Sunday 23 September 2012

Re: [wanabidii] Ramani mpya ya Tanzania: mpaka katika ya ziwa Nyasa.

Kim,

Tayari a new thread is open!
Sorry though the issue was uzembe wetu unaoishia kugharamika sana! Uzembe wa ramani zetu unatufikisha kwenye makabiliano na Malawi.

Tuna uzembe pia kwenye ulinzi wa rasilimali zetu, tunaona watu wanavyopora tukiangalia tu kama vile hatuhusiki! Maafisa wa ushuru, uhamiaji, mipaka wakiona mali ikiondoshwa kama wao hawahusiki.

Hata misitu inayoteketea huku tukiona watu wakiuza mkaa barabarani! Misitu/miti ni mali ta waTz wote kama nchi, inakuwaje mtu anaukata mti wakati hajaupanda na kudai haki juu yake? Siku ukame na njaa ikituliza, tutakimbilia kwa hao tunaowafanyia maandamano leo kulilia chakula!

India kukata mti hata ulioupanda mwenyewe mpaka upate kibali toka mahakama ya mazingira! No nonsense, la sivyo India na china leo ingekuwa njaa, ukame na vifo tupo kwa kuachia misitu kumalizika.

Kisa kikuu hapa kwetu ni uzembe wa kufikiri na kuacha mambo yakiporomoka tukiona kidogo kidogo!
Sent wirelessly from my BlackBerry device on the Bell network.
Envoyé sans fil par mon terminal mobile BlackBerry sur le réseau de Bell.

From: kimdr53@gmail.com
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Sun, 23 Sep 2012 14:38:40 +0000
To: <wanabidii@googlegroups.com>
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] Ramani mpya ya Tanzania: mpaka katika ya ziwa Nyasa.

Kichwa cha habari na kinachoelezwa ni vitu viwili tofauti AU?
Sent from my BlackBerry® smartphone from Orange Botswana

From: Peter Lwegasira <petermakatu@yahoo.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Sun, 23 Sep 2012 07:32:40 -0700 (PDT)
To: wanabidii@googlegroups.com<wanabidii@googlegroups.com>
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] Ramani mpya ya Tanzania: mpaka katika ya ziwa Nyasa.

Nadhani hapa kwetu hawa StarTimes wana mkataba na TBC ambalo ni shirika la utangazaji. Wanawaibia watanzania kweupe pe! Tuanze na wanahabari watusaidie katika hili. Au Editors' Forum haiwahusu. Labda Neville Meena atatusaidia.

From: Tony PT <tony_uk45@yahoo.co.uk>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Sunday, September 23, 2012 5:04 PM
Subject: Re: [wanabidii] Ramani mpya ya Tanzania: mpaka katika ya ziwa Nyasa.

Alex,
Angalia hili jingine la uzembe wa kiafrika; hapa tz hawa jamaa wapo na wanafanya hikihiki kweupe!!!


Star Times On The Spot Over Sh 7.8 bn "Fake" Decoders

By Anita Ashaba22/09/2012 12:24:00
Startimes Decoder
Share on:Facebookdel.icio.usDiggStumbleUponTwitter

Star Times, a leading digital Pay TV in Uganda is under heavy fire for reportedly selling thousands of decoders with outdated technology, with activists suspecting this could have led to fleecing of ignorant Uganda customers billions of shillings.

The Uganda Consumers' Protection Awareness Association (UCPAA) says "it's greatly disturbed and worried on behalf of Ugandan television consumers that some of these companies are taking advantage of a lack of consumer product knowledge and awareness to actively promote and dump what appear to be cheap products onto the Ugandan market," said Mulwani Taminwa, the chairman UCPAA.

"UCPAA is against this unethical behavior by Star Times Company which is blatantly fleecing consumers by selling to them cheap DVB-T1 decoders knowing full well that they will soon be obsolete leaving thousands of Ugandans without a service," Mulwani said in a statement this week.

It is estimated that the company has sold 130,000 DVBT-1 decoders to date, a reasonable number of which were made after the public notice by the Uganda Communications Commission (UCC), calling for an immediate ban on the importation of the decoders and advisory to against their purchase by consumers.
However, the Country Sales Manager, Simon Arineitwe, denies reports of fleecing customers, saying the company recently imported DVB T2 decoders which will be "exchanged" for those with outdated technology after the digital transition.

"The DVB T 2 decoders are already here. We shall unveil them on September 27 before putting in place a schedule on how to recall over 130,000 decoders," said Arineitwe in an interview with Chimpreports investigations desk on Saturday afternoon.
"When time for the digital transition sets in, we shall ensure we are at par with our customers," said Arineitwe.
UCPAA says this "outdated technology (DVB T) has been outlawed in most countries including our neighbors Kenya and Rwanda and consumers have been strongly advised not to purchase the products by the Ugandan regulator and the Government."

"The prime culprit of this is STAR Times TV which recently announced a wonderful price offer by slashing price of their Set Top Boxes (decoders) from 100,000 down to 60,000," said Mulwani.
From the sale of 130,000 disputed decoders, Star Times has raised Shs7.8bn.

Below is UCPAA's statement in full:

RE: CONSUMERS BAN ON THE SALE AND DISTRIBUTION OF DVB T1 SET TOP BOXES (DECODERS) BY STAR TV

The Uganda Consumers' Protection Awareness Association (UCPAA) is a non-profit consumer rights association registered and incorporated under the laws of Uganda.

The organisation was created with the purpose of defending the rights of Ugandan consumers by advancing consumer activism; creating product/service awareness and contributing to the creation of an equitable market supply vs consumer benefit society.

Over the past one year on behalf of Ugandan consumers the UCPAA has been keenly following developments within the television and broadcasting industry as Uganda gears itself towards migrating from analogue to digital broadcasting.

The migration is a significant milestone for Uganda as it will bring technological and socio-economic benefits to the country which encompass and go beyond the television industry including:-
The freeing up of spectrum which can sold by Government and used for other very communications purposes like telephony and data (The digital dividend) provision of additional bandwidth which will allow television companies to create more channels and stimulate the growth of the television industry and economy.

Improved picture and sound quality thereby supporting local production standards.
Increased penetration of TV broadcast technology through lower prices brought about by competition.
Whilst progress has been made within the industry towards beating the migration deadline as evidenced by the drafting of the legal framework to be used to regulate the industry and the number of new companies offering digital pay television services including MOtv, STAR Times, GOtv on the DTT platform and ZUKU on DTH.
CONCERNS

The UCPAA finds itself greatly disturbed and worried on behalf of Ugandan television consumers that some of these companies are taking advantage of a lack of consumer product knowledge and awareness to actively promote and dump what appear to be cheap products onto the Ugandan market which we are certain:-

Use outdated technology (DVB T) which has been outlawed in most countries including our neighbors Kenya and Rwanda.
Consumers have been strongly advised not to purchase by the Ugandan regulator and the Government.

The prime culprit of this is STAR Times TV which recently announced a wonderful price offer by slashing price of their Set Top Boxes (decoders) from 100,000 down to 60,000.
Whilst this offer is very tempting to the Ugandan public who have limited disposable income.

We are aware earlier this year that the UCC published a public notice in a cross-section of the local media announcing the adoption of countrywide standards for the digital migration.

The notice informed the broadcasting fraternity investors, service providers and the General public that Uganda had with immediate effect adopted DVB T2 and MPE 4 over DVB T as the standards to be used in the provision of Digital Terrestrial Television DTT broadcasting services.

In a subsequent notice the UCC published a list of minimum specifications for DVB T2 and advised vendors to stop the importation of DVB T STB and consumers to cease purchasing the same.
Investigations carried out by the UCPAA in the market and the ongoing advertising subsequent to the announcements indicate that STAR times continues to sell and distribute DVB T technology at knockdown prices despite the fact that these STB are to be phased out in the near future and will be unable to receive television signals once the UCC sets up its DTT infrastructure which will support DVB T2 but not DVB T. (The technology us backward but not forward compatible)
UCPAA is against this unethical behavior by Star Times Company which is blatantly fleecing consumers by selling to them cheap DVB-T1 decoders knowing full well that they will soon be obsolete leaving thousands of Ugandans without a service.
It is estimated that the company has sold 130,000 DVBT-1 decoders to date a reasonable number of which were made after the public notice by the UCC calling for an immediate ban on the importation of the decoders and advisory to against their purchase by consumers.

The situation was worsened by media statements attributed to STAR Time's Sales Manager Simon Arinaitwe in the Daily Monitor in July claiming among other things that Star DVB T1 STB are upgradeable to the latest technologies and that such configuration options were available at all their outlets.

We have since visited the outlets in question and carried out research; this is an absolute falsehood that is best not repeated without thorough technical or legal counsel.
On behalf of all Ugandan television consumers the UCPAA therefore demands that the UCC and the Government act in the interests of the country at this very important juncture in the ICT/Television sector by:-

1. Banning Star Times from advertising and selling (read dumping) their DVB T STB's with immediate effect and enforcing the importation ban as per the UCC notice.

2. Certifying Migration compliant technologies and equipment for sale with identifiable security trade symbols

3. Suspending Star Times license to operate television broadcasting services till such a time that they have upgraded their network infrastructure and started offering DVB T2 equipment for sale in compliance with the UCC/ITU standards

4. Asking Star TV to provide a public, clear and detailed roadmap how they intend to recall the DVB T decoders they have sold in the interim with timelines on how and when they intend to compensate Ugandan consumers who have unwittingly bought the soon to be obsolete decoders.

5. Requesting Star to provide an environmental disposal plan for the decoders that are to be recalled lest there be any hazardous waste

6. Ensuring senior Star staff refrain from making false statements about the technical capabilities of STAR STB which are not upgradable thereby misleading gullible consumers
7. Effectively enforcing the Digital Migration policy such that no other operator is able to mislead Ugandan Television consumers in the same way.
For God, My country and Ugandan Consumers.

Yours faithfully,
Mulwani Taminwa
CHAIRMAN UCPAA
Sent wirelessly from my BlackBerry device on the Bell network.
Envoyé sans fil par mon terminal mobile BlackBerry sur le réseau de Bell.

-----Original Message-----
From: "Alex Manonga" <manonga2003@yahoo.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Sun, 23 Sep 2012 13:34:01
To: <wanabidii@googlegroups.com>
Reply-To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] Ramani mpya ya Tanzania: mpaka katika ya ziwa Nyasa.

Shukrani Tony PT kwa ufafanuzi. Kwa maelezo yako nimegundua kwamba uzembe tulionao ni wa urithi! Sina hakika kama tutabadilika kirahisi maana imekuwa kama sehemu ya utamaduni.
Sent from my BlackBerry® smartphone on the Tigo Tanzania Network

-----Original Message-----
From: "Tony PT" <tony_uk45@yahoo.co.uk>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Sun, 23 Sep 2012 11:16:25
To: <wanabidii@googlegroups.com>
Reply-To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] Ramani mpya ya Tanzania: mpaka katika ya ziwa Nyasa.

Alex,

Ramani inayoonyesha mpaka katikati imekuwepo miaka mingi haswa ramani kabla ya 1970. Baada ya malawi kubadilisha jina from Nyasaland walibadilisha jina la ziwa kwa upande wao lakini sisi tuliendelea na jina la zamani la ziwa Nyasa.

Uzembe wa wizara ya Ardhi miaka ya 1980 ndipo ikaachia ramani zisizo rasmi kuuzwa barabarani na machinga ambazo zilichapishwa ikionyesha mpaka upo mashariki mwa ziwa! Ni uzembe wa wizara kitengo cha ramani walioachia hili kwa kisingizio cha biashara huria! Zamani ramani zote zilizochapishwa na McMillan na Oxford publishers ndizo pekee zilizokuwa na kibali cha wizara.

Haijulikani Malawi walituzidi maarifa kwa kujua complacency yetu na hivyo kuingiza ramani za upotoshwaji. Kutoa ramani mpya leo bila kutangaza kuzitoa au kukusanya ramani zote zilizokosewa sioni kama itasaidia kuziondosha ramani hizo! Kupiga marufuku na pia kutoa refund kidogo kwa walio nazo (maana walizinunua), itasaidia!

Kesi ya malawi haina uzito sana hata wakienda huko mataifani, waingereza walifanya uhuni kwani mkutano wa berlin wa kwanza 1890 ndio ulizingatia mipaka ambayo ziwa malawi lilikuwa mali ya nchi tatu (Tanganyika, Nyasaland na Mozambique. Re-alignment ya mipaka tena hapakuwa na provision inayoruhusu hilo kwenye makubaliano ya 1890 (nisahihishe mwaka!). Ndicho hadi sasa kwa miongo karibu 4 Malawi wameshindwa kwenda Den Hague!

Sidhani kwa Malawi kuchapisha ramani zao zenye kupotosha ndiyo ifanye sisi tujali hilo! Wanaweza kufurahishana wenyewe tu. 
Sent wirelessly from my BlackBerry device on the Bell network.
Envoyé sans fil par mon terminal mobile BlackBerry sur le réseau de Bell.

-----Original Message-----
From: "Alex Manonga" <manonga2003@yahoo.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Sun, 23 Sep 2012 10:38:24
To: <wanabidii@googlegroups.com>
Reply-To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: [wanabidii] Ramani mpya ya Tanzania: mpaka katika ya ziwa Nyasa.

Imeripotiwa kwenye vyombo vya habari kwamba serikali  imetangaza ramani mpya ya Tanzania ikionesha mipaka ya wilaya, mikoa na Tanzania na majirani zake. Ramani inaonesha mpaka wa Tanzania na Malawi ni katikati ya ziwa.

Maswali,

Mosi,  nini itakuwa  hatma ya mazungumzo yanayoendelea kati ya nchi hizi mbili juu ya mpaka baada ya upande moja kutangaza mipaka yake?

Pili, kwa wale wataalamu wa sheria za kimataifa, msingi wa  uhalali wa ramani yetu  itatokana na nini?

Tatu, iwapo Malawi kwa upande wao wataweka mpaka upande wa mashariki mwa ziwa, sisi tutakuwa na option ipi?
Alex
Sent from my BlackBerry® smartphone on the Tigo Tanzania Network

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.


--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.


--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.


--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.




0 comments:

Post a Comment