Monday, 7 September 2015

RE: [wanabidii] DR SLAA KAJICHAFUA

Mama Kiwasila,

Ni kweli tupu, ukisema sana wahafidhina watakujalia hapa wamefunga kanga nusu, na matarumbeta ati kukusuta.

Kumbe maskini ya Mungu hawaelewi muda, hawajui faida ya uongozi, hawafikiri taifa la kesho, hawafikirii maendeleo ya wengi, wao huamini wao ndio bora! hata hawaelewi kwa nini tunatakiwa kuendelea, hawajui kwa nini sie ni maskini?

Na kama wanajua hayo, si bure wameweka nafsi yao mbele, UMIMI!!

Kinachotusumbua watu weusi ni kile kilichopo ndani ya elimu. tunasoma kweli na kufaulu, lakini kama hiyo elimu haikupi akili ya kujiongeza, then still workdone = 0!!! umesoma utawala, sheria, IT, e.t.c but still you cant do logic ques.. we ni msomi wa aina gani sasa? labda wa mitihani!!

Kama tutaendelea hivi, tutaishia kuuliza na kusifiana "umekuwa wa ngapi?" "ana GPA ngapi" "Amepewa Honors" n.k. lakini suluhu ya matatizo ndani ya jamii yetu hakuna!!! tunashangilia qualification but not quality of it in return!!!

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment