Monday, 7 September 2015

RE: [wanabidii] DR SLAA KAJICHAFUA

Slaa akae kimya tu afanye yake kwani ukibishana na kichaa nawe utaonekana kichaa au mwenda wazimu. Kwanza-Heri ya kichaa kuliko mwenda wazimu.

Ufike wakati sasa Nchi za Kiafrika zikubali kuaibisha viongozi wao mafisadi au wauaji kwa kuwashitaki na kuwafunga pale wanapokosea.Tusitumie uafrika wetu kuoneana huruma na kufichiana siri. Hii ndio inayotokea. Kumuomba ajiudhuru au akatae ashitakiwe. Anakubali kujiudhuru na kusamehewa makosa lakini hafirisiwi mali. Hili ni kosa kubwa. Matokeo yake ya kulindanaism disease ndio haya kibaka au fisadi (aliyetuhumiwa) kusema-kama aliiba wana vidhibiti vya Richmond, Escrow etc mbona hawakunishitaki, wavitoe sasa etc. Wanainchi nao njaa tupu akitoka kwenye cheo na kujiuzuru au kutoka mahakamani wanajaa na kumpokea kwa shangwe (Fisadi) kwa maandamano. Leo nao wanatetea-kama fisadi mbona hawakumshitaki; wengine Fisadi hatumchagui. wasomi na wasio wasomi wote nduma kuwili. Leo unamuandika gazetini, vitabuni suala la Richmond, Escrow, Meremeta etc kama ni aina za ufisadi unapofundisha Uchumi na Political Science kesho-unamkumbatia unakuwa nae katika chama hicho
kama mgombea mwenza au kiongozi mwenza.

Kichekesho cha Siasa- Hata kama alikumwagia tindikali, alikutukana enzi hizo au ulimtukana kutokana na ufisadi-unamsaheme kama chama tawala kilivyomsamehe kwa sababu kibao alipoiba mali ya umma (kulinda hadhi, tusiaibishe chama, kulinda kura jimbo lake tutazikosa tukimfunga). Ndio haya yanayoacha uchumi unaangamia. Unaona kabisa aliyepewa kiwanda cha urafiki kuzalisha nguo ameweka eneo la kiwanda kuwa yard ya magari, mahala pa kukodisha frame za maduka hakuna kinachozalishwa karne. hakuna linalofanywa. Tunataka Rais ajae atume tume ya wasomi hawahawa wanaolalama wapite kuangalia viwanda vyote vilivyobinafsishwa, na mashamba waone kulikoni. wafanye auditing ya kuona mapatto au kama hakuna mashambwa hayalimwi au kiwanda kitupu-kungeingia hela kiasi gani baada ya grace period ambayo ingekuwa kodi serikali ingepata? Basi wamtoze kodi, wamfirisi mali kufidia mapato yale kisha wamnyang'anye. Bora kumpa mchina mwekezaji mgeni azalishe kwa kuzingatia sheria
zote husika (sio auze nyama ya punda kinyesi atoiririshe barabarani) ili nchi ipate income. Watanzania waliopewa maeneo ya viwanda hawaajjenga wanahati walichukua mikopo ya uwekezaji nao ngoma hiyo hiyo. Waliohamia majumba ya kota za mamlaka mbali mbali wakajenga nyumba nzuri wamekaa na wanalima mashamba waamue waunde kikundi cha wajasiriamali walime mazao ya kuingiza kipato au waondoke wapewe wawekezaji.

Serikali inapoteza pesa nyingi hata za kulipa fidia kwani-imewaachia watu wamekaa karne na kujenga makazi ya kudumu, kupanda mazao ya kudumu katika estate farms (NARCO, NAFCO, Mamlaka ya katani, pamba, Korosho, kahawa, Minazi, Uvuvi; vyuo vilivyokufa etc) na wavamizi wa barabara na maeneo wazi yaliyopimwa for public use na majengo ya DDC zamani. Sheria ya fidia ya World Bank na IMF watoao mikopo na donor wengine kwa uzembe wako-UTAMLIPA. Uzembe wako ndio umefanya akae pale alete matatizo hayo mwekezaji ajae halipi yeye ni wewe serikali -UTAMLIPA. Hivyo ramani yako inaonyesha una mashamba kadhaa na beacons zilipo na siku hizi kuweka GPS yake. lakini hufiki unakuta majengo, mazao na mwekezaji umeshampata anaingia na matreka alime-unalipa fidia, hawaondoki karne hubomoi nao wanauza kuwapa wengine (utapeli) unalipa. Mwekezahi akitaka waondoke-wanamchomea magari na nyumba-ugomvi na siasa za pumba zinaanza kuwa wananchi tunaonewa. Haya yote yanarudhisha nyuma
nchi tupo pale pale penye kulalama na umasikini lakini hatuzingatii sheria. Kakosea, onyo, kaendelea kamata funga, lipisha. Mbona nchi nyingine Rais anaachia ngazi na anafungwa? Hapa waziri, mbunge anaendelea kula keki na ulinzi anapewa na anahama chama anatukana-analindwa na posho ya GVT anapewa. Tumelogwa?

Viongozi wastahafu na wahamahama vyama na wagombea kwa sasa wanajiaibisha wenyewe kwa kulumbana kwa misuto. Tumechoka na pumba zao, utoto na ujinga. Tunachotaka ni masuala ya hoja tekelezeka-utafanya nini ukizingatia pia uhalisia wa sera za maendeleo sekta zote nchini na za nchi za nje (donors wetu) na mikataba ya kimataifa tuliyotia sahii. Utaboresha sera, mikakati na sheria zipi? Sio huyu akisema elimu bure mpaka form four wewe unakuja-bure mpaka university eti nchi ina raslimali nyingiMbona nchi zilizoendelea hakuna bure mashine ya kutoa risiti mpaka kwa muuza mchicha mtaani? Wewe wawekezaji wazara kampuni zao ajira tatizo na salaries zipo chini ya zile za serikali. uwekezaji ni soda za rangi na mitumba na vyumba chakavu vinavyomaliza vyuma vya madaraja, mifuniko ya sewerage system na mabomba ya maji (handpumps) ndio utafanya kila kitu bure? Pumba na ujinga kuacha hawa wagombea waendelee kulumbana wakiendelea na ahadi za kitoto wananchi wahame
mkutanoni waondoke labda akili itawajia ya kuacha utoto wao. Ukitaka mpumbavu aache upumbavu-usijibizane nae mwishoni atajitambua kuwa hana audience ataacha ujinga. Ni bora Slaa nae akae kimya tu.


--------------------------------------------
On Mon, 7/9/15, Samuel Wangwe <swangwe@repoa.or.tz> wrote:

Subject: RE: [wanabidii] DR SLAA KAJICHAFUA
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Monday, 7 September, 2015, 21:58

Hivi ule ushahidi ambao chadema
ilisema inao kuhusu ufisadi wa Lowasa ulienda wapi?
Walimtuhumu wakasema kama anaona anasingiziwa aende
mahakamani. Hakwenda. Ule ushahidi waliokuwa nao nani
anaweza kuutoa?
________________________________________
From: wanabidii@googlegroups.com
[wanabidii@googlegroups.com]
Sent: 07 September 2015 21:45
To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] DR SLAA KAJICHAFUA

Ndugu Mbaga jiulize kama Lowassa ni fisadi wa Richmond
ni  kwa nini serikali ya CCM haijampeleka mahakamani?
Lakini hoja muhimu zaidi kwa sasa ni kwamba  ni
rahisi  kumdhibiti fisadi mmoja kuliko Chama ambacho
serikali yake ikiingia madarakani inakumbatia mifumo
inayoasisi ufisadi unaotajirisha  watawala wachache
huku mamilioni ya wananchi wakibaki masikini.

Ananilea Nkya
E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com

--------------------------------------------
On Mon, 9/7/15, emmbaga <emmbaga@hotmail.com>
wrote:

Subject: Re: [wanabidii] DR SLAA KAJICHAFUA
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Monday, September 7, 2015, 6:37 PM


Waliotajirika na hicho unachoita sera za Ccm ndio hao
wamehamia Chadema baada ya kushtukiwa Ccm na ku fyekwa!!!
  sasa kama baada ya kuhamia Cdm sakakafu ya moyo wako
inakuelekeza kua  wamegeuka malaika. do!!!  Mama
unahitaji
kuombewa!!!



ernest













Sent from Samsung
mobile



'ananilea nkya' via Wanabidii
<wanabidii@googlegroups.com>
wrote:


Mike nakubali hoja yako.
Tukirudi nyuma na kuangalia historia --jinsi 
ACT-Wazalendo
ilivyoanzishwa--na nini kilikuwa kimetokea nchini ndipo
chama hiki kikaanzishwa--utaona  kuna maswali mwengi
yanayohitaji majibu kwa watu makini ambao
  wanaweka mbele maslahi ya mamilioni ya Watanzania
wanaoteseka kwa umaskini . Nilimuuliza maswali kibao 
humu
jukwaani mwalimu  Prof Kitila hadi leo hajanijibu.



Bila kumumunya maneno, ingawa uhuru wa demokrasia ni haki,
ninaona ni kosa kubwa  tena la kusaliti wananchi kama
yupo
mwanasiasa anayejinasibu  kuwa ni mpinzani lakini
hakubali
kuwa   bilMike nakubali hoja yako. Tukirudi
nyuma na
kuangalia historia --jinsi
  ACT-Wazalendo ilivyoanzishwa--na nini kilikuwa
kimetokea
nchini ndipo chama hiki kikaanzishwa--utaona  kuna
maswali
mwengi yanayohitaji majibu kwa watu makini ambao 
wanaweka
mbele maslahi ya mamilioni ya Watanzania wanaoteseka kwa
umaskini . Nilimuuliza maswali
  kibao  humu jukwaani mwalimu  Prof Kitila
hadi leo
hajanijibu.



Bila kumumunya maneno, ingawa uhuru wa demokrasia ni haki,
ninaona ni kosa kubwa  tena la kusaliti wananchi kama
yupo
mwanasiasa anayejinasibu  kuwa ni mpinzani lakini
hakubali
kuwa   bila nguvu kubwa
ya   pamoja ya vyama vya
upinzani, CCM itaendelea kubaki
  madarakani kuendelea na sera zake za 
kutajirisha watawala
wachache huku mamilioni ya Watanzania wakibaki masikini wa
kutupa.




Binafsi kwa ukweli kutoka uvungu wa moyo wangu, ninaona
ACT-Wazalendo kwa kukataa kuungana na UKAWA, kama
alivyosema
Mwalimu Lwaitama, ni kwamba wamekubali kuiunga mkono
CCM--wananchi wateseke watawala waendelee kuwa
matajiri  wa
kutisha kwa kutumia mali za
  umma.

a nguvu kubwa ya   pamoja ya vyama vya
upinzani, CCM
itaendelea kubaki madarakani kuendelea na sera zake za
kutajirisha watawala wachache huku mamilioni ya Watanzania
wakibaki masikini wa kutupa.




Binafsi kwa ukweli kutoka uvungu wa moyo wangu, ninaona
ACT-Wazalendo kwa kukataa kuungana na UKAWA, kama
alivyosema
Mwalimu Lwaitama, ni kwamba wamekubali kuiunga mkono
CCM--wananchi wateseke watawala waendelee kuwa
matajiri  wa
kutisha kwa kutumia mali za
  umma.



Aidha  matendo ya wanaojitambulisha kuwa ni wanachama
wa
ACT -Wazalendo  mfano Ludo yanatia mashaka makubwa
maana
CCM ikiguswa kidogo tu utadhani Ludo ni nani sijui huko
CCM
anakuwa kama vile kaumwa na siafu vile.



Wenye akili zao wanaona mkakati wa kuzuia  wananchi
wasifanye mabadiliko ya uongozi hapo tarehe 25 Oktoba 2015
siyo tu unatumia  watu  kama Dr Slaa bali pia
vyama
ambavyo viko nje ya UKAWA. Tusubiri hadi siku ya uchaguzi
tutaona na kusikia mengi.



Lakini la msingi ni kwamba   mabadiliko ni
lazima.
Hayazuiliki tena.



Ananilea Nkya

  E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com



--------------------------------------------

On Mon, 9/7/15, 'Mike Zunzu' via Wanabidii
<wanabidii@googlegroups.com>
wrote:



  Subject: Re: [wanabidii] DR SLAA KAJICHAFUA

  To: "wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>

  Date: Monday, September 7, 2015, 12:20 PM



  Hatua ya

  kuunda ukawa iko sahihi , na itakuwa sahihi daima,
kadiuri

  muda unavyokwenda watu watazidi kuingiwa na ufahamu
kuwa

  kwenye vyama vingi vidogo vidogo havina manufaa,
bali
ni

  kuwatengenezea njia waliopo madarakini, maana, mara
hata

  kupata mubunge mmoja wakati mwingine inatokea. Hebu
ona

  uchaguzi uliopota kuna vya vilipata 0.0x%, maana
yake
nini,

  si afadhali hata hivyo vyama vidogo vingeliungana na
kupata

  chama cha size ya kati.Ni hivyo hivyo hata vyama kama
ACT,
ni

  muujiza gani utaotokea washinde urais, heri hata nao

  wangelifanya juhudi kuvutia vyama vingine ili japo
wasogee

  mbele, yaani kuwe angalau na vyama vitatu vinavyo

  sound.

  Natambua

  uhuru wako wa kutoa maoni yako, lakini vipi mbona
jicho

  latizama CHADEMA na wenzao walioungana tu? Niliuliza
suali,

  je vyama vilivyo jiunga vikifa, kwai tatizo? Tena
ukiwa

  msomi kama wew hilo wala siyo la kuambiwa na mtu ni

  lakuliona wewe mwenyewe.





       On Monday, 7

  September 2015, 11:12, Magora Hassan

  <magorah15@gmail.com>
wrote:





   Hakika huu ni ulofa

  mbaya sana kuwahi kutokea katika historia ya
demokrasia
ya

  vyama vingiTanzania



  2015-09-07 12:25 GMT+03:00

  Kitila Mkumbo <kitilam00@gmail.com>:

  Mike: Namchonganisha nani na nani? Mie natoa maoni

  yangu na wala silazimisha wewe ukubaliane nayo kama
ambavyo

  mie sitaki unilazimishe nikubaliane nawe.
Ninachopinga
kwa

  nguvu zangu zote ni ulofa ulioibuka hivi karibuni
kwamba
eti

  ili uonekana unapigania mabadiliko na mkombozi wa
taifa

  lazima uwe UKAWA. Eti ukiwa chama A ni shetani,
lakini

  ghafla ukihamia UKAWA unakuwa malaika. Kwenye huu
ulofa
mie

  simo!

  Ninapinga watu

  kujivisha ngozi ya upambanaji ghafla wakati tunajua
miaka

  yote wamekuwa wakipinga na kukebehi juhudi za
mageuzi.

  Ninapinga ulofa wa kuwatoa wapambanaji
waliojipambanua
miaka

  na miaka kuwapisha wasaka vyeo ambao tunajua kwamba
mara

  watakapokosa hivyo vyeo watarudi walikotoka. Siwezi

  kuudandia huu ujinga wa kimantiki na tafadhali

  tusilazimishane kuwa malofa!!

  Kitila









  2015-09-07 11:18 GMT+03:00

  'Mike Zunzu' via Wanabidii
<wanabidii@googlegroups.com>:

  Wewe tembeza tu hizo chuki

  za uchonganishaji, naamini zitagonga mwamba, mpango
waliofya

  UKAWA ulitakiwa uwe umeshafanyika miaka mingi. Kama

  unakumbuka hata Baba Taifa aliwashauri wapinzani
waungane
na

  angeliwasaidia kuwapigia kampeni wabunge wao ili
wawe
na

  wabunge wengi bungeni. Unamuona mpuuzi?



  Sasa hivi kilichotokea, viongozi wa vyama

  hivyo wamerudiwa na ufahamu wa hekima. Kwanza
nikuulize,

  hata kama vyama hivyo vimekufa kwa mtizamo wako wa
kuona

  mwisho tu wa pua  kipi lichopungua? Unashabikia
utitiri

  wa vyama, ili wakati wa upigaji kura kura nyingi
zisiwe
na

  thamani, na za CCM zibaki kuwa nyingi? Pengine

  usingelipoteza muda wako mwingi kujadili

  UKAWA wanafanya nini, ungelielekeza akili
zakmsikiliza

  mwakilishi wa CCM anakuahidi nini ili moyo wako

   ukosheke. Hebu waone hao akina ACT na
akina

  Labour Pary, unaamini wapo pale kwa maslhi ya
wananchi
au

  kwa masilahi yao wenyewe lakini jicho na masikio
yako
ni

  CHADEMA, kama unaona hawafanyi unavyotaka si ujiunge
ili

  ukabadilishe wanachokifanya?.

  Kitendo cha UKAWA

  kuunganisha nguvu ni kitu kisichokaribihwa na
uongozi
wa

  CCM, wametumia kila njama umoja huo ufe, lakini,
hebu
wakae

  na kuwaza tena, kuwa suala hilo halitafanyika, na
usishangae

  hapo baadaye chama kipya kabisa kiweza kikazaliwa,
ikawa
si

  CHDEMA, CUF, NCR Mageuzi na wala si NDL tena, bali

  chama chenye jina tofauti, na chenye viongozi

  wapambanaji, wapigania haatanzania kwa

  dhata.



       On Monday, 7

  September 2015, 7:52, fadhil fadhil
<fadhil.fadhil96@gmail.com>
wrote:





   Kaka kitilya

  Kama sikosei Mpombe alishaletaga hoja humu ndani
kabla

  hata lowasa hajajiunga na UKAWA na ukwa kuwa chadema

  wanafanya ujanja licha ya kuwa UKawa kuiachia
asilimia 70
ya

  majimbo yote nchini lkn wa wanagombea wengine
asilimia
ktk

  zile 30 za Cuf nccr na nld leo yanaonekana.
Naitabiria
Act

  kuwa kimbilio la wanyonge baada ya uchaguzi huu na
itafanya

  vizuri zaidi mwaka 2020 ingawa wengi humu hawapendi
kusikia

  hivyo.

  On Sep 7, 2015 8:00 AM, "De kleinson kim"

  <dekleinson@gmail.com>
wrote:

  Dr Kitila,

  Nimependa hii " Ni uzembe wa kifikra

  kudhani kwamba 'wakombozi' wote wa nchi
watajiunga

  na UKAWA."

  Hapo tu.







  --



  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







  Kujiondoa Tuma Email kwenda



  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com

  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma







  Disclaimer:



  Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

  for any legal consequences of his or her postings,
and
hence

  statements and facts must be presented responsibly.
Your

  continued membership signifies that you agree to
this

  disclaimer and pledge to abide by our Rules and

  Guidelines.



  ---



  You received this message because you are subscribed
to
the

  Google Groups "Wanabidii" group.



  To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

  from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



  For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.











  --



  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







  Kujiondoa Tuma Email kwenda



  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com

  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma







  Disclaimer:



  Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

  for any legal consequences of his or her postings,
and
hence

  statements and facts must be presented responsibly.
Your

  continued membership signifies that you agree to
this

  disclaimer and pledge to abide by our Rules and

  Guidelines.



  ---



  You received this message because you are subscribed
to
the

  Google Groups "Wanabidii" group.



  To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

  from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



  For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.















  --



  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







  Kujiondoa Tuma Email kwenda



  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com

  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma







  Disclaimer:



  Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

  for any legal consequences of his or her postings,
and
hence

  statements and facts must be presented responsibly.
Your

  continued membership signifies that you agree to
this

  disclaimer and pledge to abide by our Rules and

  Guidelines.



  ---



  You received this message because you are subscribed
to
the

  Google Groups "Wanabidii" group.



  To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

  from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



  For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.













  --



  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







  Kujiondoa Tuma Email kwenda



  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com

  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma







  Disclaimer:



  Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

  for any legal consequences of his or her postings,
and
hence

  statements and facts must be presented responsibly.
Your

  continued membership signifies that you agree to
this

  disclaimer and pledge to abide by our Rules and

  Guidelines.



  ---



  You received this message because you are subscribed
to
the

  Google Groups "Wanabidii" group.



  To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

  from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



  For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.













  --



  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







  Kujiondoa Tuma Email kwenda



  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email
ya

  kudhibitisha ukishatuma







  Disclaimer:



  Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

  for any legal consequences of his or her postings,
and
hence

  statements and facts must be presented responsibly.
Your

  continued membership signifies that you agree to
this

  disclaimer and pledge to abide by our Rules and

  Guidelines.



  ---



  You received this message because you are subscribed
to
the

  Google Groups "Wanabidii" group.



  To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

  from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



  For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.













  --



  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







  Kujiondoa Tuma Email kwenda



  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email
ya

  kudhibitisha ukishatuma







  Disclaimer:



  Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

  for any legal consequences of his or her postings,
and
hence

  statements and facts must be presented responsibly.
Your

  continued membership signifies that you agree to
this

  disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.



  ---



  You received this message because you are subscribed
to
the

  Google Groups "Wanabidii" group.



  To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

  from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



  For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.





--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma



Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and
hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to
  abide by our Rules and Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to
the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.





--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma



Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and
hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to
the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
This message has been scanned for viruses and
dangerous content by MailScanner, and is
believed to be clean.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment