2012/9/18 Msema Kweli <msemakweli2007@yahoo.com>
--FFU wa Ngoma Africa band watimulisha Vumbi ! AFRIKA-MESSE, BremenKikosi kazi cha Ngoma Africa band iliyozoeleka kwa katibia zake zakupagawisha washabiki wa muziki ughaibuni, Jumamosi ya 15.9.2012kilifanya kweli katika maonyesho makubwa ya biashara ya Afrika-Messe,mjini Bremen,kule Ujerumani,bendi hiyo maarufu ilipanda jukwaani nakufanikiwa kuziteka nyoyo za washabiki kwa mara nyingine tenakwa kuwadatisha akili na muziki wenye raha kamili.CD za bendi hiyo zimekamata nafasi ya juu katika vituo mbali mbali vyaRedio ndani na nje ya Ughaibuni,baadhi ya vituo vya radio zikiwamoRedio maarufu nchi Ujeruamani Radio Funkhaus Europa na RadioMult-Kult ndizo zinarusha kwa fujo nyimbo za Ngoma Africa band,inayoongozwa na kamanda Ras Makunja wa FFU.Unaweza kuwasikiliza pia katika kambi yao at
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
0 comments:
Post a Comment