'lesian mollel' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Ngupula hata angekua hana sheria yake hy alioipatia ukubwani bana huyu dada nadhan mambo ya kule kwao yanachangia labda kudharau watu na kutukana na kujiona yeye anajua kuliko wengine wooote.....kuna ssiku nilimmind sana anajifanya kumtukana zitto bure kua eti kaz yake alioifaNYA ESCROW SI lolote wala chochote
anyway nahis hata msimao hanaga leo anasema hivi kesho anageuka.....wanasema ukiwa muongo uwe mwepesi kukumbuka
so msameeni bure huyu , dharau comment zake maaana hazina nguvu kiviiile, so sorry to say this maana hata mie ananiboa tho ni mwanahabari mwenzangu, she dont go with logics anakurupukaga tu
From: Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com>
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Sent: Saturday, December 13, 2014 3:06 AM
Subject: Re: [wanabidii] KIKWETE USIWASIKILIZE 'BUSH LAWYER' KATIKA ESCROW
Wasu Kunyaranyara,
Hakuna lolote la kujifunza kutoka kwa huyu mama. Huwezi kumfananisha na Jenerali Ulimwengu. Kwa hiyo naamini sijakosa kitu kwa kumweka kwenye kundi la ignore.
em
Sent from my iPhone
On Dec 13, 2014, at 2:01 AM, "'ezekiel kunyaranyara' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Kwa hiyo brother Ngupula unamchukia huyu dada au.... Ushauri wangu kwako kubali mawazo mbadala hata kama huyapendi, utaonekana wa busara zaidi.Kutoyasoma kama anavyoshauri EM ni hatari zaidi kwani unazuia kufahamu zaidi.K.E.M.S.
From: Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com>
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Sent: Friday, 12 December 2014, 19:27
Subject: Re: [wanabidii --
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment