Tuesday, 2 July 2013

[wanabidii] Obama Alipoamua Kumvaa Mkongwe Bobby Rush Kwenye Useneta...!



Ndugu zangu,

Safari ya Obama ya kisiasa imeanzia mbali. Mwandishi David Remnick kwenye kitabu chake; 'The Bridge' anasimulia pale Barack Obama, akiwa kijana mdogo na mchanga kisiasa , alipofanya maamuzi magumu ya kumvaa mkongwe Bobby Rush kuwania Useneta wa Illonois mwaka 1992.

Obama alishafahamu, kuwa Mzee Bobby Rush ameshafanya maamuzi ya kuwania nafasi hiyo. Hata hivyo, baada ya kutafakari sana, Barack Obama naye akafanya maamuzi yaliyomshangaza hata mkewe, Michelle Obama. Ndio, Barack Obama aliamua kufanya kile ambacho wengi walidhani kisingewezana, kufikiri hata wazo la kumvaa mkongwe Bobby Rush.

Kabla ya hapo Obama alijitafakari sana na kujiuliza maswali kadhaa. Ni pamoja na haya;....Soma zaidi...http://www.mjengwablog.com/siasa/item/3680-obama-alipoamua-kumvaa-mkongwe-bobby-rush-kwenye-useneta.html#.UdMpFJyNCAg

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment