Na Born Again Pagan
Baada ya kuyataja baadhi ya matukio ya miaka kumi ya kuanzia mwaka 1960, na jinsi yalivyojenga mkitadha wa msimamo mkali kwa baadhi ya wanafunzi waliohitimu mwaka 1960, makala haya yanayaendelea leo kueleza juu ya hali ya maisha hapo Mlimani, hususan mika ya 1966 hadi Machi 1970; vikundi vya wanafunzi; .
Nilianza masomo ya chuo kikuu hapo Mlimani (1966) katika mazingira hayo ya kusisimua yaliyokuwa yamejijenga au kuendelea kujijenga. Kampasi (Campus) ilipendeza sana, wanafunzi wa kwanza ndio tu walichangia vyumba vya kulala, isipokuwa wale walioishi Hall No. 1 (London Hall). Mashuka yalibadilishwa kila siku ya Jumanne. Chakula kilikuwa ni kizuri sana: mayai kutoka Israel, nyama (ng'ombe na kuku) na apples kutoka Australia, na samaki sijui kutoka wapi! Chai na biskuti kwa wingi saa nne asubuhi na saa kumi alasiri.
Mwanzoni mwa mwaka, tulikipewa pesa za matumizi, ikiwa ni pamoja na....Soma zaidi...http://www.mjengwablog.com/habari-za-kijamii/item/3681-msimamo-mkali-wa-vijana-wa-mlimani-vii-maisha-mlimani-yalikuwa-mswano-tulikula-mayai-kutoka-israel-nyama-australia.html#.UdM03pyNCAg
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 comments:
Post a Comment