
  mnaishi huko nje/ ughaibuni, ama kwa kuamua
 ama kwa
  kulazimishwa na mazingira. By the
 way Donald Trump
  doesn't need you
 anymore; km uko US; you better come
  back
 ili tujenge nchi yetu kwa kaulimbiu zetu wenyewe badala
  ya kuchochea vurugu na kulalamika tuuuu! We
 will never make
  it under US missions and
 visions to determine our fate as a
  country.
 Ndiyo changamoto zipo bado lakini collectively sisi
  wenyewe bila kuingiliwa na yeyote; we can
 make
  it.
  Just my
  take!


  Omukunirwa
  Ireneus 



   


 2016-03-27 12:56 GMT+03:00
  'Mashaka
 Makana' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
  Kama demokrasia ya
  chaguzi za
 viongozi kila baada ya miaka mitano wakati

 chaguzi hizi ndiyo zinatufirisi na kuimarisha umasikini
 basi
  mh.magufuli mpaka 2050!

  Sent
  from
 Yahoo Mail on Android 
 From:"'mashakamakana'
  via
 Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
  Date:Sun, Mar 27, 2016 at 12:38
  Subject:RE: [wanabidii] MAREKANI INA
  SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA TANZANIA?

   Tunalo

 jembe limechongwa usukumani wala hatuna haja ya amri zao.
  Dawa ni kuwapuuza wakileta yasiyotufaa.
 Hongera wanyarwanda
  mh. kagame mpaka
 1937



 'Bernard' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
  wrote:


 Mapenzi ni
  chongo.From:

 'ELISA MUHINGO' via
  Wanabidii
  Sent:
  ‎27/‎03/‎2016
  00:52
  To:
  wanabidii@googlegroups.com
  Subject:
  Re: [wanabidii]
 MAREKANI INA
  SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA
 TANZANIA?

  Unazungumzia
 Marekani
  ipi? Iliyomuunga mkono Savimbi ili
 Angola  angola
  isiendelee na kuendeleza
 demokrasia? Hapo ndipo ilikuwa
  inatetea
 democrasia? Marekani iliyovamia Panama? Unaongelea
  marekani gani inayoona kuwa Tanzania
 haikufuata demokrasia?
  Iliyomuunga Mkono
 Mobutu kufilisi Kongo?

 --------------------------------------------
  On Fri, 3/25/16, 'Elias Msuya' via
  Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
  wrote:

  
 Subject: Re:
  [wanabidii] MAREKANI INA SHIDA
 GANI NA UCHAGUZI WA
  TANZANIA?
   To: "wanabidii@googlegroups.com"
  <wanabidii@googlegroups.com>
   Date: Friday, March 25, 2016, 9:35 AM
  
   Marekani

  ina shida na wizi wa kura
 unaoendelea Tanzania.
  Kutofuatwa
   kwa misingi ya kidemokrasia

 ikiwa ni pamoja na
   kuwa na Tume
   huru ya Uchaguzi ndiyo

 tatizo. Hatuwezi kuwa na Tume
  
 iliyoundwa
  naMwenyekiti wa CCM ambaye ndiye
 mgombea halafu
   useme kuta kuwa na
 uchaguzi hapo. Mwenyekiti
  wa CCM (Rais)
   ndiye huyo huyo anayeelekeza
  majeshi ya ulinzi na usalama
   yawanyanyase
  wapinzani wake
 ili wasishinde uchaguzi, bado
   kutakuwa na
 uchaguzi hapo?

  CCM
   inajua wazi kwamba haipendwi na
  wananchi ndiyo maana
  
 inang'ang'ania
  Katiba iliyopo
 inayompa madaraka
   makubwa
  Rais ambaye ni Mwenyekiti wa CCM ili
 kulinda
   masilahi yake madarakani.

  Hili halikubaliki na
 Marekani na mataifa mengine
   ya Ulaya yako
 sawa kabisa kupinga.
  
  

  
  

     On Thursday, March
   24, 2016 11:05
 PM, 'ELISA MUHINGO' via

 Wanabidii
   <wanabidii@googlegroups.com>
  wrote:
    
  
    Mara
  
 baada ya uchaguzi mkuu
  October 2015 na
 yaliyotokea Marekani


 ilisita kuruhusu msaada kwa serikali ya Tanzania.
   Sababu
   mbili ilizozitaja
 ni 1) Kufutwa kwa
  Uchaguzi wa Zanzibar
 na
   2) Kutaka kujua
  kama
 kweli sheria ya mtandao ina haki ya

  kutumika kuwadhibiti waliokuwa wanatumia
 mtandao kuvuruga
   uchaguzi ambao baadhi
 walikuwa mikononi mwa
  dola.
  
   Majuzi baada ya
  uchaguzi
   Zanzibar Marekani
 ililalamika kwa
  uchaguzi kufanyika bila
   waliogoma
  kushirikishwa.
  
   Marekani
  inajiona inakosa nini Tanzania kuwa
   salama
  na chini ya viongozi
 waliodhibitishwa na tume za
   uchaguzi kuwa
 ndio waliochaguliwa?
    Send
   Emails to wanabidii@googlegroups.com
   
     

  

    Kujiondoa Tuma
 Email kwenda
  
  
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
   Utapata Email ya
   
  kudhibitisha ukishatuma
   

     
   
   
  Disclaimer:
   
  
  
 Everyone posting to this Forum bears the

 sole
   responsibility
   
 for
  any legal consequences


   of his or her postings, and hence
  
   statements and facts
 must be presented
  responsibly. Your
    continued membership

 signifies that you agree
   to this
    disclaimer and pledge to abide by
   our Rules and Guidelines.

  

  
  
 ---
   


   You received this


 message because you are subscribed to the



   Google Groups
 "Wanabidii"
  group.
  
  
    To
 unsubscribe from this group and stop
  
 receiving emails
    from it,
  send an email to
   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
   
    For more options,
  visit
   https://groups.google.com/d/optout.
  
   --
  
 Send
  Emails to wanabidii@googlegroups.com
  
   Kujiondoa Tuma Email
  kwenda
  
  
 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
   Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
  
   Disclaimer:

  Everyone posting to
   this Forum bears the
  sole
 responsibility for any legal

  consequences of his or
   her
 postings, and hence statements
   and
  facts must be presented responsi



  --

  Send
 Emails to wanabidii@googlegroups.com

   

  Kujiondoa Tuma Email kwenda


  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
   Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

   

  Disclaimer:


 Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility
  for any legal consequences
 of his or her postings, and hence

 statements and facts must be presented responsibly. Your
  continued membership signifies that you agree
 to this
  disclaimer and pledge to abide by
 our Rules and
  Guidelines.


  ---


 You received this message because you are subscribed to
 the
  Google Groups "Wanabidii"
 group.

  To unsubscribe
 from this group and stop receiving emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.




  --

  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

   

  Kujiondoa Tuma Email kwenda


  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
   Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

   

  Disclaimer:


 Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility
  for any legal consequences
 of his or her postings, and hence

 statements and facts must be presented responsibly. Your
  continued membership signifies that you agree
 to this
  disclaimer and pledge to abide by
 our Rules and
  Guidelines.


  ---


 You received this message because you are subscribed to
 the
  Google Groups "Wanabidii"
 group.

  To unsubscribe
 from this group and stop receiving emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.






  --

  Send
 Emails to wanabidii@googlegroups.com

   

  Kujiondoa Tuma Email kwenda


  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
 Utapata Email ya
  kudhibitisha ukishatuma

   

  Disclaimer:


 Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility
  for any legal consequences
 of his or her postings, and hence

 statements and facts must be presented responsibly. Your
  continued membership signifies that you agree
 to this
  disclaimer and pledge to abide by
 our Rules and
  Guidelines.


  ---


 You received this message because you are subscribed to
 the
  Google Groups "Wanabidii"
 group.

  To unsubscribe
 from this group and stop receiving emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

 --
 Send
 Emails to wanabidii@googlegroups.com

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
 Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

 Disclaimer:
 Everyone posting to
 this Forum bears the sole responsibility for any legal
 consequences of his or her postings, and hence statements
 and facts must be presented responsibly. Your continued
 membership signifies that you agree to this disclaimer and
 pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 ---
 You received this message
 because you are subscribed to the Google Groups
 "Wanabidii" group.
 To unsubscribe
 from this group and stop receiving emails from it, send an
 email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.




 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda


 [The entire original message is not
 included.]



 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.





 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment