Friday, 20 May 2016

[wanabidii] NEYO APOKELEWA KAMA MFALME JIJINI MWANZA

Habari za jioni,

Tafadhali pokea CODES hapa chini


<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Msanii wa Kimataifa kutoka nchini Marekani Neyo amewasili jijini Mwanza jioni hii akitokea Dar es Salaam na kupokelewa na umati mkubwa wa wakazi wa jiji hilo kama Mfalme katika Uwanja wa Ndege wa jijini Mwanza.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong><em>Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania ndio wadhamini wakuu wa Jembeka Festival 2016 kwa kushirikiana na </em><em>Shirika la Ndege la Fastjet, SYSCORP Cooperation, CF Hospitals, KK Security, Samsung, EF Outdoor, Lacairo Hotel, Ndege Insurance, Jembe Media Group pamoja na Coca Cola.</em></strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Msanii huyo anatarajiwa kutumbuiza katika tamasha hilo kwa kupiga 'Live Music' katika uwanja wa CCM Kirumba ambapo msanii wa kimataifa kutoka nchini, Diamond Platnumz, FID Q, Stamina, Mr. Blue, Ney wa Mitego, Maua Sama, Rubby, Baraka Da Prince, Juma Nature, MO Music na wengine wengi watapanda jukwaa moja na msanii Neyo.</strong></span></p>
<img class=" wp-image-16890 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/Neyo-check-out-from-the-hotel-Hyatt-Regency.jpg" alt="Neyo check out from the hotel Hyatt Regency" width="630" height="420" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Msanii wa Kimataifa kutoka nchini Marekani, Neyo akiondoka katika hoteli ya Hyatt Regency-The Kiliamanjaro kueelekea katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere kwa safari ya jiji Mwanza kutumbuiza kwenye Jembeka Festival 2016 ambapo wadhamini wakuu ni Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania kwa kushirikiana na </strong></em><em><strong>Shirika la Ndege la Fastjet, SYSCORP Cooperation, CF Hospitals, KK Security, Samsung, EF Outdoor, Lacairo Hotel, Ndege Insurance, Jembe FM. Kulia ni </strong></em><em><strong>Meneja wa Hoteli hiyo, Timothy Mlay.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-16891 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/IMG_5465.jpg" alt="IMG_5465" width="632" height="421" /></p>
<img class=" wp-image-16886 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/Attu-Mynah-and-Neyo.jpg" alt="Attu Mynah and Neyo" width="630" height="420" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Meneja Masoko wa CFAO Motors Group, Attu Mynah ambao wamedhamini usafiri uliotumika kumwendesha msanii wa kimataifa kutoka nchini Marekani, Neyo gari aina Mercedes Benz GLE 350 D ya mwaka 2016 katika picha ya kumbukumbu na Msanii huyo kabla ya kuelekea uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-16888 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/Neyo-ta-Hyatt-Regency-The-Kilimanjaro.jpg" alt="Neyo ta Hyatt Regency-The Kilimanjaro" width="630" height="420" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Msanii wa kimataifa Neyo aki-show love na walinzi maalum kabla ya kuelekea katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere tayari kwa safari ya Mwanza.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-16889 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/Neyo-official-car-Mercedes-Benz-GLE-350-D-of-2016.jpg" alt="Neyo official car Mercedes Benz GLE 350 D of 2016" width="630" height="420" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Msanii wa kimataifa kutoka nchini Marekani, Neyo akielekea kwenye gari maalum aina ya Mercedes Benz GLE 350 D ya 2016 lilitolewa na kampuni ya CFAO Motors Group.</strong></em></span></p>
<img class=" wp-image-16883 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/Neyo-Sorrounded-by-Tanzanian-Bodyguard.jpg" alt="Neyo Sorrounded by Tanzanian Bodyguard" width="630" height="420" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Msanii wa kimataifa kutoka nchini Marekani, Neyo baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa Mwalimu JK Nyerere akiwa amezungukwa na walinzi maalum alipokuwa akielekea jijini Mwanza.</strong></em></span></p>
<img class=" wp-image-16881 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/Neyo-at-Julius-Nyerere-International-Airport.jpg" alt="Neyo at Julius Nyerere International Airport" width="630" height="420" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Msanii wa kimataifa kutoka nchini Marekani, Neyo alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere akiwa na mlinzi wake wakielekea jijini Mwanza leo jioni.</strong></em></span></p>
<img class=" wp-image-16878 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/Costantine-Magavilla-and-Neyo.jpg" alt="Costantine Magavilla and Neyo" width="630" height="420" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya Jembeka Festival 2016, Costantine Magavilla (t-shirt ya blue) na Msanii wa kimataifa kutoka nchini Marekani, Neyo wakijianda kupanda ndege ya Shirika la Fastjet katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere kuelekea jijini Mwanza. Shirika la Ndege la Fastjet ni miongoni mwa wadhamini wa tamasha hilo.</strong></em></span></p>
<img class=" wp-image-16877 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/Neyo-Crew-to-Mwanza.jpg" alt="Neyo Crew to Mwanza" width="630" height="420" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkurugenzi Mtendaji wa Jembe Media Group, Dr. Sebastian Ndege akiwa na 'crew' iliyoambatana na msanii wa kimataifa kutoka nchini Marekani, Neyo wakipanda ndani ya ndege ya Shirika la Fastjet ambao ni miongoni mwa wadhamini wa Jembeka Festival 2016 kutokea jijini Dar es Salaam kuelekea jijini Mwanza.</strong></em></span></p>
<img class=" wp-image-16876 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/Jembeka-Festival-2016-boarding-Fastjest-Airline.jpg" alt="Jembeka Festival 2016 boarding Fastjest Airline" width="630" height="420" />
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-16874 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/Neyo-arrived-in-Mwanza.jpg" alt="Neyo arrived in Mwanza" width="630" height="420" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkurugenzi Mtendaji wa Jembe Media Group, Dr. Sebastian Ndege na Mwanamuziki wa Kimataifa kutoka nchini Marekani, Neyo wakishuka kwenye ndege ya Shirika la Fastjet ambao ni miongoni mwa wadhamini wa Jembeka Festival 2016 mara baada ya kutua jijini Mwanza. Kampuni ya simu mkononi Vodacom Tanzania ndio wadhamini wakuu wa Jembeka Festival 2016 kwa kushirikiana na Shirika la Ndege la Fastjet, SYSCORP Cooperation, CF Hospitals, KK Security, Samsung, EF Outdoor, Lacairo Hotel, Ndege Insurance, Jembe Media Group pamoja na Coca Cola.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-16875 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/IMG_5597.jpg" alt="IMG_5597" width="630" height="420" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Baadhi ya wapiga vyombo waliombatana na msanii wa Marekani, Neyo wakishuka kwenye ndege ya shirika la Fastjet katika uwanja wa ndege wa jijini Mwanza jioni. <em><strong>Kampuni ya simu mkononi Vodacom Tanzania ndio wadhamini wakuu wa Jembeka Festival 2016 kwa kushirikiana na Shirika la Ndege la Fastjet, SYSCORP Cooperation, CF Hospitals, KK Security, Samsung, EF Outdoor, Lacairo Hotel, Ndege Insurance, Jembe Media Group pamoja na Coca Cola.</strong></em></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-16873 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/Costantine-Magavilla.jpg" alt="Costantine Magavilla" width="629" height="419" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya Jembeka Festival 2016, Costantine Magavilla (wa pili kushoto) na Mwanakamati ya Jembeka Festival 2016, Sharon wakiwasili na katika uwanja wa ndege wa Mwanza jioni hii. </strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-16872 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/Sebastian-Ndege-1.jpg" alt="Sebastian Ndege" width="629" height="419" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Kutoka kushoto ni Mwenyekiti kamati ya maandalizi ya Jembeka Festival 2016, Costantine Magavilla, Afisa Habari wa Jembe Media Group, Gsengo pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Jembe Media Group, Dr. Sebastian Ndege katika picha ya pamoja. </strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-16870 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/Neyo-on-Maasai-Shuka.jpg" alt="Neyo on Maasai Shuka" width="633" height="422" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Balozi wa Umoja wa Mataifa mtoto mwanabadiliko wa mazingira, Getrude Clement akimvisha shuka la kimasai Msanii wa Kimataifa kutoka nchini Marekani, Neyo baada ya kuwasili jijini Mwanza leo jioni.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-16871 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/Getrude-Clement-na-Neyo.jpg" alt="Getrude Clement na Neyo" width="632" height="403" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Msanii wa Kimataifa kutoka nchini Marekani, Neyo aki-'show love' na Balozi wa Mabadiliko ya Tabianchi kutoka Umoja wa Mataifa, Getrude Clement aliyefika uwanjani hapo kumlaki na kumvisha shuka la Kimasai. Kampuni ya simu mkononi Vodacom Tanzania ndio wadhamini wakuu wa Jembeka Festival 2016 kwa kushirikiana na Shirika la Ndege la Fastjet, SYSCORP Cooperation, CF Hospitals, KK Security, Samsung, EF Outdoor, Lacairo Hotel, Ndege Insurance, Jembe FM.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-16898 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/Bujora-Cultural-Troup-Mwanza-entertain-Neyo.jpg" alt="Bujora Cultural Troup Mwanza entertain Neyo" width="635" height="423" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Msanii wa kikundi cha ngoma cha Bujora Cultural Troupe cha jijini Mwanza akimshikisha nyoka aina chatu msanii wa kimataifa kutoka nchini Marekani, Neyo alipowasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza jioni hii.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-16903 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/Neyo-playing-with-a-snake-in-Mwanza.jpg" alt="Neyo playing with a snake in Mwanza" width="630" height="420" /></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-16901 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/Jembe-FM-Journalist-Interviewing-Neyo.jpg" alt="Jembe FM Journalist Interviewing Neyo" width="631" height="402" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Waandishi wa habari wa jijini Mwanza wakiwemo wa JEMBE FM wakifanya mahojiano na msanii Neyo alipowasili jijini Mwanza.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-16905 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/IMG_5666.jpg" alt="IMG_5666" width="629" height="419" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Wakazi wa jijini Mwanza wakisalimana na msanii Neyo kwa shangwe na furaha waliofika kumlaki katika uwanja wandege wa jijini Mwanza.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-16906 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/IMG_5667.jpg" alt="IMG_5667" width="629" height="408" /></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-16904 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/IMG_5662.jpg" alt="IMG_5662" width="633" height="405" /></p>
<img class=" wp-image-16892 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/IMG_5305.jpg" alt="IMG_5305" width="629" height="419" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Msafara wa msanii wa kimataifa kutoka nchini Marekani, Neyo ukielekea hotelini baada ya kuwasili jijini Mwanza.</strong></em></span></p>
<img class=" wp-image-16893 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/Neyo-at-Malaika-Resort.jpg" alt="Neyo at Malaika Resort" width="629" height="419" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Msanii Neyo alipowasili kwenye hoteli ya Malaika Resorts ya jijini Mwanza akiwapungia wafanyakazi pamoja na wateja katika hoteli hiyo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-16894 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/Justine-Ndege-and-Neyo.jpg" alt="Justine Ndege and Neyo" width="633" height="422" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mwanasheria wa Jembe Media Group, Justine Ndege katika picha ya pamoja na Msanii wa kimataifa kutoka nchini Marekani, Neyo katika hoteli ya Malaika Resort.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-16897 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/Sebastian-Ndege-na-Neyo.jpg" alt="Sebastian Ndege na Neyo" width="638" height="425" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkurugenzi Mtendaji wa Jembe Media Group, Dr. Sebastian Ndege akibadilishana mawazo na msanii wa kimataifa kutoka nchini Marekani, Neyo anayetarajiwa kutumbuiza kesho katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.</strong></em></span></p>


KAWAIDA

Msanii wa Kimataifa kutoka nchini Marekani Neyo amewasili jijini Mwanza jioni hii akitokea Dar es Salaam na kupokelewa na umati mkubwa wa wakazi wa jiji hilo kama Mfalme katika Uwanja wa Ndege wa jijini Mwanza.

Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania ndio wadhamini wakuu wa Jembeka Festival 2016 kwa kushirikiana na Shirika la Ndege la Fastjet, SYSCORP Cooperation, CF Hospitals, KK Security, Samsung, EF Outdoor, Lacairo Hotel, Ndege Insurance, Jembe Media Group pamoja na Coca Cola.

Msanii huyo anatarajiwa kutumbuiza katika tamasha hilo kwa kupiga 'Live Music' katika uwanja wa CCM Kirumba ambapo msanii wa kimataifa kutoka nchini, Diamond Platnumz, FID Q, Stamina, Mr. Blue, Ney wa Mitego, Maua Sama, Rubby, Baraka Da Prince, Juma Nature, MO Music na wengine wengi watapanda jukwaa moja na msanii Neyo.

Neyo check out from the hotel Hyatt Regency

Msanii wa Kimataifa kutoka nchini Marekani, Neyo akiondoka katika hoteli ya Hyatt Regency-The Kiliamanjaro kueelekea katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere kwa safari ya jiji Mwanza kutumbuiza kwenye Jembeka Festival 2016 ambapo wadhamini wakuu ni Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania kwa kushirikiana na Shirika la Ndege la Fastjet, SYSCORP Cooperation, CF Hospitals, KK Security, Samsung, EF Outdoor, Lacairo Hotel, Ndege Insurance, Jembe FM. Kulia ni Meneja wa Hoteli hiyo, Timothy Mlay.

IMG_5465

Attu Mynah and Neyo

Meneja Masoko wa CFAO Motors Group, Attu Mynah ambao wamedhamini usafiri uliotumika kumwendesha msanii wa kimataifa kutoka nchini Marekani, Neyo gari aina Mercedes Benz GLE 350 D ya mwaka 2016 katika picha ya kumbukumbu na Msanii huyo kabla ya kuelekea uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere.

Neyo ta Hyatt Regency-The Kilimanjaro

Msanii wa kimataifa Neyo aki-show love na walinzi maalum kabla ya kuelekea katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere tayari kwa safari ya Mwanza.

Neyo official car Mercedes Benz GLE 350 D of 2016

Msanii wa kimataifa kutoka nchini Marekani, Neyo akielekea kwenye gari maalum aina ya Mercedes Benz GLE 350 D ya 2016 lilitolewa na kampuni ya CFAO Motors Group.

Neyo Sorrounded by Tanzanian Bodyguard

Msanii wa kimataifa kutoka nchini Marekani, Neyo baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa Mwalimu JK Nyerere akiwa amezungukwa na walinzi maalum alipokuwa akielekea jijini Mwanza.

Neyo at Julius Nyerere International Airport

Msanii wa kimataifa kutoka nchini Marekani, Neyo alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere akiwa na mlinzi wake wakielekea jijini Mwanza leo jioni.

Costantine Magavilla and Neyo

Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya Jembeka Festival 2016, Costantine Magavilla (t-shirt ya blue) na Msanii wa kimataifa kutoka nchini Marekani, Neyo wakijianda kupanda ndege ya Shirika la Fastjet katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere kuelekea jijini Mwanza. Shirika la Ndege la Fastjet ni miongoni mwa wadhamini wa tamasha hilo.

Neyo Crew to Mwanza

Mkurugenzi Mtendaji wa Jembe Media Group, Dr. Sebastian Ndege akiwa na 'crew' iliyoambatana na msanii wa kimataifa kutoka nchini Marekani, Neyo wakipanda ndani ya ndege ya Shirika la Fastjet ambao ni miongoni mwa wadhamini wa Jembeka Festival 2016 kutokea jijini Dar es Salaam kuelekea jijini Mwanza.

Jembeka Festival 2016 boarding Fastjest Airline

Neyo arrived in Mwanza

Mkurugenzi Mtendaji wa Jembe Media Group, Dr. Sebastian Ndege na Mwanamuziki wa Kimataifa kutoka nchini Marekani, Neyo wakishuka kwenye ndege ya Shirika la Fastjet ambao ni miongoni mwa wadhamini wa Jembeka Festival 2016 mara baada ya kutua jijini Mwanza. Kampuni ya simu mkononi Vodacom Tanzania ndio wadhamini wakuu wa Jembeka Festival 2016 kwa kushirikiana na Shirika la Ndege la Fastjet, SYSCORP Cooperation, CF Hospitals, KK Security, Samsung, EF Outdoor, Lacairo Hotel, Ndege Insurance, Jembe Media Group pamoja na Coca Cola.

IMG_5597

Baadhi ya wapiga vyombo waliombatana na msanii wa Marekani, Neyo wakishuka kwenye ndege ya shirika la Fastjet katika uwanja wa ndege wa jijini Mwanza jioni. Kampuni ya simu mkononi Vodacom Tanzania ndio wadhamini wakuu wa Jembeka Festival 2016 kwa kushirikiana na Shirika la Ndege la Fastjet, SYSCORP Cooperation, CF Hospitals, KK Security, Samsung, EF Outdoor, Lacairo Hotel, Ndege Insurance, Jembe Media Group pamoja na Coca Cola.

Costantine Magavilla

Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya Jembeka Festival 2016, Costantine Magavilla (wa pili kushoto) na Mwanakamati ya Jembeka Festival 2016, Sharon wakiwasili na katika uwanja wa ndege wa Mwanza jioni hii. 

Sebastian Ndege

Kutoka kushoto ni Mwenyekiti kamati ya maandalizi ya Jembeka Festival 2016, Costantine Magavilla, Afisa Habari wa Jembe Media Group, Gsengo pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Jembe Media Group, Dr. Sebastian Ndege katika picha ya pamoja. 

Neyo on Maasai Shuka

Balozi wa Umoja wa Mataifa mtoto mwanabadiliko wa mazingira, Getrude Clement akimvisha shuka la kimasai Msanii wa Kimataifa kutoka nchini Marekani, Neyo baada ya kuwasili jijini Mwanza leo jioni.

Getrude Clement na Neyo

Msanii wa Kimataifa kutoka nchini Marekani, Neyo aki-'show love' na Balozi wa Mabadiliko ya Tabianchi kutoka Umoja wa Mataifa, Getrude Clement aliyefika uwanjani hapo kumlaki na kumvisha shuka la Kimasai. Kampuni ya simu mkononi Vodacom Tanzania ndio wadhamini wakuu wa Jembeka Festival 2016 kwa kushirikiana na Shirika la Ndege la Fastjet, SYSCORP Cooperation, CF Hospitals, KK Security, Samsung, EF Outdoor, Lacairo Hotel, Ndege Insurance, Jembe FM.

Bujora Cultural Troup Mwanza entertain Neyo

Msanii wa kikundi cha ngoma cha Bujora Cultural Troupe cha jijini Mwanza akimshikisha nyoka aina chatu msanii wa kimataifa kutoka nchini Marekani, Neyo alipowasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza jioni hii.

Neyo playing with a snake in Mwanza

Jembe FM Journalist Interviewing Neyo

Waandishi wa habari wa jijini Mwanza wakiwemo wa JEMBE FM wakifanya mahojiano na msanii Neyo alipowasili jijini Mwanza.

IMG_5666

Wakazi wa jijini Mwanza wakisalimana na msanii Neyo kwa shangwe na furaha waliofika kumlaki katika uwanja wandege wa jijini Mwanza.

IMG_5667

IMG_5662

IMG_5305

Msafara wa msanii wa kimataifa kutoka nchini Marekani, Neyo ukielekea hotelini baada ya kuwasili jijini Mwanza.

Neyo at Malaika Resort

Msanii Neyo alipowasili kwenye hoteli ya Malaika Resorts ya jijini Mwanza akiwapungia wafanyakazi pamoja na wateja katika hoteli hiyo.

Justine Ndege and Neyo

Mwanasheria wa Jembe Media Group, Justine Ndege katika picha ya pamoja na Msanii wa kimataifa kutoka nchini Marekani, Neyo katika hoteli ya Malaika Resort.

Sebastian Ndege na Neyo

Mkurugenzi Mtendaji wa Jembe Media Group, Dr. Sebastian Ndege akibadilishana mawazo na msanii wa kimataifa kutoka nchini Marekani, Neyo anayetarajiwa kutumbuiza kesho katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment