Saturday, 19 December 2015

RE: [wanabidii] NAIBU WAZIRI DKT. KIGWANGALLA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA LEO KATIKA HOSPITALI ZA RUFAA MIKOA YA LINDI NA MTWARA

Sasa hizi safari za kushtukiza zinalipiwa na nani? Ni hela za walipa kodi au zake binafsi. Sasa ndio inakuwa fashion kila kiongozi ni kushitukiza kwa kisingizio cha -Hapa Kazi tu.

Siku zote wanaona majengo ya kutoa huduma ya Afya na wanaona picha katika TV na magazeti watu wanavyolalamikia huduma na wanavyolala chini-wanashitukiza kuangalia utendaji hii leo.

Njia au barabara wapitazo daily kwenda na kurudi nyumbani, sokoni walikokuwa wakienda wakiona uchafu nao wanahusika na Local GVT na uzoaji taka na mfumo mzima wa serikali za mitaa wa kusimamia taka; ni viongozi wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Makazi wakiona watu wakijenga nyumba za kuishi, kujenga vibanda barabarani kuweka biashara, wakiona samaki Savei, Africana, Manzese mbichi na zilizokaangwa DSM nzima zikiuzwa zimezungukwa na mainzi nao wakisimama kununua leo hii-wanashitukiza kubomoa vibanda. Hata walipowatangazia wahame baada ya mafuriko 2009 walipowabeba kwa Boat wao na Red Cross kuwaondoa wakalala mashuleni leo-wanashitukiza kubomoa. Hata walipowapa viwanja Mabwepande-wakauza plots zenye hati, mabati na cement za msaada-wakarudi jangwani kuhamia nyumba zao zile zile ambazo serikali haikuzibomoa baada ya mafuriko leo wanaona sifa ya-kushitukiza kubomoa.

Strategy ya maendeleo ya Kushitukiza haitufai iwe ya muda mfupi tu. Tuwe na tabia ya siku zote ya utendaji kamilifu uliotukuka unaozingatia ethics zote za kazi. Wengine tunashukuru tu kwa tunayoyaona kwani tukiomba daima kuwa-serikali ichukue hatua ya kuzingatia sera an sheria ya ardhi, afya na mazingira ya kuwaondoa wavamizi. Wale waliojenga nyumba za makazi na za biashara kwa kuvamia maeneo ya Mabwawa ya maji Machafu (Waste stabilization ponds-sewerage oxidation ponds) za Vingunguti, Mabibo, Mikocheni. Solid waste dumping sites (Kigogo, Mtoni) zilivamiwa kabla ya kufungwa na bado baadhi ya magari ya wakandarasi wanatupa takataka ngumu na za maozo. Watu wamejenga majumba ya ufahari na ya gharama ndogo na taka zikichomwa moshi unajaa ndani ya nyumba. Respiratory diseases zinaongoza. Kutokana na gap katika kuzingatia sheria na kuingiza siasa-Waache wapiga Kura wangu au wa Chama chetu mpaka upigaji Kura uishe-ni kura baada ay kuwa, mwaka baada ya mwaka makazi haram yanaendelea kujenga. Maji machafu yanajaa ndani ya nyumba na kutesa familia. Maradhi ay UTI yanaongoza kwa wakubwa na watoto wanaoogelea maji machafu yenye uchafu wa kila aina na kemikali wanapoingia na kutoka ndani ya nyumba na kucheza kinyesini. Vijana kuzoa mchanga kuutoa mtoni mfano jangwani kuuuza. Wanaingia maji ya kiuno na kemikali na uchafu wa kila aina kuwaingia sehemu za siri.

Wizara ya Ardhi na vyuo vya ardhi na Halmashauri, Upimaji na Ramaji ya Wizara ya Ardhi Nyumba na Makazi wana Physical na Aerial Photos za kazi zao za mipango miji, mipango matumizi ardhi inapothibitishwa na vyuo hutumia kufundishia. Idara inayohusika na Valuation and Resettlement wana ramani za uhamishaji na Idadi ya hela nani wa nyumba namba au valuation namba ipoi alilipwa kiasi gani na kuhamishiwa wapi. Kwanini ubomoaji haufuati mara baada ya compensation na muda maalum upo wa grace period kutoka kulipwa hadi kubomolewa. Aliyelipwa Ubungo Mataa-Hadi Kimara Temboni 1994 kwa nini yupo hadi leo hii nyumba ile haikubomolewa na alitakiwa abomoe mwenyewe kwa wema achukue mabati na vifao vyake vyote? Matotoe wanapewa mwanya wa kuuzia wengine kitapeli na viongozi wa mtaa kuhusika, kicha hao wanakuja kubomolewa-hawajui kama wameuziwa Kanyaboya! Kubomoa kunakuja kuonekana na donors kama uonevu picha ya kwanza ni watoto kuonekana wanalala nje. Vibaka nao wanapata mwanya wa kuiba. Ni vema basi, inapotokea kubomoa mahala fulani-kuweka matangazo magazeti yote ya serikali na yasiyo ya serikali, kuandika barua kwa kila muhusika na kuweka nakala serikali ya mtaa na halmashauri sio tu Wizarani, kuweka majina na namba ya nyumba ya mtaa katika tangazo public places. Kwani, tunawaona ktk TV wakilalamika uongo na wanajua hapo jangwani Sunna, Bondeni Mkwajuni, Ilala Mchikichini-Yanga na Kigogo mto msimbazi bondeni, Relini na mabwawa ya kinyesi na mashimo ya kutupa taka si pa makazi. Waliambiawa miaka mingi ila Usiasa na Sera binafsi za viongozi za udugu, ujirani na kujuana, tumboni street na Woga wa kuchukua hatua inapobidi ndio unakuta gharama zinaongezeka za GVT katika kubomoa na watu kuona waliishia miaka 30+ ni pao kwa haki kwani ni miaka mingi tumewaachia wakiishi hapo. Sasa Tangazo la kubomoa walioziba feeder Roads ktk surveyed areas liwe daily ktk vyombo vya habari na matangazo.

Matangazo ya Waganga wa kienyeji yanayohusu ushirikina. Hawa ni tofauti na Waganga wa Asili wanaotambuliwa na Wizara ya Afya ambapo Wizara ya Afya ina Baraza la Tiba Asili an Tiba Mbadala na Mwongozo wake wa Aptil 2009; kuna Sheria yake; primary health services development programme 2007-2017 inatambua wakunga wa Jadi na waganga wa Tiba Asili. Toka zama hizo za uhusu walitambuliwa na kuhusishwa ktk PHC na kupewa mafunzo na kutakiwa kusindikiza wagonjwa na wazazi zahanati na kukatokea mafunzo pia kwa wahudumu wa Afya kusaidia elimu ya afya vijijini. Mzee wa Kikombe cha dawa-Babu Loliondo alitambulika na kuwekewa huduma ya barabara, umeme etc na haikuwemo ktk bajeti ya serikali na viongozi wa nchi na dunia nzima walifika huko. Leo-Utamvamia eti humtambui kama ulivyomvamia Tabibu Mwaka? Mwaka ni member na kiongozi mmojawapo wa Association of Traditional and Alternative Medicine (ATME) ambapo ilipotakiwa NGO ziwe Re-registered wamefanya hivyo na kubadili jina na kuitwa Traditional Medicine and Environmental Protection Organization (TRAMEPRO). Hawa wanatambuliwa na Wizara ya Afya na Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala. Huwa na vikao vya pamoja na Maonyesho ya Dawa kila Mwaka hapo mnazimmoja na Wizara hufika kufungua au kufunga Sherehe hiyo ya Maonyesho. Kuna Wanajeshi Wastaafu waliojifunza Dawa baada ya kuponywa Kisukari na magonjwa mengine na kuna Medical Doctors waliofanya Research in Traditional Medicine wakapata madigrii yao nao wana maduka ya Tiba Asili pamoja na kuwa ni Medical Doctors.

Serikali ilisomesha vijana China miaka ya mid 1970s ambao walikaa china miaka zaidi ya 5 na wanaongea kichina. Ila waliporudi TZ kutambuliwa ilikuwa utata kwa kuwa mfumo wa medicine wakati huo ukizingatia British system requirements. Walikaa Intern Muhimbili na baadae wengi wao ndio wapo Wizarani Kitengo cha Tiba Asili na Hiyo Institute of Research in Traditional Medicine ya Muhimbili. Research za Magonjwa na Tiba imewekewa pia NIRM kuithinisha aina hizo za research na impact yake kwa wanaotafitiwa na mazingira. Usije ukafanya research ya maradhi kwa kupekua pekua watu kihovyo ikaleta utata. Proposal yako lazima ipime NIMR na kimazingira utakachokufanya ni NEMC na Division of the Environment. Imefikia mpaka Institute of Traditional Medicine ya Muhimbili University of Health and Allied Sciences Institute kuwa na Short Course Training Curriculum in Herbal Medicine Development ili Tabibu wa Tiba Asili wazingatie masuala ya Afya na Mazingira na wanawapa mafunzo hayo na certificate. Sasa unavamia watabibu wa TIBA Asili leo ambapo matangazo yao kwanza wanaomba vibali Wizara yako na wanavyo. Kesho unavamia huduma ingine lakini unaacha Local GVT inakusanya kodi ya waganga -Washirikina kwa kuweka mabango ya -Mganga toka Nigeria au Sumbawanga, anatoa huduma ya Hirizi ya chuma ulete kukupatia hela, kufuta kesi mahakamani, dawa ay mtoto kufaulu mtihani; bosi akupende wewe tu; kupata mchumba akuoe na asikuache daima; kukuza nonino na kurudia tendo la ndoa mpaka mara 20 kwa siku (Ukimwi na cancer ya cervix hiyo kusambaa); ndoto za fedha na kuona madini etc. Haya mabango ya wachawi wanaojenga imani za kishirikina na yana namba za simu kwa nini yapo? Wamekamatwa wangapi an kama halmashauri na Idara ya Afya inayabomoa yangekuwepo ? (huku ni kuangalia kipato cha kodi tu!).

Wengine tunaomba-ziara za viongozi za kuvamia kukagua utendaji kuwa kama ndio mfumo wa utawala kwa sasa uangaliwe upya usiwe kisingizio cha matumizi mazuri kumbe ni mabaya ya oesa kwa zile safari zilizokatazwa; mbinu ya kujitakia misifa ya utendaji bora lakini utendaji bora wa kati unatakiwa uwe ni PROCESS. kaa na watu wako angalieni kipi kinakwamisha utendaji bora wenye ufanisi na kurekebisha hayo. fanya re-orientation na fukuza wabadhirifu na hakikisha adequate manpower na vifaa vipo. Unavamia, lakini Health Centre ina maombi kadhaa mpaka ya wauguzi na dokta ni mmoja karne na nurse mmoja unavamia maana yake!!!??? Maeneo mengine Assistant Nursing Officer ndio anakuwa Medical Attendant anatibu watu kwa vile hakuna Med Officer aliyekubali kukaa huko hakuna maabara, nyumba, maji etc. Unavamia-CHONI???? Serikali haijarekebisha haya karne

Mkwajuni Hannanasif waliboreshewa eneo na likapata Sifa kimataifa Chini ya UN-Habitat mama Tibaijuka akiwa UN-Habitat. Wameuza maeneo baada ya kuboresha wameshuka kinyesini. Mbunge wao akawajengea Daraja la Kuvuka kinyesi cha Mto Ng'ombe. Ina maana-amerasimisha makazi ya bondeni kinyesini. hao wananchi pamoja na kushirikishwa ktk uboreshaji mazingira na kupata mafunzo wakajenga mitaro ya kuondoa maji ay mvua (1993-1997) ikatathiminiwa 2000 wakasifu sana grant hiyo na juhudi za UNDP-Habitat, ILO-Assist, COWI Consult, UCLAS, Halmashauri-wameunganisha vyoo vyao ktk mifereji waliyojenga, waliouza nyumba kuna Bar, Cassino wapo kinyesini, wakapelekwa mabwe pande-wakauza wakarudi. Uongozi unawaachiaje na wanajaza takataka kuzima mto kujenga wanaona? Bwana Afya, Maendeleo-wamelala? Tanesco inawawwekeaje Umeme na ni makazi haram; Maji ya bomba yanafikaje; msikiti mmojawapo umewawekea handpump well bondeni kwenye werland ya maji machafu wamewachimbia kisima cha maji ya kunywa? Hali ya evaluation ya mradi wa Hannanasif 2000, na hali ya eneo hilo 2003, 2007 na 2010 inaonyesha jinsi gani tusivyojithamini na kuzingatia sheria. Barabara zilizoboreshwa zimekuwa finyu majengo kuingia barabarani, CBO zilizoundwa kwa msaada wa vifaa na ILO Assist za kufagia na kuzoa taka zimekuwa kama ya mtu binafsi na mishahara midogo; SACCOS iliyokuwa inawika sidhani kama inawika tena kwa mikopo na mirejesho kwa wajasiliamali ya mtaani hapo-wapo mto ng'ombe wanaogelea kinyesi cha mto ubungo (ng'ombe) na Msimbazi.

TANZANIA-tu kama kichwa cha mwensa wazimu!! Sasa Kazi tu.
Kama Kawa.


--------------------------------------------
On Sat, 19/12/15, 'Catherine Sungura' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Subject: RE: [wanabidii] NAIBU WAZIRI DKT. KIGWANGALLA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA LEO KATIKA HOSPITALI ZA RUFAA MIKOA YA LINDI NA MTWARA
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Saturday, 19 December, 2015, 17:03

Kwenye caption naona
umeandika waziri
Sent from my Sony Xperia™ smartphone


---- Zainul Mzige wrote ----

Habari za mchana,
Tafadhali pokea CODES hapo chini.

<span style="color:
#000000;"><em><strong><a
style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9315.jpg"><img
class="size-full wp-image-153609 aligncenter"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9315.jpg"
alt="IMG_9315" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong>Kaimu Muuguzi Mkuu
wa Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Damasiana Msalla
akimuongoza Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,
Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla kuelekea
kwenye wodi za hospitali wakati wa ziara ya kushtukiza
aliyofanya mkoa wa Lindi.<span style="color:
#000080;">(Picha zote na Zainul Mzige wa <span
style="color: #0000ff;"><a
style="color: #0000ff;" href="http://www.modewjiblog.com">Modewjiblog</a></span>)</span></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong><a
style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9342.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-153610"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9342.jpg"
alt="IMG_9342" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong>Mganga Mfawidhi wa
Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Dkt. Evaristo Kasanga
akimkaribisha Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,
Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla
alipotembelea wodi za hospitali hiyo wakati wa ziara ya
kushtukiza aliyofanya leo mkoa wa Lindi.Katikati ni Mganga
wa Meno na Kinywa katika hospitali hiyo, Dkt. Hussein
Athumani.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong><a
style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9381.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-153611"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9381.jpg"
alt="IMG_9381" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong>Mtaalamu wa Tehama
katika Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Abdallah
Kivurugo akitoa maelekezo kwa Naibu Waziri wa Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi
Kigwangalla (kulia) namna wanavyomsajili mgonjwa anapofika
hospitalini hapo wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya
leo mkoa wa
Lindi.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong><a
style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9395.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-153612"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9395.jpg"
alt="IMG_9395" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong>Naibu Waziri wa
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt.
Hamisi Kigwangalla (kulia) akihoji jambo kwenye chumba cha
mapokezi katika Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi,
wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya leo mkoani
humo.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong><a
style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9415.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-153613"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9415.jpg"
alt="IMG_9415" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong>Naibu Waziri wa
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt.
Hamisi Kigwangalla akisaini kitabu cha wageni ofisini kwa
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi,
Dkt. Evaristo Kasanga
(kulia).</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong><a
style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9422.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-153614"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9422.jpg"
alt="IMG_9422" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong>Mganga Mfawidhi wa
Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Dkt. Evaristo Kasanga
akionesha kombe la mshindi wa pili kwa utoaji wa huduma bora
 Tanzania kwa mwaka 2015 kwa Naibu Waziri wa Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi
Kigwangalla.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong><a
style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9501.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-153615"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9501.jpg"
alt="IMG_9501" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong>Naibu Waziri wa
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt.
Hamisi Kigwangalla akipata maelekezo kwa wahudumu wa afya wa
Hospitali ya Ligula ya mkoa wa Mtwara wakati wa ziara ya
kushtukiza aliyofanya leo mkoani
humo.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong><a
style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9533.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-153616"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9533.jpg"
alt="IMG_9533" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong>Naibu Waziri wa
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt.
Hamisi Kigwangalla akisalimiana na Mganga Mkuu wa Hospitali
ya Ligula ya mkoa wa Mtwara, Dkt. Shaibu Maarifa wakati wa
ziara ya kushtukiza aliyofanya leo mkoani
humo.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong><a
style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9545.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-153617"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9545.jpg"
alt="IMG_9545" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong>Mganga Mkuu wa
Hospitali ya Ligula ya mkoa wa Mtwara, Dkt. Shaibu Maarifa
akimuongoza Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,
Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla kuelekea
wodi za wagonjwa wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya
leo mkoani humo. Kulia ni Daktari wa zamu kitengo cha
dharura hospitalini hapo,Dkt. Ester
Tumwanga.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong><a
style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9550.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-153618"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9550.jpg"
alt="IMG_9550" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong>Naibu Waziri wa
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt.
Hamisi Kigwangalla akizungumza na duka la dawa kwa wagonjwa
wanaotumia huduma ya bima ya afya katika Hospitali ya Ligula
ya mkoa wa Mtwara. Kulia ni  Mganga Mkuu wa Hospitali ya
Ligula ya mkoa wa Mtwara, Dkt. Shaibu
Maarifa.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong><a
style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9567.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-153619"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9567.jpg"
alt="IMG_9567" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong>Naibu Waziri wa
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt.
Hamisi Kigwangalla akisikiliza maelezo kutoka kwa Daktari wa
zamu kitengo cha dharura hospitalini hapo,Dkt. Ester
Tumwanga (kulia) wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya
leo mkoani humo. Kushoto ni Mganga Mkuu wa Hospitali ya
Ligula ya mkoa wa Mtwara, Dkt. Shaibu
Maarifa.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong><a
style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9602.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-153620"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9602.jpg"
alt="IMG_9602" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong>Muuguzi Kiongozi
wa wodi ya wazazi katika Hospitali ya Ligula ya mkoa wa
Mtwara, Getrude Mangosongo (wa kwanza kulia) akifafanua
jambo kwa Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,
Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla (wa pili kushoto)
alipotembelea wodi ya akinamama wakati wa ziara ya
kushtukiza aliyofanya leo mkoani humo. Kushoto ni Daktari wa
zamu kitengo cha dharura hospitalini hapo,Dkt. Ester
Tumwanga na wa pili kulia ni Mganga Mkuu wa Hospitali ya
Ligula ya mkoa wa Mtwara, Dkt. Shaibu
Maarifa.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong><a
style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9619.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-153621"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9619.jpg"
alt="IMG_9619" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong>Naibu Waziri wa
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt.
Hamisi Kigwangalla (kulia) akiwasili katika jengo jipya la
Hospitali ya Kanda ya Kusini mkoani Mtwara ambalo
linaendelea kujengwa na litahudumia mikoa ya Lindi, Mtwara
na Ruvuma pamoja na nchi za jirani ikiwemo
Msumbuji.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong><a
style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9650.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-153622"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9650.jpg"
alt="IMG_9650" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong>Naibu Waziri wa
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt.
Hamisi Kigwangalla (kulia) akitembelea maeneo ya jengo jipya
la Hospitali ya Kanda ya Kusini mkoani Mtwara ambalo
linaendelea kujengwa na litahudumia mikoa ya Lindi, Mtwara
na Ruvuma pamoja na nchi za jirani ikiwemo
Msumbuji.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong><a
style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9671.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-153623"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9671.jpg"
alt="IMG_9671" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong>Naibu Waziri wa
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt.
Hamisi Kigwangalla (katikati) akiwa ndani ya jengo jipya la
Hospitali ya Kanda ya Kusini mkoani Mtwara ambalo
linaendelea kujengwa na litahudumia mikoa ya Lindi, Mtwara
na Ruvuma pamoja na nchi za jirani ikiwemo
Msumbuji.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong><a
style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9689.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-153624"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9689.jpg"
alt="IMG_9689" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><em><strong>Naibu Waziri wa
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt.
Hamisi Kigwangalla (kushoto) akitoa maelekezo baada ya
 kutembelea jengo jipya la Hospitali ya Kanda ya Kusini
mkoani Mtwara ambalo linaendelea kujengwa na litahudumia
mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma pamoja na nchi za jirani
ikiwemo
Msumbuji.</strong></em></span></p>

KAWAIDA

Kaimu Muuguzi Mkuu wa
Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Damasiana Msalla
akimuongoza Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,
Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla kuelekea
kwenye wodi za hospitali wakati wa ziara ya kushtukiza
aliyofanya mkoa wa Lindi.(Picha zote na Zainul Mzige
wa Modewjiblog)Mganga Mfawidhi wa
Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Dkt. Evaristo Kasanga
akimkaribisha Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,
Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla
alipotembelea wodi za hospitali hiyo wakati wa ziara ya
kushtukiza aliyofanya leo mkoa wa Lindi.Katikati ni Mganga
wa Meno na Kinywa katika hospitali hiyo, Dkt. Hussein
Athumani.Mtaalamu wa Tehama
katika Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Abdallah
Kivurugo akitoa maelekezo kwa Naibu Waziri wa Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi
Kigwangalla (kulia) namna wanavyomsajili mgonjwa anapofika
hospitalini hapo wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya
leo mkoa wa Lindi.Naibu Waziri wa Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi
Kigwangalla (kulia) akihoji jambo kwenye chumba cha mapokezi
katika Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, wakati wa
ziara ya kushtukiza aliyofanya leo mkoani
humo.Naibu Waziri wa Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi
Kigwangalla akisaini kitabu cha wageni ofisini kwa Mganga
Mfawidhi wa Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Dkt.
Evaristo Kasanga (kulia).Mganga Mfawidhi wa
Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Dkt. Evaristo Kasanga
akionesha kombe la mshindi wa pili kwa utoaji wa huduma bora
 Tanzania kwa mwaka 2015 kwa Naibu Waziri wa Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi
Kigwangalla.Naibu Waziri wa Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi
Kigwangalla akipata maelekezo kwa wahudumu wa afya wa
Hospitali ya Ligula ya mkoa wa Mtwara wakati wa ziara ya
kushtukiza aliyofanya leo mkoani
humo.Naibu Waziri wa Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi
Kigwangalla akisalimiana na Mganga Mkuu wa Hospitali ya
Ligula ya mkoa wa Mtwara, Dkt. Shaibu Maarifa wakati
wa ziara ya kushtukiza aliyofanya leo mkoani
humo.Mganga Mkuu wa
Hospitali ya Ligula ya mkoa wa Mtwara, Dkt. Shaibu Maarifa
akimuongoza Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,
Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla kuelekea
wodi za wagonjwa wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya
leo mkoani humo. Kulia ni Daktari wa zamu kitengo cha
dharura hospitalini hapo,Dkt. Ester
Tumwanga.Naibu Waziri wa Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi
Kigwangalla akizungumza na duka la dawa kwa wagonjwa
wanaotumia huduma ya bima ya afya katika Hospitali ya Ligula
ya mkoa wa Mtwara. Kulia ni  Mganga Mkuu wa Hospitali ya
Ligula ya mkoa wa Mtwara, Dkt. Shaibu
Maarifa.Naibu Waziri wa Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi
Kigwangalla akisikiliza maelezo kutoka kwa Daktari wa zamu
kitengo cha dharura hospitalini hapo,Dkt. Ester Tumwanga
(kulia) wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya leo mkoani
humo. Kushoto ni Mganga Mkuu wa Hospitali ya Ligula ya mkoa
wa Mtwara, Dkt. Shaibu Maarifa.Muuguzi Kiongozi wa
wodi ya wazazi katika Hospitali ya Ligula ya mkoa wa
Mtwara, Getrude Mangosongo (wa kwanza kulia) akifafanua
jambo kwa Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,
Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla (wa pili
kushoto) alipotembelea wodi ya akinamama wakati wa ziara
ya kushtukiza aliyofanya leo mkoani humo. Kushoto ni Daktari
wa zamu kitengo cha dharura hospitalini hapo,Dkt. Ester
Tumwanga na wa pili kulia ni Mganga Mkuu wa Hospitali ya
Ligula ya mkoa wa Mtwara, Dkt. Shaibu
Maarifa.Naibu Waziri wa Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi
Kigwangalla (kulia) akiwasili katika jengo jipya la
Hospitali ya Kanda ya Kusini mkoani Mtwara ambalo
linaendelea kujengwa na litahudumia mikoa ya Lindi, Mtwara
na Ruvuma pamoja na nchi za jirani ikiwemo
Msumbuji.Naibu Waziri wa Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi
Kigwangalla (kulia) akitembelea maeneo ya jengo jipya la
Hospitali ya Kanda ya Kusini mkoani Mtwara ambalo
linaendelea kujengwa na litahudumia mikoa ya Lindi, Mtwara
na Ruvuma pamoja na nchi za jirani ikiwemo
Msumbuji.Naibu Waziri wa Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi
Kigwangalla (katikati) akiwa ndani ya jengo jipya la
Hospitali ya Kanda ya Kusini mkoani Mtwara ambalo
linaendelea kujengwa na litahudumia mikoa ya Lindi, Mtwara
na Ruvuma pamoja na nchi za jirani ikiwemo
Msumbuji.Naibu Waziri wa Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi
Kigwangalla (kushoto) akitoa maelekezo baada ya
 kutembelea jengo jipya la Hospitali ya Kanda ya Kusini
mkoani Mtwara ambalo linaendelea kujengwa na litahudumia
mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma pamoja na nchi za jirani
ikiwemo Msumbuji.



--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.




--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment