Sunday 25 December 2016

Re: [wanabidii] Rwakatare na dakika 45 za ITV: Upinzani kumbe unaishi Tanzania?

Muganda! The why and when zinapangwa na common sence.
Wamarekani waliandamana kwa sababu wanapinga sera za Trump. Wamarekani walioandamana ndio waliompigia Hilary kura akamzidi Trump kwa kura milioni 2.5 lakini mfumo wao ukampitisha trump kupitia Electoral collage votes.
Wamarekani waliandamana wala hawakuagizwa na Hilary aliyeshinda.
Maandamano yaliyosiuiwa Tanzania ni yale ambayo ukiwauliza wanaoyapanga wanasema mambo yasiyowagusa wananchi wa Tanzania. Bunge Live! Kwa nini bunge liendelee wakati baadhi wamegoma! Etc. Wanagoma baada ya uchaguzi na wakati imeanza kuyafanyia kazi matatizo muhimu kam a rushwa, ufisadi uzembe kazini nakadhalika.
Maandamano ya marekani yalisukumwa na wananchi lakini haya ya kwetu hayakuwa na agenda na ualitaka kwuwatumia watu wa namna 'fulani' ambamo ungekosa uwakilishi wa interest za wananchi

--------------------------------------------
On Sat, 12/24/16, Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] Rwakatare na dakika 45 za ITV: Upinzani kumbe unaishi Tanzania?
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Saturday, December 24, 2016, 7:46 PM

Nani ana
mamlaka ya kupanga the why and when ya maandamano?
Kuandamana ni kupetition the government. Wamarekani
waliandamana aliposhinda Trump hawakusubiri waambiwe when.
It was spontaneous.em
2016-12-24 8:34 GMT-05:00
'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
The point
isnt maandamano but why and when. Kuna neno kwenye biblia
linasema kila jambo na wakati wake. Mtu ukifanya jambo
wakati usio wake unakuwa umekosea. Kosa kama ni nuisant
unaachwa kama ni destructive unadhibitiwa

------------------------------ --------------

On Tue, 12/20/16, Emmanuel
Muganda <emuganda@gmail.com>
wrote:



 Subject: Re: [wanabidii] Rwakatare na dakika 45 za ITV:
Upinzani kumbe unaishi Tanzania?

 To: "wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>

 Date: Tuesday, December 20, 2016, 9:12 PM



 What is

 wrong with maandamano, if I may ask.em

 2016-12-20 13:01 GMT-05:00

 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:

 Najua

 nimechelewa kuleta mada hii humu lakini haiepukiki
kuletwa

 kwa mjadala kwa kila anayeziangalia kwa umakini siasa
za

 Tanzania. Si wote waliisoma kwenye Facebook yangu.



 Yapata wiki tatu hivi zilizopita katika kipindi cha
dakika

 45 kinachorushwa na ITV kulikuwa na mgeni mmoja. Mgeni
huyo

 ni Ndugu Wilfred Rwakatare, Mbunge wa jiji Tarajiwa la

 Bukoba (kwa sasa ni manispaa lakini ndoto yake ya 2005
ni

 kulikuza kuwa jiji). Rwakatare ni Waziri kivuli wa
wizara

 inayohusika na ardhi na nyuma.



 Katika kipindi hicho alifufua matumaini yangu kuwa
upinzani

 ungali unaishi Tanzania na ni kwa sababu watu wenye
mawazo

 kama yake hawapati nafasi za mbele katika taasisi

 walizomo.



 Katika kipindi hicho Rwakatare anamsifu waziri Lukuvi
lakini

 anaikosoa serikali kwa kutotoa fedha zilizoahidiwa
kwenye

 bajeti za wizara.



 Akijibu swali kuwa kama yeye (Rwakatare) angekuwa
waziri

 angefanya nini kuhusiana na migogoro ya viwanja katika

 mazingira ya sasa, anajibu swali kwa kusema: angetoka nje
ya

 Dar Es salaam na kutafuta maeneo Kibaha. Angewachukua

 wananchi wanaotaka viwanja kutoka Dar Es Salaam na

 kuwaonyesha maeneo hayo na kuwataka waeleze mahitaji yao
ya

 viwanja. Watu hao wanaombwa kutoa fedha za kupima viwanja
na

 kila mtu anapimiwa eneo analotaka. Kwa sababu tayari
maafisa

 ardhi wapo, garama za upimaji zinastahili kuwa ndogo. Na
kwa

 sababu wanaohitaji viwanja wanagarimia basi serikali

 haitahitaji kutoa fedha nyingi. Anaendelea Rwakatare
kuwa

 angehakikisha serikali inapanua mradi wa mabasi ya
mwendo

 kasi na reli kutoa huduma mpaka huko na kuhakikisha

 inachukua dakika 40 kutoka maeneo mapya mpaka Dar Es
Salaam.

 Hii ingeondoa msongamano wa watu Dar Es salaam.



 Ukichunguza usemi huu unaona sera mbadala ya tatizo la

 viwanja na usafiri Dar Es Salaam. Unaona jinsi ambavyo

 viwanja vinaweza kupatikana kirahisi kwa sababu mara
zote

 serikali inasema haina fedha za kupima viwanja huku
watu

 wakitumia fedha nyingi kununua viwanja hivyo.



 Hapa mimi nataka kuongelea "sera mbadala". Naweza
kusema

 toka Dr. Slaa ameondoka upinzani, vyama vyetu vya
upinzani

 havielezi sera mbadala kwa matatizo ya wananchi bali

 vinapiga kelele ya kutetea uhuru wake wa kufanya fujo
na

 kuchelewesha maendeleo ya wananchi. Utasikia wakitaka
bunge

 live. Ili mwananchi aondokewe na tatizo gani kati ya
kero

 alizo nazo? Wanataka bunge lisiendelee na vikao kwa
sababu

 wao wametoka nje kupinga Speaker kuwakumbusha kanuni.

 Wanataka waruhusiwe kuandamana wakati wengine
wanakazana

 kuzalisha. Maandamano yanakuja kusaidiaje kuongeza

 uwajibikaji serikalini; au kudhibiti rushwa na ufisadi
mambo

 ambayo hasa ndiyo kero za wananchi wanaowawakilisha?

 Wapinzani wakafikia hatua ya kusahau kuwa wanawakilisha

 wananchi na kero zao wanaanza kutetea haki zao za
kucheza

 michezo ya kuigiza barabarani na kwa hiyo huduma kwa

 wananchi zisimame. Imefika mahala wengine wakaona
upinzani

 ni kama mchezo wa watoto kwa hiyo wanapodhibitiwa ni
halali

 ili watu wazima waendelee na mambo ya ,maendeleo. Ile
hali

 ya watanzania kuunga mkono hoja za upinzani zilielekea

 kusahaulika.



 Lakini kama taasisi hizi zikiweza kujiambia ukweli na
kuwapa

 vipaza sauti akina Rwakatare huenda na serikali na
chama

 tawala vikazidi kuwa macho. Vyama hivi vinahitaji
kuachana

 na watu waliojichokea au kushindwa kazi, na viwape watu

 wenye mwelekeo wa kujua wananchi wanataka nini. Haina
maana

 yoyote kumchukua mtu aliyeshindwa na kuharibu unamleta
mbele

 za watu na kutarajia mwishoni mwa 2017 au 2020
atauongoza

 upinzani eti kwa sababu mchawi fulani kabashiri hivyo.
Kuna

 mambo mengine hayahitaji kukubali kudanganyana. Kinyume

 chake ni kuuimarisha mfumo wa chama kimoja ndani ya
vyama

 vingi vya siasa kama Botswana.







 Elisa Muhingo



 0767 187 507







  --







  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







   







  Kujiondoa Tuma Email kwenda







  wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com 
Utapata Email ya



  kudhibitisha ukishatuma







   







  Disclaimer:







  Everyone posting to this Forum bears the sole

 responsibility



  for any legal consequences of his or her postings,
and

 hence



  statements and facts must be presented responsibly.

 Your



  continued membership signifies that you agree to this



  disclaimer and pledge to abide by our Rules and

 Guidelines.







  ---







  You received this message because you are subscribed
to

 the



  Google Groups "Wanabidii" group.







  To unsubscribe from this group and stop receiving

 emails



  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com.







  For more options, visit https://groups.google.com/d/

 optout.











 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha

 ukishatuma







 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly.
Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to abide by our Rules and

 Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com.



 For more options, visit https://groups.google.com/d/

 optout.













 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



  



 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com  Utapata Email ya

 kudhibitisha ukishatuma



  



 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly.
Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to abide by our Rules and

 Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.



 For more options, visit https://groups.google.com/d/
optout.





--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
ukishatuma



Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/
optout.






--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment