Nanyaro, Ni neno rahisi kabisa kama TCRA walikujibu kuwa Startimes waliingiza decoda ambazo tayari walishaziprogram kuchaji channels zote, basi waliamua kukudanganya, au alikujibu bila kufanya utafiti. Kwani, watumiaji wa startimes tunajua kama TBC 1 ipo kwenye startimes kama channel ya bure. Isitoshe, wakati wa michuano ya Euro 2012, startimes waliingiza channel ya ATN na kuwa channel kuonekana bure. Sasa TCRA wanapotoa majibu ambayo watumiaji wa king'amuzi hicho tunajua kuwa ni uongo inatupa wasiwasi kuwa, itakapofika wakati wa kuanza rasmi mfumo wa Digital kuna usumbufu utakaotokea kutokana na uzembe wa TCRA. Asante sana! Gallus --- On Sun, 9/23/12, Ephata Nanyaro <nanyaro04@gmail.com> wrote:
|
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
0 comments:
Post a Comment