Wednesday 31 December 2014

Re: [wanabidii] BREAKING NEWS: MAHABUSU AUWAWA KWA RISASI MAHAKAMA YA KISUTU AKIJARIBU KUTOROKA

Inaonekana hii habari imeandikwa kishabiki! Kumdhibiti mtu sio kumuua! Inabidi jeshi la magereza lijitafakari! Mtuhumiwa bado ana haki ya kuishi! Hivyo kwa weledi wso walitakiwa wazuie asitoroke ou ukitokea hivyo wamkamate


Sent from Samsung Mobile



-------- Original message --------
From: 'Julius Mtatiro' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
Date: 31/12/2014 14:22 (GMT+03:00)
To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] BREAKING NEWS: MAHABUSU AUWAWA KWA RISASI MAHAKAMA YA KISUTU AKIJARIBU KUTOROKA


Asante kwa taarifa hii muhimu. Tatizo lako liko palepale, auhariri kazi yako. Kazi imekaa "shagalabagala", haitoi mantiki hata kidogo. Zingatia ushauri ambao watu wanakupa kila siku.

Julius S. Mtatiro,

    

On 31 Dec 2014, at 13:58, 'leonard magwayega' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Asante Happiness Katabazi kwa hii breaking News ila mdogo wangu nakushauri uwe unahariri habari yako yoyote unayoandika kabla hujaituma kwa watu wengine au hata kumwomba mtu mwingine yeyote kuipitia na kuihariri kabla ya kuituma maana huo si ujinga ndiyo maana hata kazi za maprofesa huhaririwa na watu wengine kabla hazijatoka.. Ujumbe tumeupata itakiwavyo ila kuna makosa ya kisarufi mengi sana katika uandishi wako.  kwa mfano kukosea spelling, kuweka vituo pasipo husika, kuweka herufi kubwa katikati ya sentensi na mambo mengine mengi kama hayo.  Wewe ni binti wa kujituma sana ila tu rekebisha mambo madogo madogo kama hayo na utakuwa mwandishi mzuri tu na hata sheria naamini utaimaster vizuri baadae. Kama hutajali kwa mambo ya kisheria unaweza kuni consult kama ukipenda through my personal email bobittz@yahoo.com au kwa direct phone contact through 0767804561 au 0786804561. I have provided you with my contacts for legal consultations purposes only and not for any other issues as it might be interpreted by you or any other member of this group.  I think one of the objectives of this network is to provide assistance whether socially or professionally amongst us where necessary.
Advocate Leonard Elias Magwayega-Esquire.


On Wednesday, December 31, 2014 12:14 PM, 'Happiness Katabazi' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:


BREAKING NEWS
MAHABUSU AUWAWA KWA  RISASI MAHAKAMA YA KISUTU AKIJARIBU KUTOROKA
Na Happiness Katabazi
JESHI la Magereza limefanikiwa kumdhibiti Mahabusu  wa Kesi ya dawa za kulevya ambaye ni Raia wa Sieralioni,  Abdul Koroma (33) asitoroke chini ya Ulinzi wa Askari Magereza ndani  Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkazi Kisutu Dar es Salaam, asitoroke chini ya Ulinzi  baada ya kumtwanga risasi na kumuua papo hapo.

Wakizungumza na mwandishi wa Habari hizi baadhi ya wanausalama waliopangwa kulinda Usalama Katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa Masharti ya kutotajwa Majina Yao kwa Madai wao siyo wasemaji wa majeshi Yao wakisema mtuhumiwa ambaye anashitakiwa kwa makosa ya kuingiza nchini dawa za kulevya aina ya Heroin Zenye uzito wa Gramu 1229 na zenye thamani ya Zaidi ya Sh.Milioni 61 iliyopo mbele ya Hakimu Mkazi Waliarwande Lema alistahili kufanyiwa hicho alichofanyiwa.

Walisema Asubuhi marehemu Huyo ambaye ni mahabusu aliletwa na mahabusu wenzake na Askari Magereza na Kisha kufikishwa Katika mahabusu ya Mahakama hiyo mtuhumiwa aliomba apelekwe chooni kujisadia lakini ghafla mtuhumiwa akaanza jaribio la kuparamia ukuta akimbie ndiyo Askari waliokuwa akimsikindikiza chooni wakafyatua risasi hewani ili kumtaka aache ili jaribio lake lakini Inadaiwa Koroma aliendelea na jaribio lake.

" Ndipo itabidi mmoja wa Askari Magereza 'ameshone risasi' yaani amefyatulie risasi Koroma ambayo ilimpata na kumsababishia mauti papo hapo ....na baada ya Koroma kupekuliwa wanausalama Hao walipokuwa soski walikuta ndani ya soksi alilovaa kuna kikaratasi kilichochorwa ramani na namba za simu za watu wa kumpokea haoa Dar es Salaam" kilisema chanzo changu.

Tayari mwili wa Koroma ambaye alikuwa akikabiliwa na Kesi yake P121/2013 umeishaondolewa Katika eneo la Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu umepelekwa kuinadi wa Katika Hospitali ya Taifa ya Mhimbili.

Chanzo: Facebook: Happy Katabazi
Disemba 31 Mwaka 2014.


Sent from my iPad

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment