Wednesday 31 December 2014

Re: [wanabidii] TUTAONDOA ADA YA SEKONDARI IFIKAPO 2016 - JK

Hakuna kitu kama hicho ni utapeli mtupu,mbona alitangaza kuondoa kodi kwenye vifaa vya ujenzi lakini sasa anaondoka hajatimiza,sera za kuiga chadema hazitelezeki.

'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

>Hii utakuwa safi sana. Tena nafikiria kuwa ili kuharakisha utekelezaji wangeulizwa CHADEMA ambao ndio waanzilishi wa sera hii.
>--------------------------------------------
>On Wed, 12/31/14, Abdalah Hamis <hamisznz@gmail.com> wrote:
>
> Subject: [wanabidii] TUTAONDOA ADA YA SEKONDARI IFIKAPO 2016 - JK
> To: wanabidii@googlegroups.com
> Date: Wednesday, December 31, 2014, 10:11 PM
>
> Jambo jipya sana na
> la kihistoria katika Sera mpya ya Elimu ni dhamira ya
> Serikali ya kuondoa ada katika elimu ya sekondari kuanzia
> mwaka 2016. Mpaka sasa hatuna ada kwenye shule za msingi,
> sasa wakati umefika kufanya hivyo pia kwa elimu ya
> sekondari. Kwa mujibu wa maelezo hayo ya Sera, nimekwishatoa
> maagizo kwa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Wizara ya
> Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Wizara ya Fedha na
> Tume ya Mipango kuanza kutafakari namna jambo hilo
> litakavyotekelezwa - Rais Jakaya Kikwete katika Hotuba ya
> Kuaga Mwaka 2014 
>
>
>
>
> --
>
> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
>  
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
> kudhibitisha ukishatuma
>
>  
>
> Disclaimer:
>
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
> for any legal consequences of his or her postings, and hence
> statements and facts must be presented responsibly. Your
> continued membership signifies that you agree to this
> disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>
> ---
>
> You received this message because you are subscribed to the
> Google Groups "Wanabidii" group.
>
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails
> from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>
> For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
>
>
>--
>Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
>Kujiondoa Tuma Email kwenda
>wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>
>Disclaimer:
>Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>---
>You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
>To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment