Thursday 20 September 2012

Re: [wanabidii] Kauli ya UAMSHO dhidi ya film

Aliyeiona filamu hii naomba anitumie link ya ni namna gani naweza kuipata!!!!

 
2012/9/21 Charles Misango <misangocharles@yahoo.com>

Binafsi sipendi kabisa mtu ama kundi la watu wa dini moja kukashifu, kudhalilisha, kudhihaki wala kutukana wale wa dini nyingine. Bila kutafuna maneno, naungana na wale wote wanaopinga filamu hiyo kwani ni ujinga mkubwa.
Mungu mwenyewe anajua nani anayemwabudu na nani mwigizaji. Lakini pamoja na kujua hivyo, bado rehema na neema zake anazimwaga kwa wote, ndio maana anapowaangazia jua ama kunyesha mvua, habagui kama sisi tunavyojaribu kubagua.

Lakini wakati ndugu zetu waislamu wakilaumu na kulaani vikali filani hiyo( narudia kukubaliana nao), lazima nao watambue kuwa HAWANA HAKI, kutukana, kudhalilisha, kukashifu dini za wengine hususan wakristo!

Leo hii hapa nchini, makundi mengi ya waislamu wanafanya mihadhara mchana hadi usiku wakiutukana ukristo, tena kwa kutumia biblia wakitafsiri wanavyotaka wao kwa matusi na udhalilishaji mkubwa. Hivyo, nachukua nafasi hii, kuwataka wakati wanapolaani filani hiyo, basi sote tuungane kuwalaani hata wale waislamu wanaoudhalilisha ukristo.

Waislamu wanaotukana dini za wenzao wajue kuwa wanawaumiza wengine kama wao wanavyoumia wakitukaniwa ya kwao! Isiwe Mkuki kwa Nguruwe, kwa binadamu mchungu. Sote kila mtu aheshimu dini ya mwingine hata kama unaamini kuwa yako ndio bora zaidi na ya mwingine ni pumba! Hubiri, tangaza ya kwako kwa umaridadi na watu watavutwa kuja kwako bila kugusa ya wengine. Mambo ya Ngoswe aachiwe Ngoswe mwenyewe
--- On Thu, 9/20/12, John Nkumbaruko <nkumbaruko@yahoo.com> wrote:

From: John Nkumbaruko <nkumbaruko@yahoo.com>
Subject: [wanabidii] Kauli ya UAMSHO dhidi ya film
To: "wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Thursday, September 20, 2012, 5:40 PM


Kauli ya UAMSHO dhidi ya film

Ndugu wa Kiislaam,
Inasikitisha sana kuona kuwa kuna baadhi ya Waislaam ambao ni watu wepesi kiasi cha kuweza kuchokozwa na wajinga wasio na 
thamani wakajiingiza katika mitego na vitendo vyao vikawashirikisha pia Waislam wasiokubaliana na vitendo vyao viovu. 
Daima Mwislamu anatakiwa awe katika haki; asimuasi Mwenyezi Mungu ili kuepukana na ghadhabu zake Allah (S.W.).

Uislaam ni dini ilokamilika kwa kumdhaminia mwanaadamu ufumbuzi na miongozo ya mambo yote katika maisha yake ya Dunia na 
ndio maana Allah (S.W.) kakitukuza Kitabu chake kwa kusema:



--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 



--
Wasalaam
 
Denis Matanda,
Mine Supt,
Nzega - Tanzania.
 
" Low aim, not failure, is a crime"

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment