Sidhani kama watu wote au wengi wanafahamu kuwa-inapokuwa serikali haina health facility katika eneo fulani, lakini mahala hapo kuna a private health facility kama ni ya NGO-Kanisa, Msikiti au private organization/individual-serikali hii ya TZ huingia makubaliano ya kuchangia huduma itolewayo na hiyo health facility na kuifanya "Designated Health Facility". Inakuwa Designated District Hospital, Referral Hospital Laike KCMC, TMJ, Aga Khan au Designated Health Centre kama St Kizito etc or designated Dispensary. Ikiwa hivyo-serikali inapeleka madaktari, nurses na category nyingine ya wafanyakazi wa nyongeza wanaotakiwa na Health Kit ya kutoka MSD yenye madawa na other essentials zinazohitajika na kuzitambua kama ni referral hospital ambapo mgonjwa anaweza kutoka Muhimbili kuhamishiwa huko au kwenda kufanyiwa huko kama kuna vifaa. Kama kuna a designated referral hospital eneo hilo ambayo mfano ni ya Kanisa au madhehebu ya dini say KMC-hakuna haja ya Ministry of Health kujenga another referral hospital mji huo au wilaya hiyo kukawa na mahospitali makubwa mawili badala yake ya GVT itakwenda kujengwa wilaya au mkoa mwingine. Huu ndio uelewa wangu.
Lakini kuwepo na designated dispensary au district hospital haizuiii kuwa au kuwepo na other private health facilities kama zitazingatia sera na sheria kuandikishwa rasmi, pamoja na maabara na huduma nyingine. Serikali itajenga district hospital yake miaka ya baadae itakapoweka bajeti na kukamilisha ujenzi.
Kama tungefahamu kuwa baadhi ya watu huenda kupimwa magonjwa hasa ya zinaa na kutibiwa zaidi private hospitals kuliko GVT kwa kutaka usiri tusingeondoa au kutaka kuondoa private health facilities and labs. Ukiziondoa hizo-watakuwa wanatibiwa majumbani, kwenye maduka ya dawa na kwa mabwana mifugo kupigwa sindano za kaswende, kisonono na magonjwa mengine ya zinaa ili wasionekane kwenye public facilities. Hapo utahatarisha maisha ya watu kwa kuondoa private services.
Hata mafunzo ya Wahudumu ya Afya hutolewa kwa Village Health Workers (VHW), Wakunga wa Jadi, Ngariba na Wagangawa Tiba Asili. Kozi ya VHWs ni ya miezi 6 class and practical training katika masuala mengi pamoja na first Aid, kukusanya takwimu mbali mbali, elimu ya afya kwa umma na kusaidia kazi fulani zahanati wanapohitajika. Wakunga wa jadi nao kufundishwa kuzalisha kwa usafi na kusindikiza wamama wajawazito hospitali. Wao kusaidia inapotokea dharura na wanafundishwa jinsi ya kuweka takwimu za waliowazalisha hata kwa vijiti. Kikopo hiki vijiti namna fulani waliozaliwa hai na namna fulani vijiti ktk kikopo wa wale waliozaliwa wafu au kufa baada tu ya kuzaliwa. Kwani vijiji vingine ni kilomita nyingi hadi Zahanati wanapoweza kuzaa watazaa nyumbani anyway. Manuals za mafunzo ya VHWs na Traditional Birth Attendants zipo. Waganga wajadi na Ngariba nao hupewa mafunzo kuelewa jinsi ambavyo wanatakiwa mara moja kumshauri mgonjwa aende hospitali kupata kinga au kutibiwa badala ya kutegemea imani za kishirikina au kutibiwa maradhi ambayo yana kinga n ahawajazingatiwa na kubitiwa mfano TB, kupata ARV badala ya kudhania wamelogwa. Wazee wa mila men and women kuelezwa madhara ya bila potofu pamoja na ukeketaji na Ngariba kuelekezwa kutahiri watoto wa kiume hospitali na daktari kwenda kuwafunga vidonda wao wakabaki kufundisha mila kwa vijana wao wakiume waliotarihira zahanati na dokta kuwakagua ktk kambi yao. Kisha wakatolewa hao wali wa kiume kimila. Siku hizi inaitwa 'Jando Mbadala' kwani katika ushirikiano wa PHC vijana wanaweza kuwekwa darasani au bwana afya na clinical officer wakaenda kambini kuwaelimisha kuhusu afya, maradi, reproductive system, mimba na uzazi, body hygiene, ukimwi na bibi maendeleo kufundisha study za maisha. kisha wakakabishiwa kijijini rasmi na vyeti pia wakakubalika na kutoa wali wakatoka kimila kama inavyotakiwa mbele ya umma. Wasichana bila ya kukeketwa na wavulana kutahiriwa hospitali na kukubalika (inaonekana inferior kutahiriwa hospitali). Haya mabo ya PHC yalianza wakati wa international declaration ya 'Health for All by year 2000; PHC Development Programme na Miongozo ya Kufundisha Urasimishaji wa Tiba Aisili na Mbadala. Inabidi tuboreshe mazuri ya nyumba tulikotoka ile tuweze kutembea kwa miguu miwili kwani kutokana na ugumu wa maisha, huduma za afya kuta tata-watu wanarudia kutumia waganga wa kienyeji hasa wale wapiga ramli (Sio wa Tiba Asili) wanaosababisha mauaji.
Kama Kawa
--------------------------------------------
On Sat, 26/12/15, 'Dr. A. Massawe' massaweantipas@hotmail.com [Wanazuoni] <Wanazuoni@yahoogroups.com> wrote:
Subject: Re: [Wanazuoni] Habari Kubwa 3 Kwa Leo Kwa Mujibu Wa Mtandao Wa Mjengwablog.com [1 Attac
To: "wanazuoni@yahoogroups.com" <wanazuoni@yahoogroups.com>
Date: Saturday, 26 December, 2015, 8:43
LGF:
Private clinics which
address healthcare shortage in the
populations not well covered by public
hospitals,
clinics, dispensaries and pharmacies, and
engage
the business minded and unemployed
by public hospitals, clinics, dispensaries and pharmacies
healthcare professionals
contributing positively in the development of local private
and healthcare sectors
for the benefit of all stakeholders when elimination of gaps
in the public
healthcare coverage of populations rather extraction of more
from clients for salaries and
healthcare which are better than offered in public clinics
is all what they are
in for.
It means in a well
organized co-existence, both public and
private clinics would serve same high
quality healthcare to clients at same salaries to employees
and reasonable charges
to customers which are set jointly by both private and
public health care
providers taking into consideration that as public providers
operate in
healthcare facilities created from monies sourced from tax
payers, private
providers operate for profits from own investing in the
construction and equipping
of private healthcare facilities.
Private providers also
deserve tax exemptions and special
operational subsidies from the Government on same grounds
plus taking into
consideration that some monies from tax payers also
supplement operational
and/or amortization costs in the public healthcare
facilities.
__._,_.___
Posted by: "Dr. A. Massawe"
<massaweantipas@hotmail.com>
Reply
via web post
•
Reply to sender
•
Reply to group
•
Start a New
Topic
•
Messages in this
topic
(4)
Visit Your Group
New Members
2
• Privacy • Unsubscribe • Terms of Use
.
__,_._,___
#yiv7048959191 #yiv7048959191 --
#yiv7048959191ygrp-mkp {
border:1px solid #d8d8d8;font-family:Arial;margin:10px
0;padding:0 10px;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191ygrp-mkp hr {
border:1px solid #d8d8d8;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191ygrp-mkp #yiv7048959191hd {
color:#628c2a;font-size:85%;font-weight:700;line-height:122%;margin:10px
0;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191ygrp-mkp #yiv7048959191ads {
margin-bottom:10px;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191ygrp-mkp .yiv7048959191ad {
padding:0 0;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191ygrp-mkp .yiv7048959191ad p {
margin:0;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191ygrp-mkp .yiv7048959191ad a {
color:#0000ff;text-decoration:none;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191ygrp-sponsor
#yiv7048959191ygrp-lc {
font-family:Arial;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191ygrp-sponsor
#yiv7048959191ygrp-lc #yiv7048959191hd {
margin:10px
0px;font-weight:700;font-size:78%;line-height:122%;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191ygrp-sponsor
#yiv7048959191ygrp-lc .yiv7048959191ad {
margin-bottom:10px;padding:0 0;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191actions {
font-family:Verdana;font-size:11px;padding:10px 0;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191activity {
background-color:#e0ecee;float:left;font-family:Verdana;font-size:10px;padding:10px;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191activity span {
font-weight:700;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191activity span:first-child {
text-transform:uppercase;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191activity span a {
color:#5085b6;text-decoration:none;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191activity span span {
color:#ff7900;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191activity span
.yiv7048959191underline {
text-decoration:underline;}
#yiv7048959191 .yiv7048959191attach {
clear:both;display:table;font-family:Arial;font-size:12px;padding:10px
0;width:400px;}
#yiv7048959191 .yiv7048959191attach div a {
text-decoration:none;}
#yiv7048959191 .yiv7048959191attach img {
border:none;padding-right:5px;}
#yiv7048959191 .yiv7048959191attach label {
display:block;margin-bottom:5px;}
#yiv7048959191 .yiv7048959191attach label a {
text-decoration:none;}
#yiv7048959191 blockquote {
margin:0 0 0 4px;}
#yiv7048959191 .yiv7048959191bold {
font-family:Arial;font-size:13px;font-weight:700;}
#yiv7048959191 .yiv7048959191bold a {
text-decoration:none;}
#yiv7048959191 dd.yiv7048959191last p a {
font-family:Verdana;font-weight:700;}
#yiv7048959191 dd.yiv7048959191last p span {
margin-right:10px;font-family:Verdana;font-weight:700;}
#yiv7048959191 dd.yiv7048959191last p
span.yiv7048959191yshortcuts {
margin-right:0;}
#yiv7048959191 div.yiv7048959191attach-table div div a {
text-decoration:none;}
#yiv7048959191 div.yiv7048959191attach-table {
width:400px;}
#yiv7048959191 div.yiv7048959191file-title a, #yiv7048959191
div.yiv7048959191file-title a:active, #yiv7048959191
div.yiv7048959191file-title a:hover, #yiv7048959191
div.yiv7048959191file-title a:visited {
text-decoration:none;}
#yiv7048959191 div.yiv7048959191photo-title a,
#yiv7048959191 div.yiv7048959191photo-title a:active,
#yiv7048959191 div.yiv7048959191photo-title a:hover,
#yiv7048959191 div.yiv7048959191photo-title a:visited {
text-decoration:none;}
#yiv7048959191 div#yiv7048959191ygrp-mlmsg
#yiv7048959191ygrp-msg p a span.yiv7048959191yshortcuts {
font-family:Verdana;font-size:10px;font-weight:normal;}
#yiv7048959191 .yiv7048959191green {
color:#628c2a;}
#yiv7048959191 .yiv7048959191MsoNormal {
margin:0 0 0 0;}
#yiv7048959191 o {
font-size:0;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191photos div {
float:left;width:72px;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191photos div div {
border:1px solid
#666666;height:62px;overflow:hidden;width:62px;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191photos div label {
color:#666666;font-size:10px;overflow:hidden;text-align:center;white-space:nowrap;width:64px;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191reco-category {
font-size:77%;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191reco-desc {
font-size:77%;}
#yiv7048959191 .yiv7048959191replbq {
margin:4px;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191ygrp-actbar div a:first-child {
margin-right:2px;padding-right:5px;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191ygrp-mlmsg {
font-size:13px;font-family:Arial, helvetica, clean,
sans-serif;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191ygrp-mlmsg table {
font-size:inherit;font:100%;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191ygrp-mlmsg select,
#yiv7048959191 input, #yiv7048959191 textarea {
font:99% Arial, Helvetica, clean, sans-serif;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191ygrp-mlmsg pre, #yiv7048959191
code {
font:115% monospace;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191ygrp-mlmsg * {
line-height:1.22em;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191ygrp-mlmsg #yiv7048959191logo {
padding-bottom:10px;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191ygrp-msg p a {
font-family:Verdana;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191ygrp-msg
p#yiv7048959191attach-count span {
color:#1E66AE;font-weight:700;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191ygrp-reco
#yiv7048959191reco-head {
color:#ff7900;font-weight:700;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191ygrp-reco {
margin-bottom:20px;padding:0px;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191ygrp-sponsor #yiv7048959191ov
li a {
font-size:130%;text-decoration:none;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191ygrp-sponsor #yiv7048959191ov
li {
font-size:77%;list-style-type:square;padding:6px 0;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191ygrp-sponsor #yiv7048959191ov
ul {
margin:0;padding:0 0 0 8px;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191ygrp-text {
font-family:Georgia;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191ygrp-text p {
margin:0 0 1em 0;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191ygrp-text tt {
font-size:120%;}
#yiv7048959191 #yiv7048959191ygrp-vital ul li:last-child {
border-right:none !important;
}
#yiv7048959191
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment