Sunday 25 December 2016

Re: [wanabidii] Rwakatare na dakika 45 za ITV: Upinzani kumbe unaishi Tanzania?

Elisa,
Nilipokuwa mwanafunzi chuo kikuu tulikuwa tukiandamana kupinga utawala dhalimu wa Makaburu Afrika kusini na Wareno katika nchi za Kiafrika.
Maandamano hayo yalipangwa. Tulikuwa na viongozi waliotuagiza tuandamane, tukutane mahali fulani na saa ngapi ili tufanye maandamano yetu.
Kuna maandamano spontaneous kama hayo yaliyofanyika baada ya Trump kutangazwa mshinndi, au maandamano ya kusherehekea ushindi wa timu
fulani katika mji fulani, na kuna maandamano yanayopangwa, kama yale ya 1963 pale Martin Luther King jr. alipotoa ile hotuba yake muhimu I have a Dream.
Point ni kwamba maandamano ni maandamano tu either spontaneous au yaliyopangwa na viongozi wa vyama. Yote ni maandamano na katika nchi huru yote huruhusiwa.
em

2016-12-25 11:48 GMT-05:00 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Muganda! The why and when zinapangwa na common sence.
Wamarekani waliandamana kwa sababu wanapinga sera za Trump. Wamarekani walioandamana ndio waliompigia Hilary kura akamzidi Trump kwa kura milioni 2.5 lakini mfumo wao ukampitisha trump kupitia Electoral collage votes.
Wamarekani waliandamana wala hawakuagizwa na Hilary aliyeshinda.
Maandamano yaliyosiuiwa Tanzania ni yale ambayo ukiwauliza wanaoyapanga wanasema mambo yasiyowagusa wananchi wa Tanzania. Bunge Live! Kwa nini bunge liendelee wakati baadhi wamegoma! Etc. Wanagoma baada ya uchaguzi na wakati imeanza kuyafanyia kazi matatizo muhimu kam a rushwa, ufisadi uzembe kazini nakadhalika.
Maandamano ya marekani yalisukumwa na wananchi lakini haya ya kwetu hayakuwa na agenda na ualitaka kwuwatumia watu wa namna 'fulani' ambamo ungekosa uwakilishi wa interest za wananchi

--------------------------------------------
On Sat, 12/24/16, Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] Rwakatare na dakika 45 za ITV: Upinzani kumbe unaishi Tanzania?
 To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
 Date: Saturday, December 24, 2016, 7:46 PM

 Nani ana
 mamlaka ya kupanga the why and when ya maandamano?
 Kuandamana ni kupetition the government. Wamarekani
 waliandamana aliposhinda Trump hawakusubiri waambiwe when.
 It was spontaneous.em
 2016-12-24 8:34 GMT-05:00
 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
 The point
 isnt maandamano but why and when. Kuna neno kwenye biblia
 linasema kila jambo na wakati wake. Mtu ukifanya jambo
 wakati usio wake unakuwa umekosea. Kosa kama ni nuisant
 unaachwa kama ni destructive unadhibitiwa

 ------------------------------ --------------

 On Tue, 12/20/16, Emmanuel
 Muganda <emuganda@gmail.com>
 wrote:



  Subject: Re: [wanabidii] Rwakatare na dakika 45 za ITV:
 Upinzani kumbe unaishi Tanzania?

  To: "wanabidii@googlegroups.com"
 <wanabidii@googlegroups.com>

  Date: Tuesday, December 20, 2016, 9:12 PM



  What is

  wrong with maandamano, if I may ask.em

  2016-12-20 13:01 GMT-05:00

  'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:

  Najua

  nimechelewa kuleta mada hii humu lakini haiepukiki
 kuletwa

  kwa mjadala kwa kila anayeziangalia kwa umakini siasa
 za

  Tanzania. Si wote waliisoma kwenye Facebook yangu.



  Yapata wiki tatu hivi zilizopita katika kipindi cha
 dakika

  45 kinachorushwa na ITV kulikuwa na mgeni mmoja. Mgeni
 huyo

  ni Ndugu Wilfred Rwakatare, Mbunge wa jiji Tarajiwa la

  Bukoba (kwa sasa ni manispaa lakini ndoto yake ya 2005
 ni

  kulikuza kuwa jiji). Rwakatare ni Waziri kivuli wa
 wizara

  inayohusika na ardhi na nyuma.



  Katika kipindi hicho alifufua matumaini yangu kuwa
 upinzani

  ungali unaishi Tanzania na ni kwa sababu watu wenye
 mawazo

  kama yake hawapati nafasi za mbele katika taasisi

  walizomo.



  Katika kipindi hicho Rwakatare anamsifu waziri Lukuvi
 lakini

  anaikosoa serikali kwa kutotoa fedha zilizoahidiwa
 kwenye

  bajeti za wizara.



  Akijibu swali kuwa kama yeye (Rwakatare) angekuwa
 waziri

  angefanya nini kuhusiana na migogoro ya viwanja katika

  mazingira ya sasa, anajibu swali kwa kusema: angetoka nje
 ya

  Dar Es salaam na kutafuta maeneo Kibaha. Angewachukua

  wananchi wanaotaka viwanja kutoka Dar Es Salaam na

  kuwaonyesha maeneo hayo na kuwataka waeleze mahitaji yao
 ya

  viwanja. Watu hao wanaombwa kutoa fedha za kupima viwanja
 na

  kila mtu anapimiwa eneo analotaka. Kwa sababu tayari
 maafisa

  ardhi wapo, garama za upimaji zinastahili kuwa ndogo. Na
 kwa

  sababu wanaohitaji viwanja wanagarimia basi serikali

  haitahitaji kutoa fedha nyingi. Anaendelea Rwakatare
 kuwa

  angehakikisha serikali inapanua mradi wa mabasi ya
 mwendo

  kasi na reli kutoa huduma mpaka huko na kuhakikisha

  inachukua dakika 40 kutoka maeneo mapya mpaka Dar Es
 Salaam.

  Hii ingeondoa msongamano wa watu Dar Es salaam.



  Ukichunguza usemi huu unaona sera mbadala ya tatizo la

  viwanja na usafiri Dar Es Salaam. Unaona jinsi ambavyo

  viwanja vinaweza kupatikana kirahisi kwa sababu mara
 zote

  serikali inasema haina fedha za kupima viwanja huku
 watu

  wakitumia fedha nyingi kununua viwanja hivyo.



  Hapa mimi nataka kuongelea "sera mbadala". Naweza
 kusema

  toka Dr. Slaa ameondoka upinzani, vyama vyetu vya
 upinzani

  havielezi sera mbadala kwa matatizo ya wananchi bali

  vinapiga kelele ya kutetea uhuru wake wa kufanya fujo
 na

  kuchelewesha maendeleo ya wananchi. Utasikia wakitaka
 bunge

  live. Ili mwananchi aondokewe na tatizo gani kati ya
 kero

  alizo nazo? Wanataka bunge lisiendelee na vikao kwa
 sababu

  wao wametoka nje kupinga Speaker kuwakumbusha kanuni.

  Wanataka waruhusiwe kuandamana wakati wengine
 wanakazana

  kuzalisha. Maandamano yanakuja kusaidiaje kuongeza

  uwajibikaji serikalini; au kudhibiti rushwa na ufisadi
 mambo

  ambayo hasa ndiyo kero za wananchi wanaowawakilisha?

  Wapinzani wakafikia hatua ya kusahau kuwa wanawakilisha

  wananchi na kero zao wanaanza kutetea haki zao za
 kucheza

  michezo ya kuigiza barabarani na kwa hiyo huduma kwa

  wananchi zisimame. Imefika mahala wengine wakaona
 upinzani

  ni kama mchezo wa watoto kwa hiyo wanapodhibitiwa ni
 halali

  ili watu wazima waendelee na mambo ya ,maendeleo. Ile
 hali

  ya watanzania kuunga mkono hoja za upinzani zilielekea

  kusahaulika.



  Lakini kama taasisi hizi zikiweza kujiambia ukweli na
 kuwapa

  vipaza sauti akina Rwakatare huenda na serikali na
 chama

  tawala vikazidi kuwa macho. Vyama hivi vinahitaji
 kuachana

  na watu waliojichokea au kushindwa kazi, na viwape watu

  wenye mwelekeo wa kujua wananchi wanataka nini. Haina
 maana

  yoyote kumchukua mtu aliyeshindwa na kuharibu unamleta
 mbele

  za watu na kutarajia mwishoni mwa 2017 au 2020
 atauongoza

  upinzani eti kwa sababu mchawi fulani kabashiri hivyo.
 Kuna

  mambo mengine hayahitaji kukubali kudanganyana. Kinyume

  chake ni kuuimarisha mfumo wa chama kimoja ndani ya
 vyama

  vingi vya siasa kama Botswana.







  Elisa Muhingo



  0767 187 507







   --







   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







    







   Kujiondoa Tuma Email kwenda







   wanabidii+unsubscribe@

  googlegroups.com 
 Utapata Email ya



   kudhibitisha ukishatuma







    







   Disclaimer:







   Everyone posting to this Forum bears the sole

  responsibility



   for any legal consequences of his or her postings,
 and

  hence



   statements and facts must be presented responsibly.

  Your



   continued membership signifies that you agree to this



   disclaimer and pledge to abide by our Rules and

  Guidelines.







   ---







   You received this message because you are subscribed
 to

  the



   Google Groups "Wanabidii" group.







   To unsubscribe from this group and stop receiving

  emails



   from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@

  googlegroups.com.







   For more options, visit https://groups.google.com/d/

  optout.











  --



  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







  Kujiondoa Tuma Email kwenda



  wanabidii+unsubscribe@

  googlegroups.com 
 Utapata Email ya kudhibitisha

  ukishatuma







  Disclaimer:



  Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility

  for any legal consequences of his or her postings, and
 hence

  statements and facts must be presented responsibly.
 Your

  continued membership signifies that you agree to this

  disclaimer and pledge to abide by our Rules and

  Guidelines.



  ---



  You received this message because you are subscribed to
 the

  Google Groups "Wanabidii" group.



  To unsubscribe from this group and stop receiving
 emails

  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@

  googlegroups.com.



  For more options, visit https://groups.google.com/d/

  optout.













  --



  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



   



  Kujiondoa Tuma Email kwenda



  wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com  Utapata Email ya

  kudhibitisha ukishatuma



   



  Disclaimer:



  Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility

  for any legal consequences of his or her postings, and
 hence

  statements and facts must be presented responsibly.
 Your

  continued membership signifies that you agree to this

  disclaimer and pledge to abide by our Rules and

  Guidelines.



  ---



  You received this message because you are subscribed to
 the

  Google Groups "Wanabidii" group.



  To unsubscribe from this group and stop receiving
 emails

  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com.



  For more options, visit https://groups.google.com/d/
 optout.





 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
 ukishatuma



 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/
 optout.






 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment