sidhani kama ni njia sahihi ya kutatua matatizo, kuna vitu vya
kuzingatia kama adha ya usafiri ,n.k
On 12/18/15, Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com> wrote:
> Huyu anajitafutia umaarufu tu. Kwa nini afuatane na kamera za mapaparazi?
> Wizara yake ina matatizo makubwa mbali tu na kuchelewa wafanyikazi kufika
> ofisini.
> Angeyashughulikia hayo kwanza.
> em
>
> 2015-12-18 3:28 GMT-05:00 Lushengo Lutinwa <lutinwa@gmail.com>:
>
>> Madness, Dar sio Nzega. Foleni zinalazimisha watumishi kuchelewa ofisin.
>>
>> 2015-12-18 11:05 GMT+03:00 Zainul Mzige <zmzige@gmail.com>:
>>
>>> Habari za asubuhi,
>>>
>>> Tafadhali pokea CODES hapo chini
>>>
>>>
>>> <span style="color: #000080;"><em><strong><a style="color: #000080;"
>>> href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9118.jpg"><img
>>> class="size-full wp-image-153537 aligncenter" src="
>>> http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9118.jpg"
>>> alt="IMG_9118" width="640" height="427" /></a></strong></em></span>
>>> <p style="text-align: center;"><span style="color:
>>> #000080;"><em><strong>Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,
>>> Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kingwangalla akiwaamrisha askari wa getini
>>> wizarani hapo kuweka kufuli na kutoruhusu mtumishi yoyote wa ofisi hiyo
>>> kuingia ndani ya ofisi za wizara ilipotimu saa 1:32 asubuhi mapema
>>> leo.(Picha zote na Zainul Mzige wa <a
>>> href="http://www.modewjiblog.com"><span
>>> style="color:
>>> #0000ff;">Modewjiblog</span></a>).</strong></em></span></p>
>>> <p style="text-align: center;"><span style="color:
>>> #000080;"><em><strong><a style="color: #000080;" href="
>>> http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9122.jpg"><img
>>> class="aligncenter size-full wp-image-153538" src="
>>> http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9122.jpg"
>>> alt="IMG_9122" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
>>> <p style="text-align: center;"><span style="color:
>>> #000080;"><em><strong>Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,
>>> Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kingwangalla akisimamia zoezi la ufungwaji
>>> wa
>>> geti hilo, Kulia ni askari wa SUMA JKT akiweka kufuli katika lango kuu
>>> la
>>> kuingia katika ofisi za Wizara ya Afya.</strong></em></span></p>
>>> <p style="text-align: center;"><span style="color:
>>> #000080;"><em><strong><a style="color: #000080;" href="
>>> http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9123.jpg"><img
>>> class="aligncenter size-full wp-image-153539" src="
>>> http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9123.jpg"
>>> alt="IMG_9123" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
>>> <p style="text-align: center;"><span style="color:
>>> #000080;"><em><strong>Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,
>>> Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kingwangalla akiwauliza askari wa getini
>>> kuhusu daftari la mahudhurio ya watumishi wa wizara baada ya kufungwa
>>> geti
>>> hilo, na kupewa maelezo kuwa watumishi huonyesha vitambulisho pekee na
>>> husaini katika vitengo vyao.</strong></em></span></p>
>>> <p style="text-align: center;"><span style="color:
>>> #000080;"><em><strong><a style="color: #000080;" href="
>>> http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9139.jpg"><img
>>> class="aligncenter size-full wp-image-153542" src="
>>> http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9139.jpg"
>>> alt="IMG_9139" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
>>> <p style="text-align: center;"><span style="color:
>>> #000080;"><em><strong>Mmoja wa wafanyakazi wa Wizara ya Afya akiwasili
>>> ofisini huku muda wa kuingia kazini ukiwa umepitiliza. Kushoto ni Naibu
>>> Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi
>>> Kingwangalla akizungumza na mmoja watumishi wa wizara hiyo na kuagiza
>>> kuletewa vitabu vya mahudhurio kwa vitengo vyote vilivyopo wizarani
>>> hapo.</strong></em></span></p>
>>> <p style="text-align: center;"><span style="color:
>>> #000080;"><em><strong><a style="color: #000080;" href="
>>> http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9149.jpg"><img
>>> class="aligncenter size-full wp-image-153544" src="
>>> http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9149.jpg"
>>> alt="IMG_9149" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
>>> <p style="text-align: center;"><span style="color:
>>> #000080;"><em><strong>Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu katika
>>> Wizara ya Afya, Michael John akitoa maelezo kuhusu mahudhurio ya
>>> watumishi
>>> kwa Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto,
>>> Dkt.
>>> Hamisi Kingwangalla.</strong></em></span></p>
>>> <p style="text-align: center;"><span style="color:
>>> #000080;"><em><strong><a style="color: #000080;" href="
>>> http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9155.jpg"><img
>>> class="aligncenter size-full wp-image-153545" src="
>>> http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9155.jpg"
>>> alt="IMG_9155" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
>>> <p style="text-align: center;"><span style="color:
>>> #000080;"><em><strong>Magari ya watumishi wa Wizara ya Afya yakiendelea
>>> kuwasili ofisini bila ya kutambua kuwa Mheshimiwa Naibu Waziri, Dkt.
>>> Kigwangalla ametoa agizo la kuizuia watumishi
>>> wachelewaji.</strong></em></span></p>
>>> <p style="text-align: center;"><span style="color:
>>> #000080;"><em><strong><a style="color: #000080;" href="
>>> http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9156.jpg"><img
>>> class="aligncenter size-full wp-image-153546" src="
>>> http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9156.jpg"
>>> alt="IMG_9156" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
>>> <p style="text-align: center;"><span style="color:
>>> #000080;"><em><strong>Askari wa getini wakimpa maelezo mmoja wa
>>> watumishi
>>> wa wizara hiyo kuwa Mh. Naibu Waziri ameagiza watumishi wote
>>> waliochelewa
>>> kuzuiliwa kuingia ndani. </strong></em></span></p>
>>> <p style="text-align: center;"><span style="color:
>>> #000080;"><em><strong><a style="color: #000080;" href="
>>> http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9164.jpg"><img
>>> class="aligncenter size-full wp-image-153547" src="
>>> http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9164.jpg"
>>> alt="IMG_9164" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
>>> <p style="text-align: center;"><span style="color:
>>> #000080;"><em><strong>Mmoja wa wasaidi wa idara ya rasilimali watu
>>> akimkabidhi vitabu vya mahudhurio Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya
>>> Jamii,
>>> Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi
>>> Kingwangalla.</strong></em></span></p>
>>> <p style="text-align: center;"><span style="color:
>>> #000080;"><em><strong><a style="color: #000080;" href="
>>> http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9172.jpg"><img
>>> class="aligncenter size-full wp-image-153548" src="
>>> http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9172.jpg"
>>> alt="IMG_9172" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
>>> <p style="text-align: center;"><span style="color:
>>> #000080;"><em><strong>Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,
>>> Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kingwangalla akipitia mahudhurio ya
>>> watumishi
>>> wa wizara kwa siku zilizopita.</strong></em></span></p>
>>> <p style="text-align: center;"><span style="color:
>>> #000080;"><em><strong><a style="color: #000080;" href="
>>> http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9181.jpg"><img
>>> class="aligncenter size-full wp-image-153549" src="
>>> http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9181.jpg"
>>> alt="IMG_9181" width="640" height="359" /></a></strong></em></span></p>
>>> <p style="text-align: center;"><span style="color:
>>> #000080;"><em><strong>Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,
>>> Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kingwangalla akipitisha mstari wa kufunga
>>> mahudhurio kwa watumishi ambao wameripiti kabla ya saa 1:30 asubuhi ya
>>> leo.</strong></em></span></p>
>>> <p style="text-align: center;"><span style="color:
>>> #000080;"><em><strong><a style="color: #000080;" href="
>>> http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9198.jpg"><img
>>> class="aligncenter size-full wp-image-153550" src="
>>> http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9198.jpg"
>>> alt="IMG_9198" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
>>> <p style="text-align: center;"><span style="color:
>>> #000080;"><em><strong>Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,
>>> Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kingwangalla akiendelea na zoezi hilo la
>>> kupitisha mstari kwa kila idara za wizara hiyo.</strong></em></span></p>
>>> <p style="text-align: center;"><span style="color:
>>> #000080;"><em><strong><a style="color: #000080;" href="
>>> http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9231.jpg"><img
>>> class="aligncenter size-full wp-image-153551" src="
>>> http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9231.jpg"
>>> alt="IMG_9231" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
>>> <p style="text-align: center;"><span style="color:
>>> #000080;"><em><strong>Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,
>>> Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kingwangalla akizungumza na waandishi wa
>>> habari kuhusu juu ukaguzi huo katika ofisi za wizara yake ya afya ili
>>> kuboresha utendaji wa wizara hiyo na vituo vyote vya sekta ya afya
>>> nchini
>>> kote.</strong></em></span></p>
>>> Na Rabi Hume, Modewjiblog
>>>
>>> Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.
>>> Hamisi Kingwangalla amefanya ukaguzi wa kushtukiza katika ofisi za
>>> wizara
>>> hiyo kwa kusimama getini kuzuia wafanya kazi wote wa wizara ambao
>>> walikuwa
>>> wamefika ofisini baada ya saa 1:30 asubuhi muda ambao ndiyo mwisho wa
>>> wafanyakazi kuingia ofisini.
>>>
>>> Awali Dkt. Kingwangalla alifika ofisini saa 1:05 asubuhi huku akiingia
>>> ofisini kwa kutembea mwenyewe bila kutumia usafiri wa gari na kwenda
>>> moja
>>> kwa moja ofisini kwake ambapo alitoka ilipofika saa 1:32 na kwenda
>>> kusimama
>>> getini na kisha kuwaamrisha askari wa geti la kuingia katika wizara hiyo
>>> kulifunga geti hilo na wasiruhusu mtu yeyote kuingia ndani.
>>>
>>> "Fungeni geti na kila atakayefika msimruhusu kuingia ndani ninataka
>>> kuona
>>> wote ambao wanakuja wamechelewa," alisikika Dkt. Kingwangalla akiwambia
>>> askari wa getini.
>>>
>>> Baada ya kutoa amri hiyo alimtaka Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali
>>> Watu wa wizara hiyo, Michael John kumpa vitabu vya kusaini kwa vitengo
>>> vyote ili aweke mstari wa kuonyesha kuwa muda wa kuingia ofisini
>>> umekwisha
>>> na akafanya hivyo kwa kuweka mstari kwenye vitabu vya mahudhurio kuwa
>>> muda
>>> wa kusaini kuingia umeisha.
>>>
>>> Baada ya kukamilisha zoezi hilo Naibu Waziri alizungumza na wanahabari
>>> kuwa ameamua kufanya zoezi hilo katika ofisi za wizara kwa kutaka kuona
>>> ni
>>> jinsi gani watumishi wa ofisi hiyo wamekuwa na mwitikio wa kufanya kazi
>>> kwa
>>> kasi anayoitaka rais, Dkt. John Pombe Magufuli.
>>>
>>> Alisema watumishi hao wameajiriwa na serikali ili kufanya kazi lakini
>>> wamekuwa wakichelewa kuingia ofisini na yeye kama Naibu Waziri ana
>>> wajibu
>>> wa kuwasimamia watumishi hao ili wafanye kazi ambayo serikali imewaagiza
>>> kufanya.
>>>
>>> "Nina wiki moja tangu nimeingia hapa ofisini kuna mambo ambayo nimeyaona
>>> hayapo vizuri na sasa naanza na hili ili tujue kuwa ni kina nani huwa
>>> wanachelewa na zoezi hili litakuwa ni endelevu, kama mimi sitasimamia
>>> watumishi wa serikali basi sitakuwa na kazi wizarani tunataka watumishi
>>> ambao wanakuwa wanafanya kazi kwa kujitoa kwa ajili ya maslahi ya
>>> taifa,"
>>> alisema Dkt. Kingwangalla.
>>>
>>> Aidha Naibu Waziri huyo alimtaka Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali
>>> Watu
>>> kuhakikisha watumishi wote waliochelewa kufika ofisini wanaandika barua
>>> ya
>>> kutoa maelezo kwanini wanachelewa kufika ofisini na baada ya hapo
>>> Mkurugenzi na yeye atoe maelezo kwanini muda wa kutoka watumishi
>>> wanakuwa
>>> hawasaini kuwa wametoka.
>>>
>>> Pia alishauri uongozi wa wizara ufanye mabadiliko ya mfumo wa watumishi
>>> kuingia ofisini kwa kutumia mifumo ya kisasa ya kadi au kidole
>>> "Biometric"
>>> ili kuwa na taarifa katika mifumo ya mawasiliano kujua wanaochelewa
>>> ofisini
>>> na wanaowahi kutoka na baada ya hapo uongozi utajadili adhabu za kuwapa
>>> watumishi wote ambao wamekuwa wakichelewa kufika na kuwahi kutoka
>>> ofisini.
>>>
>>>
>>> KAWAIDA
>>>
>>> *[image: IMG_9118]
>>> <http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9118.jpg>*
>>>
>>> *Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.
>>> Hamisi Kingwangalla akiwaamrisha askari wa getini wizarani hapo kuweka
>>> kufuli na kutoruhusu mtumishi yoyote wa ofisi hiyo kuingia ndani ya
>>> ofisi
>>> za wizara ilipotimu saa 1:32 asubuhi mapema leo.(Picha zote na Zainul
>>> Mzige
>>> wa Modewjiblog <http://www.modewjiblog.com/>).*
>>>
>>> *[image: IMG_9122]
>>> <http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9122.jpg>*
>>>
>>> *Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.
>>> Hamisi Kingwangalla akisimamia zoezi la ufungwaji wa geti hilo, Kulia ni
>>> askari wa SUMA JKT akiweka kufuli katika lango kuu la kuingia katika
>>> ofisi
>>> za Wizara ya Afya.*
>>>
>>> *[image: IMG_9123]
>>> <http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9123.jpg>*
>>>
>>> *Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.
>>> Hamisi Kingwangalla akiwauliza askari wa getini kuhusu daftari la
>>> mahudhurio ya watumishi wa wizara baada ya kufungwa geti hilo, na kupewa
>>> maelezo kuwa watumishi huonyesha vitambulisho pekee na husaini katika
>>> vitengo vyao.*
>>>
>>> *[image: IMG_9139]
>>> <http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9139.jpg>*
>>>
>>> *Mmoja wa wafanyakazi wa Wizara ya Afya akiwasili ofisini huku muda wa
>>> kuingia kazini ukiwa umepitiliza. Kushoto ni Naibu Waziri wa Afya,
>>> Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kingwangalla
>>> akizungumza na mmoja watumishi wa wizara hiyo na kuagiza kuletewa vitabu
>>> vya mahudhurio kwa vitengo vyote vilivyopo wizarani hapo.*
>>>
>>> *[image: IMG_9149]
>>> <http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9149.jpg>*
>>>
>>> *Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu katika Wizara ya Afya, Michael
>>> John akitoa maelezo kuhusu mahudhurio ya watumishi kwa Naibu Waziri wa
>>> Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi
>>> Kingwangalla.*
>>>
>>> *[image: IMG_9155]
>>> <http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9155.jpg>*
>>>
>>> *Magari ya watumishi wa Wizara ya Afya yakiendelea kuwasili ofisini bila
>>> ya kutambua kuwa Mheshimiwa Naibu Waziri, Dkt. Kigwangalla ametoa agizo
>>> la
>>> kuizuia watumishi wachelewaji.*
>>>
>>> *[image: IMG_9156]
>>> <http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9156.jpg>*
>>>
>>> *Askari wa getini wakimpa maelezo mmoja wa watumishi wa wizara hiyo
>>> kuwa
>>> Mh. Naibu Waziri ameagiza watumishi wote waliochelewa kuzuiliwa kuingia
>>> ndani. *
>>>
>>> *[image: IMG_9164]
>>> <http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9164.jpg>*
>>>
>>> *Mmoja wa wasaidi wa idara ya rasilimali watu akimkabidhi vitabu vya
>>> mahudhurio Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na
>>> Watoto, Dkt. Hamisi Kingwangalla.*
>>>
>>> *[image: IMG_9172]
>>> <http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9172.jpg>*
>>>
>>> *Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.
>>> Hamisi Kingwangalla akipitia mahudhurio ya watumishi wa wizara kwa siku
>>> zilizopita.*
>>>
>>> *[image: IMG_9181]
>>> <http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9181.jpg>*
>>>
>>> *Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.
>>> Hamisi Kingwangalla akipitisha mstari wa kufunga mahudhurio kwa
>>> watumishi
>>> ambao wameripiti kabla ya saa 1:30 asubuhi ya leo.*
>>>
>>> *[image: IMG_9198]
>>> <http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9198.jpg>*
>>>
>>> *Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.
>>> Hamisi Kingwangalla akiendelea na zoezi hilo la kupitisha mstari kwa
>>> kila
>>> idara za wizara hiyo.*
>>>
>>> *[image: IMG_9231]
>>> <http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/IMG_9231.jpg>*
>>>
>>> *Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.
>>> Hamisi Kingwangalla akizungumza na waandishi wa habari kuhusu juu
>>> ukaguzi
>>> huo katika ofisi za wizara yake ya afya ili kuboresha utendaji wa wizara
>>> hiyo na vituo vyote vya sekta ya afya nchini kote.*
>>>
>>> Na Rabi Hume, Modewjiblog
>>>
>>> Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.
>>> Hamisi Kingwangalla amefanya ukaguzi wa kushtukiza katika ofisi za
>>> wizara
>>> hiyo kwa kusimama getini kuzuia wafanya kazi wote wa wizara ambao
>>> walikuwa
>>> wamefika ofisini baada ya saa 1:30 asubuhi muda ambao ndiyo mwisho wa
>>> wafanyakazi kuingia ofisini.
>>>
>>> Awali Dkt. Kingwangalla alifika ofisini saa 1:05 asubuhi huku akiingia
>>> ofisini kwa kutembea mwenyewe bila kutumia usafiri wa gari na kwenda
>>> moja
>>> kwa moja ofisini kwake ambapo alitoka ilipofika saa 1:32 na kwenda
>>> kusimama
>>> getini na kisha kuwaamrisha askari wa geti la kuingia katika wizara hiyo
>>> kulifunga geti hilo na wasiruhusu mtu yeyote kuingia ndani.
>>>
>>> "Fungeni geti na kila atakayefika msimruhusu kuingia ndani ninataka
>>> kuona
>>> wote ambao wanakuja wamechelewa," alisikika Dkt. Kingwangalla akiwambia
>>> askari wa getini.
>>>
>>> Baada ya kutoa amri hiyo alimtaka Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali
>>> Watu wa wizara hiyo, Michael John kumpa vitabu vya kusaini kwa vitengo
>>> vyote ili aweke mstari wa kuonyesha kuwa muda wa kuingia ofisini
>>> umekwisha
>>> na akafanya hivyo kwa kuweka mstari kwenye vitabu vya mahudhurio kuwa
>>> muda
>>> wa kusaini kuingia umeisha.
>>>
>>> Baada ya kukamilisha zoezi hilo Naibu Waziri alizungumza na wanahabari
>>> kuwa ameamua kufanya zoezi hilo katika ofisi za wizara kwa kutaka kuona
>>> ni
>>> jinsi gani watumishi wa ofisi hiyo wamekuwa na mwitikio wa kufanya kazi
>>> kwa
>>> kasi anayoitaka rais, Dkt. John Pombe Magufuli.
>>>
>>> Alisema watumishi hao wameajiriwa na serikali ili kufanya kazi lakini
>>> wamekuwa wakichelewa kuingia ofisini na yeye kama Naibu Waziri ana
>>> wajibu
>>> wa kuwasimamia watumishi hao ili wafanye kazi ambayo serikali imewaagiza
>>> kufanya.
>>>
>>> "Nina wiki moja tangu nimeingia hapa ofisini kuna mambo ambayo nimeyaona
>>> hayapo vizuri na sasa naanza na hili ili tujue kuwa ni kina nani huwa
>>> wanachelewa na zoezi hili litakuwa ni endelevu, kama mimi sitasimamia
>>> watumishi wa serikali basi sitakuwa na kazi wizarani tunataka watumishi
>>> ambao wanakuwa wanafanya kazi kwa kujitoa kwa ajili ya maslahi ya
>>> taifa,"
>>> alisema Dkt. Kingwangalla.
>>>
>>> Aidha Naibu Waziri huyo alimtaka Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali
>>> Watu
>>> kuhakikisha watumishi wote waliochelewa kufika ofisini wanaandika barua
>>> ya
>>> kutoa maelezo kwanini wanachelewa kufika ofisini na baada ya hapo
>>> Mkurugenzi na yeye atoe maelezo kwanini muda wa kutoka watumishi
>>> wanakuwa
>>> hawasaini kuwa wametoka.
>>>
>>> Pia alishauri uongozi wa wizara ufanye mabadiliko ya mfumo wa watumishi
>>> kuingia ofisini kwa kutumia mifumo ya kisasa ya kadi au kidole
>>> "Biometric"
>>> ili kuwa na taarifa katika mifumo ya mawasiliano kujua wanaochelewa
>>> ofisini
>>> na wanaowahi kutoka na baada ya hapo uongozi utajadili adhabu za kuwapa
>>> watumishi wote ambao wamekuwa wakichelewa kufika na kuwahi kutoka
>>> ofisini.
>>>
>>> --
>>> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>>>
>>> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>>> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
>>> ukishatuma
>>>
>>> Disclaimer:
>>> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>>> legal consequences of his or her postings, and hence statements and
>>> facts
>>> must be presented responsibly. Your continued membership signifies that
>>> you
>>> agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and
>>> Guidelines.
>>> ---
>>> You received this message because you are subscribed to the Google
>>> Groups
>>> "Wanabidii" group.
>>> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send
>>> an
>>> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>>> For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
>>>
>>
>> --
>> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>>
>> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
>> ukishatuma
>>
>> Disclaimer:
>> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> legal
>> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must
>> be
>> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree
>> to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> ---
>> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
>> "Wanabidii" group.
>> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
>> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
>>
>
> --
> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
>
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment