Friday 29 August 2014

Re: [wanabidii] Kwa CHADEMA,Mbowe anatosha kwa sasa

Huna lolote jipya wewe Mabadiliko. Kajiunge na ATC pronto wanahitaji uandishi wako.
em


2014-08-29 10:09 GMT-04:00 MABADILIKO CHADEMA <mabadilikochadema@gmail.com>:

Juzi tuliwaona wanaojiita Wanawake wa Chadema wakimpeleka fomu Halima Mdee wa kutoka mkoa wa KILIMANJARO wakimwomba agombee uenyekiti wa Taifa wa BAWACHA hadi akaamua kulia machozi.

Jana tukawaona wanaojiita wazee wa Chadema wakimpelekea fomuvya kugombea uenyekiti Freeman Mbowe wa kutoka kulekule mkoani KILIMANJARO.

Huu ni usanii na ubaguzi wa hali ya juu!!

Hapa najiuliza inawezekana vp watu kutoka Kilimanjaro tu ndio wanaobembelezwa kugombea nafasi za juu ndani ya chadema?

Wenye haki ya kugombea nafasi za juu za kiuongozi ndani ya Chadema ni lazima watoke mkoa wa kilimanjaro au kanda ya kaskazini? Watu wa kutoka kanda nyinginezo hawafai kuiongoza chadema nafasi za juu?

Tukisema chadema kinawabagua na kuwagawa Watanzania kwa misingi ya kikabila na kikanda tutakuwa tumekosea?


On Friday, August 29, 2014 4:47:46 PM UTC+3, jabir yunus wrote:
Watu - Wanachama - wanamtaka, ni kwanini iwe shida kuachiwa wakamchagua kiongozi wao? Kwani wengine hasa wasiokuwa wanachama wa CDM wanaumia nini kuona Umma wa chama hicho unamlilia lazima agombee? Jamani mambo ya ngoswe, si aachiwe ngoswe mwenyewe?

Wengine wachafuzi tu humu wa siasa za upinzani.

Bwana, CCM wanavyofanya, kama wakishajua wamechagua mtu asiyetakiwa wanasema "hata kama jiwe lipigie tu kura maana ndio mgombea wa chama chako. Kwa CDM, hali haiko hivyo. Wanapimna upepo na sasa tunaona Wanachama wenyewe wanahangaika kuhakikisha Mhe Mbowe anaendelea kuwaongoza. Hapa tunaona hakuwekwa na viongozi, bali ni wanachama ndio wanamtaka, sasa iweje tatizo? Waachiwe wanachama wa Chadema, waamue hatima ya chama chao.

JABIR+
--------------------------------------------
On Fri, 8/29/14, 'Eber Manya' via Wanabidii <wana...@googlegroups.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] Kwa CHADEMA,Mbowe anatosha kwa sasa
 To: "wana...@googlegroups.com" <wana...@googlegroups.com>
 Date: Friday, August 29, 2014, 4:36 PM
 
 Huna
 jipya..
 Sent
 from Yahoo Mail on Androidy
             
                 
                     
 
                     
                         
                             
                             
                                 From:
                             
                             'lesian mollel' via
 Wanabidii <wana...@googlegroups.com>;              
             
 
                             
                                 To:
                             
                             wana...@googlegroups.com
 <wana...@googlegroups.com>;                        
                                                   
 
                             
                                 Subject:
                             
                             Re: [wanabidii] Kwa
 CHADEMA,Mbowe anatosha kwa sasa                          
 
 
                             
                                 Sent:
                             
                             Thu, Aug 28, 2014 7:28:46 PM    
                       
 
                         
                             
 
                             ina maaana hakuna
 mwingine anaeweza kuvaa viatu hivyo, miaka yake ishaisha,
 kwanini mnakomaa na mbowe tuuuu, mnadhani ana jipya, hana
 jipya sana anakimbiza wananchama
 CDM
 udikiteta mtupuu, ina maaana si mtu akae na awapishe wengine
 au nae anataka kufanya kama wale wazee wa CUF mzee Lipumba
 na Seif? binafsi sijaipenda hy na kwa namna hiyo wanaoua
 chadema na hawa wapenda madaraka mbowe na slaa, watazeeka
 hapooo
 
 
      On Thursday, August
 28, 2014 12:13 PM, Emmanuel Muganda
 <emug...@gmail.com> wrote:
 
   
 
  A vote of
 confidence!em
 
 2014-08-28 14:41 GMT-04:00
 Abdalah Hamis <hami...@gmail.com>:
 
 TAMKO
 LA VIJANA NCHINI KUMSIHI MWENYEKITI FREEMAN MBOWE AGOMBEE
 TENA NAFASI HII YA UENYEKITI WA CHAMA CHETU.
 
 
 Tamko
 hili ni la vijana wote wa CHADEMA nchi nzima. Linasomwa hapa
 mbele ya hadhara hii kwa niaba ya vijana hao ambao wanayo
 hamu kubwa ya kumuona Mwenyekiti Freeman Mbowe akiwania tena
 nafasi hiyo ili akiongoze chama kwa miaka mingine
 mitano.
 
 Vijana
 wa CHADEMA kwa moyo mmoja, kwa ari kubwa na dhamira njema
 kabisa ikichochewa na mapenzi makubwa kwa chama chetu
 kinachobeba matumaini ya Watanzania, tumeamua kuwaunga mkono
 Wazee wa Kigoma ambao walituwahi katika kumchukulia fomu
 Mwenyekiti Mbowe ili kumshawishi na kumuomba agombee
 tena.
 
 
 Kama
 vijana bado tunaona haja ya kumtaka Mh Freemani Aikael Mbowe
 kuendelea kukilea chama na kukiongoza hadi tutakapo fikia
 malengo ya kushika dola kwani msukumo wetu ni uhalali wake
 kuongoza lakini pia mafanikio makubwa ambayo yameendelea
 kuonekana katika juhudi zake kama mwenyekiti wa CHADEMA hadi
 sasa.
 
 
 Sisi
 vijana ndani ya Chama chetu tumekuwa tukitafakari sana
 kipindi hiki ambacho chama kinapitia katika wakati mgumu
 kutokana na juhudi kubwa za serikali kuhujumu demokrasia na
 kujenga hofu kwa wanachadema, pamoja na uwepo wa wengi wenye
 nia ya kukiongoza chama bado tunahitaji weledi na ujasiri wa
 Mheshimiwa Mbowe kuwa Mwenyekiti wetu hadi hapo
 tutakapofikia malengo yetu makubwa ya kushika dola na
 kuwakomboa watanzania kutoka katika serikali ya kidhalimu ya
 sasa.
 
 
 Hadi
 tunafikia kutoa tamko hili tunatambua Uongozi ni utumwa
 lakini pia tunatambua sana Mheshimiwa Freeman Mbowe amekuwa
 akifanya kazi za chama kwa kujituma na hivyo ni haki yake
 kuhitaji msaada kwa sasa ili pia apate fursa ya kupumzika,
 lakini kama vijana bado tuna uhitaji mkubwa wa kuona chama
 kinazidi kung'ara hadi kufikia malengo ya kuwakomboa
 watanzania, hivyo tumefikiri kwa kina kama vijana na kuona
 kuna haja ya kutoa wito kwa Mwenyekiti wetu wa Chama
 Mheshimiwa Freeman Mbowe kuona umuhimu wake kwa sasa katika
 kipindi hiki ambacho chama kinapita katika misukosuko ya
 kushambuliwa na watawala kwa visa vya kutaka waendelee
 kubaki madarakani, pamoja na
  kutambua haki yake ya kutokugombea nafasi hiyo, lakini kama
 vijana ambao tumekuwa inspired na kuingia katika harakati
 hizi za siasa na tumejikuta tukishiriki katika kutetea
 maslahi ya umma, tunaona ni sahihi kabisa kwa mheshimiwa
 Mbowe kusikia kilio chetu na kuweza kukubali kuingia katika
 kinyang'anyiro cha kugombea nafasi hiyo ya uenyekiti wa
 chama ili aweze kuifikisha chadema tunaponuia ifike kwa
 maana ya kushika dola.
 
 
 Sisi
 vijana tunarejea rekodi kubwa ambayo mwenyekiti wa chama
 chetu ameivunja katika utendaji wake uliotukuka ndani ya
 CHADEMA hususani mafanikio makubwa tuliyonayo sasa kwa chama
 kusambaa nchini kote, ongezeko la wabunge na madiwani,
 katika chaguzi za mwaka 2005 na 2010 lakini pia ustahimilivu
 wa chama kama taasisi ya kisiasa pamoja na mafanikio haya
 ndio msukumo wetu kuhitaji uwepo wake kama mwenyekiti wetu
 kwani pamoja na kelele za watawala kudai CHADEMA kitakufa
 ifikapo 2015 lakini aliendelea kuwa kiongozi imara huku
 chama kikizidi kuimarika kila kona ya nchi.
 
 
 Tunatoa
 wito kwa vijana wote kote nchini wenye nia na mapenzi ya
 dhati watafakari yote yaliyofanywa kwenye uongozi wa
 mwenyekiti Mbowe na wapime kwa busara iliyojaa hekima kwa
 mustakabali wa chama chetu.
 
 
 Vijana
 wa CHADEMA kwa sasa tunasema "kwa
 CHADEMA,Mbowe anatosha kwa sasa" 
 
 
 Emmanuel
 Masonga,
 
 Mwenyekiti
 wa Vijana Mkoa wa Njombe.
 
 
 Kny;
 Vijana wa CHADEMA nchi nzima.
 
 
 
 
 
 --
 
 Send Emails to wana...@googlegroups.com
 
  
 
 Kujiondoa Tuma Email kwenda
 
 wanabidii+...@googlegroups.com
 Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
  
 
 Disclaimer:
 
 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.
 
 
 ---
 
 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.
 
 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+...@googlegroups.com.
 
 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
 
 
 
 
 
 
 --
 
 Send Emails to wana...@googlegroups.com
 
  
 
 Kujiondoa Tuma Email kwenda
 
 wanabidii+...@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma
 
  
 
 Disclaimer:
 
 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.
 
 ---
 
 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.
 
 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+...@googlegroups.com.
 
 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
 
 
 
     
                     
                 
             
 
 
 
 --
 
 Send Emails to wana...@googlegroups.com
 
  
 
 Kujiondoa Tuma Email kwenda
 
 wanabidii+...@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma
 
  
 
 Disclaimer:
 
 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.
 
 ---
 
 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.
 
 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+...@googlegroups.com.
 
 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment