Jamii ipi anayoitetea Mjengwa?! Hii hii iliyopoteza wapendwa wao chini ya mikono ya polisi huko Arusha, Ruvuma, Tabora,Ulanga, Morogoro, Dar-Mabwepande na sasa Iringa?!
Sent from my BlackBerry® smartphone on the Tigo Tanzania Network
From: Ansbert Ngurumo <ansbertn@yahoo.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Wed, 5 Sep 2012 22:38:24 -0700 (PDT)
To: <wanabidii@googlegroups.com>
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] Re: Mjengwablog Na Hoja Ya Kugomea Habari Za Kipolisi...
Mjengwa,
Wasikilize kwanza waandishi wenzio, si polisi. Usiwavunje moyo, an usiwe mgumu kuguswa na hili linalotusibu. Katika hali hii ya msiba huu mbichi kabisa, kukejeli au kupuuza waandishi wale wale ambao mwenzao kauawa juzi eti kwa kuwa alikuwa "anauliza uliza maswali sana" ni dhambi kubwa; na harakati wanazofanya waandishi zinakuhusu, na zinalenga kukunusuru, hata wewe.
Kumbuka, hata waandishi ni sehemu ya jamii. Lakini hawataki kutumiwa kama mifereji ya kupitisha propaganda chafu za polisi katika mazingira ambao polisi wenyewe wanataka kutumia fursa hiyo kunyanyasa jamii. Wewe andika, lakini ujue kuwa huitendei haki jamii hiyo hiyo unayoizungumzia.
Ansbert Ngurumo Deputy Managing Editor Free Media
P.O. Box 15261 Dar es Salaam Tanzania
Mobile .+255 719 001 001 +255 767 172 665 www.freemedia.co.tz www.voxmediatz.com www.ngurumo.wordpress.com www.ngurumo.blogspot.com
--- On Thu, 9/6/12, maggid mjengwa <mjengwamaggid@gmail.com> wrote:
From: maggid mjengwa <mjengwamaggid@gmail.com> Subject: Re: [wanabidii] Re: Mjengwablog Na Hoja Ya Kugomea Habari Za Kipolisi... To: wanabidii@googlegroups.com Date: Thursday, September 6, 2012, 1:16 AM
Mubelwa, Nakushukuru kwa kunielewa, na umeliweka vizuri hasa unapoandika; " Huwezi kumkomoa mtu kwa kutenda kile asichojali". 2012/9/5 Mubelwa Bandio <changamoto@gmail.com> Salaam Mwenyekiti. Waliogomea kuandika habari za kiPolisi wanaamini kuwa POLISI HAWAJALI KUHUSU JAMII. LABDA NI KWELI. Na...Ni kwa sababu hiyohiyo naamini kuwa kwa kuwa habari za kipolisi haziwanufaishi polisi bali jamii, kugoma kuandika ni kuipa adhabu ya pili jamii. Huwezi kumkomoa mtu kwa kutenda kile asichojali
Nakuunga mkono. ANDIKA TU....KWA MANUFAA YA JAMIIOn Wednesday, September 5, 2012 6:04:33 PM UTC-4, maggid mjengwa wrote: Ndugu zangu,
Kufuatia mauaji ya kutisha na ya kusikitisha ya mwandishi Daudi Mwangosi ambapo askari wa Jeshi la polisi wanatuhumiwa kuhusika, kumekuwa na mitazamo na mikakati tofauti miongoni mwa wanahabari ikiwamo kugomea kuripoti habari zinazotoka kwenye jeshi la polisi.
Mjengwablog, kama chombo cha habari na mawasiliano ya kijamii, ina mtazamo wa kuendelea kuripoti habari za kipolisi, za kutoka ndani na nje ya jeshi hilo ikiwamo taarifa za kichambuzi.
Tunafanya hivyo tukiamini, kuwa habari za kipolisi kwa kiasi kikubwa ni habari zenye kuihusu jamii. Maggid Mjengwa, Mwenyekiti Mtendaji, Mjengwablog. Iringa 0788 111 765 http://mjengwablog.com -- Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. -- Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
|
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
0 comments:
Post a Comment