Sunday 25 December 2016

Re: [wanabidii] Rwakatare na dakika 45 za ITV: Upinzani kumbe unaishi Tanzania?

Kitu kimpja nataka kiwe wazi. Anayeandamana ana tatizo gani. Mtu haamki na kusema nataka kuandamana. makaburu walikuwa wanawanyanasa wenzetu ndiyo maana maandamano yakaandaliwa ili kupinga sera za ubaguzi. Kwa trump pia walioandamana walikuwa na sababu. Haya ya kwetu yalitaka kuondoa tatizo gani???
hatuanzii hapo: Tuanaanzia nyuma kuwa watanzania walikuwa na shida itokanayo na viongozi kupuuza mambo yanayowatesa watanzania. Rushwa; Ufisadi; Uzembe kazini etc. Sasa serikali imeingia madarakani na inaonyesha kuyashughulikia matatizo hayo. Mtu anaanza kupinga juhudi hizo kwa visingizio visivyoonekana. Wanasema wanaotuhumiwa wasisimamishwe kazi ili kuchunguzwa bali wasubiri wahukumiwe kwanza. Hilo ndilo ninamaanisha kuwa watu hawatokei na kuandamana kwa sababu wana haki ya kuandamana.
--------------------------------------------
On Sun, 12/25/16, Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] Rwakatare na dakika 45 za ITV: Upinzani kumbe unaishi Tanzania?
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Sunday, December 25, 2016, 9:21 PM

Elisa,Nilipokuwa mwanafunzi chuo kikuu
tulikuwa tukiandamana kupinga utawala dhalimu wa Makaburu
Afrika kusini na Wareno katika nchi za
Kiafrika.Maandamano hayo yalipangwa. Tulikuwa na
viongozi waliotuagiza tuandamane, tukutane mahali fulani na
saa ngapi ili tufanye maandamano yetu.Kuna
maandamano spontaneous kama hayo yaliyofanyika baada ya
Trump kutangazwa mshinndi, au maandamano ya kusherehekea
ushindi wa timufulani katika mji fulani, na kuna
maandamano yanayopangwa, kama yale ya 1963 pale Martin
Luther King jr. alipotoa ile hotuba yake muhimu I have a
Dream.Point ni kwamba maandamano ni maandamano tu
either spontaneous au yaliyopangwa na viongozi wa vyama.
Yote ni maandamano na katika nchi huru yote
huruhusiwa.em
2016-12-25 11:48 GMT-05:00
'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Muganda!
The why and when zinapangwa na common sence.

Wamarekani waliandamana kwa sababu wanapinga sera za Trump.
Wamarekani walioandamana ndio waliompigia Hilary kura
akamzidi Trump kwa kura milioni 2.5 lakini mfumo wao
ukampitisha trump kupitia Electoral collage votes.

Wamarekani waliandamana wala hawakuagizwa na Hilary
aliyeshinda.

Maandamano yaliyosiuiwa Tanzania ni yale ambayo ukiwauliza
wanaoyapanga wanasema mambo yasiyowagusa wananchi wa
Tanzania. Bunge Live! Kwa nini bunge liendelee wakati baadhi
wamegoma! Etc. Wanagoma baada ya uchaguzi na wakati imeanza
kuyafanyia kazi matatizo muhimu kam a rushwa, ufisadi uzembe
kazini nakadhalika.

Maandamano ya marekani yalisukumwa na wananchi lakini haya
ya kwetu hayakuwa na agenda na ualitaka kwuwatumia watu wa
namna 'fulani' ambamo ungekosa uwakilishi wa
interest za wananchi



------------------------------ --------------

On Sat, 12/24/16, Emmanuel
Muganda <emuganda@gmail.com>
wrote:



 Subject: Re: [wanabidii] Rwakatare na dakika 45 za ITV:
Upinzani kumbe unaishi Tanzania?

 To: "wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>

 Date: Saturday, December 24, 2016, 7:46 PM



 Nani ana

 mamlaka ya kupanga the why and when ya maandamano?

 Kuandamana ni kupetition the government. Wamarekani

 waliandamana aliposhinda Trump hawakusubiri waambiwe
when.

 It was spontaneous.em

 2016-12-24 8:34 GMT-05:00

 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:

 The point

 isnt maandamano but why and when. Kuna neno kwenye
biblia

 linasema kila jambo na wakati wake. Mtu ukifanya jambo

 wakati usio wake unakuwa umekosea. Kosa kama ni nuisant

 unaachwa kama ni destructive unadhibitiwa



 ------------------------------ --------------



 On Tue, 12/20/16, Emmanuel

 Muganda <emuganda@gmail.com>

 wrote:







  Subject: Re: [wanabidii] Rwakatare na dakika 45 za
ITV:

 Upinzani kumbe unaishi Tanzania?



  To: "wanabidii@googlegroups.com"

 <wanabidii@googlegroups.com>



  Date: Tuesday, December 20, 2016, 9:12 PM







  What is



  wrong with maandamano, if I may ask.em



  2016-12-20 13:01 GMT-05:00



  'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:



  Najua



  nimechelewa kuleta mada hii humu lakini haiepukiki

 kuletwa



  kwa mjadala kwa kila anayeziangalia kwa umakini siasa

 za



  Tanzania. Si wote waliisoma kwenye Facebook yangu.







  Yapata wiki tatu hivi zilizopita katika kipindi cha

 dakika



  45 kinachorushwa na ITV kulikuwa na mgeni mmoja.
Mgeni

 huyo



  ni Ndugu Wilfred Rwakatare, Mbunge wa jiji Tarajiwa
la



  Bukoba (kwa sasa ni manispaa lakini ndoto yake ya
2005

 ni



  kulikuza kuwa jiji). Rwakatare ni Waziri kivuli wa

 wizara



  inayohusika na ardhi na nyuma.







  Katika kipindi hicho alifufua matumaini yangu kuwa

 upinzani



  ungali unaishi Tanzania na ni kwa sababu watu wenye

 mawazo



  kama yake hawapati nafasi za mbele katika taasisi



  walizomo.







  Katika kipindi hicho Rwakatare anamsifu waziri Lukuvi

 lakini



  anaikosoa serikali kwa kutotoa fedha zilizoahidiwa

 kwenye



  bajeti za wizara.







  Akijibu swali kuwa kama yeye (Rwakatare) angekuwa

 waziri



  angefanya nini kuhusiana na migogoro ya viwanja
katika



  mazingira ya sasa, anajibu swali kwa kusema: angetoka
nje

 ya



  Dar Es salaam na kutafuta maeneo Kibaha. Angewachukua



  wananchi wanaotaka viwanja kutoka Dar Es Salaam na



  kuwaonyesha maeneo hayo na kuwataka waeleze mahitaji
yao

 ya



  viwanja. Watu hao wanaombwa kutoa fedha za kupima
viwanja

 na



  kila mtu anapimiwa eneo analotaka. Kwa sababu tayari

 maafisa



  ardhi wapo, garama za upimaji zinastahili kuwa ndogo.
Na

 kwa



  sababu wanaohitaji viwanja wanagarimia basi serikali



  haitahitaji kutoa fedha nyingi. Anaendelea Rwakatare

 kuwa



  angehakikisha serikali inapanua mradi wa mabasi ya

 mwendo



  kasi na reli kutoa huduma mpaka huko na kuhakikisha



  inachukua dakika 40 kutoka maeneo mapya mpaka Dar Es

 Salaam.



  Hii ingeondoa msongamano wa watu Dar Es salaam.







  Ukichunguza usemi huu unaona sera mbadala ya tatizo
la



  viwanja na usafiri Dar Es Salaam. Unaona jinsi
ambavyo



  viwanja vinaweza kupatikana kirahisi kwa sababu mara

 zote



  serikali inasema haina fedha za kupima viwanja huku

 watu



  wakitumia fedha nyingi kununua viwanja hivyo.







  Hapa mimi nataka kuongelea "sera mbadala". Naweza

 kusema



  toka Dr. Slaa ameondoka upinzani, vyama vyetu vya

 upinzani



  havielezi sera mbadala kwa matatizo ya wananchi bali



  vinapiga kelele ya kutetea uhuru wake wa kufanya fujo

 na



  kuchelewesha maendeleo ya wananchi. Utasikia wakitaka

 bunge



  live. Ili mwananchi aondokewe na tatizo gani kati ya

 kero



  alizo nazo? Wanataka bunge lisiendelee na vikao kwa

 sababu



  wao wametoka nje kupinga Speaker kuwakumbusha kanuni.



  Wanataka waruhusiwe kuandamana wakati wengine

 wanakazana



  kuzalisha. Maandamano yanakuja kusaidiaje kuongeza



  uwajibikaji serikalini; au kudhibiti rushwa na
ufisadi

 mambo



  ambayo hasa ndiyo kero za wananchi wanaowawakilisha?



  Wapinzani wakafikia hatua ya kusahau kuwa
wanawakilisha



  wananchi na kero zao wanaanza kutetea haki zao za

 kucheza



  michezo ya kuigiza barabarani na kwa hiyo huduma kwa



  wananchi zisimame. Imefika mahala wengine wakaona

 upinzani



  ni kama mchezo wa watoto kwa hiyo wanapodhibitiwa ni

 halali



  ili watu wazima waendelee na mambo ya ,maendeleo. Ile

 hali



  ya watanzania kuunga mkono hoja za upinzani
zilielekea



  kusahaulika.







  Lakini kama taasisi hizi zikiweza kujiambia ukweli na

 kuwapa



  vipaza sauti akina Rwakatare huenda na serikali na

 chama



  tawala vikazidi kuwa macho. Vyama hivi vinahitaji

 kuachana



  na watu waliojichokea au kushindwa kazi, na viwape
watu



  wenye mwelekeo wa kujua wananchi wanataka nini. Haina

 maana



  yoyote kumchukua mtu aliyeshindwa na kuharibu
unamleta

 mbele



  za watu na kutarajia mwishoni mwa 2017 au 2020

 atauongoza



  upinzani eti kwa sababu mchawi fulani kabashiri
hivyo.

 Kuna



  mambo mengine hayahitaji kukubali kudanganyana.
Kinyume



  chake ni kuuimarisha mfumo wa chama kimoja ndani ya

 vyama



  vingi vya siasa kama Botswana.















  Elisa Muhingo







  0767 187 507















   --















   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com















    















   Kujiondoa Tuma Email kwenda















   wanabidii+unsubscribe@



  googlegroups.com 

 Utapata Email ya







   kudhibitisha ukishatuma















    















   Disclaimer:















   Everyone posting to this Forum bears the sole



  responsibility







   for any legal consequences of his or her postings,

 and



  hence







   statements and facts must be presented responsibly.



  Your







   continued membership signifies that you agree to
this







   disclaimer and pledge to abide by our Rules and



  Guidelines.















   ---















   You received this message because you are
subscribed

 to



  the







   Google Groups "Wanabidii" group.















   To unsubscribe from this group and stop receiving



  emails







   from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@



  googlegroups.com.















   For more options, visit https://groups.google.com/d/



  optout.























  --







  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com















  Kujiondoa Tuma Email kwenda







  wanabidii+unsubscribe@



  googlegroups.com 

 Utapata Email ya kudhibitisha



  ukishatuma















  Disclaimer:







  Everyone posting to this Forum bears the sole

 responsibility



  for any legal consequences of his or her postings,
and

 hence



  statements and facts must be presented responsibly.

 Your



  continued membership signifies that you agree to this



  disclaimer and pledge to abide by our Rules and



  Guidelines.







  ---







  You received this message because you are subscribed
to

 the



  Google Groups "Wanabidii" group.







  To unsubscribe from this group and stop receiving

 emails



  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@



  googlegroups.com.







  For more options, visit https://groups.google.com/d/



  optout.



























  --







  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







   







  Kujiondoa Tuma Email kwenda







  wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com 
Utapata Email ya



  kudhibitisha ukishatuma







   







  Disclaimer:







  Everyone posting to this Forum bears the sole

 responsibility



  for any legal consequences of his or her postings,
and

 hence



  statements and facts must be presented responsibly.

 Your



  continued membership signifies that you agree to this



  disclaimer and pledge to abide by our Rules and



  Guidelines.







  ---







  You received this message because you are subscribed
to

 the



  Google Groups "Wanabidii" group.







  To unsubscribe from this group and stop receiving

 emails



  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com.







  For more options, visit https://groups.google.com/d/

 optout.











 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha

 ukishatuma







 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly.
Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to abide by our Rules and

 Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com.



 For more options, visit https://groups.google.com/d/

 optout.













 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



  



 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com  Utapata Email ya

 kudhibitisha ukishatuma



  



 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly.
Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to abide by our Rules and

 Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.



 For more options, visit https://groups.google.com/d/
optout.





--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
ukishatuma



Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/
optout.






--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment