Ahsante sana Mobhare, kama kawaida yako, UMEFUNGA KAZI, sina cha kuongeza! Umeyasema mengi yaliyoko moyoni mwangu. Tutake tusitake, Kiingereza ni muhimu! LKKSent from my iPadOn 31 Ago 2012, at 9:37 alasiri, Mobhare Matinyi <matinyi@hotmail.com> wrote: Wachangiaji, Kwa kuwa mimi ndiye niliyekuja na hoja kwamba Kiingereza kibovu na uandishi mbovu wa ile barua ya serikali ya mtaa wa Oysterbay ni kielelezo cha jinsi...
Friday, 31 August 2012
Re: [wanabidii] Matokeo ya Kuanguka kwa Elimu Tanzania: AU KASUMBA
Read More :- "Re: [wanabidii] Matokeo ya Kuanguka kwa Elimu Tanzania: AU KASUMBA"
[wanabidii] Happy Ramogi Day ..........!!!

Happy Ramogi Day People........Have fun and enjoy yourseleves..... God's Peace be with you all....May Spirits of love Awaken..... (Thum chiero juogi).......I cant help it........ Cheers everybody and I love you allllllll...........!!!!! Judy Miriga Diaspora Spokesperson Executive...
[wanabidii] UZUSHI JUU YA KIFO CHA BI KIDUDE
Kuna taarifa kua watu wanasambaziana ujumbe mfupi sms kua Bi Kidude amefariki.
Nimetoka kusikia kwenye chombo cha habari sasa hivi (Clouds Fm) kua taarifa hizi sio za kweli.
Hivi mtu anaanzaje kuzusha ishu ambayo hana hata uhakika nayo?
Eti flani kafariki.Jamani embu tujaribu kuchunguza jambo kwa undaani kwanza kabla ya kusambaza taarifa.
Regards,
Jonas
Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania
--
Karibu Jukwaa...
[wanabidii] Romney no stronger than before says Obama campaign

Folks, Lies wont stick. Mitt Romney and Paul Ryan are both inconsistant, and purposefully misrepresents, misinform with a purpose to lie their way to White House....They have been caught with their pants down. The Obama Team are in the offensive and they are in the receiving end. They will...
Subscribe to:
Posts (Atom)