Saturday, 19 December 2015

Re: [wanabidii] MAPEMA ASUBUHI YA LEO DKT. KINGWANGALLA ATUMBUA MAJIPU YA WATUMISHI WACHELEWAJI WA WIZARA YA AFYA

Umenena-mbio za sakafuni, huishia ukingoni kama changamoto husika hutoziondoa.
--------------------------------------------
On Sat, 19/12/15, 'Sylvanus Kessy' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] MAPEMA ASUBUHI YA LEO DKT. KINGWANGALLA ATUMBUA MAJIPU YA WATUMISHI WACHELEWAJI WA WIZARA YA AFYA
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Saturday, 19 December, 2015, 15:23

Hali ya baraabara za Dar es Salaam tunaIjua.
Atakayemuunga mkono kwa hili, hana akili timamu. Ondoeni
foleni then hili lifuate.
AMEKURUPUKA! 




From:
'leonard magwayega' via Wanabidii
<wanabidii@googlegroups.com>
To:
"wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>

Sent:
Saturday, December 19, 2015 11:36 AM

Subject: Re:
[wanabidii] MAPEMA ASUBUHI YA LEO DKT. KINGWANGALLA ATUMBUA
MAJIPU YA WATUMISHI WACHELEWAJI WA WIZARA YA AFYA

Huyu
misifa tu hana chochote maana utaratibu wa kushughulikia
watumishi wa Serikali wanaochelewa unajulikana wazi kwa
secular iliyotolewa na serikali. yeye anapaswa kuchora
mstari mwekundu (officer Incharge achore mstari mwekundu)
kwa mtu wa mwisho wa aliyefika muda mwafaka yaani saa 1.30
na siyo kufunga mageti. Huo ni muhemuko wa madaraka na
ulimbukeni na kutojua sheria. Misifa itwawaua hawa mawaziri
wetu. mimi ni mwana CCM pure lakini mwelewa na mfuata sheria
naona hawa mawaziri feki watachafua image ya
Chama.Leonard
Elias Magwayega (Advocate)


On Friday, December
18, 2015 5:35 PM, Emmanuel Muganda
<emuganda@gmail.com> wrote:


Huyu anajitafutia umaarufu
tu. Kwa nini afuatane na kamera za mapaparazi? Wizara yake
ina matatizo makubwa mbali tu na kuchelewa wafanyikazi
kufika ofisini.Angeyashughulikia hayo
kwanza.em
2015-12-18 3:28 GMT-05:00
Lushengo Lutinwa <lutinwa@gmail.com>:
Madness, Dar sio
Nzega. Foleni zinalazimisha watumishi kuchelewa
ofisin.
2015-12-18 11:05 GMT+03:00
Zainul Mzige <zmzige@gmail.com>:
Habari za
asubuhi,
Tafadhali pokea
CODES hapo chini

<span style="color:
#000080;"><em><strong><a
style="color: #000080;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9118.jpg"><img
class="size-full wp-image-153537 aligncenter"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9118.jpg"
alt="IMG_9118" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Naibu Waziri wa
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.
Hamisi Kingwangalla akiwaamrisha askari wa getini wizarani
hapo kuweka kufuli na kutoruhusu mtumishi yoyote wa ofisi
hiyo kuingia ndani ya ofisi za wizara ilipotimu saa 1:32
asubuhi mapema leo.(Picha zote na Zainul Mzige wa <a
href="http://www.modewjiblog.com"><span
style="color:
#0000ff;">Modewjiblog</span></a>).</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong><a
style="color: #000080;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9122.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-153538"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9122.jpg"
alt="IMG_9122" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Naibu Waziri wa
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.
Hamisi Kingwangalla akisimamia zoezi la ufungwaji wa geti
hilo, Kulia ni askari wa SUMA JKT akiweka kufuli katika
lango kuu la kuingia katika ofisi za Wizara ya
Afya.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong><a
style="color: #000080;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9123.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-153539"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9123.jpg"
alt="IMG_9123" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Naibu Waziri wa
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.
Hamisi Kingwangalla akiwauliza askari wa getini kuhusu
daftari la mahudhurio ya watumishi wa wizara baada ya
kufungwa geti hilo, na kupewa maelezo kuwa watumishi
huonyesha vitambulisho pekee na husaini katika vitengo
vyao.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong><a
style="color: #000080;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9139.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-153542"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9139.jpg"
alt="IMG_9139" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Mmoja wa
wafanyakazi wa Wizara ya Afya akiwasili ofisini huku muda wa
kuingia kazini ukiwa umepitiliza. Kushoto ni Naibu Waziri wa
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.
Hamisi Kingwangalla akizungumza na mmoja watumishi wa wizara
hiyo na kuagiza kuletewa vitabu vya mahudhurio kwa vitengo
vyote vilivyopo wizarani
hapo.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong><a
style="color: #000080;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9149.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-153544"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9149.jpg"
alt="IMG_9149" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Mkurugenzi wa
Utawala na Rasilimali Watu katika Wizara ya Afya, Michael
John akitoa maelezo kuhusu mahudhurio ya watumishi kwa Naibu
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto,
Dkt. Hamisi
Kingwangalla.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong><a
style="color: #000080;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9155.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-153545"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9155.jpg"
alt="IMG_9155" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Magari ya
watumishi wa Wizara ya Afya yakiendelea kuwasili ofisini
bila ya kutambua kuwa Mheshimiwa Naibu Waziri, Dkt.
Kigwangalla ametoa agizo la kuizuia watumishi
wachelewaji.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong><a
style="color: #000080;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9156.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-153546"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9156.jpg"
alt="IMG_9156" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Askari wa getini
wakimpa maelezo mmoja wa watumishi wa wizara hiyo  kuwa Mh.
Naibu Waziri ameagiza watumishi wote waliochelewa kuzuiliwa
kuingia ndani.
</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong><a
style="color: #000080;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9164.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-153547"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9164.jpg"
alt="IMG_9164" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Mmoja wa wasaidi
wa idara ya rasilimali watu akimkabidhi vitabu vya
mahudhurio Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,
Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi
Kingwangalla.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong><a
style="color: #000080;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9172.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-153548"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9172.jpg"
alt="IMG_9172" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Naibu Waziri wa
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.
Hamisi Kingwangalla akipitia mahudhurio ya watumishi wa
wizara kwa siku
zilizopita.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong><a
style="color: #000080;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9181.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-153549"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9181.jpg"
alt="IMG_9181" width="640"
height="359"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Naibu Waziri wa
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.
Hamisi Kingwangalla akipitisha mstari wa kufunga mahudhurio
kwa watumishi ambao wameripiti kabla ya saa 1:30 asubuhi ya
leo.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong><a
style="color: #000080;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9198.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-153550"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9198.jpg"
alt="IMG_9198" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Naibu Waziri wa
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.
Hamisi Kingwangalla akiendelea na zoezi hilo la kupitisha
mstari kwa kila idara za wizara
hiyo.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong><a
style="color: #000080;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9231.jpg"><img
class="aligncenter size-full wp-image-153551"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9231.jpg"
alt="IMG_9231" width="640"
height="427"
/></a></strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Naibu Waziri wa
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.
Hamisi Kingwangalla akizungumza na waandishi wa habari
kuhusu juu ukaguzi huo katika ofisi za wizara yake ya afya
ili kuboresha utendaji wa wizara hiyo na vituo vyote vya
sekta ya afya nchini
kote.</strong></em></span></p>Na
Rabi Hume, Modewjiblog
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya
Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kingwangalla
amefanya ukaguzi wa kushtukiza katika ofisi za wizara hiyo
kwa kusimama getini kuzuia wafanya kazi wote wa wizara ambao
walikuwa wamefika ofisini baada ya saa 1:30 asubuhi  muda
ambao ndiyo mwisho wa wafanyakazi kuingia
ofisini.
Awali Dkt.
Kingwangalla alifika ofisini saa 1:05 asubuhi huku akiingia
ofisini kwa kutembea mwenyewe bila kutumia usafiri wa gari
na kwenda moja kwa moja ofisini kwake ambapo alitoka
ilipofika saa 1:32 na kwenda kusimama getini na kisha
kuwaamrisha askari wa geti la kuingia katika wizara hiyo
kulifunga geti hilo na wasiruhusu mtu yeyote kuingia
ndani.
"Fungeni geti
na kila atakayefika msimruhusu kuingia ndani ninataka kuona
wote ambao wanakuja wamechelewa," alisikika Dkt.
Kingwangalla akiwambia askari wa getini.
Baada ya kutoa amri hiyo alimtaka
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa wizara hiyo,
Michael John kumpa vitabu vya kusaini kwa vitengo vyote ili
aweke mstari wa kuonyesha kuwa muda wa kuingia ofisini
umekwisha na akafanya hivyo kwa kuweka mstari kwenye vitabu
vya mahudhurio kuwa muda wa kusaini kuingia
umeisha.
Baada ya
kukamilisha zoezi hilo Naibu Waziri alizungumza na
wanahabari kuwa ameamua kufanya zoezi hilo katika ofisi za
wizara kwa kutaka kuona ni jinsi gani watumishi wa ofisi
hiyo wamekuwa na mwitikio wa kufanya kazi kwa kasi
anayoitaka rais, Dkt. John Pombe Magufuli.
Alisema watumishi hao wameajiriwa na
serikali ili kufanya kazi lakini wamekuwa wakichelewa
kuingia ofisini na yeye kama Naibu Waziri ana wajibu wa
kuwasimamia watumishi hao ili wafanye kazi ambayo serikali
imewaagiza kufanya.
"Nina wiki moja tangu nimeingia
hapa ofisini kuna mambo ambayo nimeyaona hayapo vizuri na
sasa naanza na hili ili tujue kuwa  ni kina nani huwa
wanachelewa na zoezi hili litakuwa ni endelevu, kama mimi
sitasimamia watumishi wa serikali basi sitakuwa na kazi
wizarani tunataka watumishi ambao wanakuwa wanafanya kazi
kwa kujitoa kwa ajili ya maslahi ya taifa," alisema Dkt.
Kingwangalla.
Aidha
Naibu Waziri huyo alimtaka Mkurugenzi wa Utawala na
Rasilimali Watu kuhakikisha watumishi wote waliochelewa
kufika ofisini wanaandika barua ya kutoa maelezo kwanini
wanachelewa kufika ofisini na baada ya hapo Mkurugenzi na
yeye atoe maelezo kwanini muda wa kutoka watumishi wanakuwa
hawasaini kuwa wametoka.
Pia alishauri uongozi wa wizara
ufanye mabadiliko ya mfumo wa watumishi kuingia ofisini kwa
kutumia mifumo ya kisasa ya kadi au kidole "Biometric"
ili kuwa na taarifa katika mifumo ya mawasiliano kujua
wanaochelewa ofisini na wanaowahi kutoka na baada ya hapo
uongozi utajadili adhabu za kuwapa watumishi wote ambao
wamekuwa wakichelewa kufika na kuwahi kutoka
ofisini.

KAWAIDA
Naibu Waziri wa
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.
Hamisi Kingwangalla akiwaamrisha askari wa getini wizarani
hapo kuweka kufuli na kutoruhusu mtumishi yoyote wa ofisi
hiyo kuingia ndani ya ofisi za wizara ilipotimu saa 1:32
asubuhi mapema leo.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog).Naibu Waziri wa
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.
Hamisi Kingwangalla akisimamia zoezi la ufungwaji wa geti
hilo, Kulia ni askari wa SUMA JKT akiweka kufuli katika
lango kuu la kuingia katika ofisi za Wizara ya
Afya.Naibu Waziri wa
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.
Hamisi Kingwangalla akiwauliza askari wa getini kuhusu
daftari la mahudhurio ya watumishi wa wizara baada ya
kufungwa geti hilo, na kupewa maelezo kuwa watumishi
huonyesha vitambulisho pekee na husaini katika vitengo
vyao.Mmoja wa wafanyakazi
wa Wizara ya Afya akiwasili ofisini huku muda wa kuingia
kazini ukiwa umepitiliza. Kushoto ni Naibu Waziri wa Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi
Kingwangalla akizungumza na mmoja watumishi wa wizara hiyo
na kuagiza kuletewa vitabu vya mahudhurio kwa vitengo vyote
vilivyopo wizarani hapo.Mkurugenzi wa
Utawala na Rasilimali Watu katika Wizara ya Afya, Michael
John akitoa maelezo kuhusu mahudhurio ya watumishi
kwa Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee
na Watoto, Dkt. Hamisi
Kingwangalla.Magari ya watumishi
wa Wizara ya Afya yakiendelea kuwasili ofisini bila ya
kutambua kuwa Mheshimiwa Naibu Waziri, Dkt. Kigwangalla
ametoa agizo la kuizuia watumishi
wachelewaji.Askari wa getini
wakimpa maelezo mmoja wa watumishi wa wizara hiyo  kuwa Mh.
Naibu Waziri ameagiza watumishi wote waliochelewa kuzuiliwa
kuingia ndani. Mmoja wa wasaidi wa
idara ya rasilimali watu akimkabidhi vitabu vya
mahudhurio Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,
Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi
Kingwangalla.Naibu Waziri wa
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.
Hamisi Kingwangalla akipitia mahudhurio ya watumishi wa
wizara kwa siku zilizopita.Naibu Waziri wa
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.
Hamisi Kingwangalla akipitisha mstari wa kufunga mahudhurio
kwa watumishi ambao wameripiti kabla ya saa 1:30 asubuhi ya
leo.Naibu Waziri wa
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.
Hamisi Kingwangalla akiendelea na zoezi hilo la kupitisha
mstari kwa kila idara za wizara
hiyo.Naibu Waziri wa
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.
Hamisi Kingwangalla akizungumza na waandishi wa habari
kuhusu juu ukaguzi huo katika ofisi za wizara yake ya afya
ili kuboresha utendaji wa wizara hiyo na vituo vyote vya
sekta ya afya nchini kote.Na
Rabi Hume, ModewjiblogNaibu
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto,
Dkt. Hamisi Kingwangalla amefanya ukaguzi wa kushtukiza
katika ofisi za wizara hiyo kwa kusimama getini kuzuia
wafanya kazi wote wa wizara ambao walikuwa wamefika ofisini
baada ya saa 1:30 asubuhi  muda ambao ndiyo mwisho wa
wafanyakazi kuingia ofisini.Awali
Dkt. Kingwangalla alifika ofisini saa 1:05 asubuhi huku
akiingia ofisini kwa kutembea mwenyewe bila kutumia usafiri
wa gari na kwenda moja kwa moja ofisini kwake ambapo alitoka
ilipofika saa 1:32 na kwenda kusimama getini na kisha
kuwaamrisha askari wa geti la kuingia katika wizara hiyo
kulifunga geti hilo na wasiruhusu mtu yeyote kuingia
ndani."Fungeni
geti na kila atakayefika msimruhusu kuingia ndani ninataka
kuona wote ambao wanakuja wamechelewa," alisikika Dkt.
Kingwangalla akiwambia askari wa getini.Baada
ya kutoa amri hiyo alimtaka Mkurugenzi wa Utawala na
Rasilimali Watu wa wizara hiyo, Michael John kumpa vitabu
vya kusaini kwa vitengo vyote ili aweke mstari wa kuonyesha
kuwa muda wa kuingia ofisini umekwisha na akafanya hivyo kwa
kuweka mstari kwenye vitabu vya mahudhurio kuwa muda wa
kusaini kuingia umeisha.Baada
ya kukamilisha zoezi hilo Naibu Waziri alizungumza na
wanahabari kuwa ameamua kufanya zoezi hilo katika ofisi za
wizara kwa kutaka kuona ni jinsi gani watumishi wa ofisi
hiyo wamekuwa na mwitikio wa kufanya kazi kwa kasi
anayoitaka rais, Dkt. John Pombe Magufuli.Alisema
watumishi hao wameajiriwa na serikali ili kufanya kazi
lakini wamekuwa wakichelewa kuingia ofisini na yeye kama
Naibu Waziri ana wajibu wa kuwasimamia watumishi hao ili
wafanye kazi ambayo serikali imewaagiza kufanya."Nina
wiki moja tangu nimeingia hapa ofisini kuna mambo ambayo
nimeyaona hayapo vizuri na sasa naanza na hili ili tujue
kuwa  ni kina nani huwa wanachelewa na zoezi hili litakuwa
ni endelevu, kama mimi sitasimamia watumishi wa serikali
basi sitakuwa na kazi wizarani tunataka watumishi ambao
wanakuwa wanafanya kazi kwa kujitoa kwa ajili ya maslahi ya
taifa," alisema Dkt. Kingwangalla.Aidha
Naibu Waziri huyo alimtaka Mkurugenzi wa Utawala na
Rasilimali Watu kuhakikisha watumishi wote waliochelewa
kufika ofisini wanaandika barua ya kutoa maelezo kwanini
wanachelewa kufika ofisini na baada ya hapo Mkurugenzi na
yeye atoe maelezo kwanini muda wa kutoka watumishi wanakuwa
hawasaini kuwa wametoka.Pia
alishauri uongozi wa wizara ufanye mabadiliko ya mfumo wa
watumishi kuingia ofisini kwa kutumia mifumo ya kisasa ya
kadi au kidole "Biometric" ili kuwa na taarifa katika
mifumo ya mawasiliano kujua wanaochelewa ofisini na
wanaowahi kutoka na baada ya hapo uongozi utajadili adhabu
za kuwapa watumishi wote ambao wamekuwa wakichelewa kufika
na kuwahi kutoka ofisini.




--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.






--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.






--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.







--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.





--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment