Monday 19 December 2016

[wanabidii] AGGREY&CLIFFORD YASAIDIA WATOTO WENYE MAZINGIRA MAGUMU

wakuu naomba tuwapatia habari hiyo muitumie katika vyombo vyenu.
===

<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh9cvUue_CV50TlIgfy8JlDo0B9mWjlC8PLJcbC20YZKCLCUUqKswgyWyfBIdOfLuvQPqtQWvZ-9DUl_zaJ0C5rDr0Az-lF0ANztSfxq-nZK1g7hIVydOG9_UuhjC2pr11Hp67LItk0YtI/s1600/AGGREY+MSAADA+1.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="464" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh9cvUue_CV50TlIgfy8JlDo0B9mWjlC8PLJcbC20YZKCLCUUqKswgyWyfBIdOfLuvQPqtQWvZ-9DUl_zaJ0C5rDr0Az-lF0ANztSfxq-nZK1g7hIVydOG9_UuhjC2pr11Hp67LItk0YtI/s640/AGGREY+MSAADA+1.JPG" width="640" /></a></div>
Wafanyakazi wa Aggrey&amp;Clifford wakiwasili katika kituo cha Sadeline
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi2qYb3GeugLOahaRzdGhfSnQLIxxxZqg_Olw6jZlG1SVe3sXI6QM3exfrg0UqZxfTicyYW2ofDZA3og0V5P1W7-qD4-hIGNY4FBtBEJtCrieLO7KPzvqNwK9CTBQ7WUNhCsEGyXfpBQt4/s1600/AGGREY+MSAADA+2.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="418" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi2qYb3GeugLOahaRzdGhfSnQLIxxxZqg_Olw6jZlG1SVe3sXI6QM3exfrg0UqZxfTicyYW2ofDZA3og0V5P1W7-qD4-hIGNY4FBtBEJtCrieLO7KPzvqNwK9CTBQ7WUNhCsEGyXfpBQt4/s640/AGGREY+MSAADA+2.JPG" width="640" /></a></div>
Mkurugenzi wa Uendeshaji wa kampuni ya Aggrey&amp;Clifford,Cobus van Zly (kulia) na Mkurugenzi wa huduma za Matangazo,Oliver Mutere (katikati) wakikabidhi baadhi ya zawadi kwa watoto wenye mazingira magumu kwenye kituo cha Sadeline kilichopo Mbezi Juu wilayani Kinondoni kwa Msimamizi wa kituo hicho,Sarah Kitainda wakati   wafanyakazi wa kampuni hiyo walipotembelea kituo hicho na kutoa zawadi na kucheza na watoto hao mwishoni mwa wiki.
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjXhyumiCCyIbxplReXFnjc-oN6DwxHxAP1oQe_vc2o3EikAdlP1z2kyJxAudDB4QRuBrqv5LM11VLUtAFwTNYsuVlEIHNjVHwvCmWrkbQ4OyNTh4zBpjhUMzEfm76HZwXlSkFRdmSDjTQ/s1600/AGGREY+MSAADA+4.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="488" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjXhyumiCCyIbxplReXFnjc-oN6DwxHxAP1oQe_vc2o3EikAdlP1z2kyJxAudDB4QRuBrqv5LM11VLUtAFwTNYsuVlEIHNjVHwvCmWrkbQ4OyNTh4zBpjhUMzEfm76HZwXlSkFRdmSDjTQ/s640/AGGREY+MSAADA+4.JPG" width="640" /></a></div>
Mmoja wa watoto wanaolelewa katika kituo cha watoto wenye mazingira magumu cha Sadeline kilichopo Mbezi Juu wilayani Kinondoni,Benedicto Mutayoba akipokea zawadi kutoka kwa mfanyakazi wa kampuni ya Aggrey&amp;Clifford,Martin Kirangu wakati wafanyakazi wa kampuni hiyo walipotembelea kituo hicho na kutoa zawadi kwa watoto na kucheza nao mwishoni mwa wiki,aliyembeba ni mama wa mtoto huyo,Grace Thomas.
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhKN_s1L81q2UhN-0dqwNdxoNg1xdLapQXs5fx8seuhLz2Dg9FnYnE-98YBsJJY9cbL1uJ5SCmQjjNcVrCzGcgHjHb2ogcwtIsSGmwTrYN3PNiETE6jVaswwy-hideSnzmbLKYMoCR7ZD8/s1600/AGGREY+MSAADA+5.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="392" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhKN_s1L81q2UhN-0dqwNdxoNg1xdLapQXs5fx8seuhLz2Dg9FnYnE-98YBsJJY9cbL1uJ5SCmQjjNcVrCzGcgHjHb2ogcwtIsSGmwTrYN3PNiETE6jVaswwy-hideSnzmbLKYMoCR7ZD8/s640/AGGREY+MSAADA+5.JPG" width="640" /></a>
Mmoja wa watoto wanaolelewa katika kituo cha watoto wenye mazingira magumu cha Sadeline kilichopo Mbezi Juu wilayani Kinondoni,Maulid Rajab akipokea zawadi kutoka kwa mfanyakazi wa kampuni ya Aggrey&amp;Clifford,Ndeshi Rajab
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi70n9dDxlpIXLhdr92avJstQNBBSdldJPBqU3clKJ752jQF4D5m9MoqmmbGhD7n71olRLy8LLF53DIkAfnO-9VzmEyHkITAGslCsqLIYrTczf3ph4-5-1lF0b0QkRwXJK9dmTYjeRpNOg/s1600/AGGREY+MSAADA+6.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="438" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi70n9dDxlpIXLhdr92avJstQNBBSdldJPBqU3clKJ752jQF4D5m9MoqmmbGhD7n71olRLy8LLF53DIkAfnO-9VzmEyHkITAGslCsqLIYrTczf3ph4-5-1lF0b0QkRwXJK9dmTYjeRpNOg/s640/AGGREY+MSAADA+6.JPG" width="640" /></a></div>
Mfanyakazi wa kampuni ya Aggrey&amp;Clifford,Nia van Aswegen (kulia) akiwapatia zawadi watoto Mmoja wa watoto wanaolelewa katika kituo cha watoto wenye mazingira magumu cha Sadeline<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjnyNwtuY6pCEBHnl3KJNxS9XiXlFGOlS-3GmyLNeTmmiSnEV33P0FIEOyS2N4g-ZArJTBLk1Y38RmkyIz7xHOCT053IM480RxrS7C4uO3FDXdJK2B_sjac1JzUeuD6iGy5C9xdlCzNxhY/s1600/AGGREY+MSAADA+7.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="428" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjnyNwtuY6pCEBHnl3KJNxS9XiXlFGOlS-3GmyLNeTmmiSnEV33P0FIEOyS2N4g-ZArJTBLk1Y38RmkyIz7xHOCT053IM480RxrS7C4uO3FDXdJK2B_sjac1JzUeuD6iGy5C9xdlCzNxhY/s640/AGGREY+MSAADA+7.JPG" width="640" /></a>
Mfanyakazi wa kampuni ya Aggrey&amp; Clifford, John Alexander akimkabidhi msaada wa mfuko wa vyakula mmoja wa watoto wanaolelewa katika kituo cha Sadeline.
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiZh3Epzuixt7LIlHSV6OiBHsOQ4M2IqI9s-ft4mDIQxFYJM2kM2YzBo34uWY-Kqp9xwVKxZecv1rPDzuPKS4C3ZQNd6rFoGZjLc_grl26sMu9u15Rc4_yPqgP68eoK5Er_mzEUNdECkcw/s1600/AGGREY+MSAADA+8.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="468" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiZh3Epzuixt7LIlHSV6OiBHsOQ4M2IqI9s-ft4mDIQxFYJM2kM2YzBo34uWY-Kqp9xwVKxZecv1rPDzuPKS4C3ZQNd6rFoGZjLc_grl26sMu9u15Rc4_yPqgP68eoK5Er_mzEUNdECkcw/s640/AGGREY+MSAADA+8.JPG" width="640" /></a>
Wafanyakazi wa Aggrey&amp;Clifford wakiwa wamewabeba baadhi ya watoto wanaolelewa katika kituo cha Sadeline
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgJ6XXPICpP56CgpMTbyTSf-Gich-aB7y6XrLs-6NLKNVbHEnF-9bXXqyGsTTrWVZI8wM210jxAmihP55GOm5za_PVZ_9sYDwwY2pwWWq4JFqy03ARozdpK14-BR38vbHl84GMR-j3eeKM/s1600/AGGREY+MSAADA+10.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="450" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgJ6XXPICpP56CgpMTbyTSf-Gich-aB7y6XrLs-6NLKNVbHEnF-9bXXqyGsTTrWVZI8wM210jxAmihP55GOm5za_PVZ_9sYDwwY2pwWWq4JFqy03ARozdpK14-BR38vbHl84GMR-j3eeKM/s640/AGGREY+MSAADA+10.JPG" width="640" /></a></div>
Mfanyakazi wa Aggrey&amp;Clifford,Nadah Dhiyebi akicheza na watoto wa kituo cha Sadeline
Aggrey&amp;Clifford yasaidia watoto wenye mazingira magumu
---
Kampuni ya matangazo na ukuzaji wa masoko ya Aggrey&amp;Clifford mwishoni mwa wiki imetoa msaada wa vitu mbalimbali kwa watoto wenye mazingira magumu kituo cha Sadeline kata ya Mbezi Juu ambapo pia baadhi ya wafanyakazi wake walishiriki kucheza na watoto hao kwa ajili ya kuwapatia faraja katika msimu huu wa sikukuu.

Akiongea  wakati wa hafla hiyo Mkurugenzi wa kitengo cha Matangazo ya Biashara wa Aggrey&amp;Clifford,Oliver Mutere, alisema kuwa msaada huo wa nguo na chakula na vifaa vya kusomea ni kwa ajili ya kuwapatia faraja watoto hao wanaoishi katika mazingira magumu.

"Moja ya sera ya kampuni yetu ni kusaidia shughuli za kijamii ikiwemo kuunga mkono jitihada za serikali za kukabiliana na changamoto mbalimbali zilizopo kwenye jamii ndio  maana katika kipindi hiki tumeonelea kuna umuhimu wa kusaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu katika kata hii ya Mbezi Juu".Alisema.

Mutere alisema mbali na kutoa msaada wafanyakazi wa Aggrey&amp;Clifford wamekuwa na utaratibu wa kujitoa na kutoa muda wao kwa ajili ya kusaidia kazi za kijamii "Kutokana na sera hii  baadhi ya zawadi hizi zilizotolewa zimetokana na michango ya wafanyakazi".

Mratibu wa kituo cha watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu cha Sadeline ,Sarah Kitainda,alishukuru kwa msaada huo ambao alidai kuwa umeleta faraja kwa watoto hao hususani katika kipindi hiki cha msimu wa sikukuu ya Krismas na mwaka mpya.

"Kwa niaba ya kituo hiki natoa shukrani kwa kampuni ya Aggrey&amp;Clifford kwa kuwakumbuka watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu wa kata hii ya Mbezi na ni matumaini yangu kuwa mtazidi  kushirikiana nasi kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazotukabili kuwalea watoto hawa katika siku za usoni.

--
----
Cathbert Angelo Kajuna,
Founder and Mananging Director
Kajunason Blog,
P.O Box 6482,
Dar es Salaam.
Tel: 
+255 787 999 774
Alt:  +255 765 253 445
www.kajunason.blogspot.com
"Everything is Possible Through Peace & Stability''

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment