Historia Ya Kombe La Dunia; England Vs USA- Wajivuni Dhidi Ya Wachimba Migodi!
Na Maggid Mjengwa,
BILA kupoteza muda, leo nitasimulia juu ya matukio makubwa mawili
katika fainali za Kombe la Dunia za mwaka 1950 kule Brazil. Tukio la kwanza
ni lile la mabingwa watetezi Italia kufanya vibaya kutokana na woga wa
kupanda ndege. Lingine ni lile la ujio wa England na kilichotokea kwenye mechi yao dhidi ya Marekani ambapo, England waliwaita Marekani kuwa ni " Wachimba Migodi"-
Washamba wasiojua kandanda.
Naam, kama tulivyoona huko nyuma, jinsi wachezaji wa Italia
walivyotumia muda mwingi majini kusafiri kwenda Brazil. Kitendo hicho
kiliwanyima Italia nafasi ya kufanya maandalizi...Soma zaidi...http://www.mjengwablog.com/michezo/item/3682-historia-ya-kombe-la-dunia-vii-england-vs-usa-wajivuni-dhidi-ya-wachimba-migodi.html#.UdM7I5yNCAg
-- Na Maggid Mjengwa,
BILA kupoteza muda, leo nitasimulia juu ya matukio makubwa mawili
katika fainali za Kombe la Dunia za mwaka 1950 kule Brazil. Tukio la kwanza
ni lile la mabingwa watetezi Italia kufanya vibaya kutokana na woga wa
kupanda ndege. Lingine ni lile la ujio wa England na kilichotokea kwenye mechi yao dhidi ya Marekani ambapo, England waliwaita Marekani kuwa ni " Wachimba Migodi"-
Washamba wasiojua kandanda.
Naam, kama tulivyoona huko nyuma, jinsi wachezaji wa Italia
walivyotumia muda mwingi majini kusafiri kwenda Brazil. Kitendo hicho
kiliwanyima Italia nafasi ya kufanya maandalizi...Soma zaidi...http://www.mjengwablog.com/michezo/item/3682-historia-ya-kombe-la-dunia-vii-england-vs-usa-wajivuni-dhidi-ya-wachimba-migodi.html#.UdM7I5yNCAg
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 comments:
Post a Comment