Saturday, 19 December 2015

RE: [wanabidii] NAIBU WAZIRI DKT. KIGWANGALLA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA LEO KATIKA HOSPITALI ZA RUFAA MIKOA YA LINDI NA MTWARA

Kwenye caption naona umeandika waziri

Sent from my Sony Xperia™ smartphone



---- Zainul Mzige wrote ----

Habari za mchana,

Tafadhali pokea CODES hapo chini.


<span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9315.jpg"><img class="size-full wp-image-153609 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9315.jpg" alt="IMG_9315" width="640" height="427" /></a></strong></em></span>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Kaimu Muuguzi Mkuu wa Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Damasiana Msalla akimuongoza Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla kuelekea kwenye wodi za hospitali wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya mkoa wa Lindi.<span style="color: #000080;">(Picha zote na Zainul Mzige wa <span style="color: #0000ff;"><a style="color: #0000ff;" href="http://www.modewjiblog.com">Modewjiblog</a></span>)</span></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9342.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-153610" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9342.jpg" alt="IMG_9342" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Dkt. Evaristo Kasanga akimkaribisha Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla alipotembelea wodi za hospitali hiyo wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya leo mkoa wa Lindi.Katikati ni Mganga wa Meno na Kinywa katika hospitali hiyo, Dkt. Hussein Athumani.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9381.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-153611" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9381.jpg" alt="IMG_9381" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Mtaalamu wa Tehama katika Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Abdallah Kivurugo akitoa maelekezo kwa Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla (kulia) namna wanavyomsajili mgonjwa anapofika hospitalini hapo wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya leo mkoa wa Lindi.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9395.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-153612" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9395.jpg" alt="IMG_9395" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla (kulia) akihoji jambo kwenye chumba cha mapokezi katika Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya leo mkoani humo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9415.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-153613" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9415.jpg" alt="IMG_9415" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla akisaini kitabu cha wageni ofisini kwa Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Dkt. Evaristo Kasanga (kulia).</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9422.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-153614" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9422.jpg" alt="IMG_9422" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Dkt. Evaristo Kasanga akionesha kombe la mshindi wa pili kwa utoaji wa huduma bora  Tanzania kwa mwaka 2015 kwa Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9501.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-153615" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9501.jpg" alt="IMG_9501" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla akipata maelekezo kwa wahudumu wa afya wa Hospitali ya Ligula ya mkoa wa Mtwara wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya leo mkoani humo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9533.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-153616" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9533.jpg" alt="IMG_9533" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla akisalimiana na Mganga Mkuu wa Hospitali ya Ligula ya mkoa wa Mtwara, Dkt. Shaibu Maarifa wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya leo mkoani humo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9545.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-153617" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9545.jpg" alt="IMG_9545" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Mganga Mkuu wa Hospitali ya Ligula ya mkoa wa Mtwara, Dkt. Shaibu Maarifa akimuongoza Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla kuelekea wodi za wagonjwa wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya leo mkoani humo. Kulia ni Daktari wa zamu kitengo cha dharura hospitalini hapo,Dkt. Ester Tumwanga.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9550.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-153618" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9550.jpg" alt="IMG_9550" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla akizungumza na duka la dawa kwa wagonjwa wanaotumia huduma ya bima ya afya katika Hospitali ya Ligula ya mkoa wa Mtwara. Kulia ni  Mganga Mkuu wa Hospitali ya Ligula ya mkoa wa Mtwara, Dkt. Shaibu Maarifa.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9567.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-153619" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9567.jpg" alt="IMG_9567" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla akisikiliza maelezo kutoka kwa Daktari wa zamu kitengo cha dharura hospitalini hapo,Dkt. Ester Tumwanga (kulia) wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya leo mkoani humo. Kushoto ni Mganga Mkuu wa Hospitali ya Ligula ya mkoa wa Mtwara, Dkt. Shaibu Maarifa.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9602.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-153620" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9602.jpg" alt="IMG_9602" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Muuguzi Kiongozi wa wodi ya wazazi katika Hospitali ya Ligula ya mkoa wa Mtwara, Getrude Mangosongo (wa kwanza kulia) akifafanua jambo kwa Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla (wa pili kushoto) alipotembelea wodi ya akinamama wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya leo mkoani humo. Kushoto ni Daktari wa zamu kitengo cha dharura hospitalini hapo,Dkt. Ester Tumwanga na wa pili kulia ni Mganga Mkuu wa Hospitali ya Ligula ya mkoa wa Mtwara, Dkt. Shaibu Maarifa.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9619.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-153621" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9619.jpg" alt="IMG_9619" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla (kulia) akiwasili katika jengo jipya la Hospitali ya Kanda ya Kusini mkoani Mtwara ambalo linaendelea kujengwa na litahudumia mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma pamoja na nchi za jirani ikiwemo Msumbuji.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9650.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-153622" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9650.jpg" alt="IMG_9650" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla (kulia) akitembelea maeneo ya jengo jipya la Hospitali ya Kanda ya Kusini mkoani Mtwara ambalo linaendelea kujengwa na litahudumia mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma pamoja na nchi za jirani ikiwemo Msumbuji.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9671.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-153623" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9671.jpg" alt="IMG_9671" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla (katikati) akiwa ndani ya jengo jipya la Hospitali ya Kanda ya Kusini mkoani Mtwara ambalo linaendelea kujengwa na litahudumia mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma pamoja na nchi za jirani ikiwemo Msumbuji.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9689.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-153624" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9689.jpg" alt="IMG_9689" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla (kushoto) akitoa maelekezo baada ya  kutembelea jengo jipya la Hospitali ya Kanda ya Kusini mkoani Mtwara ambalo linaendelea kujengwa na litahudumia mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma pamoja na nchi za jirani ikiwemo Msumbuji.</strong></em></span></p>


KAWAIDA


IMG_9315

Kaimu Muuguzi Mkuu wa Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Damasiana Msalla akimuongoza Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla kuelekea kwenye wodi za hospitali wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya mkoa wa Lindi.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog)

IMG_9342

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Dkt. Evaristo Kasanga akimkaribisha Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla alipotembelea wodi za hospitali hiyo wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya leo mkoa wa Lindi.Katikati ni Mganga wa Meno na Kinywa katika hospitali hiyo, Dkt. Hussein Athumani.

IMG_9381

Mtaalamu wa Tehama katika Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Abdallah Kivurugo akitoa maelekezo kwa Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla (kulia) namna wanavyomsajili mgonjwa anapofika hospitalini hapo wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya leo mkoa wa Lindi.

IMG_9395

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla (kulia) akihoji jambo kwenye chumba cha mapokezi katika Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya leo mkoani humo.

IMG_9415

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla akisaini kitabu cha wageni ofisini kwa Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Dkt. Evaristo Kasanga (kulia).

IMG_9422

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Dkt. Evaristo Kasanga akionesha kombe la mshindi wa pili kwa utoaji wa huduma bora  Tanzania kwa mwaka 2015 kwa Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla.

IMG_9501

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla akipata maelekezo kwa wahudumu wa afya wa Hospitali ya Ligula ya mkoa wa Mtwara wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya leo mkoani humo.

IMG_9533

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla akisalimiana na Mganga Mkuu wa Hospitali ya Ligula ya mkoa wa Mtwara, Dkt. Shaibu Maarifa wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya leo mkoani humo.

IMG_9545

Mganga Mkuu wa Hospitali ya Ligula ya mkoa wa Mtwara, Dkt. Shaibu Maarifa akimuongoza Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla kuelekea wodi za wagonjwa wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya leo mkoani humo. Kulia ni Daktari wa zamu kitengo cha dharura hospitalini hapo,Dkt. Ester Tumwanga.

IMG_9550

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla akizungumza na duka la dawa kwa wagonjwa wanaotumia huduma ya bima ya afya katika Hospitali ya Ligula ya mkoa wa Mtwara. Kulia ni  Mganga Mkuu wa Hospitali ya Ligula ya mkoa wa Mtwara, Dkt. Shaibu Maarifa.

IMG_9567

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla akisikiliza maelezo kutoka kwa Daktari wa zamu kitengo cha dharura hospitalini hapo,Dkt. Ester Tumwanga (kulia) wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya leo mkoani humo. Kushoto ni Mganga Mkuu wa Hospitali ya Ligula ya mkoa wa Mtwara, Dkt. Shaibu Maarifa.

IMG_9602

Muuguzi Kiongozi wa wodi ya wazazi katika Hospitali ya Ligula ya mkoa wa Mtwara, Getrude Mangosongo (wa kwanza kulia) akifafanua jambo kwa Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla (wa pili kushoto) alipotembelea wodi ya akinamama wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya leo mkoani humo. Kushoto ni Daktari wa zamu kitengo cha dharura hospitalini hapo,Dkt. Ester Tumwanga na wa pili kulia ni Mganga Mkuu wa Hospitali ya Ligula ya mkoa wa Mtwara, Dkt. Shaibu Maarifa.

IMG_9619

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla (kulia) akiwasili katika jengo jipya la Hospitali ya Kanda ya Kusini mkoani Mtwara ambalo linaendelea kujengwa na litahudumia mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma pamoja na nchi za jirani ikiwemo Msumbuji.

IMG_9650

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla (kulia) akitembelea maeneo ya jengo jipya la Hospitali ya Kanda ya Kusini mkoani Mtwara ambalo linaendelea kujengwa na litahudumia mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma pamoja na nchi za jirani ikiwemo Msumbuji.

IMG_9671

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla (katikati) akiwa ndani ya jengo jipya la Hospitali ya Kanda ya Kusini mkoani Mtwara ambalo linaendelea kujengwa na litahudumia mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma pamoja na nchi za jirani ikiwemo Msumbuji.

IMG_9689

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla (kushoto) akitoa maelekezo baada ya  kutembelea jengo jipya la Hospitali ya Kanda ya Kusini mkoani Mtwara ambalo linaendelea kujengwa na litahudumia mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma pamoja na nchi za jirani ikiwemo Msumbuji.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment