Sunday 23 September 2012

[wanabidii] Ramani mpya ya Tanzania: mpaka katika ya ziwa Nyasa.

Imeripotiwa kwenye vyombo vya habari kwamba serikali imetangaza ramani mpya ya Tanzania ikionesha mipaka ya wilaya, mikoa na Tanzania na majirani zake. Ramani inaonesha mpaka wa Tanzania na Malawi ni katikati ya ziwa.

Maswali,

Mosi, nini itakuwa hatma ya mazungumzo yanayoendelea kati ya nchi hizi mbili juu ya mpaka baada ya upande moja kutangaza mipaka yake?

Pili, kwa wale wataalamu wa sheria za kimataifa, msingi wa uhalali wa ramani yetu itatokana na nini?

Tatu, iwapo Malawi kwa upande wao wataweka mpaka upande wa mashariki mwa ziwa, sisi tutakuwa na option ipi?
Alex
Sent from my BlackBerry® smartphone on the Tigo Tanzania Network

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

0 comments:

Post a Comment