Sunday, 20 December 2015

[wanabidii] TUMIA HII KAMA HUTOJALI.....WAZIRI UMMY MWALIMU AVAMIA HOSPITALI YA RUFAA YA BOMBO MKOANI TANGA, KUKAGUA UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA LEO

CODES...



<span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0011.jpg"><img class="size-full wp-image-153688 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0011.jpg" alt="IMG-20151220-WA0011" width="640" height="392" /></a></strong></em></span>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akizungumza na mmoja wa wahudumu wa afya (jina lake halikuweza kupatikana kiurahisi) wa dirisha la dawa katika Hospitali ya rufaa ya Bombo mkoani Tanga alipofanya ziara ya kushtukiza mchana wa leo Disemba 20, 2015.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>-Atoa wiki mbili wawe wamefunga mashine ya kukusanya mapato kwa njia ya Kielektroniki ili kudhitibiti upotevu wa mapato yanayotokana na wananchi kuchangia huduma za afya.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0012.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-153689" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0012.jpg" alt="IMG-20151220-WA0012" width="640" height="444" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akizungumza na mmoja wa wakina mama anayemhudumia mwanae katika wodi ya watoto Hospitali ya rufaa ya Bombo mkoani Tanga alipofanya ziara ya kushtukiza leo mchana Disemba 20, 2015.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0019.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-153690" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0019.jpg" alt="IMG-20151220-WA0019" width="640" height="466" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akimsikiliza mmoja wa akina mama aliyelazwa kwenye wodi ya wazazi wakati wa ziara ya kushtikiza aliyoifanya mchana wa leo Desemba 20, 2015 katika Hospitali ya rufaa ya Bombo mkoani Tanga.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0020.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-153691" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0020.jpg" alt="IMG-20151220-WA0020" width="480" height="607" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Tanga (RMO), Dkt. Clement Marceli akimwelezea changamoto wanazokabiliana nazo katika Hospitali ya rufaa ya Bombo mkoani Tanga Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu (hayupo pichani).</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0017.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-153692" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0017.jpg" alt="IMG-20151220-WA0017" width="540" height="480" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Daktari aliyekuwa kwenye mafunzo, Dkt. Zuberi (Medical Intern) akitoa maelezo ya namna wanavyohudumia wananchi wanaofika hospitalini hapo Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu (kulia) aliyefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya rufaa ya Bombo, mkoani Tanga mchana wa leo Desemba 20, 2015 ambapo Waziri huyo alikutana na changamoto utoro wa madktari wa zamu kutokuwepo kwenye kituo chao cha kazi katika Hospitali ya rufaa ya Bombo, mkoani Tanga.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0016.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-153694" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0016.jpg" alt="IMG-20151220-WA0016" width="480" height="532" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA00191.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-153693" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA00191.jpg" alt="IMG-20151220-WA0019" width="640" height="466" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Mratibu wa Hospitali ya Rufaa ya Bombo, mkoani Tanga kutoka Idara ya Tiba, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Dkt. Ibrahimu Maduhu (mwenye tai) akitoa maelezo kwa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu namna wanavyokabiliana na changamoto ya kuzuia vifo vya mama na mtoto katika hospitali hiyo wakati wa ziara ya kushtukiza iliyofanywa na Mh. Ummy Mwalimu katika wodi ya wazazi leo mchana Disemba 20, 2015.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0014.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-153695" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0014.jpg" alt="IMG-20151220-WA0014" width="627" height="480" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Baadhi ya madaktari waliokuwa mafunzoni wakizungumza na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu  aliyefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Rufaa ya Bombo, mkoani Tanga mchana wa leo Disemba 20, 2015.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0023.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-153696" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG-20151220-WA0023.jpg" alt="IMG-20151220-WA0023" width="640" height="403" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akipitia orodha ya mahudhurio ya zamu za Madaktari na Wauguzi ambao wengi hawakuwepo kazini wakati wa ziara yake ya kushtukiza katika Hospitali ya rufaa ya Bombo, mkoani Tanga aliyoifanya leo mchana Disemba 20, 2015.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"></p>


KAWAIDA


IMG-20151220-WA0011

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akizungumza na mmoja wa wahudumu wa afya (jina lake halikuweza kupatikana kiurahisi) wa dirisha la dawa katika Hospitali ya rufaa ya Bombo mkoani Tanga alipofanya ziara ya kushtukiza mchana wa leo Disemba 20, 2015.

-Atoa wiki mbili wawe wamefunga mashine ya kukusanya mapato kwa njia ya Kielektroniki ili kudhitibiti upotevu wa mapato yanayotokana na wananchi kuchangia huduma za afya.

IMG-20151220-WA0012

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akizungumza na mmoja wa wakina mama anayemhudumia mwanae katika wodi ya watoto Hospitali ya rufaa ya Bombo mkoani Tanga alipofanya ziara ya kushtukiza leo mchana Disemba 20, 2015.

IMG-20151220-WA0019

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akimsikiliza mmoja wa akina mama aliyelazwa kwenye wodi ya wazazi wakati wa ziara ya kushtikiza aliyoifanya mchana wa leo Desemba 20, 2015 katika Hospitali ya rufaa ya Bombo mkoani Tanga.

IMG-20151220-WA0020

Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Tanga (RMO), Dkt. Clement Marceli akimwelezea changamoto wanazokabiliana nazo katika Hospitali ya rufaa ya Bombo mkoani Tanga Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu (hayupo pichani).

IMG-20151220-WA0017

Daktari aliyekuwa kwenye mafunzo, Dkt. Zuberi (Medical Intern) akitoa maelezo ya namna wanavyohudumia wananchi wanaofika hospitalini hapo Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu (kulia) aliyefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya rufaa ya Bombo, mkoani Tanga mchana wa leo Desemba 20, 2015 ambapo Waziri huyo alikutana na changamoto utoro wa madktari wa zamu kutokuwepo kwenye kituo chao cha kazi katika Hospitali ya rufaa ya Bombo, mkoani Tanga.

IMG-20151220-WA0016

IMG-20151220-WA0019

Mratibu wa Hospitali ya Rufaa ya Bombo, mkoani Tanga kutoka Idara ya Tiba, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Dkt. Ibrahimu Maduhu (mwenye tai) akitoa maelezo kwa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu namna wanavyokabiliana na changamoto ya kuzuia vifo vya mama na mtoto katika hospitali hiyo wakati wa ziara ya kushtukiza iliyofanywa na Mh. Ummy Mwalimu katika wodi ya wazazi leo mchana Disemba 20, 2015.

IMG-20151220-WA0014

Baadhi ya madaktari waliokuwa mafunzoni wakizungumza na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu  aliyefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Rufaa ya Bombo, mkoani Tanga mchana wa leo Disemba 20, 2015.

IMG-20151220-WA0023

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akipitia orodha ya mahudhurio ya zamu za Madaktari na Wauguzi ambao wengi hawakuwepo kazini wakati wa ziara yake ya kushtukiza katika Hospitali ya rufaa ya Bombo, mkoani Tanga aliyoifanya leo mchana Disemba 20, 2015.

 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment