Monday 24 September 2012

Re: [wanabidii] VING'AMUZI VYA ITV NA STAR TV.

Nanyaro,
Ni neno rahisi kabisa kama TCRA walikujibu kuwa Startimes waliingiza decoda ambazo tayari walishaziprogram kuchaji channels zote, basi waliamua kukudanganya, au alikujibu bila kufanya utafiti.
Kwani, watumiaji wa startimes tunajua kama TBC 1 ipo kwenye startimes kama channel ya bure. Isitoshe, wakati wa michuano ya Euro 2012, startimes waliingiza channel ya ATN na kuwa channel kuonekana bure.
Sasa TCRA wanapotoa majibu ambayo watumiaji wa king'amuzi hicho tunajua kuwa ni uongo inatupa wasiwasi kuwa, itakapofika wakati wa kuanza rasmi mfumo wa Digital kuna usumbufu utakaotokea kutokana na uzembe wa TCRA.
 
Asante sana!
Gallus


--- On Sun, 9/23/12, Ephata Nanyaro <nanyaro04@gmail.com> wrote:

From: Ephata Nanyaro <nanyaro04@gmail.com>
Subject: Re: [wanabidii] VING'AMUZI VYA ITV NA STAR TV.
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Sunday, September 23, 2012, 1:45 PM

Kuna Kipindi TCRA walitupa semina ya Vingamuzi,na walisema hadi Julai
ni Kampuni tatu tu zilikuwa zimepewa Leseni ya kuwa na mitambo ya
digital
1.Agape
2.Startimes
3.Zuku
kwa maelezo ya TCRA ni kwamba local chanels zote ambazo awali tulikuwa
tunaziona bure,lazima kwenye digital ziendelee kuwa Bure yaani
Startimes na wenzake waweke Itv,tbc,startv bure,tulivyowahoji TCRA kwa
nini hizo chanel hazipo wakajibu kwa urahisi sana kuwa eti Startimes
waliingiza decoda ambazo tayari walishaziprogram kuchaji chanelz
zote...

On 9/23/12, Mohamedi  Mtoi <mouddymtoi@gmail.com> wrote:
>
> Nakumbuka kulikuwa na mpango wa kuanzisha kwa pamoja king'amuzi cha channel
> za itv na star tv. Mwenye taarifa naomba anifahamishe mpango huo umefikia
> wapi maana jamaa zetu zetu startimes waliziweka channel hizo na sasa
> wamezing'oa kabisa.
> Sent from my BlackBerry® smartphone on the Tigo Tanzania Network
>
> --
> Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
> Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
> Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>
>
>


--
Ephata Nanyaro
P.o.box 15359
Arusha
+255 754 834152
Skype.nanyaro.ephata

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.


--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment