Sunday, 22 May 2016

Re: [wanabidii] Jenerali Kiwelu: Nilimnyima Sokoine siri za kijeshi vit

Ndyo maana nikacheka. Nilitamani habari za kamanda aliyekuwa akiagiza askari kubrush viatu wasiwe wachafu vitani ni nani na mambo mengine. Inahitaji kuhakikisha pia kama alikuwa Mkuu wa Mkoa muda gani baada ya vita na mambo mengine ambayo yangenogesha mada.
--------------------------------------------
On Sun, 5/22/16, Hosea Ndaki <hosea.ndaki@gmail.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] Jenerali Kiwelu: Nilimnyima Sokoine siri za kijeshi vit
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Sunday, May 22, 2016, 10:59 AM

alienda
mto kagera kujenga daraja, anasema amin aliondoka mwenyewe
hapa kuna mapungufu ya habari, anasema wakati majeshi
yanavuka mpaka alienda makao makuu dar kuweka mambo sawa
napo kuna taarifa hazijakaa sawa, mwandishi awahoji na
wengine kama balozi mahiga na gen gemoghe.
2016-05-20 21:55 GMT+03:00
'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
He he he
he! Aya ya ya ya

--------------------------------------------

On Fri, 5/20/16, 'mpombe mtalika' via Wanabidii
<wanabidii@googlegroups.com>
wrote:



 Subject: [wanabidii] Jenerali Kiwelu: Nilimnyima Sokoine
siri za kijeshi vit

 To: "ELISA MUHINGO' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>

 Date: Friday, May 20, 2016, 8:28 PM





 Asema katika Vita ya Kegara udhibiti wa mawasiliano na

 taarifa ulikuwa wa kiwango cha juu.

  Raia

 Mwema: Hali ilikuwaje kule eneo la mapambano wakati wa
vita

 ya Kagera?





 Jenerali

 Kikwelu: Kazi ilikuwa ngumu sana. Maana vijana wangu

 waliokuwa

  kule mbele, wale askari wa JWTZ walikuwa katika nusu

 morali, maana

 ukishatoka kwenye mstari wa mbele ukarudi nyuma morali
ya

 vita

 inapungua. Kwa

 hiyo kazi ya kwanza ilikuwa kuwajenga

 kisaikolojia.

  Kazi ya pili ilikuwa ni kupata reinforcement

 (kuongeza

 nguvu) kazi ambayo niliyomwachia Ernest Mwita Kiaro,
hata

 CDF naye

 alikuja akakaa mahala fulani pale Bukoba (jirani), kwa
hiyo

 Dar es

 Salaam tulimpa kazi Mwakalindile ndiye aliyekuwa
anakaimu

 kama Chief of

 Staff, halafu Kiaro, chifu wa mgambo kazi yake ilikuwa

 kukusanya mgambo

 wote nchini, akina Mwakalindile ni kukusanya JKT, Polisi
na

 Magareza,

 wote walikuja kule.

  Ninaposema

 kulikuwa na changamoto kubwa sana

 ni kwamba hawa askari hata siku moja hawakuwahi kuwa eneo
la

 vita ama

 eneo la mafunzo ya kivita kwa pamoja. Kwa hiyo, ilikuwa
kazi

 kubwa,

 ndiyo maana ikatuchukua muda pale kabla hatujaruka
daraja,

 ilikuwa ni

 lazima nifanye mafunzo ya pamoja ili kuwaweka watu
(askari

 kutoka

 Magereza, Polisi, Mgambo na JKT) waweze kufanya kazi

 pamoja.



 Lengo

 ilikuwa kuondoa fikra za kitabaka vitani, kuachana na
mambo

 ya

 huyu mgambo au JKT. Kwa hiyo nilianzisha range ya
kupiga

 silaha, mtu

 unampa risasi kumi anapiga zote wash out (anakosa
kulenga

 shabaha),

 maana sisi (jeshini) tuna kitu kinaitwa bull, inner,
outer

 n.k… sasa

 huyu unampa risasi zote anapiga wash out, tunampa
nyingine,

 akipiga ile

 target namwambia umepiga bega (target hasa ni kifuani
kwenye

 moyo au

 kichwani) sasa wakati mwingine ukimpa risasi tano…
mbili

 anapiga ndani,

 nikasema sasa wameiva.

  Kwa

 hiyo ilikuwa ni mafunzo ya msingi. Kwa mfano, ukiwa
porini

 na ndege ya adui inakuja ufanye nini.

  Unaulizwa ukiona ndege ya adui inatoka kule wewe
unakwenda

 wapi? Namna

 gani mnaweza kusonga mbele, mnajihami vipi na namna
gani

 mnaweza

 kupumzika kwa sababu askari hawezi kupumzika chini ya
kivuli

 cha mti.

 Sasa baada ya mafunzo hayo ya pamoja, tukaridhika
askari

 wetu wameiva,

 tukaanza kusonga mbele kutoka Katoro hadi tukafika karibu
na

 mpakani,

 tukaweka kambi ambayo mpaka leo ipo pale, nyuma ya

 Mtukula.

  Raia

 Mwema: Labda ungeeleza kuhusu Daraja la Kagera
kushambuliwa

 na adui?



  Jenerali

 Kiwelu: Daraja hili wakati nimefika tu, kutoka kupewa
ile

 amri

  (ya kwenda vitani)… nimefika Kaboya, siku hiyo hiyo
jioni

 nikatoka

 kwenda kutazama daraja. Nikafika darajani upande wa
kulia

 kama unakwenda

  Mtukula umbali wa kilomita moja, nikaliona daraja
ambalo

 baada ya

 dakika 15 nikiwa pale likalipuka, kwa hiyo sikuweza
kuwahi

 kuweka askari

  pale darajani.



 Wakati nafika pale na mtu mmoja anaitwa Kanali

 Kitete tunatazama…nataka sasa kufanya mbinu namna
gani

 nitavuka daraja

 ili majeshi yangu yakae upande mwingine.

  Basi

 nikarudi zangu

 Kaboya kwa ajili ya kuanza kufanya mkakati mwingine
maana

 pale daraja

 limekwishavunjwa, nikaripoti daraja limevunjwa…hakuna

 daraja kuanzia

 sasa. Ndipo tukaanza mipango mingine kuhusu daraja,
tukaleta

 madaraja ya

  muda na mtu mmoja anaitwa Brigedia Rajabu ndiye
aliyekuja

 na vifaa

 hivyo kutoka kikosi chetu cha uhandishi na tukamweka
sehemu

 ya umbali wa

  kama kilomita tano kutoka kwenye daraja, ndipo
alipofanya

 mafunzo yake

 ili baadaye kufunga daraja la muda.

  Raia

 Mwema: Ilichukua muda gani hadi kufanikisha daraja hilo
la

 muda?



  Jenerali

 Kiwelu: Unajua kuna wanazungumza kwa ushabiki mambo ya
vita

 tu

  wakati hawajui chochote kuhusu vita, watu hawa mimi
nawaita

 majitu,

 hawajui maana ya vita. Wapo wengine wanafikiri jeshi hii
la

 Tanzania

 lilikuwa tayari kwamba unakwenda tu kwenye vita, sasa

 ukiwaambia kwamba

 jeshi hili tulipokwenda kwenye vita tulikuwa na
mchanganiyo

 wa watu wote

  hawa, halafu pia kuleta vifaa vya kuvuka daraja,

 kuwafundisha namna ya

 kuweka daraja, kuleta vifaru, ndipo wataona ugumu wa
kazi

 iliyokuwapo.



  Pale

 ni lazima uwe na nguvu ya kutosha kuhakikisha kwamba
mkiruka



 (daraja) hakuna kurudishwa nyuma. Kama nilivyotangulia

 kusema wale

 askari wetu waliokuwa kule awali, walikuwa wachache na

 walivurumishwa na

  adui kiasi cha morali yao kuwa chini kivita, kwa hiyo

 ilikuwa ni lazima

  nihakikishe sasa watu wangu ni imara, vifaa viko.

  Tulikuwa



 tunafanya mipango na ukaguzi pamoja na makamanda wangu,

 akina Jenerali

 Marwa, Jenerali Luhanga, Mayunga, Walden… tunakwenda
hadi

 tunafika pale

 kwenye daraja kwa sababu Idi Amin alirudisha majeshi
yake

 (Uganda)

 akiamini kazi imekwisha. Sasa tulikuwa na makamanda
wangu

 hao tunakwenda

  pale kupanga mikakati, lakini, swali kwamba wapi
tupite

 (kuvuka daraja)

  na lini sikuwaambia.

  Hakuna

 mtu aliyejua hata Edward Sokoine

 (aliyekuwa Waziri Mkuu katika Serikali ya Mwalimu
Nyerere)

 alikuja

 akaniuliza …. sasa General nafikiri tumechelewa sana

 kuruka (daraja),

 sasa unaruka lini na unapitia wapi?

  Nikamwambia

 hiyo ni siri ya

 kijeshi… akasema hata mimi? Nikamwambia ndiyo mzee.
Kwa

 hiyo mimi

 nilikuwa napita kando ya ule mto kwa gari hadi Murongo,

 halafu watu

 wanapiga mabomu kila sehemu lakini hawajui tunaruka
wapi

 kupitia wapi..

 .tuliweka watu (askari) hadi eneo la Kakunyu huku
Bukoba

 Vijijini, kwa

 hiyo kuna ambao walijua tunaruka kupitia huko. Hatimaye

 nikaona sehemu

 ya kuruka ni pale pale walipovunja (daraja), lakini

 sikuwaambia

 wapiganaji wetu.



 Sasa

 imefika siku ya kuruka, ndani ya saa 24.

 Nikawaita makamanda wangu nikawaambia sasa inabidi
turuke

 kwenda

 kumshambulia adui, vifaa na kila kitu tayari, na askari
kama



 tulivyofanya mafunzo wako tayari. Makamanda wakasema

 tunangoja tu amri

 yako, nikasema amri itatoka, wakauliza na kutaka
niwaambie

 tunaruka

 kupitia eneo gapi, nikasema nitawaambia.

  Ilipofika

 saa tano usiku

  nikawaambia makamanda… Marwa utakuwa katikati,
Mayunga

 ukiruka tu

 unakwenda kushoto kuelekea eneo la Mbarara, Walden
ukiruka

 tu unaelekea

 eneo la Minziro, Luhanga ukiruka tu unafuata njia ya
Marwa

 halafu

 makamanda wengine watakuwa tayari kusubiri lolote
(reserve).

 Baada ya

 maelekezo hayo nikawataka waende kuwaambia askari wao
kwamba

 tunaruka

 leo (usiku huo), nikamwita Mhandisi Mkuu Rajabu na
kumwambia

 utatandaza

 daraja lako (juu ya mto) saa nane usiku…akafanya kazi

 hiyo.

  Saa

 nane usiku mpaka kufika saa tisa kuelekea saa 10
(takriban

 saa mbili

 hivi mfululizo) vikosi vikaanza kuruka kwa mujibu wa amri
ya

 operesheni

 (operation order) ilivyotamkwa. Ilikuwa bahati mbaya

 nilipoteza askari

 mmoja tu pale wakati wa kuvuka daraja.

  Baada

 ya hapo tulifanya

 mashambulizi, kazi ya kwanza ilikuwa ni kukamata eneo.

 Nimeeleza kazi

 niliyopewa nilitakiwa kurudisha heshima ya nchi hii na

 heshima ya nchi

 ni kurudisha mipaka yetu pale ilipokuwa awali na hivyo

 tukahakikisha

 tumefika Mtukula, wengine wamefika Minziro na wengine

 mpakani na Uganda

 kule.

  Sasa jukumu la msingi la kurejesha mipaka ya

 nchi likawa

 limekamilika na Rais Julius Nyerere akaja kule na
akasimama

 eneo lenye

 kilima pale na tukamweleza kwamba sasa mzee kazi ya
kwanza

 uliyotutuma

 tumeimaliza, mipaka yetu sasa iko salama, akasema
vizuri

 lakini huyu

 "mshenzi" huyu ametuharibia mambo mengi sana si
bado

 yuko kule (nchini

 mwake), basi kazi bado haijakwisha.

  Ndipo tukaingia hatua ya

 pili, maana sehemu ya kwanza ya ukombozi wa nchi yetu
ikawa

 imekwisha

 ikafuata hatua hiyo ya pili ambayo ni kumwadhibu

 adui. Raia

 Mwema: Je, baada ya kazi hiyo ya kwanza kukamilika

 ulirejeshwa kwenye nafasi ya Mnadhimu Mkuu (Chief of

 Staff)?



  Jenerali

 Kiwelu: Pale kilichofanyika ni kwamba baada ya kumaliza
ile

 kazi ya awali, tukaingia sasa kazi ya kuandaa na
kutekeleza

 operesheni

 ya kuvuka mpaka ambayo ni tofauti na opereshani ya
kumwondoa

 adui

 nyumbani kwako.

  Sasa

 unakwenda nyumbani kwake lazima uwe na

 mkakati, sambamba na nguvu ya kutosha kwenda kwake, kwa
hiyo

 rais

 ikabidi afanye utaratibu wa kumtafuta kamanda wa
kuingia

 Uganda, mimi si

  ndiye niliyekuwa Chief of Staff na mkuu wa majeshi
akiwa

 Twalipo ambaye

  naye hayuko makao makuu, kwa maana hiyo akiwa huku
mbele

 (vitani) kule

 makao makuu hakuna maandalizi yoyote, nani anaanda
nini…

 nani anafanya

 nini.

  Kwa

 hiyo ilibidi nirudi Makao Makuu ya Jeshi Dar es Salaam

 na pale (vitani kuelekea ndani ya Uganda) nikamkabidhi

 Msuguri, mimi

 nakamwambia nakwenda (makao makuu) kukufanyia kazi ya

 kuandaa vifaa,

 wewe kazi yako ni kwenda ndani kumwadhibu Idi Amin.
Nikarudi

 makao makuu

  nilikuwa na mtu mmoja alikuwa Naibu Waziri wa Ulinzi,

 Kanali Bakari,

 basi tukafanya kazi na Bakari, tunkaenda hadi nchi za
nje

 kutafuta

 nguvu…. zana za kivita.





 Wako

 marafiki walitusaidia, sina sababu ya

 kuwataja sana lakini kati ya nchi rafiki tulizokwenda
ni

 pamoja na

 Urusi, China, Korea na Bulgaria. Ikabidi tukusanye vifaa
na

 ndipo hapo

 wananchi walichangia mambo mengi sana, wapo
waliojitolea

 magari yao,

 vyakula, mifugo kama ng'ombe ili kuwawezesha
wapiganaji

 wetu kule mstari

  na hatimaye Msuguri akuvuka mpaka akiwa na uhakika wa
nguvu

 za kutosha

 na uangalizi huku nyuma anakotoka.





 Raia

 Mwema: Kwa wakati huo wewe

 ndiye uliyekuwa makao makuu Dar, sasa uliwezaje
kudhibiti

 link

 (viunganishi vya taarifa) za silaha mlizopata kutoka nje
ya

 nchi?





 Jenerali

 Kiwelu: Kwanza wakati nikiwa pale Kagera tulikuwa

 tumedhibiti

 sana uvujaji wa taarifa. Unajua kuna mkutano mmoja mkubwa
wa

 kimataifa

 ulikuwa unaendelea pale Arusha uliokuwa umehusisha nchi

 nyingi huku vita

  pia ikiendelea na hao washiriki wa mkutano hawakujua

 chochote

 kilichokuwa kikiendelea nilidhibiti uvujaji wa taarifa,

 viongozi wengine

  tuliwapa amri maalumu hakuna kufika kwenye eneo la vita
na

 wala kupewa

 taarifa yoyote, ni kama tulivyokuwa tunapambana
kuwasaidia

 kule Msumbiji

  siku moja tukakuta mzee mmoja wa kizungu kule Tunduru
anayo

 redio

 ameijichimbia ndani, kumbe alikuwa anawasiliana kwa maana
ya

 kupeleka

 taarifa, tukamkamata.

  Hata pale Karagwe, tulikuwa na watu fulani

 pale ambao ni kanisa fulani sitaki kuwataja nao pia
walikuwa

 na redio ya

  mawasiliano, ukiona utafikiri mtu anapiga kinanda
kumbe

 anapeleka

 taarifa, kwa hiyo tukafunga njia zote za mawasiliano,

 nikasema hakuna

 mawasiliano ya aina yoyote na taarifa zozote kwenda
Ikulu

 nitapeleka,

 tulihakikisha taarifa hazivuji vinginevyo tusingeweza
kuvuka

 pale.

  Raia Mwema: Vipi kuhusu Yoweri Museven (Rais wa

 sasa wa Uganda), alikuwa sehemu ya mapambano?



  Jenerali

 Kiwelu: Museven yeye alitokea huku nyuma kapitia
Karagwe

 kalala kijijini pale wakati Mayunga amekwishavuka
mpaka,

 akaungana na

 Mayunga, ukweli ni kwamba Jeshi la Tanzania na chini ya

 Luteni Jenerali

 Mayunga ndiye aliyekabidhiwa kazi ya kupita Mbarara na

 kutoka hapo

 kuelekea Kampala, na wengine wakapita Minziro kwenda

 kuungana kule.

 Museven hakuwa na jukumu la kuongoza ni kama alisaidia
mambo

 kadhaa

 yakiwamo masuala ya taarifa.

  Raia

 Mwema: Vipi kuhusu uteuzi wako kuwa mkuu wa mkoa?



  Jenerali Kiwelu: Baada ya vita, tukawapokea

 vijana kutoka Uganda pale

 Bunazi, nikafanya kazi ya kuwasambaza na kuwarudisha
kule

 walikotoka,

 wengine Ruvuma, Kigoma na maeneo mengine ya nchi.

 Tukahakikisha wamerudi

  na kupewa haki zao.

 Baada ya kumaliza pale Bunazi, nikarudi Dar

 es Salaam kwenye kitengo changu cha Mnadhimu Mkuu, sasa

 makamanda wote

 wakawa wamerejea kutoka vitani. Ikabidi sasa jeshi
lipangwe

 upya….unajua

  watu walikwishaonja kutoa roho za watu huwezi kucheza
nao

 hivi hivi,

 ikabidi sasa tupangane upya.

  Namna

 gani jeshi litakavyoendeshwa

 na kwa hiyo, Amiri Jeshi Mkuu akapanga upya…akasema
sasa

 wewe bwana

 umemaliza kazi hii nakushukuru…sasa nataka kukupa
kazi

 nyingine…nikamwambia sawa, nipo tayari kwa kazi
yoyote,

 akaniambia

 utakwenda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga, nikamwambia
naenda

 lakini hii kazi

  sijawahi kufanya sasa ukiona nafanya vibaya uniite, na
mimi

 nikiona

 kuna tatizo nitakuja.

  Kwa hiyo nikaenda zangu Tanga ndipo wakati huo

 yakafanyika mabadiliko, Twalipo akatoka pale akawa Waziri
wa

 Ulinzi,

 Msuguri akawa Mkuu wa Majeshi halafu na Jenerali Kombe
akawa

 Mnadhimu

 Mkuu, tukaendelea.



 Raia

 Mwema: Nini hasa unachojivunia katika wadhifa wako wa
Mkuu

 wa Mkoa wa Tanga?



  Jenerali Kiwelu: Tanga kuna mambo mengi. Lakini

 moja kubwa ni kwamba

 pale Tanga wale Waswahili wangu wa Tanga ni wavivu,
hawakuwa

 watu wa

 maendeleo. Sasa walikuwa wanakaa pale kwenye nyumba zao
za

 nyasi mjini,

 nikawaambia sikilizeni hatuwezi kuishi hivi…mtu
lazima

 afanye kazi na

 mjiwekee kipato na mtengeneze nyumba.

  Wakauliza tunatengenezaje

 na hatuna mashamba kwa ajili ya kutupatia kipato?
Nikafanya

 uamuzi,

 nikaenda barabara ya kuelekea Muheza kuna mashamba ya
mkonge

 pale na

 hapakuwa na mtu anayelima, nikasema nitachukua haya
mashamba

 na wala

 sikuuliza ni ya nani.

  Nikawaambia

 nyie mtakwenda kulima pale na

 kutakuwa na mabasi asubuhi na jioni ya kwenda na kurudi

 shambani, na

 kwamba wakishavuna watapata chakula lakini nikataka

 watengeneze nyumba

 zao na watoto wasome kwa kipato watakachopata.

 Nikamwambia ofisa

 husika apime viwanja, lakini nikawaambia nyumba zao

 wasizivunje

 isipokuwa wajenge kuta kwa kuzizunguka na baada ya
kufika

 hatua ya

 kupaua, wanaweza kuvunja nyumba za ndani yake za nyasi,

 ndivyo nyumba

 nyingi za Tanga zilivyojengwa kwa wakati huo.

  Nilikaa

 pale kwa

 miaka nadhani mitatu tangu mwaka 1980 kisha
nikahamishiwa

 Rukwa ambako

 nako pia kuna mambo mengi niliyofanya. Uzuri wa Rukwa
watu

 wa kule ni

 wachapa kazi lakini tatizo lao walikuwa wanachapa kazi
bila

 utaratibu.

 Nikawaambia msilime tu mahindi ya kutosha nyumba yako
tu

 bali limeni kwa

  malengo ya kupata kipato. Nikawataka walime kwa
utaratibu,

 wajue

 masuala ya mbegu, maandalizi ya shamba.

  Lakini

 haikuwa kazi

 rahisi kwa sababu ilibidi tutengeneze kitu kama shule

 kijijini kwa ajili

  ya kumfundisha mtu kulima, kuandaa shamba, kupanda,

 kupalilia hadi

 kuvuna, ni miezi minne…watano amevuna ameweka kwenye

 kihenge, anakuwa

 amefaulu. Sasa mtu anapokuwa anajifunza kulima alikuwa

 akijifunza kilimo

  cha kisasa, kupanda kwa mistari, kutumia mbolea,
kutumia

 dawa za

 kudhibiti wadudu na baada ya kuvuna, ajue namna ya
kutunza

 mazao.



  Sasa

 katika kuandaa mashamba wengine walikuwa wanatumia
majembe

 madogo

 ya kukokotwa kwa ng'ombe na wengine majembe ya mkono,

 uongozi ngazi ya

 mkoa ilibidi tufanye utaratibu na tulifanikwa kwenda
kununua

 majembe

 kutoka Zimbabwe ya kukokota kwa ng'ombe na ya
kupandia.

 Niliomba fedha

 nikapewa za mbegu ambazo kule hakuna, nikaagiza mbegu
kutoka

 Kenya

 lakini hazikuwa zinatosha, nikaenda kwenye wizara (ya

 kilimo) natafuta

 mbegu nako hakuna.

  Lakini

 nikaona sio siku zote kwenda kutafuta

 mbegu, nikaanzisha shamba la mbegu eneo la Mlundikwa,
mwaka

 wa pili

 tukawa sasa tunaweza kupata mbegu zetu na tukajua namna
ya

 kuziweka

 katika madaraja ya ubora.

  Sasa

 baada ya kuwa na uhakika wa mbegu

 tukaingia hatua ya matumizi ya majembe ya ng'ombe,

 tulipomaliza mwaka wa

  kwanza na wa pili, ule mwaka wa tatu tukafaulu na
kupata

 mazao mengi,

 maana nia yangu pale ilikuwa ni kupata mavuno mengi ili

 kushindana na

 wenzangu wa mikoa mingine ya kilimo, na ikibidi hata

 kuwazidi lakini kwa

  manufaa ya watu wangu hasa katika kuongeza kipato chao
mara

 dufu au

 zaidi.

  Raia Mwema: Kwa hiyo kuwapo kwako Rukwa

 kulisababisha mkoa

  huo kuwa miongoni mwa mikoa mingine mikubwa ya kilimo
kama

 Mbeya,

 Ruvuma na Iringa?

 Jenerali Kiwelu: Kwanza mimi nikiwa kule

 nilijua Mbeya ambako nilikuwa napita pale, Iringa na
Ruvuma

 ndio

 iliyokuwa mikoa mitatu mikubwa na mashuhuri kwa kilimo,

 ikiitwa "The Big

  Three". Nikasema hawa hawawezi kuwa Big Three na
mimi

 napita mikoa yao,

  changamoto yangu ya kwanza nikasema lazima niingie
pale

 kwenye orodha

 ya Big Three ili tuwe Big Four.

  Raia

 Mwema: Baadaye ulipelekwa kuwa Mkuu wa Mkoa Kagera,
hali

 ilikuwaje kule?



  Jenerali

 Kiwelu: Unajua ule Mkoa wa Kagera unafafana hali ya hewa
na

 mikoa kama Mbeya, Kilimanjaro na Arusha, mimi sehemu ya

 asili ni

 Kilimanjaro ambako mazao ni pamoja na kahawa na migomba
kule

 nako mazao

 ni hayo hayo, tofauti iliyokuwapo ni kwamba kule
Kilimanjaro

 tulikuwa

 tunalima kahawa aina ya Arabika sasa Kagera ilikuwa
nafasi

 yangu ya

 kujifunza kilimo cha kahawa aina ya Robusta, ikawa
lazima

 niwainue wale

 wakulima tuone tunafanya vizuri zaidi. Sasa kule kwa
sababu

 wengi ni

 wabishi kweli kweli wanataka lazima waone vitendo kwa
mfano,

 ikabidi

 niwe na shamba la mfano na hata sasa baada ya kustaafu
bado

 naendelea na

  kilimo kwenye shamba langu.

  Chanzo Raia Mwema.

  Maoni Yangu



  Tumeeona

 jinsi Generala Kiwelu alimvyomnyima Sokoine taarifa za
vita

 kwa kumwambia ni siri ya kijeshi na Sokoine pamoja na

 wadhifa aliokuwa

 nao aliheshimu hilo hakutaka zaidi ya jibu

 alilojibiwa.

  Hivyo



 basi wanasiasa wetu wa kizazi hiki waige mfano wa
Sokoine

 kwa kuheshimu

 vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kwa kutotaka kila
kitu

 kuwa wazi

 ikiwemo eti kwa kuwa wao ni wabunge au wanasiasa wapo
kwa

 niaba ya

 wananchi hapo watakuwa hawavitendei haki vyombo vyetu
hivyo

 kwani

 vinafanya kazi kubwa ya kuhakikisha tuna kuwa na amani

 pamoja na

 uturuvu.

  Hata huko Marekani na ulaya huwezi kukuta

 wanasiasa

 wanataka mambo ya jeshi na vyombo vingine vya ulinzi na

 usalama kuwekwa

 hadharani kama wa hapa kwetu wanavyotaka ili wapate
umaarufu

 wa kisiasa.











 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



  



 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya

 kudhibitisha ukishatuma



  



 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly.
Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.



--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.






--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment