Tuesday 11 September 2012

Re: [wanabidii] UWEKEZAJI WETU

Hi Herment
nakubaliana na maoni yako. Siku moja nilikuwa kwenye mkutano wa wafanyakazi wa sekta fulani binafsi. Kilichokuwa kinahamasishwa ni kuanzishwa kwa SACCOS  ya sekta hiyo.

Mtu mmoja alisimama na kusema "NINYI WASOMI MNATUDANGANYA TU. MNATAKA KULA HELA YETU"

Nilishtuka  kweli na kauli ile kwani iliungwa mkono na wengi. Kumbe kusoma katika jamii inaonekana ni kiini macho cha kuwaibia wasiosoma. Tukiangalia wanasiasa wetu, Madaktari na waalimu wanaogoma na kudai mambo mbali mbali; kwa mtu asiyekuwa na upeo anaona YA NINI KUCHANGIA WATU WAPATE ELIMU maana wanakuja kutugeuka baadae.

Hivyo wasomi wawe na muone wa Nyerere kuhusu kijiji kilichokuwa na njaa ya kufa mtu..."WATU WALICHANGA KIDOGO WALICHOUWA NACHO KUMCHANGIA MMOJA KUSAFIRI MBALI...... ili aje kuwaokoa"

Kazi ipo!



From: Herment Mrema <hmrema11@hotmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Monday, September 10, 2012 11:58 PM
Subject: RE: [wanabidii] UWEKEZAJI WETU

Wanabidii,

Hao wanaochangia sherehe za harusi kwa wingi zaidi kuliko kuchangia kusoma wana sababu za msingi.  Sababu kubwa ninayoiona hapa ni utility au satisfaction mtu aipatayo kwa kujumuishwa na kusherekea na wenzake ina value zaidi kuliko kuchangia kusoma.  Watu wanajiuliza hao waliosoma wamefanya nini, wamechangia kubadili maisha ya mtu binafsi na mtanzania kwa kiasi gani. Je mchango huo una utility au satisfaction inayolingana na kusherekea na kupata temporary relief of stress, anxiety and anger mtu aliyo nayo towards life in general. Kila kitu kinafanyika kwa sababu fulani na tukipata sababu hiyo basi tumepata dawa ya kutibu hicho kinachotokea kukibadilisha kuwa positive kama ni negative.

Bila kuonyesha wazi wazi kuwa kusoma kunaleta faraja zaidi kuliko kuchangia kuoa watu wataendelea kuchangia kuoa.

Tutafakari jambo hili na tulizungumze tupate muafaka hwenda likatusaidia kubadilisha tabia, maono na preference zetu za kimaisha

Ahsante

Herment


Date: Mon, 10 Sep 2012 20:13:43 +0300
Subject: Re: [wanabidii] UWEKEZAJI WETU
From: mngonge@gmail.com
To: wanabidii@googlegroups.com

Lazima kuna kitu kinachowasukuma

On Mon, Sep 10, 2012 at 7:50 PM, Sylvanus Kessy <frkessy@yahoo.com> wrote:
Yabidi tubadili mtazamo wa maisha.
 Tutavuna tunachopanda!

It is indeed rather too much.
 

 

 
 
 
 







Lazima kuna kitu kinachowasukuma kuwekeza kwenye bakuli la kuoa kuliko la Elimu. Utamaduni wetu toka enzi za mababu unahimiza kuchangia chakula na pombe wakati wa sherehe na misiba. Wenzetu Kenya walikwishaondokana na hizo mila lakini sisi mmmhuu. Ukianza ubishi wa kisiasa na kidini mtaani utagundua kwamba bado tuna tatizo sugu na hivyo kuchangiana mambo ya msingi itachukua muda mrefu.

Kazi ipo




 
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 


--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 


0 comments:

Post a Comment