Friday 27 November 2015

Re: [wanabidii] KWA MWENDO HUU HESHIMA YA TANZANIA IKO KARIBU KURUDI

Haikuwahi kusahaulika hiyo toka aliposema hivyo siku anarudisha form ya uteuzi ndani ya chama. matokeo yanaonekana hatusemi zaidi.
--------------------------------------------
On Fri, 11/27/15, 'Dominick Rukokelwa' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] KWA MWENDO HUU HESHIMA YA TANZANIA IKO KARIBU KURUDI
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Friday, November 27, 2015, 7:49 PM

Msisahau
kumuombea mnapopata nafasi au tenga muda kidogo kila siku
kumuombea.DR




On Thursday, November
26, 2015 2:34 PM, 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii
<wanabidii@googlegroups.com> wrote:


Toka
Rais magufuli aingie madarakani amefanya mambo ambayo kama
kawaida wabezaji hawakosi. Wanasema na wakati wa JK ilikuwa
hivyo. Huenda wanadanganya au wamesahau. anayebisha atoe
mfano tulinganishe. Heri angemtaja Mkapa alijaribu japo si
kama Magufuli.

Tumechoka
kusaidiwa jamani na pedngine misaada inatudhalilisha. Kuna
misaada mingine iliyokataliwa na nchi jirani sisi tunasema
leta tu.
Utasikia hata tangazo dogo la
tahadhali linamalizia kwa : Imetolewa kwa msaada wa watu wa
Marekani.
Nyerere aliwahi kusema 'Mtu
kama anafikiri nje kuna mjomba wetu amlete. akinionyesha
nitachekatu'. Sasa Tanzania yenye utajili wa ajabu namna
hii lakini inaishia kuomba. Tanzania ina matumizi ya ajabu
lakini huku inaomba misaada tu. hapana. hapana. hapana
jamani. Tumefikia mahala tunaaibisha.
Sasa
Ona: Kuvunja sherehe moja muhimbili hakuna mgonjwa analala
chini.
Hela alizookoa Magufuli zikipelekwa
kumaliza tatizo la madawati huenda tutaanza kutafuta
madawati hayo baada ya miaka mitano. Inasaidia nini watu
kufanya makongamano ambayo baadi wataondoka na ukimwi na
makongamano hayo yanashughulikia kuzuia ukimwi. Kuuzuia si
elimu kwa umma tu. lazima aje waziri kusherehesha?
Ni kweli tarehe 9 December ni siku ya uhuru wa
tanganyika. Watanganyika wako huru kama bado wana njaa? Kama
ni mazoezi ya kijeshi yanaendelea tu. Kama ni wananchi kuona
ulinzi wa nchi yao ipo siku.
Hiki ni kipindi
cha dharura. Kimedumu muda mrefu. Tulikuwa tutaona fedha
zinatumika ovyo. hatukuwa na mtu wa kuliona hilo. Sasa
tumempata.
Tunataka siku rais wa Tanzania
akienda nje watu wakusanyike kumuona. Sio wanaulizana nani
huyo Rais wa tanzania Ahaaa. halafu waendelee kana kwamba ni
mtu mdogo anapita. Baba wa Taifa alifanya ziara za
kiserikali mara mbili marekani katika myaka yake yote. Moja
wakati wa Rais Kenedy na nyingine wakati wa Rais Jimy Cater.
basi. nani hakumbuki jinsi watu walivyokusanyika toka
majimbo yote kuja kumuona mtu huyu waliyemsikia siku
nyingi?
lakini kiongozi anakwenda mahala
inafika mahala unaambiwa 'subiri nakuja?'
Twaweza kujitegemea katika mambo mengi.
Tukliomba msaada watajisikia fahari kutusaidia.

--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda


wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:


Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences
of his or her postings, and hence

statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree
to this
disclaimer and pledge to abide by
our Rules and Guidelines.


---

You received this
message because you are subscribed to the

Google Groups "Wanabidii" group.


To unsubscribe from this group and stop
receiving emails
from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to
this Forum bears the sole responsibility for any legal
consequences of his or her postings, and hence statements
and facts must be presented responsibly. Your continued
membership signifies that you agree to this disclaimer and
pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message
because you are subscribed to the Google Groups
"Wanabidii" group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving emails from it, send an
email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.




--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment