JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA
S. L. P. 926,
SONGEA – RUVUMA, TANZANIA.
Anwani ya simu: "UCHUNGUZI"
Simu Nambari: 025 2600613
Nambari ya Nukushi: 025 2600663
Barua pepe: rbcruvuma@pccb.go.tz
Simu ya Bure: 113
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI MKOANI RUVUMA 28/06/2013
TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA
S. L. P. 926,
SONGEA – RUVUMA, TANZANIA.
Anwani ya simu: "UCHUNGUZI"
Simu Nambari: 025 2600613
Nambari ya Nukushi: 025 2600663
Barua pepe: rbcruvuma@pccb.go.tz
Simu ya Bure: 113
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI MKOANI RUVUMA 28/06/2013
Katika siku za hivi karibuni, TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma imewafikisha mahakamani watumishi 12 wa halmashauri za Mkoa wa Ruvuma kujibu mashtaka mbalimbali ya rushwa chini ya sheria ya kuzuia na kupambana na Rushwa Na. 11/2007, sheria ya kanuni ya adhabu Cap. 16 R.E 2002 na sheria ya uhujumu
uchumi Cap. 200 R.E 2002 . Washitakiwa waliofikishwa mahakamani ni kama ifuatavyo:
WASHTAKIWA:
1. ANTONY SIMON MASHIMBA (65) – EX District Medical Officer
2. FRANCIS FAUSTUS (56) – Coordinator HIV/AIDS Project - Mbinga
3. JOHN MANDALA (51) – Assistant Accountant – Mbinga District
MASHTAKA:
Watuhumiwa walifikishwa mahakamani tarehe 24/04/2013 na kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi namba 1/2013 katika mahakama ya Wilaya ya Mbinga. Wameshtakiwa kwa makosa mawili kinyume na kifungu cha 28(1) cha PCCA Na. 11/2007 na kifungu cha 57(1) na 60(2) cha sheria ya uhujumu uchumi Cap. 200 R.E 2002.
WASHTAKIWA:
1. PASCHAL J. MAKOYE (36) – Mweka Hazina (W) Mbinga
2. ROBERT K. MARANDA (42) – Boharia (W) – Mbinga
MASHTAKA:
Watuhumiwa walifikishwa mahakamani tarehe 03/05/2013 na kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi namba 2/2013 katika mahakama ya Wilaya ya Mbinga. Wameshtakiwa kwa makosa sita kinyume na vifungu vya sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa Na. 11/2007, sheria ya kanuni ya adhabu Cap. 16 R.E 2002 na sheria ya uhujumu uchumi Cap. 200 R.E 2002.
MSHTAKIWA:
BRUNO N. MFIKWA (47) – EX-Clinical officer, Namtumbo District
MASHTAKA:
Shauri hili lilifikishwa mahakamani tarehe 03/05/2013 na kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi namba 2/2013 katika mahakama ya Wilaya ya Namtumbo. Mshitakiwa anakabiliwa na makosa nne kinyume na vifungu vya sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa Na. 11/2007, sheria ya kanuni ya adhabu Cap. 16 R.E 2002 na sheria ya uhujumu uchumi Cap. 200 R.E 2002.
MSHTAKIWA:
YUSUF SELEMANI MATUMLA (31) – VEO, Kijiji cha Majala –Tunduru
MASHTAKA:
Mtuhumiwa alifikishwa mahakamani tarehe 29/05/2013 na kufunguliwa kesi ya jinai namba 54/2013 katika mahakama ya Wilaya ya Tundurukwa kutenda makosa tisa (9) ya rushwa kinyume na K/F 15 cha PCCA Na. 11/2007.
MSHTAKIWA:
FITINA ADAM MBUYU (38) – VEO, Kijiji cha Tuleane - Tunduru
MASHTAKA:
Mtuhumiwa alifikishwa mahakamani tarehe 14/06/2013 na kufunguliwa kesi ya jinai namba 60/2013 katika mahakama ya Wilaya ya Tundurukwa kutenda kosa la rushwa kinyume na K/F 15 cha PCCA Na. 11/2007.
MSHTAKIWA:
ERNEST IRENEUS HAULE (33) – VEO, Kijiji cha Liganga - Songea
MASHTAKA:
Mtuhumiwa alifikishwa mahakamani tarehe 25/06/2013 na kufunguliwa kesi ya jinai namba 93/2013 katika mahakama ya Hakimu Mkazi Songea kwa kutenda makosa mawili ya rushwa kinyume na vifungu vya 28(1) na 31 vya PCCA Na. 11/2007.
WASHTAKIWA:
1. BARNABAS B. MTWEVE (54) – HIV/AIDS Coordinator Songea
2. STEPHEN ANDREW MHANDO (61) – Ex- Ag. DMO Songea
3. MICHAEL JOSEPH SIAJABU (46) – Katibu wa Afya Wilaya Songea
4. CLEMENTINA BEDDDA NGONYANI (71) – Meneja wa ukumbi wa EMAU Peramiho.
MASHTAKA:
Watuhumiwa walifikishwa mahakamani tarehe 25/06/2013 na kufunguliwa kesi ya jinai namba 92/2013 katika mahakama ya Hakimu Mkazi Songea. Wameshtakiwa kwa makosa kumi na tano (15) kinyume na vifungu vya sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa Na. 11/2007 na sheria ya kanuni ya adhabu Cap. 16 R.E 2002.
IMETOLEWA NA DAUDI MASIKO
MKUU WA TAKUKURU (M) RUVUMA
WASHTAKIWA:
1. ANTONY SIMON MASHIMBA (65) – EX District Medical Officer
2. FRANCIS FAUSTUS (56) – Coordinator HIV/AIDS Project - Mbinga
3. JOHN MANDALA (51) – Assistant Accountant – Mbinga District
MASHTAKA:
Watuhumiwa walifikishwa mahakamani tarehe 24/04/2013 na kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi namba 1/2013 katika mahakama ya Wilaya ya Mbinga. Wameshtakiwa kwa makosa mawili kinyume na kifungu cha 28(1) cha PCCA Na. 11/2007 na kifungu cha 57(1) na 60(2) cha sheria ya uhujumu uchumi Cap. 200 R.E 2002.
WASHTAKIWA:
1. PASCHAL J. MAKOYE (36) – Mweka Hazina (W) Mbinga
2. ROBERT K. MARANDA (42) – Boharia (W) – Mbinga
MASHTAKA:
Watuhumiwa walifikishwa mahakamani tarehe 03/05/2013 na kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi namba 2/2013 katika mahakama ya Wilaya ya Mbinga. Wameshtakiwa kwa makosa sita kinyume na vifungu vya sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa Na. 11/2007, sheria ya kanuni ya adhabu Cap. 16 R.E 2002 na sheria ya uhujumu uchumi Cap. 200 R.E 2002.
MSHTAKIWA:
BRUNO N. MFIKWA (47) – EX-Clinical officer, Namtumbo District
MASHTAKA:
Shauri hili lilifikishwa mahakamani tarehe 03/05/2013 na kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi namba 2/2013 katika mahakama ya Wilaya ya Namtumbo. Mshitakiwa anakabiliwa na makosa nne kinyume na vifungu vya sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa Na. 11/2007, sheria ya kanuni ya adhabu Cap. 16 R.E 2002 na sheria ya uhujumu uchumi Cap. 200 R.E 2002.
MSHTAKIWA:
YUSUF SELEMANI MATUMLA (31) – VEO, Kijiji cha Majala –Tunduru
MASHTAKA:
Mtuhumiwa alifikishwa mahakamani tarehe 29/05/2013 na kufunguliwa kesi ya jinai namba 54/2013 katika mahakama ya Wilaya ya Tundurukwa kutenda makosa tisa (9) ya rushwa kinyume na K/F 15 cha PCCA Na. 11/2007.
MSHTAKIWA:
FITINA ADAM MBUYU (38) – VEO, Kijiji cha Tuleane - Tunduru
MASHTAKA:
Mtuhumiwa alifikishwa mahakamani tarehe 14/06/2013 na kufunguliwa kesi ya jinai namba 60/2013 katika mahakama ya Wilaya ya Tundurukwa kutenda kosa la rushwa kinyume na K/F 15 cha PCCA Na. 11/2007.
MSHTAKIWA:
ERNEST IRENEUS HAULE (33) – VEO, Kijiji cha Liganga - Songea
MASHTAKA:
Mtuhumiwa alifikishwa mahakamani tarehe 25/06/2013 na kufunguliwa kesi ya jinai namba 93/2013 katika mahakama ya Hakimu Mkazi Songea kwa kutenda makosa mawili ya rushwa kinyume na vifungu vya 28(1) na 31 vya PCCA Na. 11/2007.
WASHTAKIWA:
1. BARNABAS B. MTWEVE (54) – HIV/AIDS Coordinator Songea
2. STEPHEN ANDREW MHANDO (61) – Ex- Ag. DMO Songea
3. MICHAEL JOSEPH SIAJABU (46) – Katibu wa Afya Wilaya Songea
4. CLEMENTINA BEDDDA NGONYANI (71) – Meneja wa ukumbi wa EMAU Peramiho.
MASHTAKA:
Watuhumiwa walifikishwa mahakamani tarehe 25/06/2013 na kufunguliwa kesi ya jinai namba 92/2013 katika mahakama ya Hakimu Mkazi Songea. Wameshtakiwa kwa makosa kumi na tano (15) kinyume na vifungu vya sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa Na. 11/2007 na sheria ya kanuni ya adhabu Cap. 16 R.E 2002.
IMETOLEWA NA DAUDI MASIKO
MKUU WA TAKUKURU (M) RUVUMA
Source: http://www.wavuti.com/4/post/2013/07/taarifa-ya-takukuru-ruvuma-watumishi-12-wa-halmashauri-mahakamani.html#ixzz2Y3rcVd00
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 comments:
Post a Comment