Friday 6 December 2013

Re: [wanabidii] Re: Barua ya CHADEMA kwenda kwa msajili wa vyama-Arusha

Nanyaro unaweza kurudia tena? teh


2013/12/6 Ephata Nanyaro <nanyaro04@gmail.com>
Rehema Kikwete aka Mabulangati


2013/12/6 Rehema Kikwete <rehemaki@gmail.com>
Haya yote yaliyoandikwa hapa ni utetezi wa kijinga sana jamani mtaniwia radhi kusema hivyo. Lema ni tatizo kubwa sana CHADEMA. Lema alishasema hilo majuzi akiudanganya umma kuwa waliounguza ofisi ni vijana wa polisi ilihali tunajua ni hila zake na wenzie. Katibu hapa anaandika bila kujua anasukumwa na Lema kufanya jambo ambalo hata yeye katibu mwenyewe haafikiani naye.

Tujiize walivyokubaliana kuwa na mkutano huo ugomvi wa meya haukuwepo? Pinda alitoa statement yake iliyopotoshwa jana au juzi? Ushahidi wa wazi upo na nawashauri CCM Arusha kufanya utafiti kuhusu matangazo yaliyotolewa kama hamna njama za Lema humo. 

Nani asiyejua vijana wanaopendekezwa na Lema kuwa ni mamluki wake ili mahakamani wajibu kama watakavyoelekezwa na Lema ? sasa baada ya dili kushindikana wanatafuta kisingizio! Hahahaa heko polisi arusha.

Ni wakati muafaka wa wana chadema na wananchi kwa ujumla kutathmini upya misimamo ya watu binafsi kushikilia misimamo ya chama. Nasema hivi maana yapo mashinikizo mengi ya kibinafsi kama hili la Lema na wengine wengi ambayo yanaimarisha chama kwa watu ila kwa kura ni sifuri.

Mwisho namshauri Msajili aendelee na mkutano wake maana vya siasa si chadema pekee. Na ni kawaida yao chadema kugomea mambo ya amani last minute hata aliouitisha Mh. Mbatia waliugomea kisa eti serikali imechangia gharama, kama hawajui kazi ya serikali. Chama hiki kinapoteza muelekeo kikichukua nchi utashangaa Lema anasema nyonga vyama vingine vyote. 

Kila la kheri msajili.

On Friday, December 6, 2013 11:41:00 AM UTC+3, Nanyaro wrote:


--
Ephata Nanyaro
P.o.box 15359
Arusha
+255 754 834152
Skype.nanyaro.ephata

"truth shall set you free"

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.



--
Ephata Nanyaro
P.o.box 15359
Arusha
+255 754 834152
Skype.nanyaro.ephata

"truth shall set you free"

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

0 comments:

Post a Comment