Thursday 19 December 2013

Re: [wanabidii] TAARIFA YA AWALI KUHUSIANA NA TUKIO LILILOTOKEA MALINYI MKOANI MOROGORO.


 

 

'There has never been a good war, nor a bad peace"
 
Do human beings subject themselves to be killed without reason?
 
Taarifa hizo za kwenda kujichunguza zitoe pia maelezo ya upande wa pili. Katika matukio mengi ambayo Chagonja amewahi kuteuliwa kuongoza tume, zile taarifa chache zilizopatikana, zilikuwa na maelezo ya uongo, mara kwa mara zikiwatetea askari na kuwalaani raia.
 
Tangazo linasema "ameenda kuongeza nguvu ili kuwakamata wahalifu na kuwafikisha mbele ya vyombo vya sheria". Kwa uzoefu, maeneno yanaeleka yanamaanisha nini!!
 
Mungu atubariki na nchi yetu, busara zaidi itumike, badala ya kupeleka timu ambayo tayari ni "judgemental"-iliyokwisha amua.
 
Lakini ngoja tusubiri tuone.
 
MJL

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

0 comments:

Post a Comment