Tuesday 28 April 2015

RE: [wanabidii] MPANGO WA MIZENGO PINDA NA GWAJIMA HUU HAPA

Ninachangia tu kwa kusema-Kila dini ina mahakama zake iwe ya Kikristu, Kiislamu madhehebu mbali mbali kwa dini hizo, Hindu, Bohora, Budha what have you ktk dini zilizopo TZ. Na kama utafiti utafanyika-labda Wahindi, Bohora ndio wanatumia mahakama za dini zao. Lakini za waislamu na kikristu madhehebu mbali mbali hasa katika masuala ya miradhi na kuvunja ndoa-wengi watakuwa wanakwenda mahakama za serikali ili kupata haki.

Watu wapo huru kutumia mahakama za dini au za serikali au za kimila (wazee wa mila na wa ukoo wanaohukumu masuala ya ndoa na mirathi, miliki mali na mgawanyo wa hasa ardhi).

Dini zote zinatakiwa kutumia vyeti vya ndoa vya serikali na wanatumia hata mashehe wakiozesha pia mapadri. Vyeti vya kanisani vya ubatizo vinatambuliwa na serikali. Unapeleka vyako na vya wazazi wako vilivyopigwa muhuri kanisani unapewa vitambulisho vya cheti cha kuzaliwa cha serikali. wazee sisi tumepata vyeti vya GVT vya kuzaliwa sasa hivi na kupata vya uraia kwa kupeleka vyeti vya kanisani ambapo huko nyuma hakukuwa na vyeti vya kuzaliwa hospitali kama uliziwa nyumbani.

Wakristu na waislamu Tanzania wapo idadi almost sawa 48 VS 52%. Maeneo mengine vijijini unakuwa aidha wakristo ni 97% (iringa, Njombe, Mbeya, Morogoro vijijini, Kilosa rural na milima ya Udzungwa-Migomberama) na unakuta Waislamu 50-99% maeneo ya coastal areas (Rufiji, Lindi, Kibaha, Bagamoyo, Mafia, ZNZ, Pemba, Tanga, Pangani, Handeni etc). Kama unakuta wakristu ktk kanisa Mafia ni 3-10 nao wengi watakuwa wafanyakazi waliohamishiwa huko. Uislamu upo pia strong bara maeneo ya Lushoto, South Pare, Kilimanjaro, Kagera-Bukoba, Kigoma. Wananchi wabongo wa dini mbali mbali na makabila mbali mbali wameoana. Koo mbalimbali zina wa dini na wanaelewana wanaishi vizuri. Wote wanazingatia masuala ya nani achinje nyama na ipikweje ili wote washiriki na ni nyama ipi. Pamoja na kuwa siku hizi kiti moto ni biashara kubwa ya kipato, ya supu bei rahisi ya kuongeza afya kwa walio na HIV na inaliwa bila kificho ukilinganisha na zamani; vijana mijini geto ndio supo yao chini
ya miti-hakuna tatizo vijana wa kikristu na waislamu wapo pamoja wakivuta bangi, kunywa viroba na kula kitimoto ngenge moja.

Ukienda kwenye maombi mbali mbali ya makanisa ya kilokole na hata ya kikatoliki mfano Mwananyamala Catholic Church alipokuwa akiombea Rev Hendricks Mambwe (mchaga) unakuta saa 11 wakristu na waislamu wamewahi namba ya kupata kuombewa na wanaombewa kikristu na kutoa shuhuda mbalimbali. Bahati mbaya kijana wa watu amehamishiwa Uganda katika ushirika wake na kuacha pigo kubwa kwa wenye shida mbali mbali. Hakuna senti wanayolipa wanaoombewa Mungu ni mmoja hakuna utengano. Mradi tu una Imani ya Mungu Mweza wa yote unaombewa na kwa Imani yako unashuhudia uponywaji unaoonekana pia.

Kinachogomba hapa au kuleta utata ni ile ya kutaka kuhalalisha mahakama ya dini moja na kisha ilipiwe na kodi za wasio wa dini hiyo. Cha kufanya ni serikali kutambua mahakama ya dini zote (na inatambua kesi zikitoka huko na kwenda mahakama ya GVT wanaoshitakiana hutoa pia evidence ya kushindwa au kuto kukubaliana katika suluhisho zilizopita na kuanza moja). Vyeti vya ndoa vya kidini hutambuliwa, mashahidi wa kimila hutumika kutoa ushahidi wa masuala ya ndoa za kimila, miradhi ya customary law etc. Sasa kinachotakiwa nini wengine hatuelewi. Kama mahakama ya kadhi itambuliwe-basi na za Bohora, Budha, Hindu, Lutheran, KKT, TAG, Assembly of God, Kanisa la Kakobe, Ephata, Lusekelo, Siloam, Ufufuo na Uzima-Gwajima etc; Sunni, Shia na matawi yao sio hilo moja linalohusu kadhi na yote yalipiwe na kodi zinazokusanywa na serikali na watu wapewe ticket pia ya kwenda Roma kwa Papa (mahakama kuu ya wakatoliki) kama serikali inashindwa kuamua kesi hapa bongoland.
Kama hii ni tata-Serikali ya TZ isijiingize katika masuala ya mahakama ya dini yoyote bali itambue tu vidhibiti vyake kesi inapohamishiwa ktk mahakama yoyote ya Serikali. Tujifunze kutoka kwetu na kwa wenzetu ila sisi tupo unique-tusiburuzwe na kuburuzana. Kuna linalotafutwa ili tuingie matatizo ya kidini. Huko tulikotoka ilikuwaje mpaka hii leo mahakama ya kadhi ikawe issue?




On Tue, 28/4/15, Herment Mrema <hmrema11@hotmail.com> wrote:

Subject: RE: [wanabidii] MPANGO WA MIZENGO PINDA NA GWAJIMA HUU HAPA
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Tuesday, 28 April, 2015, 20:26




Wanabidii wenzangu

Tukubali kuwa kila nchi ina mazingira na hali tofauti. 
Hivyo kwa vile nchi fulani ina mahakama ya kadhi ina maana
kuwa nayo mahakama ya kadhi itafaa kuwepo Tanzania. 
Sio kweli kwa mfano kuwepo na mahakama ya kadhi Kenya haina
athari zozote kwa vile waislamu sio zaidi ya asimilimia 30%
hivyo mahakama ya kadhi sio tatizo.  Lakini kwa
Tanzania ambayo waislamu wako karibu asili mia 48% au zaidi
kwa sababu hatuna data za kujua nchi hii ina wakristu
wangapi na waislamu wangapi madhara yake ni makubwa kwani
impact yake nayo ni kubwa.  Hivyo ni rahisi wakristu
kuona kuwa wanamezwa na sheria za kiislamu ijapokuwa
haziwagusi moja kwa moja. Hisia peke yake ni tatizo hivyo ni
vyema tukaepuka hilo. 

Kama waislamu wanataka mahakama ya kadhi ambayo wataisimamia
na kuigharamia wenyewe nafikiri hakuna tatizo.

Hii amani tuliyo nayo japokuwa sio kubwa kama tulivyotegemea
ni lazima tuiilinde kwa gharama yeyote.

Ahsante

Mrema



Date: Tue, 28 Apr
2015 20:09:03 +0300
Subject: Re: [wanabidii] MPANGO WA MIZENGO PINDA NA GWAJIMA
HUU HAPA
From: fadhil.fadhil96@gmail.com
To: wanabidii@googlegroups.com

Inaonekana fact zako hazipo  sawa maana katiba
inayopendekezwa imeshatoka na hamna sehemu ambayo 
kadhi imetajwa wewe unamwaga upupu tu  humu. Hlf mbona
mahakama za kadhi ziko ktk katiba za kenya. Uganda. Znb na
maisha yanaendelea. Acha uzushi nenda kwanza library ndo uje
hapa siyo kutengeneza tengeneza tu pumba.



On Mar 30, 2015
11:56 PM, "MABADILIKO CHADEMA" <mabadilikochadema@gmail.com>
wrote:
NIMEIKOPY
KUTOKA SEHEMUNdugu
Watanzania, Wazalendo, raia wa nchi yetu huru. Kama ni
kukiuka taratibu za kazi yangu, NAZIKIUKA na sijutii kwa
hili. Askofu Gwajima ana watu wengi, kila sekta ya nchi hii
kuanzia wapishi wa rais, wafanyakazi wa rais, watu wa wizara
mbalimbali wote ni washirika wake. Kumgusa GWAJIMA kitendo
kibaya kisicho vumilika, na mie siwezi kukubali Mchungaji
wangu afanyiwe kibaya na wewe bosi wangu, unayelidhalilisha
Taifa kwa misingi michafu ya malengo yako machafu.Niseme
wazi, Baraka za mashambulizi ya Askofu Gwajima zinabarikiwa
na Raisi Mwenyewe wa Nchi. Alhaji Pinda na Alhaji Kova na
wengine wawili ni ndio mastermind ya Kumsaka, kumkaba na
kumwangamiza Gwajima.Kazi
ya Kumsaka Gwajima ilianza tokea kitambo, na iliratibiwa kwa
karibu na Intelijensia ya ikulu. Lengo lilikuwa ni kufanya
silence attack ambayo haita washtua wananchi. Mimi kwa kuwa
ni mtumishi wa Muda mrefu kwenye System, naushangaa sana
Uraisi wa kipindi hiki ambao umejikita sana kwenye Umbea,
majungu, fitina na ushirikina. Matukio ya Uhallifu, ajali,
wizi wa siraha sio hasa lengo mama la utawala huu zaidi ya
kujishughulisha na matukio ya kijingajinga kwa
wananchi.Kufuatiliwa
Vikali kwa Askofu gwajima ni kwa sababu ya tabia yake ya
Kusema anacho kiamini. Ama aliyosema yamemkwaza mtu au la
ipo sehemu ya kushtaki. Na kama amekosea kwenye matamshi iko
mahakama mnapelekana. Lakini si kwa serikali hii. Serikali
hii ambayo majambazi , mafisadi, wezi na wahalifu ni
marafiki wakuu wake, wakati watu wenye matamshi ya moja kwa
moja ni hatari sana, wanasakamwa, wanang'olewa meno na
kuteswa, wanabambikiziwa kesi na mashtaka mbalimbali. 
Ni wengi wamefanyiwa vitendo vibaya, vinaniumiza sana,
Utakuta kiongozi anashtakiwa, anawekwa SELO, tena ya peke
yako, hata kama una wakili, wakili anahakikisha umewekwa
selo na anaondoka, Usiku selo linafunguliwa, wanaletwa watu
manyang'au kutoka mahabusu au magerezani, wanakuingilia
kinyume na maumbile kama mwanaume au kama ni mwanamke
unabakwa nyuma na mbele. Tena utakuta mijitu yenyewe imesha
athirika, kisha unarudishwa selo. Matendo haya yanafanyika
kwa siri na si Polisi wote wanahusika, ni maafisa wachache
na siri sana kwa Polisi. Wanajua kwa Cheo Chako, au heshima
yako mbele ya jamii Utapotolewa kesho yake kwa dhamana
hutasema walivyo-kusodomize , itakuwa ni siri yako na
watakuwa wamesha kuvuruga kisaikolojia. Hutaweza tena kuwa
na ujasiri wowote. UTAWALA wa Raisi Nyerere Polisi ilikuwa
kimbilio la wananchi, sehemu salama, sehemu unayolindwa na
Dola, siku hizi Polisi ni pa Kuogopa sana. WASHENZI ,
WASIOJUA UONGOZI, WASIOLINDA KATIBA WAMEIHARIBU NCHI
YETU.Lakini
Siku hizi imegunduliwa sumu mpya za kuua ambazo ukipata
contamination yake, inapenya mwilini, hadi kwenye ubongo au
ini na baada ya muda mfupi unaugua ama kansa hasa kansa ya
damu au ya ini, au kisukari dufu na unaondoka ivi-ivi. Zile
Sumu za kuweka kwenye maji, Juisi, au kinywaji&Chakula
ni za kianalojia na zilishapitwa na wakati.Lakini
pia imegunduliwa Mionzi. Mionzi hii kama ya remote control.
Ray generation device inapachikwa sehemu ya Microphone,
camera, usukani wa gari unalotumia , Tochi na vinginevyo.
Mionzi hiyo hiyo hupenya kwenye Ubongo na Kuharibu nerve
system. Matokeo yake makubwa si kifo, kifo ni mara chache
sana. Zaidi wengi huishia kuwa machizi. Makachero wazoefu
waliopiga operesheni hatari, kisha wakaonekana kama wanataka
kufanya usaliti flani hupigwa mionzi na kubakia
machizi. 
Baada ya Ikulu kuchemsha, matamshi ya Gwajima kwa Askofu
pengo ndio yaliyozua jambo Jipya. Serikali ikapata sababu ya
kukunjua makucha yake yote kwa gwajima. Serikali imeamua
kuziwajibisha wizara zake zoote zimwandame na Kummaliza
gwajima huku watu wachache sana wanaratibu vitu vya siri
kumwangamiza mtumishi huyu wa Mungu. Viongozi wengine
wanatumika tu kama PAMPAS za serikali kufanyia kazi. Wizara
ya mambo ya ndani imeagizwa Kuchunguza usajili wa kanisa,
wakuu wa mikoa wamsumbue kwenye maeneo yao, national House
nao wasumbue kuhusu Uhalali wa kuwa Tanganyika packers.
SERIKALI yote ya Jamhuri ya Muungano kimsingi imehamia kwa
Gwajima. Gwajima ni nani hasa serikali nzima ihamie kwake,
watumishi wenye heshima zao watumiwe na serikali kwa matakwa
ya mtu mmoja. Fedha za walipa kodi zinatumika kummaliza mtu
mmoja. Shame. Huko Tabora Siraha zimeibiwa, magaidi
yanavamia vituo vya polisi, yanaua mapolisi na kupora
siraha, ajali zimekithiri, mapolisi njiani wanapiga mkwanja
tu, hata ukitembea na basi bovu, loli limepinda, Kontena
halijafungwa boriti wao poa tu, wanapigazao mikwanja na
madau wameshawekeana. SIJAWAHI KUONA SERIKALI YA KIJINGA
KAMA HII. Matukio haya serikali haiyaoni imekazania mtu
mmoja tu, Gwajima.. VIONGOZI WAACHE KUTUMIWA KAMA
PAMPASI.Ndugu
zangu waislam, nawapenda sana, lakini kwa hili mniwie radhi,
naomba nikunjuke LIVE!. Najua sio waislam wote, waislam wa
Tanzania wanapenda amani. Upo Mpango wa kuyabadilisha
mataifa ya Afrika kuwa ya kiislam, "Islamic State" (njoo
ofisi ya CAG utaelezwa maana yake). Na Mpango huu SI MATAKWA
YA AFRIKA. Ni shinikizo kutoka mataifa ya uarabuni. Kwamba
Ili taifa liwe la kiislam haitokei kwa siku moja, ni hatua
kwa hatua na inaweza kuchukua miaka mingi lakini bora hatua
zianze kwanza. 
Ndugu zangu wakristo ni mashahidi sana wa hii. Kwamba Syria
(Damascus) ulikuwa mji wa kikristo, Lebanon, Jordan lakini
leo ni mataifa ya kiislam. Hivyo mpango huo unao sanifiwa
kwa umakini na mataifa ya kiislam, waislam wengi wa Tanzania
hawajui Hili. Mataifa haya yanaamini kwamba iwapo taifa hili
liapitisha mahakama ya kadhi, hata kwa vyovyote vile, basi
kesho watapenyesha kingine. Walianzia mbali enzi kwa Profesa
kapuya, wakapenyeza mavazi ya tamaduni za kiarabu mashuleni,
wakaaminishwa mavazi hayo ndio tamaduni za Kiislam lakini si
kweli. Hijabu huvaliwa kwa sababu mashariki ya kati kuna
upepo na Vumbi, wanawake wa zamani nywele zilikuwa bidhaa,
lazima azitunze zikue, zirefuke kisha anazikata na kuziuza
kwa matengenezo ya vitu mbalimbali, zilizotunzwa vizuri na
bei yake huwa nzuri, nadhani hata kwenye vitabu vya hadithi
za mtume aliwahi kusimulia kisa cha mwanamke mke wa Ayubu
kuuza nywele zake kujaribu kurejesha utajiri wao.Ukisoma 
https://www.academia.edu/377…/Maudhui_katika_utendi_wa_ayubuUmaskini
unamwangukia Ayubu na familia yake na kumwacha Rehema
akitembea tembea akiomba kazi kwenye nyumba za watu ili
apate aghalau mkate mdogo wa kumlisha mumewe. Yuko radhi
hata kuwafanyia watu kazi ya kuwang'arishia pete zao na
kuwasuka nywele. Isitoshe,Rehema yuko tayari hata kuokota
vipande vya mkate vinavyoanguka (ubeti wa 132). Rehema pia
hana kaziyoyote ya kuihahakikishia familia yake pato na
kuikimu, anakubali hali hii na kusema kuwa asiyekuwa na kazi
hata pato anakosa (ubeti wa 154). Kutokana naumaskini na
haja ya kutaka kuikimu familia yake, Rehema anauza nywele
zakekwa thamani ndogo sana mradi apate mkate wa kumlisha
mumewe ( beti za191,192,193,233)Sasa
Nywele zetu hizi za kipilipili, uzifunike Ati kwamba zikue
sirefuke, ni Uchizi, sanasana utafunikia mawigi.. Utamaduni
huo umekuzwa na kuitwa tamaduni za watu wa mashariki ya
kati, tena ikumbukwe rehema ni mkristo, Wakristo ndio
waliokuwa wakitunza nywele kwa kuzifunika.Baada
ya kufanikiwa mavazi ya tamaduni ambazo waliamriwa wayaite
ya kiislam, wakaanzisha taratibu za kufunga mitaa wakati wa
sherehe zao ikapita, wakaanzisha taratibu za kufunga njia
wakati wa futari imepita, wakaja na staili ya kutokufungua
migahawa siku za mfungo, hasa kariakoo. Nayo ikapita. Sasa
wameona waingize kitu kwenye katiba ya nchi. Wakifanikiwa
kuingiza mahakama ya kahi kesho kitaingizwa kingine na
kingine mwisho ISLAMIC STATE. Ambayo watanzania wengi
watajikuta makoloni ya waarabu kwa ujinga wetu HISTORIA
ITATUHUKUMU.ALHAJI
Salum Pinza (Mizengo Pinda) [ Pinda alikwisha Silimu siku
Nyingi ni muislam na kila mtu anajua]. Mtu huyu kawa kama
Chizi vile, mie naamini amedanganywa, Pinda kaahidiwa
akifanikiwa kuichomeka mahakama ya kadhi kwenye katiba
Atapewa fedha nyingi sana na WAARABU. Zimsaidie kuhonga
wajumbe wa ccm {ambao of course kwao kura ni fedha}
wampitishe kuwa mgombea. Pinda aliwalilia mabwenyenye hao wa
kiarabu kwamba Mpinzani wake (EL) ana mapesa mengi. Wakasema
hana kama za mafuta. Wao watampatia za mafuta ahonge
atakavyo, hata kama akikosa Uraisi basi zimfae maishani,
lakini sharti asilimu kwanza ndipo alipo silimu.Hivyo
alhaji Pinda na Mahakama ya Kadhi ni Uhai na uraisi wake.
JOPO La Pinda linaloundwa na wanaojiita waislam wenye
misimamo mikali serikalini ambao wapo jeshi la Polisi,
wananchi na magereza lakini pia Wizara mbalimbali, tawala za
mikoa, wakuu wa mikoa na wilaya , wenyeviti wa vijiji n.k
hawa wamedanganyika na kujiita wa misimamo mikali. Wengine
ni wasomi lakini wanatumika tu kama Pampasi za
Waarabu.Lakini
Kwenye Taifa la Tanzania wapo Viongozi wa Dini waoga, ila
wapo ambao ni sauti ya Mungu. HAWAOGOPI. Gwajima ni mmoja
wapo. Na Pinda anaamini Kwenye majumuia ya Makanisa Gwajima
ana ushawishi mkubwa sana. Akimsilence Gwajima in any means
makelele ya watu kuhusu mahakama ya kadhi yatakwisha na
atafanikisha lengo lake Chafu.Baada
ya tamko la maaskofu kupinga mahakama ya kadhi, Pinda kwa
Hira na Ushetani mkubwa akajipenyeza kwa Mfipa mwenzake
Kardinali Pengo. Pengo ambaye hakuwa anajua chochote kuhusu
mambo machafu ya Pinda akamkubalia ombi lake, kwamba atoe
nae tamko la Kukataa makubaliano ya maaskofu. Kitu ambacho
PENGO amefanya ni kibaya, kimefika VATICAN, na mashushushu
wa JESUIT, Wako nchini kuchunguza Ukweli huu. Ni kweli Pengo
hakukubali mahakama ya kadhi, wala hakuiongelea kwenye tamko
Lake, yeye alidanganywa na Pinda, aongelee tu Uhuru wa watu
kupiga kura usiingiliwe, Kumbe Nyuma ya tamko lake kuna
USHETANI MBAYA SANA ambao Pinda alimficha, kwenye hiyo
katiba Pendekezi ndimo mahakama ya kadhi imejificha.
Kardinali Pengo hakulijua Hilo, wala hakuwaza kwamba
analishwa Ugoro pasipo kujuaHata
baada ya tamko lake, kabla ya audio ya gwajima, Pengo
alishaona ukweli kwamba Pinda kamsababishia KULIKOROGA
VIBAYA SANA. Pengo amemlaani Pinda sana.Sasa
Baada ya Audio ya Gwajima, ndipo Ikulu ikapata sababu ya
kumwandama gwajima, Mizengo Pinda akapata ahueni ya
kumchakaza anaye msumbua, Mizengo akaihamishia serikali yetu
yote kwa Mtu mmoja Tu Gwajima. Mizengo Pinda anaamini
kitachompata gwajima watanzania watasema alijitakia, yeye
kwanini katutukania kiongozi wetu wakatoliki?,. na mtu wa
kuibeba inshu hiyo ni Pengo. Serikali imefanya bidii sana
kumshawishi pengo afungue malalamiko ila pengo amekataa,
Pinda keshamwingiza kwenye MKENGE MKUBWA. Kwa maana mahakama
ya kadhi ikianza Tanzania mkono wa Pengo Utahusika asilimia
mia.Lakini
hata hivyo Team Pinda haikukubali, wakaagiza jeshi la
polisi, Limsake Gwajima kimyakimya na Kumkamata, walipanga
mbinu mbaya sana. Taifa lingeshangaaa gwajima katoweka tu.
Na sanasana watu wangemsingizia labda pengo ndiye aliye
mdhuru, au serikali ingesema waumini wa Pengo walikerwa na
matamshi yake wakamdhuru. Ila mtumishi huyu sijui
anaongozwaje na Mungu. Gwajima Kuibukia central Police
Ijumaa saa nane mchana ilikuwa Ni Mshtuko, mshangao, kwa
jeshi lote ambalo lilijipanga Limkamatie Mikoani
kimyakimya.Sakasaka
yake ilianzia alipotoka kuelekea nje ya DAR, Police CYBER
link ni mtandao unaotumika hapa kugundua mtuhumiwa kwa
kufukuzia namba yake ya simu. Hivyo mtandao huo wa kijasusi
wa kipolisi ukaonyesha gwajima Yuko mlandizi.. Rpc wa
Morogoro akataarifiwa kwamba gwajima anakwenda Morogoro.
Akaanza kupanga jeshi lake lote ili kumkamata gwajima.
Maaskari wote wakaagiwa kusimamisha gari la hammer na
kuliweka chini ya Ulinzi na wote walio ndani yake. Lakini
Morogoro hakuonekana na pia haieleweki kwanini mtandao wetu
haukuonyesha alipo. Baada ya masaa mengi ukamwonyesha tena
yupo SAME. Basi ikaaminika anakwenda moshi. Askari ote
wakaamriwa kukamata Hammer. Lakini hawakuliona.Ilipofika
jioni mtandano UKAONYESHA yupo ARUSHA. Ndipo msako mkubwa wa
kumsaka Gwajima Arusha ulipo anza. hambush (KIZUIZI) Kikubwa
kikawekwa USARIVER ARUSHA, hakuna gari kutoka Arusha au
kuingia bila kukaguliwa. Tulikagua, tukiuliza majina ya
abiria wote na kuangalia vitambulisho vyao. Amri kali kabisa
gwajima HATOKI ARUSHA HADI AKAMATWE SILENCE, GWAJIMA
ALISAKWA KAMA JASUSI, JAMBAZI SUGU LISILO ONEKANA, MTUHUMIWA
WA MAUAJI MSUMBUFU, ILITUSTUA SANA. Baadhi ya wenzetu
wakatumwa kwenye kanisa lake wajifanye kama wanataka
kuombewa ili wamkamate.Kilichowashangaza
maofisa wetu ni kwanini haonekani wakati kwenye mtandao
ANAONEKANA?. NDIPO Kamanda kova akaelekezwa ATOE PRES
RELEASE KALI SANA, ili gwajima akiiona ama akurupuke kutoka
arusha akimbilie Kenya, AU aanze FASTER kurudi dar, kama
stail inayoitwa "kuwasha moshi wa pilipili kwenye shimo
ili mnyama atoke. . hambush zikawekwa njiani pande zote
Kumnasa.. 
Kilicho tustua ni Gwajima Kuibukia Kwa Kamanda Kova, Central
Police. nilikua siamini sana kama Mungu Yupo ila sasa naanza
Kuamini kabisa. Kama hambush Zote hakukamatwa, basi huyu si
mtu wa kawaida.Nataka
Kuwaambia Mchezo Huu mchafu unaochezwa na huyu dalali wa
Viungo vya Albino, Pinda, ni mbaya sana. Walipanga na bado
wanapanga mambo mabaya sana kwa gwajima kwa sababu anaipinga
Vikali mahakama ya kadhi.Baadhi
ya wakristo wajinga wanasema alitumia lugha kali, matusi,
kejeli.. hawa ni wapumbavu.. hawajui Biblia, mwanzilishi wa
ukristo Yesu mwenyewe alikuwa mkali sana kwa wapuuzi na
mpole sana kwa wanyeyekevu. Alisema kwenyeLuka
13; 31 Saa ile ile Mafarisayo kadha wa kadha walimwendea,
wakamwambia, Toka hapa, uende mahali pengine, kwa sababu
Herode anataka kukuua. 
32 Akawaambia, Nendeni, mkamwambie yule mbweha, Tazama, leo
na kesho natoa pepo na kuponya wagonjwa, siku ya tatu
nakamilika.Huyu
mwanzilishi wa Imani ya kikristo Yesu mwenyewe alimwita
Raisi wa kipindi hicho Mbweha, (Fox), sembuse Pengo. Je
gwajima angesema We Pengo Mbeha Mkubwa we.. nadhani watu
wangeropoka kweli mwezi mzima. 
Ifike sehemu Ionekane raisi Yupo nchini. Kwanini watu wanyee
Setrikali yake na kuleta machafuko. Raisi aitulize.
Haiwezekani wapuuzi wachache wanatumia rasilimali Zetu
kupambana na mtu mmoja kwa sababu za kijinga. Kama ni
mahakama ya kadhi wanaopitisha kwani ni gwajima? Wao si
waconcentrate na Bunge?Mheshimiwa
Rais, Tuko tayari kutoa namba zetu na majina yetu ili
Tukusimulie kila kitu kinachoendelea Juu ya Fujo za Pinda.
Tunaomba Uitulize nchi, Umalize uongozi wako kwa utulivu,
WASIKUVURUGIE.Imenikera,
nimeitoa kama ilivyo..Kama
Hutaki kuniita mzalendo basi najiita mwenyewe Ni mzalendo wa
Kweli.MUNGU
IBARIKI TANZANIA.





--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.






--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.





--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment