Tuesday 10 December 2013

[wanabidii] Wanahitajika waimbaji chipukizi wa muziki wa Injili Tanzania

Huduma Ya UPENDO & FURAHA ya jijini Dar es salaam, inatafuta vijana wa Kikristo wali okoka, kwa ajili ya kuunda kwaya ya muziki wa injili itakayokuwa ikihudumu katika mikoa mbalimbali ya Tanzania na katika nchi jirani.

SIFA ZA WATU WANAOHITAJIKA:-

i. Awe na karama ya uimbaji.
ii. Awe na umri wa kuanzia miaka 16 hadi 35.
iii. Awe ameokoka na mwenye hofu kuu ya Mungu.
iv. Awe na wito wa kweli wa kumtangaza na kumtumikia Mungu kwa njia ya uimbaji.
v. Awe na utayari, pamoja na muda wa kutosha wa kusafiri na huduma katika mikoa mbalimbali ya Tanzania pamoja na nchi jirani.
vi. Awe mkazi wa Dar es Salaam.

Usaili utafanyika siku ya tarehe 06 Januari 2014.

MWISHO wa kujiandikisha ni tarehe 24 Desemba 2013.

Ili kujiandikisha, fikaofisini kwetu siku za kazi kuanzia saa tatu kamili asubuhi hadi saa kumi kamili jioni, au wasiliana nasi kwa namba ya simu 0784406508.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

0 comments:

Post a Comment