Saturday 21 December 2013

Re: [wanabidii] Kurudi kwa Edward Lowassa

Kwani Pinda siyo mchapa kazi? Hivi huo uchapakazi Ndaki unaousema ukoje?

On Dec 21, 2013 12:40 PM, "Hildegarda Kiwasila" <khildegarda@yahoo.co.uk> wrote:
Hii ni nchi iliyopo intensive care. Ondoa Rais, Mawaziri, wabunge-kama watanzania wote kuanzia kaya hatutokubali kubadilika kiakili, kimatendo, kuwajibika kwetu wenyewe na kwa jamii na nchi-itakuwa biashara kichaa
Arudu Mh Lowasa na tabia yake ya kufika jukwaani na kufukuza kiongozi na kutoa amri; aondolewe Mh Kagasheki na operesheni tokomeza aje Zitto kabwe-hatutafika kokote. Aliyebaka wanawake, aliyeamlisha mtu kubaka mtu ni mtumishi wa umma sio Waziri, mtanzania mwanajamii. Mume na baba wa mtu ana mila na desturi za kabila yake na sheria ya nchi anazijua. anayevibaka vizee vijijini na kulawiti vitoto vya kiume, kubaka wasichana na akina mama wakienda shamba au mtoni-ni mtanzania, mwanakijiji mwenye akili timamu , mila na desturi. sawa na anayepitisha majambazi na wahamiaji haramu. Anayeua mwenye bodaboda, taxi, gari na kuyajaza uani kwake yanakarabatiwa na kubadilishwa-mke, watoto, ndugu wakifahamu. Wabakaji, wauaji albino, vikongwe na wezi wauaji hawa huwekewa dhamana na ndugu zao. Kesi zinaandikwa magazetini. Shehere za ukeketaji wali wanatembezwa mtaani na ngariba waliazimia kuwakeketa staff wa Wizara ya Maendeleo waliokwenda Tarime kuongea na Ngariba hao. na sherehe mgeni rasmi Diwani au kiongozi fulani wa Mila in public. Hawazuii na wananchi hawasemi Mbunge ajiururu hawasaidii. Ila watamchagua tena asipokemea mila. Operesheni kihamo vijijini iliyokamata watu na mafuvu, fisi, tunguli, majoka na kukutwa watoto 2 Magu wachawi wakabondwa vibaya na mgambo/jeshi lilikokuwa likilazimisha watu kuhamia vijijini-Mh Mzee Mwinyi akiwa Waziri wa mambo ya Ndani ya Nchi aliambiwa kujihudhuru na baba wa taifa. yeye hakutoa amri ya kupiga na kuua walioshukiwa uchawi au kukutwa na mafuvu na Rais Mh baba wa taifa alisema-wabebwe na Fisi zao, majoka wakae nayo mpaka watakapoelimika kuona hayawasaidii kitu na kuyatupa. Leo baada ya kumuondoa waziri H. Mwinyi wakati ule jee mauaji ya albino, kukata watu viganja na kuviuza, ubakaji vitoto, mauaji ya vikongwe na kuchomea nyumba wachawi kumeisha??? Ndio kumekua kwa ubaya na kunaendeshwa na wanafamilia bila kujali sheria na tunahonga hela kesi isahaulike. Tuna hata matangazo magazetini ya uganga wa chuma ulete, dawa ya kushinda kesi mahakamani, uganga wa zindiko la jini anayekusaka asikupate etc bila ya kujali maadili tunajali gazeti linunulike mkono uende tumboni. wanaotoa matangazo haya hatuwakamati wala magazeti yao kufungwa kwa kutangaza uovu.
Kama unamficha kaka, ndugu, baba yako mwenye meno ya tembo na bunduki na magari ya wizi ambapo wamiliki waliuawa-Lowasa akija bila ya wewe mtanzania kubadilika atafanya nini? kama unamiliki kumuoza binti kwa mzungu mchina mgeni na kumsaidia apate ardhi kwa kumpa au kwa jina lako-usipokubali kubadilika Lowasa au mwingine yoyote atafanya nini? Sasa kuondoka Kagasheki na wengineo-kuzuia 'operesheni tokomera', tusubiri wimbia na mauaji tembo, faru; ujambazi vijijini; kuchoma moto vituo vya polisi wanapokamata wahalifu tutaona tunaita polisi tumevamiwa-hawatokuja. Sijui tunaelekea wapi waTZ. Hatukai tukapanda kikapangika na tukafanya kikafanyika kwa ushirikiano. Tumeweka malumbano yasiyoisha kama tija.
 



On Friday, 20 December 2013, 20:01, Pauline Mengi <paulinemengi@gmail.com> wrote:
Na MM Mwanakijiji

Dalili zote zinaoonesha kuwa kilio cha wabunge kutaka Pinda ajiuzulu na hivyo Baraza la Mawaziri livunjike lina dalili moja kubwa; Lowassa's comeback. Sidhani kama kuna mwanasiasa mwingine yeyote ambaye anaweza kupata kuungwa mkono na wabunge wa CCM kama Lowassa. Kurudi kwake itakuwa ni kupata second chance na kujipanga vilivyo kwa ajili ya 2015. Kama siyo Lowassa ni mbunge gani mwingine wa CCM kutoka majimbo ya kuchaguliwa anayeweza kupata support na heshima ya kuwa Waziri Mkuu? Haitakuwa mara ya kwanza kwa Waziri Mkuu kurudia kiti chake mara ya pili. 

Yetu macho.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

0 comments:

Post a Comment